Acha ushamba meli hizi zilikuwapo muda mrefu bandari ya Dar miaka 5 mpaka sita iliyopita wakati wakiongeza kina cha bandari kwako wewe ni mara ya kwanza 😄😄😄
@@peterkichochi7510 Hinawezeka kiuwalisia veni zote za madeni zimetoka nchi kavu na kuelewa Baharin hata mafuta pia nimadin kunabahaz ya nchi wanamafuta Baharin ujakosea ndugu yangu wenzetu wametuzid maarifa kwakwel
Sio siri Harali Rais upende kiki wanavyo sema kama Nchi imezungukwa na miradi inaendelea Mungu akutangulie na akuongozee aendelee kukuongozaa na Akuongozee Hekima Mungu ibaraki Tanzania na watu wake 🇹🇿 Mungu mbariki Rais wetu JPM 🇹🇿
nani kaona kwamba wanatumia windows xp ya kizamani kama mimi!! aisee waje wanilipe niwaekee windows 10 ya kisasa ili waongeze ufanisi kwenye software zao
Atleast anachosema Magu anakifanya tunaona hela zinapo enda hata kama hali ni ngumu .......hatusikii tena bilioni moja za mboga na vijisenti....wizi unausikia kwa mbali......tena mdogo mdogo
Ah jamani wakalimani Mbona mmesahau kusema ‘ Alisema pia wanafanya kazi masaa 24 na wakati mwingine wanashindia KASHATA na KAHAWA Lkn wao hawajali wanapiga kazi tu MWANZO MWENGA ili kukamilisha mradi Kwa haraka ili Watanzania tufaidike..!...Muwe mnamalizia sentence ‘ maana nimemsikia hapo mchina kasema...!
Wabongo tujifunze kitu, hao maopareta wamesoma na wanapiga kaz kubwa lakini hawajui kingeleza. Hawana mawazo finyu wala hawashangai wala kumdhalau mwenzake ambaye anaongea au kuandika kingeleza kibovu.
Tumerithishwa utumwa kila kitu chetu hakina thamani ili tuone wanastahili kututawala kwa kuwa hatustahili sisi wenyewe,lugha yetu ya kijinga mfumo wa asili wa maisha yetu wa kijinga ili tujidharau wenyewe ili tuwanyenyekee
@@barakamarando5221 siijui lugha hiyo..kumbe ni kingereza sio kingeleza? Basi na wewe usione ufahari kushobokea ujinga, naijuwa lugha yangu inaitwa kiswahili.
Mbona hawaendi kumwaga mitope yao mbali wanamwaga kwenye boya namba moja milango ya kuingilia meli na njia ndo hiyohiyo ya kuingilia meli. Bora hata wangetoka nje zaidi yaan
Mwenyezi mungu baada ya kutuumba akatuamuru tukasome je tukiumwa tusitumie dawa?soma vtabu ndugu acha kuuliza maswali ambayo vitabu vimeelekeza,jenga nyumba yako usichimbe msingi au kuongeza ktu fulani
Pamoja sana millardayo. Kwa wale wenye channel changa kama mimi naomba tupeane support kwa kusub channel. Gonga sub kisha niandikie "Done" nami nita sub channel yako