ISLAAH ISLAMIC TV ni Online TV inayojihusisha na mambo ya kidini pamoja na elimu mbali mbali ikiwemo elimu ya Afya ya watu na wanyama pamoja na Tiba mbali mbali. Karibuni ISLAAH ISLAMIC TV kwa kupata kilicho bora.Tunaomba usub-scribe kwenye channel yetu lakini pia utufate kwenye mitandao mingine ya kijamii. NB: MAUDHUI YOTE YANAHUSIANA NA DR.SULLE
Arafu anatokea mjinga furani anamchafua doctor sule eti mshilikina anaingiza makundi ya watu ktk dini ya Allah unazani atakosa Mungu kumkunjulia mambo yke nakupenda doctor sule kwaajili ya Allah ❤
Sheihk Sule wewe usijifananishe na nabii wa Allah Suleiman na pia hakutumia majini kuchumia Mali na Uislam haukubali kutumia majini kama msaada au kuchumia mali hiyo ni shirki labda uwafundishe washirikina na sii waislam pia waislam wanalindwa na malaika 4 mchana na usiku 4 sii majini!
Unaumia ukiwa wapi,au ulitaka wawe uchi kama makanisan kwenu???we haujui kuwa hapo ni kweny muhadhara wamesitiriwa na akina mama wenzao??au roho mbaya tu,😂ndacha uko wapi ona wenzak wanchofanya sio wewe ropo ropo.