Тёмный

Njia 3 wanazotumia Mabinti kurudisha BIKRA siku hizi - Dr.Baiya Kissiwa 

Kalamutz
Подписаться 147 тыс.
Просмотров 78 тыс.
50% 1

Dr.Baiya anaelezea namna ambavyo nadharia ya Bikra inavyotazamwa kimakosa.

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 114   
@irenestephano1332
@irenestephano1332 7 месяцев назад
Nimeelewa vzr binafsi mi sikuwahi kutoka dam ya bikra hata nilipokutana na mwanaume wakwanza dam haikutoka MPKA leo najiulizaga
@RamaMohamed-oi9ff
@RamaMohamed-oi9ff 8 месяцев назад
Swadakta...Maneno kuntu, lugha Safi na yenye heshima Kwa Jamii....Allah akuzdshie elm zaid❤❤❤❤
@chikujuma18
@chikujuma18 8 месяцев назад
Asante doctor nimekuelewa vizur sana kwa sababu mm binafis haipo hiyo kitu na haijatokea hiyo damu
@akimzeli5030
@akimzeli5030 8 месяцев назад
Weee! Usiwe ushafanya yako halafu unazuga KIZINDA hakipo.
@d15355
@d15355 8 месяцев назад
mwongo wee konki uliyekubuhu halafu unasingizia maumbile.
@MisBean
@MisBean 7 месяцев назад
Mimi pia haikutokea hiyo Damu.
@d15355
@d15355 7 месяцев назад
haikutokea damu sababu hukuwa na bikra watu walishairarua kitambo,katafute wa kuwadanganya@@MisBean
@aishaarusha894
@aishaarusha894 7 месяцев назад
@@d15355 loh pepo wewe ulimrarua wewe😢
@msabahkhamis9438
@msabahkhamis9438 8 месяцев назад
Shukran dr.nimeelimika kias kwamba nilikuwa hata abc ya elimu hii cna Alhamdulillah Allah akulinde na akuzidishie elimu yenye manufaa
@irenerwekaza59
@irenerwekaza59 7 месяцев назад
This women is brilliant ,, I love u 😘😘
@husnahemedy8376
@husnahemedy8376 2 месяца назад
MashaAllah nimekuelewa sana Allah akulipe kwa elimu nzuri yenye manufaa ulotoaa maana akili yangu kidogo iniruke nawazaga hymen yangu ilienda wap kumbe ni mambo ya kawaida tu
@ibnayub2374
@ibnayub2374 7 месяцев назад
Yes damu na bikra n vitu viwili tofaut, lakn pia mwanaume sio lazima umtoe damu mwanamke wakati wa kumuingilia
@salmanassor4589
@salmanassor4589 8 месяцев назад
Maa sha Allah Allahuma baarik Allah azidi kukuhifadhi Aamiin
@susansamira8137
@susansamira8137 7 месяцев назад
Shukran maneno ya hekma na na mafunzo.mazuri
@naimajuma647
@naimajuma647 7 месяцев назад
Damu ya bikra inajulikana na pia bikra inaweza is itolewe ata kwa mara kadhaa kama huyu mwanaume ajui mambo vizuri
@ZalhathamohdSaid-qn4jj
@ZalhathamohdSaid-qn4jj 7 месяцев назад
ikoje iyo damu ya bikira
@NeemaAron-o8z
@NeemaAron-o8z 2 месяца назад
Asante kwakutoa erim nzuri❤❤❤
@a.856
@a.856 8 месяцев назад
Jazakallah khayran
@Muharram-c5n
@Muharram-c5n 7 месяцев назад
Baaraka llahu fik
@ZilpaLespikius
@ZilpaLespikius 5 дней назад
Asante mama ubalikiwe xana
@IzaqCoutinho-op4we
@IzaqCoutinho-op4we 2 месяца назад
Asnt sana doctar Kwa kiasi kikubwa nimeelimika. Sana Allah akupe Kila la kheri mm bd sijaolewa ni mwari
@smilekhan-rn8bn
@smilekhan-rn8bn 7 месяцев назад
Swadakta kbxxxx docta ❤❤❤ love you my momy lovely
@nasemkena2603
@nasemkena2603 7 месяцев назад
❤❤❤nimepnda mafunzo yako dadangu nigependa uniambiye jina la vidonge la capsules nigani
@asiaamour4141
@asiaamour4141 7 месяцев назад
Blood capsule
@nasemkena2603
@nasemkena2603 7 месяцев назад
Shuqran
@faridanurdin9635
@faridanurdin9635 8 месяцев назад
Baya mashaAllah ❤
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 7 месяцев назад
Wanawake wengi wanajichuwa kujiingiza mikono hakuna bikra.mana usiku kutwa hutizama picha za ngono kupitia simu.pekuwa simu zao utaona
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy 7 месяцев назад
Kweli kabisa
@AslimLovelyne
@AslimLovelyne 2 месяца назад
Asante nimejucunza kitu
@salumdavid2128
@salumdavid2128 7 месяцев назад
Je kwa aliyezaa iyo hymen inauwezekano wa kuwa bado ipo
@Shaha-d1i
@Shaha-d1i 2 месяца назад
Sasa alie zaa si kashaingiliwa kaka
@Gadielrussia
@Gadielrussia Месяц назад
ndio ata akizaa watoto kumi Bado anakuwa bicra
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 8 месяцев назад
Wazee wa zmn ndo mchezo wao kuangali bikra😢
@maindachausa3912
@maindachausa3912 8 месяцев назад
Maa sha ALLAH 🥰🥰🥰
@fatmamussa6134
@fatmamussa6134 7 месяцев назад
Hapo kwenye kidonge cha uzazi wa mpango ni kweli ukimeza kidonge chekundu damu inatoka ukimeza cheupe inakata.
@connymapensi5405
@connymapensi5405 2 месяца назад
Woow thanks ❤
@TumpeMwaitete
@TumpeMwaitete Месяц назад
Nikweli mama wanawake tuna hali mbaya sana kwenye hilo swala linaumiza sana
@jamesjr6086
@jamesjr6086 4 месяца назад
Me mmewangu aliniingilia ila damu hazikutoka jamani mpaka mmewangu wangu haamini kua Mimi ndo mwanaume aliniingilia jamani ananitukana nakuniambia uwongo 😢😢huo hua naumia sana
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 месяцев назад
Walykumu msalam warhatuallah wabarakatuh
@RUKIARUKIA-b9r
@RUKIARUKIA-b9r 7 месяцев назад
Mashalah
@naominyaitondi2241
@naominyaitondi2241 6 месяцев назад
Mimi ndio Mara yangu ya kwanza kuwatch video yako ila umenikera kwa jambo moja tu! Umekuwa Kama Nollywood wanaandika topic ya movie ukianza kuwatch hio movie haiedani na kichwa cha topic kwaheri
@CareenChaula-l7f
@CareenChaula-l7f Месяц назад
😂😀😀
@saumbliz8983
@saumbliz8983 7 месяцев назад
Damu lazima itoke wewe aaah uchungu ule wote hata sitaki kukumbuka nililia sana😭
@bintsalimalbimany287
@bintsalimalbimany287 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂pole😩🙈
@gracewanjiru3593
@gracewanjiru3593 7 месяцев назад
Ww kapatana na gaidi😂😂
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 7 месяцев назад
Huyo uliokutana nae hakuwa mjuzi Mzuri wa mambo haya Hajakuandaaa vizuri 😂😂😂
@d15355
@d15355 8 месяцев назад
asante sana dr ila una uhakika na hilo unalolisema kuwa kizinda sio bikra? sijawahi kuona mwanamke awe konki wa kuingiliwa halafu akabaki na bikra/kizinda ndo kwanza nakusikia wewe na wala hajawahi kujitokeza mwanamke wa namna hiyo.
@nchimbuke7261
@nchimbuke7261 8 месяцев назад
Swadaktaa❤❤❤
@zulachama1067
@zulachama1067 7 месяцев назад
Elimu mnayo hila waelimishwa ndio hawapo,siku hizi mabinti wengi wanaharibika kwa kutumia mitandao na hata ndoa nyingi tuoe tu ni jambo la kheri hila haki ya kheri hakuna,asabte kwa mafundisho wapo wacheche hila wengi kazi tunayo.na jee vp kuhusu shabu ambazo utumiwa na haohao wanawake kama bikra.
@saumubuku108
@saumubuku108 7 месяцев назад
Mm pia nlipelekwa oc kupimwa mimba wakati atasijui mume nn sikua nimepata ata hedhi 😢
@StephanoWaindi
@StephanoWaindi 5 месяцев назад
Sawa mpenzi nimekuelewa
@mahmoudalawy4931
@mahmoudalawy4931 8 месяцев назад
Fact thanks again and again
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 8 месяцев назад
Dr:ata uandaliwe vp siku ya kwanza kuumia lazima kaaaah mwili na ndo kwanza unapokea kitu kigeni
@saumbliz8983
@saumbliz8983 7 месяцев назад
Kabisa
@awadhally1052
@awadhally1052 7 месяцев назад
😂😂😂😂
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 5 месяцев назад
Wallah
@MauwaSuleiman
@MauwaSuleiman 7 месяцев назад
Mm tangu kuzaa uke wangu nahisi umetanuk nifanye nn ili kurudisha km kawaid😢😢
@Gadielrussia
@Gadielrussia Месяц назад
aha Sasa chakufanya nenda kamwone fundi cherehani nao wanapunguza atakushonea bicra pia
@salmamohamedali1912
@salmamohamedali1912 Месяц назад
Fanya mazoezi ya Kegel
@yusuphmlishidi1247
@yusuphmlishidi1247 3 месяца назад
Asant
@rayyanKassim-s8x
@rayyanKassim-s8x 8 месяцев назад
Zaman wazee walikua wana pima kwa vidole viwili hii kweli ni salama
@rojajuma8121
@rojajuma8121 7 месяцев назад
NAONA ULICHO ANDIK SICHO ULICHO KIZUNUMZIA WEW UNATUZUNGUSHA TU TUNATAK KUJUWA ZILOTENGENEZWA ZINA KUWA ILA UNATUFAFANULIA TU AINA ZA BKIR WAKT TUNATK KUJUWA ZAKUTENGEZA KM KICHWACHA HABR KINAVO SEM ILA KM NIMETUMIA LUHA MBAYA JUU Y MANENO YNGU SMHN DADA
@marykhati1249
@marykhati1249 6 месяцев назад
True kutuzungushatu
@naominyaitondi2241
@naominyaitondi2241 6 месяцев назад
Hata mm nimemshangaa, amekuwa Kama Nollywood movie haiedani na kichwa ka!
@HamiduAbdallah-p3s
@HamiduAbdallah-p3s 26 дней назад
Iv hiyo damu ni lazma imwagike kitandan. Kawthar
@jumamsangazi2872
@jumamsangazi2872 7 месяцев назад
Dk ungekuwa unaeka Namba ili tuwe tunauliza masuala privately... Na sio public coz kuna masuala mengne ni personal... Ninapataje namba yko?
@CatherineUdamwa
@CatherineUdamwa 6 месяцев назад
Kuna namba hapo kaiweka hujaona
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 7 месяцев назад
Nimewh kukutan na mtu anauz dawa ili haymen irud tena anasisitiz kweli jaribu bestie utakuj kunishukur. Ila sijawh kujaribu huo ujinga mm
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 7 месяцев назад
Sasa hivi hayo yamepitwa na wakati
@aminrashid991
@aminrashid991 4 месяца назад
😂😂mimi nilikitia ndoo vibaya kamba ya ndoo nikasikia nimeraruka na hapo ndio nilimwaga damu tu kwahiyo sijui uchunvu mimi wa mwanaume na tabia ingine baisikile
@ramadhaniKitundu-r1j
@ramadhaniKitundu-r1j 7 месяцев назад
Dada tunakupa ulinzi kwa hili darasa
@NuroOscar-y4b
@NuroOscar-y4b 19 дней назад
Mimi sikubali bwana
@RestichutaRestichuta
@RestichutaRestichuta 7 месяцев назад
Mung azidi kukupah nguv na afya uendelee kutupa xomo
@mozaseif4664
@mozaseif4664 Месяц назад
Bikra inaweza kutolewa kwa mara moja tu au mara ngapi
@Gadielrussia
@Gadielrussia Месяц назад
@@mozaseif4664 Kila mara ukiamua
@leotvke.
@leotvke. 7 месяцев назад
Hello doctor can I get your contact for farther explanation
@saumbliz8983
@saumbliz8983 7 месяцев назад
Kuna jirani yetu walichinja kuku wakapaka kitambaa damu asubui wakamtengeza kuku wakala nyama😂aibu
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 8 месяцев назад
Acheni usenge endeleeni uzinzi na mungu anawasubiri
@fatmatraashidu8522
@fatmatraashidu8522 7 месяцев назад
Umachekeshaa Kweliii🤣🤣🤣🤣🤣
@fatmatraashidu8522
@fatmatraashidu8522 7 месяцев назад
Kwani Ziliumbwaa kwaajili Ganii🤣🤣🤣
@ReginaBenjamin-ij2ec
@ReginaBenjamin-ij2ec 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂 we ni kibok
@akimzeli5030
@akimzeli5030 8 месяцев назад
Anhaaaaa, kwa kiswahili ndio huitwa KIZINDA.
@ZahraYahya-lh2lb
@ZahraYahya-lh2lb 8 месяцев назад
Ahahaha kwhy we umeelewa kizinda tu
@zamratallly4191
@zamratallly4191 7 месяцев назад
Wazee wetu wakipemba hawawez kukuelewa, watakuona chawa tu😅😅😅
@JacklineKhaveza-n2z
@JacklineKhaveza-n2z 7 месяцев назад
Sasa kama mwanaume ako na toothpick, damu ya ubikra itatoka aje?😎😎😎🤗🍆💃🏿😋😥🍷
@AsmaaAli-u3z
@AsmaaAli-u3z 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@Winleizerabdy
@Winleizerabdy 6 месяцев назад
Ni kama unapenda vitu nono wewe😂😂😂😂
@JacklineKhaveza-n2z
@JacklineKhaveza-n2z 6 месяцев назад
@@Winleizerabdy 🤣🤣🤣🤣
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 месяца назад
Hahahaha mwehu wewe
@AbdulMajid-pb2sx
@AbdulMajid-pb2sx 7 месяцев назад
Kizinda kama kizinda😂
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 7 месяцев назад
🤣🤣
@Aidhjuma
@Aidhjuma 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 8 месяцев назад
Walaaniwe wote wanaotaka kurejesha Hymen ili ktk ndoa waonekane ni Mabikra wkt walishaingiliw Wezi wakubwa
@saumbliz8983
@saumbliz8983 7 месяцев назад
😂😂😂😂
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 7 месяцев назад
Mbn mnaibiwa sana tu tena sikuhiz ndo balaa kwa sisi waislam tunataka tuonekane si wazinifu tusifiwe kwahiyo lazima tuwawekee bikra fake ila ukweli skuhiz bikra hakuna vitoto vidogo vimekwisha yan utashangaa
@AbuuShuraimAl-Shirazy
@AbuuShuraimAl-Shirazy 8 месяцев назад
Kizinda ndio nini? Au ndio kuma?
@d15355
@d15355 8 месяцев назад
bikra/hymen
@MahraMansoor5969
@MahraMansoor5969 8 месяцев назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 7 месяцев назад
Hahaha kizinda ni bikra
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 7 месяцев назад
Ndio bikra yenyewe
@AbdullahAli-o8z
@AbdullahAli-o8z 8 месяцев назад
Huu ni ujinga na ni Aibu kufanya hili jambo la kuwapa kitambaa
@d15355
@d15355 8 месяцев назад
ili siri yao ya ufuska isijulikane sio
@AbdullahAli-o8z
@AbdullahAli-o8z 8 месяцев назад
@@d15355 ni Aibu kama ikitokeza hana bikra au bikra yake hatoki damu watu watamdhaniaje baaada ya kujulikana na watu kua kitambaa hakikushika damu kwaiyo sio sawa
@RahimaMct-ik8mr
@RahimaMct-ik8mr 8 месяцев назад
Hakuna ujinga naona vizur ufuska ujulikane umeqnza mdog mapema kabra yandow😂
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 8 месяцев назад
Watu wa pwani hii Tabia hawaach bint akiolewa kitambaa😢
@d15355
@d15355 8 месяцев назад
udange weeee halafu uje kusema nataka kuolewaaa eti bikra si lazima, sasa nani ale makombo ya watu wengine? weka kitambaa tujue bikra nani kapi nani, msitudanganye toka enzi za mitume bikra inatoka kwa kuingiliwa au kuingizwa kitu hoja eti unaweza ukaingiliwa halafu bikra isitoke huo ni uonngo na hamjawahi kutuonesha mtu wa namna hiyo nahisi itakuwa inatokea kwa Dajjal kupitia vibaraka wao freemasons@@MdNasr-jm8pj​
@MarkoAlberto
@MarkoAlberto 7 месяцев назад
Xx
Далее
AINA10 ZA WANAWAKE WASIOPENDWA
20:49
Просмотров 129 тыс.
Women’s Goalkeepers + Men’s 🤯🧤
00:20
Просмотров 1,4 млн
Песня РАСПУТИН на русском!🔥
00:56
KUNGWI DUME: JIFUNZE KUSAFISHA UKE
26:32
Просмотров 107 тыс.
Fanya haya kwa bibi kuendelee kuwa mdogo,usiachike.
14:55
AINA ZA MBO,OO NA UTAMU WAKE
6:34
Просмотров 316 тыс.
Women’s Goalkeepers + Men’s 🤯🧤
00:20
Просмотров 1,4 млн