Тёмный

ONDOA nguvu MBAYA Ndani ya Nyumba kwa GLASS MOJA tu yenye MAJI ya  

NGUVU ZA UNIVERSE
Подписаться 145 тыс.
Просмотров 81 тыс.
50% 1

#negativeenergy #chumviyamawe #nguvuzauniverse Nguvu mbaya au nguvu hasi ndani ya nyumba zinaweza kuondolewa kirahisi kwa kutumia glass yenye maji ya chumvi, limao, mshumaa na vinegar. Tazama video hii mpaka mwisho uweze kujua ni kwa namna gani unaweza kutumia vitu hivyo kuondoa nguvu mbaya ndani mwako.
Chumvi ya mawe
Mshumaa
Glass ya maji
This is original content created by the owner of this channel ‪@NGUVUZAUNIVERSE‬

Опубликовано:

 

27 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 179   
@janethshayo9063
@janethshayo9063 3 месяца назад
Ahsante Sana aunt kw mafundisho yako ya nguvu za universe,Mimi nimeona matokeo makubwaa kupitia maji na chumvi,barikiwa Sana kw jina la Yesu
@PatricKinyili-vy1kj
@PatricKinyili-vy1kj 4 месяца назад
Asante sana Mimi ni mgeni kwa wiki mbili sasa,nimeanza kushudia vizuri nguvu za universe zina uwezo kabisa,mungu akupe nguvu za kutuelimisha,asante
@mallemaOg
@mallemaOg 10 месяцев назад
Dada ahsante mnoooo kwa maajabu tu ninayoyaona kabla hata cjaanza kufanikiwa kwangu inatosha kusema ahsante dada nitafata hatua zote mpaka nifanikiwe na kwenye pesa
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 10 месяцев назад
Nakutakia mazuri zaidi 🤝 ❤️
@rehemamasanja8875
@rehemamasanja8875 7 месяцев назад
Asante sana dada kwa mafundisho mazuri. Niko tayari kuamini nguvu za universe, amen
@melkiadakadende444
@melkiadakadende444 3 месяца назад
Asante mama Mungu akubariki
@YohanaDominic-r1o
@YohanaDominic-r1o 7 месяцев назад
Asante dada tupe ya kushinda tunaobeti sasa
@marymushi5938
@marymushi5938 6 месяцев назад
Kbsa team 20 unakuta 2 zinachana au moja
@ShakilaAlly-c4d
@ShakilaAlly-c4d 11 месяцев назад
Ahsante kwa somo zuri
@HassanNyandwi-dk7tv
@HassanNyandwi-dk7tv 10 месяцев назад
Asante dada ninashukuru kupata mafunzo mazuri
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 10 месяцев назад
Karibu 🤝❤️
@HumphreyKarua
@HumphreyKarua 11 месяцев назад
Hi dada nina tatizo hilo nitatumia tiba hii asante sana h
@mashaurifoundation
@mashaurifoundation 4 месяца назад
Napokea Nguvu Mpya Kutoka Kwa Universe
@mathewrashid-i2n
@mathewrashid-i2n 28 дней назад
INAWEKWA VYUMBA VYUMBA VYOTE AU KIMOJA TU?
@Gracekato-i8l
@Gracekato-i8l 6 месяцев назад
Napokeamuujiza WA kuondoa nguvu mbaya ndani mwangu
@pascalbeda7415
@pascalbeda7415 11 месяцев назад
Ahsante kwa mambo mazuri
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 11 месяцев назад
Karibu 🤝❤️
@RamadhanishabaniMseswa-qy9xj
@RamadhanishabaniMseswa-qy9xj 11 месяцев назад
Dadá kwanza nikushukuru Kwa somo lako mungu Akupe zaidi ya unacho kitoa asante pili swali nifanyeje ili kudhibiti ninacho kipata kiweze tulia
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 11 месяцев назад
Karibu Sana,, hakikisha nyota yako ipo vzr kila kitu kitakaa sawa
@RamadhanishabaniMseswa-qy9xj
@RamadhanishabaniMseswa-qy9xj 11 месяцев назад
@@NGUVUZAUNIVERSE madam samahani ili kujua kama Nyota iko sawa nifanyeje pia nimetamani kujua zaidi ni vitu gani au Chakula gani tunapaswa kutumia ili kukaa sawa tusisumbuliwe na matokeo mabaya kwenye maombi
@VailethVedastus
@VailethVedastus 18 дней назад
Asante dada yakibaki maji meupe nayaoga
@ZubedaKilenza
@ZubedaKilenza 2 месяца назад
Yani nimeona.matokeo❤
@biheheamani6217
@biheheamani6217 5 месяцев назад
Napokeya muhujiza wakuondoa nguvu mbaya ndani mwangu
@DanteAhmad
@DanteAhmad 9 месяцев назад
Dada mm ndani kwng kuna ndege wamejenga viota vya nyas je ni ishara nzuri au niwatimue
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 8 месяцев назад
Ishara nzuri sana,usiwatoe
@salamabakari8384
@salamabakari8384 8 месяцев назад
Ahsante dada
@SebaBesson
@SebaBesson 16 дней назад
Asante saaana kweri kutuj7lisha ilo
@JosephMatagaro-v6t
@JosephMatagaro-v6t 10 месяцев назад
Nipo karibu kupokea muujiza
@Warda-o7e
@Warda-o7e 2 месяца назад
Yani apo umenisema mm kabisa
@annielike3848
@annielike3848 9 месяцев назад
Thanks so much
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 8 месяцев назад
You're welcome!
@ShabanTamla
@ShabanTamla 10 месяцев назад
Nimekubari nitafanya
@TawosiTawosi
@TawosiTawosi 2 месяца назад
Ahsante sana
@IbrahimKidaa
@IbrahimKidaa 10 месяцев назад
asante
@eliciamkama7315
@eliciamkama7315 8 месяцев назад
Asaante
@WemaeliWarema
@WemaeliWarema 3 месяца назад
Napokea nguvu moya kotoka kwa universe
@EVERLINEMoraa-zo2vi
@EVERLINEMoraa-zo2vi 8 дней назад
Nina watito wangu walikua waerefu but wamefika hawapiti vuzuri masimo yao nifanyeje dada
@MapendoMoshi-fs6km
@MapendoMoshi-fs6km 10 месяцев назад
Uko vzr dada
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 10 месяцев назад
🙏❤️❤️
@rtrw708
@rtrw708 11 месяцев назад
Assant saana dada yangu
@MagesaChacha-n4o
@MagesaChacha-n4o 3 месяца назад
Dada mimi ni muumini mzuri sana wa nguvu za ulimwengu na zimeniletea matokeo chanya kifedha,sasa nauliza kila nilalapo huwa huwa nastuka usiku wa manane kwa ajili ya kenda haja na wakati huo huo huangalia saa yangu katika simu kuna muda nakuta 2:02 au3:03 au4:04 na siku zote nikiona hivyo huwa silali tena hutafakali na kuanza kumwomba mungu mpaka alfajir je nimakosa?
@JohnKipalile-bq9ec
@JohnKipalile-bq9ec Месяц назад
Kuna Somo alilifundisha kuhusia na hiyo mida
@ntezimanalambert8233
@ntezimanalambert8233 6 месяцев назад
Dada naomba Unieleze Namna Ya Kutumia Olive Oil
@TinaAchieng-t4t
@TinaAchieng-t4t Месяц назад
Amin
@BarakajumaJumamadirisha
@BarakajumaJumamadirisha 11 месяцев назад
dada mambo
@Jammie626
@Jammie626 Месяц назад
Amina
@MussaSendama-l5l
@MussaSendama-l5l 6 месяцев назад
upo vizuri sana katika ushauri wako mama swari sasa iyo nguvu ya ulimwengu nimtandao gani au nikitugani samahani kama nitakuwa nimekukwaza naomba kunua
@RehemaMwita-jr2gt
@RehemaMwita-jr2gt 9 дней назад
Nipmepokea
@HamduMaulid
@HamduMaulid 11 месяцев назад
Nitumie ujumbe wa Kinga yenye2e
@dalilahothman-z3x
@dalilahothman-z3x 5 месяцев назад
Chumvi hii haitakiei kukaa wazi kwani inavuta vituhasi sasa maduka i utakuta iko wazi .Je tunapoinunua ktk hali hiyo inakuwaje? Itafaa?
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 5 месяцев назад
Ibariki kabla ya kuitumia
@marianamichael5406
@marianamichael5406 8 месяцев назад
Ma ukitaka kuogea chumvi na hiyo mdarasin pamoja na karafuu unaweza kuogea hata choon au bafuni
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 8 месяцев назад
Bafuni
@marianamichael5406
@marianamichael5406 8 месяцев назад
@@NGUVUZAUNIVERSE sasa la guns Bafi unaogea choon utafanya je kwenye nyumba za kupanga
@nazarypound
@nazarypound 11 месяцев назад
Au ni lazima utumie njia ya kwanza ya glass
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 11 месяцев назад
Chagua mojawapo fanya
@EtaparElizabeth
@EtaparElizabeth 2 месяца назад
Asante dada number yako
@MilliaPaschal
@MilliaPaschal 11 месяцев назад
Naomba urudie pale kwenye mdalasini
@antonlwila8143
@antonlwila8143 11 месяцев назад
Mimi napenda kujua inapatikana wapi nionane na wewe live.
@Jeopar_dize
@Jeopar_dize 3 месяца назад
Je, baada ya kufanya Hilo zoezi hazita nizuru yaani kuleta madhara
@anniajames6678
@anniajames6678 3 месяца назад
Napokea muujiza wa kuondoa nguvu mbaya ndani mwangu
@SecretariatZanzibar
@SecretariatZanzibar 10 месяцев назад
Haya maji ya chumvi, limau na mshumaq unaweka siku moja au siku tofauti?
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 10 месяцев назад
Sikiliza video,, utapata jibu la swali lako
@monicamonica1511
@monicamonica1511 7 месяцев назад
Pia nyumbani kwangu kwenye veranda wamejenga mmbu wengi juu ukutani. Nimeshindwa kuwafukuza kwani ni wakali kweli.Nazo hizo ni isshara gani.
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 7 месяцев назад
Zipo dawa nyingi sana za kuua mbu
@JunesAtilio-sr9fl
@JunesAtilio-sr9fl 7 месяцев назад
Asante sana dada
@AnithaRiwa
@AnithaRiwa 11 месяцев назад
Nitumie number yako Kama hauna hela kabisa utaweza
@MuliSammy-rd3fs
@MuliSammy-rd3fs 4 месяца назад
Unaweza funikia ukiweka maji na chubi
@Juster-d4g
@Juster-d4g 7 месяцев назад
Nikotayali kujiunga nanguvu za yunivas
@DoreenMichael-t2p
@DoreenMichael-t2p 23 дня назад
Kuoga hiyo ni maji ya aina gani yaani ya moto au ya baridi?
@mallemaOg
@mallemaOg 10 месяцев назад
Ila dada nilichogunduwa kama mtu atakufatilia na kukuelewa vizuri na kufuata kila hatua hakutakua na haja ya kuomba namba wala kulalamika lalamika hovyo
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 10 месяцев назад
Nashukuru sana kwa kulijua Hilo 🤝❤️
@fredrickkitende8439
@fredrickkitende8439 6 месяцев назад
Limao na chumvi ya kwenye maji unaweza tumia vyote kwa pamoja
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 5 месяцев назад
Chagua mbinu mojawapo
@HafiidhBaraba
@HafiidhBaraba 11 месяцев назад
Kama unaixhi kwenye nyumba za udongo
@nazarypound
@nazarypound 11 месяцев назад
Huo mshumaa unaweza kuuwasha usiku
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 11 месяцев назад
Muda wowote
@jamesmagwiza8388
@jamesmagwiza8388 5 месяцев назад
Mimi choo limeungana na bafu nafanyaje niweze kuoga bafuni?
@MaryOmbay-nx4ci
@MaryOmbay-nx4ci 2 месяца назад
Mi pia choo kimeungana na bafu nimehamia bafu la nje ili niwe nimefuata mashariti hadi hapo ntakapjenga bafu zuri lililojitenga na choo😅
@felisterjoshuamollel3930
@felisterjoshuamollel3930 9 месяцев назад
Dada mimi nlieka maji ya chumv kwa cku saba lkn hayajachafuka
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 9 месяцев назад
Hakuna nguvu hasi
@AnithaRiwa
@AnithaRiwa 11 месяцев назад
Na Kama unaishi n watuu
@munheart1561
@munheart1561 8 месяцев назад
Mimi
@GodyShao-qi7wm
@GodyShao-qi7wm 11 месяцев назад
Icho kinywagi ni kip
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 11 месяцев назад
Nenda madukani au supermarket ulizia utakipata
@AnnaMgala-n6g
@AnnaMgala-n6g 11 месяцев назад
Mbona uaneshagi sura Yako Jaman
@monicamonica1511
@monicamonica1511 7 месяцев назад
Kama je nikiweka sebule i??
@DoreenMichael-t2p
@DoreenMichael-t2p 23 дня назад
Pia unaoga kwa muda gani?
@kalulumango-ql5sg
@kalulumango-ql5sg 10 месяцев назад
Jambo dada na weza Pata namba ya kwako ya upeke ?nataka maogezi
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 10 месяцев назад
Njoo inbox Facebook
@hadijachedy7725
@hadijachedy7725 11 месяцев назад
Mamy nimeweka maji nachumvi kwenye glas baada yamuda glass ikavunjika itakuwa ni nn mpk ivunjike
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 11 месяцев назад
Imevunjika yenyewe au ww umeivunja
@hadijachedy7725
@hadijachedy7725 11 месяцев назад
Hapani sijaivunja bali imevunjika niliweka sehemu pembeni yakitanda muda huo nilikuwa ndio namalizia kifanya maombi ya mshumaa nakaratasi ikadondoka kutoka hapo juu yakitanda mpk chini nakupasuka vipande
@hadijachedy7725
@hadijachedy7725 11 месяцев назад
Km nishida nijulishe mamy
@ClyementinarNgumbao
@ClyementinarNgumbao Месяц назад
Nikipata number Yako itakuwa mbora.
@febroniamtenga
@febroniamtenga 7 месяцев назад
NYUMBANI yangu in a vyumba vitatu nasebule kubwa nitawezaje kuweka hayo maji na glas.au niweke sebuleni.
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 7 месяцев назад
Kila chumba weka glass
@JOHNSANGA-jw2bq
@JOHNSANGA-jw2bq 10 месяцев назад
Unapo washa mshumaa taa inatkiwa kuzma au
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 10 месяцев назад
Ndiyo, uwake mshumaa tu
@RajabuLuben
@RajabuLuben 4 месяца назад
Nilipo oga 2mwili nikaona mwepes
@JohnMngongo-ol6hk
@JohnMngongo-ol6hk 2 месяца назад
mtoto Hana akili shuleni je unanisaidi
@LevinaRichard-nz3yn
@LevinaRichard-nz3yn 11 месяцев назад
Iyo limao unaweka siku ngap?
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 11 месяцев назад
Masaa 24
@sqwembemweenekafree7228
@sqwembemweenekafree7228 11 месяцев назад
Alf xa chunvi icho naeza kipata wp dada?!!!
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 11 месяцев назад
Sokoni inapatikana kwa Wingi
@sqwembemweenekafree7228
@sqwembemweenekafree7228 11 месяцев назад
Safi but me Niko Kenya kuipata Kuna ungumu tu sana
@saumbliz8983
@saumbliz8983 11 месяцев назад
Nenda majengo kingo'orani sokoni ziko tele
@EmmanuelLutomia-se8ow
@EmmanuelLutomia-se8ow 6 месяцев назад
Magadi ndio chumvi ya mawe
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 6 месяцев назад
Hapana,ni vitu viwili tofauti
@RehemaTogwa
@RehemaTogwa Месяц назад
Sio
@ImeriaNakayima
@ImeriaNakayima 10 месяцев назад
Nahomba.usahidizi.nina.imani Kabisa.nguvu.za.ulimwengu.zinisahidie.mimi.ally.mohamedi
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 10 месяцев назад
Utapokea muujiza wako 🤝
@tabithamashauri4281
@tabithamashauri4281 9 месяцев назад
Naomba usaidizi Nina Imani kabisa Nguvu za ulimwengu zitanisaidia
@mohamedkanyanya7075
@mohamedkanyanya7075 11 месяцев назад
Kama nadai silipwi nafanyaje?
@rehemamsuya2263
@rehemamsuya2263 10 месяцев назад
Ukipata jibu nisaidie mana namie km ww
@allymjaka7255
@allymjaka7255 11 месяцев назад
Dada habar nikuombe number yako
@otiendeogola9594
@otiendeogola9594 6 месяцев назад
Kama kuna vyumba 5 inakuwaje
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 6 месяцев назад
Kote unaweka
@MasanjaIgobeko
@MasanjaIgobeko 11 месяцев назад
Mimi naishi kwenye chumba ambacho ni self, hii spell naweza kufanya?
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 11 месяцев назад
Ndiyo
@SmilingBirchForest-vt7kn
@SmilingBirchForest-vt7kn 6 месяцев назад
@ClaudeMulezi
@ClaudeMulezi 6 месяцев назад
Hii cunvi ya baharini mimi nitayipata namna gani?
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 6 месяцев назад
Sokoni imejaa tele
@MahutaAyeba
@MahutaAyeba День назад
Jambo je!ku flash Ndio uni?
@DoreenMichael-t2p
@DoreenMichael-t2p 23 дня назад
Pia unaoga kwa muda gani?
@dingadinga6674
@dingadinga6674 11 месяцев назад
Hvi vitu mdarasin na chunvi haukosi pesa
@marianamichael5406
@marianamichael5406 8 месяцев назад
Samahan hiyo karafuu na mdalasini sio lazima iwe ya unga hata magome yanafaa
@Esendi564
@Esendi564 11 месяцев назад
Sasa huku warabu ukipata na hizi vitu wanasema ni uchawi utaenda jela buree
@SaintNjuguna
@SaintNjuguna 8 месяцев назад
Hao ndio wenye negative Energy, ukifanya hizi vitu unafyonza nguvu zenye zinawasaidia
@RizikiTesha
@RizikiTesha 9 месяцев назад
Sawa dada ngoja nijaribu
@GeorgetteNzeyimana
@GeorgetteNzeyimana 11 месяцев назад
Nimekosa mteja wakuuza nyumba wakitizama wanapenda hata pesa tunakubaliana ila wakiondo tu awarudi tena nifanyeje ???
@JesusIradukunda-vu5fg
@JesusIradukunda-vu5fg 10 месяцев назад
Asante sana.namimi nintahakikisha nintahakikisha namjua mbaya wangu,maishs yangu yanabadilika.kwanguvu za univas
@maasnyinyigwa9330
@maasnyinyigwa9330 11 месяцев назад
Ninaweza ogea chumv na mdarasi pamoja kwaajili ya pesa
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 11 месяцев назад
Ndiyo
@RufinaMbunda
@RufinaMbunda 11 месяцев назад
Asante kwa maelezo yakoje naweza kuweka limao nagrasi ya maji kwa siku moja
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 11 месяцев назад
Hapana, fanya mbinu moja kwa wakati mmoja
@NdayisengaRamadhani-hs3yw
@NdayisengaRamadhani-hs3yw 10 месяцев назад
Naitwa rama swali nihili sasa nangumvu mboya ziko muwilini zenyewe zinaondoka kupiya hiyi tiba ya chumvi ao limao
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 10 месяцев назад
Kusafisha nyota yako
@nurdinibrahimu7312
@nurdinibrahimu7312 10 месяцев назад
He ukimwaga maji unamwaga pamoja na hiyo chumvi au
@jacklinemutayoba2132
@jacklinemutayoba2132 8 месяцев назад
Asante sana
@marianamichael5406
@marianamichael5406 8 месяцев назад
Na unaoga wakati gan au mda wowote tu
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 8 месяцев назад
Muda wowote
@MeshachMbithi
@MeshachMbithi 12 дней назад
Alafu muda wa kuoga ni siku ngapi
@SaidRashidi-q9e
@SaidRashidi-q9e 10 месяцев назад
utupemae lekezo ya kuondosha nguvumbaya ndani namwilini
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 10 месяцев назад
Tazama video yangu mpya nimetoa Jana tu
@InostmagoyoMagoyo
@InostmagoyoMagoyo 7 месяцев назад
Nimelima shamba la mpunga lilikuwa vizuri lakin nahsi limeharbiw kichaw mpunga unaharbika tu nifanyaje
@PaulineMputhia
@PaulineMputhia Месяц назад
Akikuja Na kusimama Kwa ukuta tu afanyi kitu chochote inamaisha aje?
@AllyLuambano
@AllyLuambano 11 месяцев назад
Hiyo venegi inapatikana dukani au wapi
@NGUVUZAUNIVERSE
@NGUVUZAUNIVERSE 11 месяцев назад
Ndiyo dukani
Далее
Китайка и Максим Крипер😂😆
00:21