+H_Official H_Official we kuma la mamayako kaimba nini humu au walikufilana ww kwny wale wanafunzi waliotombwa na hawa wabakaji nyimbo gani huu unafilwa na baba yako ww
Alikuona ukiomba na alikuskia.. Hakuna heshima inyozidi uhai... I love you mooooore!!!! Gonga like kama umebarikiwa na gizani imengaa mwanga mkali!!!! Waambie.. ni fire 🔥...
This is what we call music I'm sound engineer in uk ,and I would like to say some people are born with gift and this chap is one of them ,the producer new what he was doing the mixing and the arrangements of instrument is very good and vocals arrangements is very good too good plus the back up vocals I just wonder if he could produce one more song because I can hear a special voice from a female back up it is sweet I do believe she is special too get her out her voice is special . please she is gifted.
Wengi wanaichukulia kama nyimbo tu mm naichukulia ni maneno mazito ya nayoish daima kiukwel imenisisimua mno walah..... na inatufunza kutokata tamaa na inafundisha kuomba mungu na kuamin ipo siku mungu atajibu kilio chako
Mungu Akutie Nguvu Kaka Angu! Mungu Akisema Ndiyo Hakuna Wakusema Hapana aijalishi itapita miaka mingapi? Nakuombea Mwanzo Mpya Wenye Ushindi Mkubwa!! Sahau yote Hatua zako zote Fanya Na Mungu Atakutetea katikati ya adui zako
Unapo kosa Tumaini La Kuona Dunia imekuzonga Huu ndio wimbo wa kuusikiliza unatoa Matumaini kwa mtu Alie kata Tamaa Kuona Kwamba Hapa Duniani si mahala sahihi pa kuishi ila kupitia Huu wimbo utapata matumaini thabiti
Song Lyrics Verse 1. Dunia inazamaa,naiangaliaa/ Sina cha kufanyaa,rohoni naumia/ Mawazo yangu ooh,naangamiaa/ Uko wapi MUNGU wangu wee, hunioni naliaa/ Kumbe ulikuwaa unanisikia,unaniangaliaa wewee/ Likapoteaa tumaini languu,ila imani ikaingiaaa/ Kumbee ulikuwaa unanisikiaa aah/ Na likapotea Tumaini langu ila imani ikaingiaa/ Chorus. MUNGU Waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/ MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/ MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/ MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefikaa/ Verse 2. Waambiee kila siku ni zawadii,hakuna heshima inayozidi uhaiii/ Ni Neema na Rehema wawe na hekima unazitimiza ahadii/ Waambiee,hawapaswii kukata tamaa,sababu daima haupo mbalii/ Ukipotea mwangaa gizani ndo nyota hung'aa mwanga mkalii/ Waambiee wasiache Tumaini ndo imanii/ Wasiache kukuaminii ndo amanii/ Chorus. MUNGU waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/ MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/ MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/ MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefiikaa/ MUNGU Waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/ MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/ MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/ MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefikaa/ Produced by:- EmaTheBoy
Kiukweli Watanzania tubadilike kutokana Na hali tuliyo nayo changamoto za maisha Mitihani kila mtu anapitia Tuache kufata utamaduni wa wazungu kuangalia nyimbo zisizo na uhalisiia wa maisha yetu wa Africa zaidi ya kupotoka kimaadil hii song inakutia moyo na imani ya kwamba Mungu ni mueza na ipo siku utaheshimika tena na kuwa Na Furaha kama zamani please Team zote tuache tofauti zetu tufikishe 1M views Na usisahau kusubscribe kwa account yake Amini Ubalikiwe ila jiulize kwa nini wanaoenda jela ni maskini na Wengi wanakwenda kwa kesi za Kusingiziwa
Ally Malick umeanza kuandika vizuuuuri sana but umeharibu mwishoni kusema tutakuwa na furaha kama zamani labda useme utakuwa na furaha kama zamani unafikili kila mtu alikuwa anafuraha zamani??!ukitaka kupata furaha upate kitu kihalali haya ni maisha yanatengenezwa kwa ajili ya kizazi chako I wonder kwann Watz mnaona bora mngekandamizwa lakini mpate hela.
leave aside all the controversy surrounding him, all the politics, all the hearsay. leave alone the history, and every string that could possibly be attached to the artiste. this piece of art is pure glorification to the most high, the Almighty. its moving.
Papii waambie wanao dislike wajue mungu yupo kazi nzur km hii mijitu inadislike akat still unashukuru Mungu na kwamba tujue Mungu yupo anatuskiliza maombi na kutujibu lkn wana dislike wanakera kinoma
Good melody na ladha tofauti kabisa na miziki inayofanywa na wasanii wengine kwa sasa, wengi walijua ataimba rumba lkn amethibitisha yeye ni Musicians ...
Aisee.....kipaji hakipotei hata iweje, idea ni nzuri pia tena sana. Jela miaka 14 and still alive and healthy na mwaeza fanya mengi...Kweli Mungu wa maajabu yani.
Papii kocha, ama kweli wewe ni kocha wa Mizuki wa Tanzania na Africa kwa ujumla, mbali na kupenda muziki huu pia umenitia moyo juu ya magumu nayoyapitia na kuamini kuwa ipo cku Nami mungu atanijibu,