Waislamu siku hizi mihadhara yenu mnaweka hadi wachungaji si wachungaji mashekhe si mashekhe ila mi nahisi huyu yuko kwa ajili ya pesa tu hajasilimu bali amesalimu na hapo alipo anawasalimia tu ila atarudi alikotoka😂😂😂😂
@@apostlesammymutachicfc.3744. Ttzo lako hujui nn uisilam. Mana huko kutumia majini/ushirikina hakuna tofauti na ww kafiri unaetumia Kristo. Na nyote makaazi yenu ni mamoja motoni mana nyote ni washirikina.
@@apostlesammymutachicfc.3744. Ttzo hujui nn maana ya uisilam. Mana ww unaetumia jina la kristo na mwenye kutumia majini/ushirikina nyote ni washirikina na makaazi yenu ni mamoja motoni.
@@Fear_Allah394 Mimi nisijue uislamu? Ni kwavile humjuibunaejadiliana nae. Ila pia kwa taarifa Yako, uislamu na majini kitu Moja, kamuskize huyo Sule utaelewa.
Yaani wewe umeacha ukristo na kujiunga na waabudu majini hakika umekwisha umemuacha YESU naye kwake matizo yote yanaisha ,alafu kweli wewe una mtumikia shetani hivyo mpaka unachana koo lako sauti limekufa kwa kelele ,yaani hapo u afanya uganga na uchawi wala hakuna mambo ya dini hapo,halafu mbona unaiga iga unakuwa kama unahubiri kama wakristo wanavyofanya hapo wenzako wanakupigia taimingi simda mrefu watakutoa nduki hapo
Dini imegeuka kwa mganga wa kienyeji kweli wajinga ndio waliwao mimi sikujua kama uisilamu na uganga ,na madawa yakichawi vinaendana kwahiyo uislamu kwa picha hii tunayo iona nisawa kabisa na uganga wa kienyeji ndugu zangu ukimbieni usilamu ,kama mnavyo ona sio imani bali ni uganga wa kienyeji kwahiyo hii siyo imani ya kweli maana inajihuzisha na vitu vya iswahili swahili vya kigiza giza
Waisilam hawaabudu majini bali makafiri km ww ndio mnaoabudu majini si mnaona mnavyoenda makanisani uchi na mikuche ya kubandika pamoja na mikope na minywele??? Hamjioni km mnafanna na mashaitwani ya kijini mnayokwenda kuyaabudu na kuyafurahisha???
Dah mungu akuongoze ktk njia ilonyooka ndugi yang yani unaoneshw uongo unaofanyik makanisani bado tu unasem uganga kwaio na nyie kanisan kumbe mnafany uganga😂
Huyu jamaa eti alikua mkristo akasilimu kumbe kavamiwa na Majini yanamtaka akawe mganga na saizi badala ya kumtaka Mungu eti anatoa giza ndani ya giza wajinga hawataisha hii Dunia😂😂😂😂
His right,ww unaumia juu kasilim😅kanisani mnayatumia Tena yakutoka kuzimu,mnadondoshea watu,kanisani watu wanaanguka,mnasema eti,ni jina la yesu ndilo linaponya,mnasimamia kimvuli cha Yesu ,na siyo kweli,baadae tunasikia ushuhuda jinsi mnafanya ujanja kanisani,Afazali sisi waislam tunasema kweli,mafuta hayo,yanasomewa dua,unatumia tu kawaida kwa uwezo wa Allah unapona.hatundanganyi.
huyo ni mchungaji aliyesalimu uislamu siyo aliyesilimu ktk uislamu yupo kwa muda tu ila baadaye atarejea alikotoka ndiyo mana anaitwa mchungaji aliyesilimu hana tofauti na Mwamposa ambaye ni kipenzi cha waislamu wengi na kwanza biblia hairuhusu Watu kutumia mafuta kwa sababu ni kinyume na Maagizo ya mungu ila watu hutumia mafuta kujipatia pesa si mashekhe wala si wachungaji wa mchongo wote ni kundi moja