Тёмный

NOMA! MELI INAVYOCHIMBA KUONGEZA KINA CHA BAHARI KWENYE BANDARI YA TANGA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 131 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

13 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 121   
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 4 года назад
Ila uncle Magu tunaanzaje kukuchuki haya mambo ni maajabu mazito sana tena ndani ya muda mfupi
@fatemaligalawa4151
@fatemaligalawa4151 4 года назад
Yaani anatufumbua macho saana
@harunimfaume6280
@harunimfaume6280 4 года назад
Saaana kwakweli magu kazi zinaonekanaa
@lamecktheonest225
@lamecktheonest225 4 года назад
Mungu amzidishie tu,
@rachelemanuel1184
@rachelemanuel1184 4 года назад
fatema ligalawa bhhhhjhjhiiuiiooooppppphop
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 года назад
Wangapi wameiona meli hi kwa mara ya Kwanza Kama Mimi?
@peterkichochi7510
@peterkichochi7510 4 года назад
Hiyo huwa ina iba madini
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 4 года назад
@@peterkichochi7510 waweza kuwa sahihi Mkuu... Wachina huwa sio watu wazuri kabisaa... Sio kweli kuwa wanatoka watupu
@mordally
@mordally 4 года назад
Acha ushamba meli hizi zilikuwapo muda mrefu bandari ya Dar miaka 5 mpaka sita iliyopita wakati wakiongeza kina cha bandari kwako wewe ni mara ya kwanza 😄😄😄
@salimhusseni4784
@salimhusseni4784 3 года назад
@@peterkichochi7510 Hinawezeka kiuwalisia veni zote za madeni zimetoka nchi kavu na kuelewa Baharin hata mafuta pia nimadin kunabahaz ya nchi wanamafuta Baharin ujakosea ndugu yangu wenzetu wametuzid maarifa kwakwel
@jumanyangasa3662
@jumanyangasa3662 4 года назад
kichina duh naona kama naangalia movie ya kichina hapa ila magu 👏🏾👏🏾👏🏾🙏🏾
@abednego3876
@abednego3876 4 года назад
Tecknolojia tuwaachie wenzetu tu ... sisi Wabongo tunajua Fitna na Majungu tu.
@adammakoye4198
@adammakoye4198 4 года назад
ukikijuwa KICHINA raha sana nimemuelewa sana mchina kuliko mswahili oh shishishingiii maanake tope
@nyangetangelesi8864
@nyangetangelesi8864 4 года назад
🤣🤣🤣🤣
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂
@zuuothman9170
@zuuothman9170 4 года назад
😅😅😅😅
@mwanaidhussen1325
@mwanaidhussen1325 4 года назад
😂😂😂
@naldinhosalgado1342
@naldinhosalgado1342 4 года назад
@@kassimrajabu7805 0
@ahmedmsangi1653
@ahmedmsangi1653 4 года назад
Mimi ninani nisimpongeze RAISI Magufuli kwayote haya
@marconzilankoma7581
@marconzilankoma7581 4 года назад
Sio siri Harali Rais upende kiki wanavyo sema kama Nchi imezungukwa na miradi inaendelea Mungu akutangulie na akuongozee aendelee kukuongozaa na Akuongozee Hekima Mungu ibaraki Tanzania na watu wake 🇹🇿 Mungu mbariki Rais wetu JPM 🇹🇿
@SKILLS360TV
@SKILLS360TV 4 года назад
Pamoja sana OK pitia hapa KUONA UBUNIFU WA MAPAMBO YA NDANI ili kuni sapoti SUBSCRIBE channel hii bofya kapicha kushoto
@ImpressiveFacts
@ImpressiveFacts 4 года назад
Nime sub. Naomba nawe unisapot kwa kusub channel yangu
@SKILLS360TV
@SKILLS360TV 4 года назад
@@ImpressiveFacts OK Tayali khasante
@MultiSeptember28
@MultiSeptember28 4 года назад
Nimefanya kazi sana kwenye meli hii.
@Fursa3000
@Fursa3000 4 года назад
Hatari Sana. Kina kikiwa kirefu kitasaidia sana. Hongereni sana viongozi. Pigeni Kazi.
@sulemohd4812
@sulemohd4812 4 года назад
Safi sana tanga kuzuli sana raisi magufuli anataka tanga iwe kwenye mji mpya hongera raisi
@sistimasawe5936
@sistimasawe5936 4 года назад
Hahaaaaaaaaaa huyo jamaa katuuza dhuuu mkalimani nikikukamata utakula kofi
@collinedward8449
@collinedward8449 4 года назад
Tueleweshe wew basi
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 4 года назад
apa kazi tu
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 4 года назад
Wakati wengine wanapiga kelele ili waandamane bila sababu ss tunachimba bandari
@lamecktheonest225
@lamecktheonest225 4 года назад
Edison Peter yaani we acha tu
@biggestnasritv2601
@biggestnasritv2601 3 года назад
THE BIGGEST BOSS NASRI
@petkudfilmsandnewskudililw7579
@petkudfilmsandnewskudililw7579 4 года назад
hao jamaa n wajanja huenda wanachimba madini na si kuongeza kina , tukumbuke.mzungu ana technq nyingi za wizi
@eligiuselias4469
@eligiuselias4469 4 года назад
Tuwaombee watu wasio mwelewa Magufuri jamani wapate kumwelewa Kazi anazofanya
@shayopaterini8678
@shayopaterini8678 4 года назад
Namwelewa saana ila cpend ile ya kujifanya mungu mtu pia mtu akikukosea ktka maisha ndio unaonngeza juhud na co kuwachukia
@2pacshakur912
@2pacshakur912 4 года назад
Yani wabongo sijuwi mupoje hata mkali mani hamumuamin dah
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 Год назад
Umewaona eeh?
@florencekashaija7539
@florencekashaija7539 4 года назад
Wa kwanza kucomment na kulike hivi wanaofanya hayo walinyonya titi la mama,?
@Fursa3000
@Fursa3000 4 года назад
K😂😂😂😂
@nuratyj6815
@nuratyj6815 4 года назад
Kulikoni
@tanzaniakwanza1699
@tanzaniakwanza1699 4 года назад
Asante Ayo
@rajabomary5280
@rajabomary5280 4 года назад
Nimemuelewa sana huyu mchina "My shoe shall soon shine" ukitaka kujua maana yake njoo inbobo
@shwalyshwaly2213
@shwalyshwaly2213 4 года назад
Mh wemkalimani utupigi fixsi kwe maana iyo lugha simchezo
@reubenbusanji2904
@reubenbusanji2904 4 года назад
Utawala w JPM tutasikia na kuona mengi
@abdkhalidi6625
@abdkhalidi6625 4 года назад
Daaaahhhh nooooooma kazi mzr mhshmw rais
@bjzee1981
@bjzee1981 4 года назад
Eti kichina chetu sio kizuri. Hata neno moja unalijua kweli😁 Ila hii kazi mnge mpa juma sharobaro
@idrisachalahani9311
@idrisachalahani9311 4 года назад
Km ushapanda MV MAGOGONI gonga like twende sawa na speed yake
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 4 года назад
Hivi vitu vimefanyika hata Huko nyuma sio vitu vigeni sema tulikuwa sio wa wa Media sana siku hizi Kila kitu ni Media lazima muone kama kitu Kipyaa..
@saumsaid5717
@saumsaid5717 4 года назад
Acha unafki we kaa mbali huko wewe kuku ukila ukimaliza unapangusa midomo chini
@omaniallybakari2372
@omaniallybakari2372 4 года назад
Yan kwel tunahaja yakuitusha uchaguz jaman wanini rais wetu aongoze hadi aseme bas
@atikombogolo2356
@atikombogolo2356 4 года назад
Milard ungemleta yule.mkalima wa Mchina uso wa Mbuvu kivule aje atafsiro haoa😄😄😄😄
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Год назад
Mchanga ubakie usisafirishwe mana mchina atoki patupu
@qualiamaxwell6305
@qualiamaxwell6305 4 года назад
chali ya R inatafsiri ma luga ma nn ni mafursa arifu 😂😂😂😂
@bausiwessaomar983
@bausiwessaomar983 4 года назад
Mchanga ubaki usisafirishwe
@naimasaid7763
@naimasaid7763 4 года назад
Duh, nimeangalia lkn bado najiuliza cjui wanachimbaje
@deusmichael2290
@deusmichael2290 4 года назад
Movie ya kichina hiyo iliyotafsiriwa kwa kiswahili..😁😁
@issayasosolo6033
@issayasosolo6033 2 года назад
Wapiga diri kipindi Cha Magu walinuna mpaka wkafanya miundo mbinu Yao,
@michaelsiweya6500
@michaelsiweya6500 4 года назад
Yi ho.. Shenjinye kushyi wo yenteshihu koshe kuye yinchenjen.... Mkalimali tafadhali...
@sadickjuma7264
@sadickjuma7264 4 года назад
Du nimemkumbua sana mzee majuto lala salama baba maana ungekuwapo unge mfunika jamaa anae tafsiri
@franciscogosbert9603
@franciscogosbert9603 4 года назад
Mnakuwepo na nyinyi wanapomwaga hayo matope? Wasije wakawa wananyonya Madini humo 😄,wajanja wajanja hao
@hatwabiswalehe262
@hatwabiswalehe262 4 года назад
🤣🤣🤣
@augustinosafari4935
@augustinosafari4935 4 года назад
nani kaona kwamba wanatumia windows xp ya kizamani kama mimi!! aisee waje wanilipe niwaekee windows 10 ya kisasa ili waongeze ufanisi kwenye software zao
@emmanuelnyove8292
@emmanuelnyove8292 4 года назад
Nasikia kunduchichiii cha kundichaaaa mkuundugu yangucheiiii
@cosmasdaud9088
@cosmasdaud9088 4 года назад
Magu wewe nomaaa haya Mimi sijawai kuyaona
@hayfaswaleh8048
@hayfaswaleh8048 Год назад
Hawo walaqay wanachukuwa nawe za denymo mawe zabaki kwenye meli na udhongo wana mwaga
@theresiangunda2298
@theresiangunda2298 4 года назад
Duuu ni JPM hiyo au
@anthonymchilika3224
@anthonymchilika3224 4 года назад
Atleast anachosema Magu anakifanya tunaona hela zinapo enda hata kama hali ni ngumu .......hatusikii tena bilioni moja za mboga na vijisenti....wizi unausikia kwa mbali......tena mdogo mdogo
@ismailshamte4429
@ismailshamte4429 2 года назад
Munaharibu pesa bute tu, bandar zenye kina cha asili zipo
@nyandajr
@nyandajr 2 года назад
Hiyo video siyo ya leo pia bandari lazima maboresho
@ismailshamte4429
@ismailshamte4429 2 года назад
@@nyandajr najua
@thebios2553
@thebios2553 4 года назад
Iyo meli inaonyesha tofauti kubwa ya uwezo wakufikili wa mtu mweusi na mweupe cha muhimu uhai😂😂
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 года назад
Chimbine basi tule matunda bado mapema tuanze kulä hela ya mafuta ya inchi yetu ya tz
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 3 года назад
Ah jamani wakalimani Mbona mmesahau kusema ‘ Alisema pia wanafanya kazi masaa 24 na wakati mwingine wanashindia KASHATA na KAHAWA Lkn wao hawajali wanapiga kazi tu MWANZO MWENGA ili kukamilisha mradi Kwa haraka ili Watanzania tufaidike..!...Muwe mnamalizia sentence ‘ maana nimemsikia hapo mchina kasema...!
@ototek8037
@ototek8037 4 года назад
Wabongo tujifunze kitu, hao maopareta wamesoma na wanapiga kaz kubwa lakini hawajui kingeleza. Hawana mawazo finyu wala hawashangai wala kumdhalau mwenzake ambaye anaongea au kuandika kingeleza kibovu.
@madamcolethaa641
@madamcolethaa641 4 года назад
Umeona
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 4 года назад
Tumerithishwa utumwa kila kitu chetu hakina thamani ili tuone wanastahili kututawala kwa kuwa hatustahili sisi wenyewe,lugha yetu ya kijinga mfumo wa asili wa maisha yetu wa kijinga ili tujidharau wenyewe ili tuwanyenyekee
@barakamarando5221
@barakamarando5221 4 года назад
Jifunze na wewe kuandika vizuri r ,na l ni kiingereza siyo kiingeleza alafu unajita mswahili
@ototek8037
@ototek8037 4 года назад
@@barakamarando5221 siijui lugha hiyo..kumbe ni kingereza sio kingeleza? Basi na wewe usione ufahari kushobokea ujinga, naijuwa lugha yangu inaitwa kiswahili.
@thebios2553
@thebios2553 4 года назад
Kama ww ni engineer uliyesoma nakumaliza hela za serikali za mkopo ila hiyo meli ndio leo umeiona usilie gonga like one day yes
@shanizyusuf8210
@shanizyusuf8210 4 года назад
Jmn kichina raha 😃😃😃
@loveofficial74
@loveofficial74 4 года назад
Mbona hawaendi kumwaga mitope yao mbali wanamwaga kwenye boya namba moja milango ya kuingilia meli na njia ndo hiyohiyo ya kuingilia meli. Bora hata wangetoka nje zaidi yaan
@tanzaniakwanza1699
@tanzaniakwanza1699 4 года назад
Ayo, umefanya vizuri kutuletea makara haya. Bandari wamezubaa
@allymadunda7931
@allymadunda7931 4 года назад
Nisawa
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 7 месяцев назад
.
@jonathantz8540
@jonathantz8540 4 года назад
Kwa masimulizi ya sauti tembelea RU-vid channel yangu kama stori sauti Tanzania usisahau kusubscribe ahsante
@ImpressiveFacts
@ImpressiveFacts 4 года назад
Naomba tupeane support kwa kupeana sub mdau
@harunimfaume6280
@harunimfaume6280 4 года назад
Duuuu wachina hawa watu ni balaa kwakweli
@augustinepaul8739
@augustinepaul8739 4 года назад
Nimesikia neno Wali wana hotpot hapo
@abemapaul8547
@abemapaul8547 4 года назад
😁😁😁😁😁😁😁😁
@solomonimkwere498
@solomonimkwere498 4 года назад
kusudi ya kuongeza kina iliiweje mungu alikosea
@amiriabubakari8391
@amiriabubakari8391 4 года назад
Mwenyezi mungu baada ya kutuumba akatuamuru tukasome je tukiumwa tusitumie dawa?soma vtabu ndugu acha kuuliza maswali ambayo vitabu vimeelekeza,jenga nyumba yako usichimbe msingi au kuongeza ktu fulani
@misschagga8042
@misschagga8042 4 года назад
Video fupi milard tuwekee ndefu tuone vitu vingi na nje huko kwa taratibuuu
@danielmoses2244
@danielmoses2244 4 года назад
*KONGOLE KWA JPM TUNASONGA MBELE ... KANUNI NI MOJA TU: NO RETREAT NO SURRENDER*
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 4 года назад
Xi zhang jiu myula ninho ninho
@dreamhighmotivation121
@dreamhighmotivation121 4 года назад
INGIA HAPO JUU BOFYA JINA ''MAUNO FENI TV'' UPATE BURUNDANI YA MIUNO YA KISWAZI NA WEASWAZI NI HATARI SANA USISAHAU KUSUBSCRIBE PLEASE ASANTE
@asiakheir6406
@asiakheir6406 4 года назад
Magu apongezwe kwa bara cyo zanzibar na kama hahusiki zanzibar kwanini anakwenda kuomba kura?
@nightwishisthegreatestband6355
@nightwishisthegreatestband6355 4 года назад
Nyie si mna kiongozi?
@viniaskadunda5768
@viniaskadunda5768 4 года назад
Wenzetu awapumziki ila wabongo utakuta mtu kazi yake ofisini tu utaona baada ya masaa matatu anasinzia
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 4 года назад
Mashariti ya ajabu ajabu wameyatoa
@ImpressiveFacts
@ImpressiveFacts 4 года назад
Pamoja sana millardayo. Kwa wale wenye channel changa kama mimi naomba tupeane support kwa kusub channel. Gonga sub kisha niandikie "Done" nami nita sub channel yako
@frankchristian6979
@frankchristian6979 4 года назад
Hatari sanaaa ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-ZBJ4DQTfViA.html
@khadijaomar8427
@khadijaomar8427 4 года назад
Tz pia mwachimba bahari nilijua ni kenya peke yake 🤣🤣🤣
@rasterwangu9708
@rasterwangu9708 4 года назад
Ni kitambo saana
@khadijaomar8427
@khadijaomar8427 4 года назад
@@rasterwangu9708 oook
@khadijaomar8427
@khadijaomar8427 4 года назад
@@mohamedslh5478 kunani tena
@davidnicholaus5304
@davidnicholaus5304 4 года назад
Sio dredging ni drealing
@danielmoses2244
@danielmoses2244 4 года назад
*NO, ABSOLUTELY NOT* SI *DREALING* BALI *DREDGING* KAMA ILIVYOTAMKWA ... MZUNGUMZAJI YUKO SAHIHI KABISA
@ezronmagai8623
@ezronmagai8623 4 года назад
Watanzania wenzangu magufuli atawale milele yote
@reubenbusanji2904
@reubenbusanji2904 4 года назад
Magufuli asitawale milele bali fikra zake ndo zitawale milele
@frankmwampamba166
@frankmwampamba166 4 года назад
Uyu anatafsir au anaongea anachokiona
Далее
How the UN is Holding Back the Sahara Desert
11:57
Просмотров 14 млн
Vibes in Ney York🗽❤️! #shorts
00:26
Просмотров 6 млн
Vibes in Ney York🗽❤️! #shorts
00:26
Просмотров 6 млн