Ww Allah akupe elimu yenye faida wallah nakuonea San huruma,,, njoo nibox nikupe majb alojbiwa na masalafy na audio zaid ya 10 ambazo zinamajb mazuri yakukinaisha nafsi yakoo,,, hzo fatwa za huthaimin amezisoma vipandee
Mie Bado cjaona hoja kwa nyamgunda watu wanauliza nakuhoji juu yakitabu Cha muasisi wakundi ambaye no muhmmadi ilyaasa ambaye aifungamamnisha hiyo kazi nautaratbu wakisufi atete kuhusu like kitabu hayo maneno yauthaymin kaongea kwahali yakuonyesha kuwa hajajua undani juu yahicho kitabu chausufi
Ww Allah akupe elimu yenye faida wallah nakuonea San huruma,,, njoo nibox nikupe majb alojbiwa na masalafy na audio zaid ya 10 ambazo zinamajb mazuri yakukinaisha nafsi yakoo,,, hzo fatwa za huthaimin amezisoma vipandee
Atayetakiwa kuulizwa dalili ni wewe kwasababu huo utartbu hakuwepo kipindi cha mtume na nyie mnadai ni utartubu mzuri na mnajikurubsha nao kwa Allaah...Msingi ni hivi “Anayetakiwa kuleta dalili (ubainifu) ni yule anaye dai na anayekataa yeye analazmika kutoa kiapo tu”
Maskini Ahal bidaa ...Allaah anawanyima fahamu hata akizungumza ukimsikiliza tu vizuri una baini..uongo uliopitiliza vipi wakati vimesomwa vitabu vyenu?
Yaan swala la msingi ni kuwa je huyo ibn uthaymin mnakubali kama ndio mnamkubali kwa misingi ipi jee kwa msingi hiyo hiyo mnayomkubali nayo wako masheykh wengi mfno wake?
Nyinyi pingeni ila jamaat tabligh ni katika mapote ambayo yanaingia katika makundi sabiina na tatu litafuteni kundi ambalo ni swahihi lakin tabligh halimo kwenye kundi lilo okaka
Nyinyi sisawa na walokole mnajifanya mmeokoka amna u salafy wowote nyinyi ndo katika makundi 73 kwa kujitakasa kama kweli mpo katika usalafy njoeni tufanya mnakasha kama mtatoka wewe na wenzio ni waongo abuu mussa kiza alishindwa mnakasha temeke abc hoja ana kaambiwa uliza swali hana kaja na vitabu vingi watu wamevihifadh atukusumbuka kubeba mizigo mingi
Alafu kijana hauna elimu njoo nikusomeshe ili ujue usahihi wa dini yako akuna salafy wa aina iyo tabligh itaendelea kufanya kazi salafy wa mchongo acheni uwongo njoo tujadiliane kama mnahoja
Unamwambia mtu mjinga kwa jambo ambalo si hoja? Wewe ndio mjinga ama Sisi wengi tulifundishwa hivyo Alif bee tee...baadae ndio unajua Alif baa taa thaa etc...zungumzia why masalafi wanakataa kutoka siku tatu n.k??
@@tareqhilal6750 hivyo ndo mawahabi walivyo.anaweza kujenga hoja juu ya kitu ambacho hakina uzito.eti mtu anauliza alif,bee tee nikiarabu gani.Hiyo siyo hoja sheikh anayo ijibu