Mbona mimi mtumishi wa Mungu nimeokoka ni mwaka sasa ,naabudu kanisa la kipentecoste, lakini unajitahidi kumtolea Mungu SADAKA, anasinama mtumishi madhabahuni wakati wa KUOMBA anaanza kusema wengine wanajidai kutoa sadaka, fedha nyingi kuwarubuni watumishi wa Mungu, maneno hayo huwa yananiumiza sana, unashindwa kumuelewa huyu mtu ana maana gani?
Amen sasa mimi ninapo pata hela napenda nitoe moja, ya kumi ndani ya moyo wangu kunakuwa vita kali nashindwa kutoa sadaka ya moja ya kumi, Mungu aniwezeshe kabisa.
Nilikuwa naangalia Matendo Makuu aliyowatendea Mungu wakati wa kwenda na kurudi Congo, sasa wakati nataka kurudia niangalie tena nikiwa nimetulia nakuta siioni tena, nimeenda kwenye History nimekuta HAIPO. Nikajua pengine mmeiondoa...!