MashaAllah nimekuelewa sana Allah akulipe kwa elimu nzuri yenye manufaa ulotoaa maana akili yangu kidogo iniruke nawazaga hymen yangu ilienda wap kumbe ni mambo ya kawaida tu
Me mmewangu aliniingilia ila damu hazikutoka jamani mpaka mmewangu wangu haamini kua Mimi ndo mwanaume aliniingilia jamani ananitukana nakuniambia uwongo 😢😢huo hua naumia sana
Mimi ndio Mara yangu ya kwanza kuwatch video yako ila umenikera kwa jambo moja tu! Umekuwa Kama Nollywood wanaandika topic ya movie ukianza kuwatch hio movie haiedani na kichwa cha topic kwaheri
asante sana dr ila una uhakika na hilo unalolisema kuwa kizinda sio bikra? sijawahi kuona mwanamke awe konki wa kuingiliwa halafu akabaki na bikra/kizinda ndo kwanza nakusikia wewe na wala hajawahi kujitokeza mwanamke wa namna hiyo.
Elimu mnayo hila waelimishwa ndio hawapo,siku hizi mabinti wengi wanaharibika kwa kutumia mitandao na hata ndoa nyingi tuoe tu ni jambo la kheri hila haki ya kheri hakuna,asabte kwa mafundisho wapo wacheche hila wengi kazi tunayo.na jee vp kuhusu shabu ambazo utumiwa na haohao wanawake kama bikra.
NAONA ULICHO ANDIK SICHO ULICHO KIZUNUMZIA WEW UNATUZUNGUSHA TU TUNATAK KUJUWA ZILOTENGENEZWA ZINA KUWA ILA UNATUFAFANULIA TU AINA ZA BKIR WAKT TUNATK KUJUWA ZAKUTENGEZA KM KICHWACHA HABR KINAVO SEM ILA KM NIMETUMIA LUHA MBAYA JUU Y MANENO YNGU SMHN DADA
😂😂mimi nilikitia ndoo vibaya kamba ya ndoo nikasikia nimeraruka na hapo ndio nilimwaga damu tu kwahiyo sijui uchunvu mimi wa mwanaume na tabia ingine baisikile
Mbn mnaibiwa sana tu tena sikuhiz ndo balaa kwa sisi waislam tunataka tuonekane si wazinifu tusifiwe kwahiyo lazima tuwawekee bikra fake ila ukweli skuhiz bikra hakuna vitoto vidogo vimekwisha yan utashangaa
@@d15355 ni Aibu kama ikitokeza hana bikra au bikra yake hatoki damu watu watamdhaniaje baaada ya kujulikana na watu kua kitambaa hakikushika damu kwaiyo sio sawa
udange weeee halafu uje kusema nataka kuolewaaa eti bikra si lazima, sasa nani ale makombo ya watu wengine? weka kitambaa tujue bikra nani kapi nani, msitudanganye toka enzi za mitume bikra inatoka kwa kuingiliwa au kuingizwa kitu hoja eti unaweza ukaingiliwa halafu bikra isitoke huo ni uonngo na hamjawahi kutuonesha mtu wa namna hiyo nahisi itakuwa inatokea kwa Dajjal kupitia vibaraka wao freemasons@@MdNasr-jm8pj