Тёмный
No video :(

''USINIPIGE MKWARA - USICHUKUE FOMU ya UCHAGUZI - HUFAI KUWA MWENYEKITI'' - MAKONDA AMCHANA MAKAVU.. 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 101 тыс.
50% 1

''USINIPIGE MKWARA - USICHUKUE FOMU ya UCHAGUZI - HUFAI KUWA MWENYEKITI'' - MAKONDA AMCHANA MAKAVU..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

3 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 119   
@globaltv_online
@globaltv_online 2 месяца назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@AndersonShayo-kp9gj
@AndersonShayo-kp9gj 2 месяца назад
Ddrrrd❤😅😮😢
@gervaskihwele
@gervaskihwele 2 месяца назад
Huyu makonda mungu akupe maisha marefu
@user-kp2jf5jc2i
@user-kp2jf5jc2i 2 месяца назад
Bila mbwembwe, hiyo ndiyo hali halisi ya nchi, na Makonda umewekwa na Mungu ufunue uozo uliopo, inatisha!
@kmassawe-en6yu
@kmassawe-en6yu 2 месяца назад
Nakufatilia Sana mkuu! Kweli unapiga kazi. Yaani katika wakuu wa mikoa wewe kiboko. Umetolewa uongozi wa uenezi wakafikiri utapoa kumbe ndiyo kwaanza unachapa kazi. Watatulia To!
@KelvinElisa-gc1ko
@KelvinElisa-gc1ko 2 месяца назад
Vzr
@user-bn6rw3io2e
@user-bn6rw3io2e 2 месяца назад
Mkuu Mimi Huwa cna kawaida ya kusifia viongozi ila Kwa kazi hiyo nakupongeza sana keep it up
@ElinikeSoi
@ElinikeSoi 2 месяца назад
Tumuombe dua❤
@jamalkishangu
@jamalkishangu 2 месяца назад
Mfumo huu wa kuwasikiliza wananchi ulioasisiwa na Magufuri ni mzuri
@ramadhaniakila4918
@ramadhaniakila4918 12 дней назад
Duuu hii kali maswali makali nakonda angekua mwalimu ningemwelewa sana ktk sheria
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 2 месяца назад
Si mchague CHADEMA tu, muepuke hayo makero endelevu!!
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 2 месяца назад
Kwani chadema wao ni malaika? Chadema na CCM tofauti yao ni moja tu, mmoja yuko madarakani mwingine yuko nje ya madaraka. Kwa tabia ni walewale tu. Issue maadili ya watanzania kuporomoka ndiyo tatizo kubwa.
@eliadastan6021
@eliadastan6021 2 месяца назад
😂😂..chama ambacho hakijiwezi hicho ndo mtakuja kutuibia kbsa nyie
@zamdageuka9153
@zamdageuka9153 2 месяца назад
Hao wanaogombana kwa kuchezeana rafu kwenye uchaguzi wa KANDA ya NYASA au CHADEMA ipi??
@denisyohana8104
@denisyohana8104 2 месяца назад
huko napo ni kubovu tu,hoja si chama hoja ni watu
@faustinaurio3703
@faustinaurio3703 2 месяца назад
Uongozi siyo chama uongozi ni utu na kujituma kutumikia wananchi na siyo vingine,makonda chukua maua yako 💐🎉 good leader
@naomelizabeth4325
@naomelizabeth4325 2 месяца назад
We are praying God to raise someone like u in Kenya.. men like u are a gift in our generation
@barryrioba3934
@barryrioba3934 2 месяца назад
Thank you... Someone from Kenya, a neighbor and friend county.
@rosesilio9008
@rosesilio9008 2 месяца назад
Nimeamini hawa viongozi wakichaguliwa wa nakuja kudhurumu tu watu kula ela tu na si yo kazi yani hayafanyi chochote kuhusu vijiji wanavyopewa hawajui matatizo ya wana nchi wao yani yenyewe ni kudhulumu tu na kula ela za kijiji basi kazi hayafanyi na ayaelewi chochote
@ludovicaraphael1371
@ludovicaraphael1371 28 дней назад
Yani tungekua naviongozi kama huyu kamanda wa Yesu,hakika tanzania ingeonekana kama marekani.tatizo jamani hawa viongozi wa ngazi za chini ndio wanaitukanisha C C M.MAKONDA WANYOOSHE BABA,HUNA BAYA.
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 2 месяца назад
APO SIO KUPIGWA PINI APO SUPANA ZIENDELEHE PEMBE ZOTE ARUSHA 😂😂😂
@user-ey1fq6hd9l
@user-ey1fq6hd9l 2 месяца назад
Matokeo ya kubaka uchanguzi unapata viongozi ambao Hawa heshimu Wananchi
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 месяца назад
Kila kiongozi mwizi ccm😢
@YasminaMkali
@YasminaMkali 2 месяца назад
Makonda kpnz cha wanyonge, fukuza kazi hawa mashetani! Hawafai kutumikia Uma kabisa.
@ShabaniOmary-hd1dq
@ShabaniOmary-hd1dq 2 месяца назад
Mungu akulinde
@NeemaElisha-t5d
@NeemaElisha-t5d Месяц назад
Tunakuombeaaa maishaaa marefuuu makondaaa
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq 2 месяца назад
Du makonda kazi unayo kama tunaendeshwa na uozo huu wananchi wataendelea kuteseka serikali ingeunda tume ambayo ingehusisha viongozi wa dini zote ilikujua hujuma zinaendelea kwenye halmashauri zetu na vijiji na kata sunaona ww unahofu ya mungu ndo mana mambo yanaenda sawa
@user-yb6ut9in5c
@user-yb6ut9in5c 2 месяца назад
Nikweli ila mama amuhamishe mkoa kwa mkoa azunguke Tanzania nzima yani kilaeneo ni vilio tu
@ElinikeSoi
@ElinikeSoi 2 месяца назад
Mh​@@user-yb6ut9in5c
@NeemaElisha-t5d
@NeemaElisha-t5d Месяц назад
Nakuombeaaa Manisha marefuuu mkúu wetu wamkoa makondaaa
@user-to7li9sj7x
@user-to7li9sj7x 2 месяца назад
Duuuuuh,,,CCM bwàna😂😂😂😂 yaani kweli kiongozi halafu kumbukumbu huna!!!!! Utatulinda kweli?halooo,,,😢😢,imenisikitisha sana.
@mahomamahoma775
@mahomamahoma775 2 месяца назад
Tz mkuu wa mkoa ni mmoja tu wengine wanakula mishahara na kutitumulia vumbi tuuu mtaani
@user-xh2qp5zm5l
@user-xh2qp5zm5l 2 месяца назад
Tunaomba mtuachie huyu mkuu wa mkoa asihamishwe mpaka arusha iwe safi
@johnsway5253
@johnsway5253 2 месяца назад
Yan izi kazi zakuajiriwa Bana daah shida sana
@livingmalisa2430
@livingmalisa2430 Месяц назад
Makonda usiwaachie hao Wanakaa maoficsini tuu hawafanyi kazi ukimalizana nahao Kuna swala ia waalimu Wana mgomo baridi hawafundishi
@jaderkyser9389
@jaderkyser9389 2 месяца назад
Engineer mshukuru Diwani kakutoa kwenye Kikaango😂
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 2 месяца назад
Makonda ❤
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 2 месяца назад
Wenzetu mume pata wakuu wa mkoa wazur. Makonda. Na chalamila pamoja Quinn sediga..... Hao mwengine mmmmh mkuu wa mkoa wa tanga hasikiki kabisa na kero za wanach
@ShamsiKasoma-fn4cl
@ShamsiKasoma-fn4cl 2 месяца назад
Yan mwananchi anauwezo wa kuongea kuliko kiongoz jaman HV kweli hawa ndio viongozi jaman
@jacksportman5181
@jacksportman5181 2 месяца назад
Iv kutoka 2017 mtu akumbuke watu walichanga sh ngap duuuh🤔 hi nchi ngum sana
@irhamseif
@irhamseif 2 месяца назад
Fedha za serikali azivhangwi kiholela zinaandikiwa zimepatikana shng ngapi na zimefanya nn na nyaraka hiyo inatakiwa kutunzwa😂
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 месяца назад
​​@@irhamseifhuyu nae ziro ndio wezi wenyewe au Elim nindogo
@user-to7li9sj7x
@user-to7li9sj7x 2 месяца назад
Kiongozi lazima awe na kumbukumbu
@lanezboy7016
@lanezboy7016 2 месяца назад
Fala ww government working by paper choko ww hela lazma ziwe na mfumo hata zikiwa za mwaka 1990
@jacksportman5181
@jacksportman5181 2 месяца назад
@@lanezboy7016 kwahyo ww ukipewa hyo kazi una uwezo wa kujibu maswali yote ya tangu 1990 mpaka Leo
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 2 месяца назад
dah jamani huyu kasoma hata la kwanza kweli mbona hana akili kbx
@ZawadiSaid-x6f
@ZawadiSaid-x6f Месяц назад
Natamani makonda Angela dar labda kimanga tungetengenezewa barabara
@sharafisaidi7999
@sharafisaidi7999 2 месяца назад
Huyu Jamaa wa kitenge anajua anafaa kuwa ndio mw/kiti wa kijiji
@user-od1qv6ez6n
@user-od1qv6ez6n Месяц назад
Makonda nakupenda bureee
@ludovicaraphael1371
@ludovicaraphael1371 28 дней назад
Jamani kwani watu wakistaafu wanaondoka na ofisi??Makonda naomba uwatumbue mpaka watumbuke hao wajinga,tena wanakuzeesha lembe letu.
@josephatemmanuel458
@josephatemmanuel458 2 месяца назад
Kila sehem kwenye nchi hii madudu mengi kutokana na madudu mengi ya uongozi
@josephlorri431
@josephlorri431 2 месяца назад
Uchaguzi 2019 serikali za mitaa ilikuwa ni kuweka watu tu.. huyu mwenyekiti hakuchaguliwa
@MwanaishaHussein-di2ty
@MwanaishaHussein-di2ty 2 месяца назад
Naombeni namba ya Makonda mwenye nayo jamani
@SalimMhando
@SalimMhando 2 месяца назад
Salim
@StanleyMolla
@StanleyMolla 2 месяца назад
Naona watu wa arusha mmesahau hata kama kuna kula..mnashibia kwenye vikao
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 2 месяца назад
Mkuu wa mkoa wa PWANI, watembelee wananchi utatue kero zao.Pita Kila halmashauri.Rufiji wakulima wananyanyaswa na wafugaji.
@user-lj7go6gq7l
@user-lj7go6gq7l 2 месяца назад
Mhe. baadhi ya watumishi wa takukuru sii waaminifu nao wanakula rushwa naomba mhe. raisi Samia Suluhu Hasani Hasani mama yetu uwafuatilie hawa takukuru.
@user-cz7bd9tc5k
@user-cz7bd9tc5k 2 месяца назад
Mwenye kiti hakuchaguliwa Ali wekwa tu Ashriki kitafunatu hajui chochote
@DanielModesti
@DanielModesti 2 месяца назад
❤❤❤❤
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 месяца назад
🙏🙏🙏🙏
@jacksportman5181
@jacksportman5181 2 месяца назад
Yani million 20 znajenga daraja la aina Gani 🤔
@juliuslengai5089
@juliuslengai5089 2 месяца назад
Kuna mtu katoa nondo tani moja na mwingine katoa sement tani moja so ilibaki vitu vichache lkn m20 haiwez kutosha bado
@michaelfrenkline3429
@michaelfrenkline3429 2 месяца назад
Haiwezi kutosha sawa. Je izo nondo na cement zilienda wap?
@MTUMEROBERTWENERA01
@MTUMEROBERTWENERA01 2 месяца назад
Ukweli na uwazi kwenye idara ndio vitu muhimu kwa makonda
@EstherManundu
@EstherManundu 2 месяца назад
Makonda aletwe Dodoma jamani hatuna mtetezi
@oyay2821
@oyay2821 2 месяца назад
Hii kweli ni Chama Cha Maharamia
@salmahillu
@salmahillu 2 месяца назад
Kiukweli inaumiza Sana mwekiti kutokujua wajibu Wake kama diwani we2
@HabyarimanaEtienne
@HabyarimanaEtienne Месяц назад
Was
@wiliminawiliams9384
@wiliminawiliams9384 2 месяца назад
Mheshimiwa naomba huyo Mwananchi ambae ametoa taarifa sahihi apewe Uongozi,anafaa sana .
@JABIRIMOHAMED-yh8op
@JABIRIMOHAMED-yh8op 2 месяца назад
Huyu mwenyekiti anaonesha mlevi
@user-eu8ur4kt4v
@user-eu8ur4kt4v 2 месяца назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥✊✊✊✊
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 2 месяца назад
Makonda utaua watu au ipo siku watendaji wa chini yako watajinyea jukwaani.
@alawi6796
@alawi6796 2 месяца назад
Makonda tunaomba uje mkoa wa Tanga mama akullete uje ufanye kaz tanga cc hatuja pewa ela zte za barabara hatujui ttzo ni nn
@ShabaniOmary-hd1dq
@ShabaniOmary-hd1dq 2 месяца назад
Du!!!!hatar sana dunia hii
@evelina9621
@evelina9621 2 месяца назад
Jamani.hii.kazi.ni.ngumu.makonda.pekee.bila.msada.raisi.awe.anatoa.sauti.ya.kukemea.maovu.kama.magufuli.nyerere.waovu.wangeogopa.hawaogopi.wanaendelea.wasikii
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 2 месяца назад
Wezi kweli kweli siai tanga tuna shida kibao wezi weeengi
@valentinoswenya748
@valentinoswenya748 2 месяца назад
Watu wa mwenda zake hao tunao wengi tu makwetu huku
@bonifacemuthama-pi7vs
@bonifacemuthama-pi7vs Месяц назад
Nilini utafika Kenya?
@boaziamos1224
@boaziamos1224 2 месяца назад
Sio juyo tuu viongoz wengi wapo hvo
@user-yb6ut9in5c
@user-yb6ut9in5c 2 месяца назад
Yani wenyeviti hawa shida tupu piga chini tu
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 2 месяца назад
Makonda ni Jeshi
@SmartBlack-nj7jf
@SmartBlack-nj7jf 2 месяца назад
Arusha mtaisoma kwa mkuu wa mkoa makonda
@hanifamziray277
@hanifamziray277 2 месяца назад
Hy jamaa kafanana na karia😊
@evelina9621
@evelina9621 2 месяца назад
Mtaweza.watu.ni.wengi.sana.tafuteni.njia.ngine.usawa.kwa.wote
@SelemanSaid-qy7ge
@SelemanSaid-qy7ge 2 месяца назад
Makonda oye
@jaderkyser9389
@jaderkyser9389 2 месяца назад
11:54
@mrwemaraphael6624
@mrwemaraphael6624 2 месяца назад
Unajua kama umesoma public administration ukiona maswali anayouliza makonda ukajumuisha na ka msemo ka kupga supana unabakia kucheka
@janethjonas1700
@janethjonas1700 2 месяца назад
Huyu injinia Makonda anamkosea
@jayspermlewa7425
@jayspermlewa7425 2 месяца назад
KWA MAANA HIYOOO 😂😂😂😂
@JosephinajosephNdemelai
@JosephinajosephNdemelai 2 месяца назад
Mtakatifu Antoni wapandu
@mohamedali7544
@mohamedali7544 2 месяца назад
Wanahujumu chamaa cha CCM
@user-jj1sx1ow4h
@user-jj1sx1ow4h 2 месяца назад
😂😂😂
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 2 месяца назад
Arusha upigaj mwing sana
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 месяца назад
Unafika mahali unashindwa hata kushangaa kwa jinsi watumushi walivyo wachivu. Du! Haya yote kujuana na rushwa mwisho wa siku aibubtupu.
@ryandamarobert195
@ryandamarobert195 2 месяца назад
Joo MKOA MARA
@reginaluhombo6483
@reginaluhombo6483 2 месяца назад
Unalijua Hilo daraja?😂😂😂
@evelina9621
@evelina9621 2 месяца назад
Wajumbe.nymba.kumi.wanafanya.nn
@faisalahmed7757
@faisalahmed7757 2 месяца назад
Arsenal pole bhn
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 2 месяца назад
duh huyu mwenye kiti kweli kaweka kwenye kiti hana habali kabx Yani lenyew lipo2
@bhmulizeanahamawasaf1189
@bhmulizeanahamawasaf1189 2 месяца назад
Xf
@mdl6463
@mdl6463 2 месяца назад
Tutafika tu
@otienojohn372
@otienojohn372 2 месяца назад
😅😅😅😅
@Leminelimited
@Leminelimited 2 месяца назад
Mukono unamana gani Kichwani wewe makonde.
@salmahillu
@salmahillu 2 месяца назад
Paga spana
@veronicankhwazi7954
@veronicankhwazi7954 2 месяца назад
Hakuna kama wewe
@juliasmolellmolell4815
@juliasmolellmolell4815 2 месяца назад
Wana CCM wakora wote
@sarahdeograthias9097
@sarahdeograthias9097 2 месяца назад
Piga spana wote watumishi wako
@ludovicaraphael1371
@ludovicaraphael1371 28 дней назад
Yani tungekua naviongozi kama huyu kamanda wa Yesu,hakika tanzania ingeonekana kama marekani.tatizo jamani hawa viongozi wa ngazi za chini ndio wanaitukanisha C C M.MAKONDA WANYOOSHE BABA,HUNA BAYA.
@NeemaElisha-t5d
@NeemaElisha-t5d Месяц назад
Tunakuombeaaa maishaaa marefuuu makondaaa
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 2 месяца назад
Kumbe upinzani kanda ya Kaskazini ulishakomazwa na serikali kwani kero nyingi ni za watendaji serikalini
@EstherManundu
@EstherManundu 2 месяца назад
Makonda aletwe Dodoma jamani hatuna mterezi
@user-yb6ut9in5c
@user-yb6ut9in5c 2 месяца назад
Piga chini makonda hao ndy wanaosumbua wananchi tunapata shida kweli na viongozi hasa Hata kwetu huku wapo watendaji wa kijiji kata viongozi wa vitongozi yani shida kwer
Далее
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Просмотров 1,3 млн