Anaitwa Wilfred Hassan Munisi maarufu Kama Mzee MALEBO Kutoka Kijiji cha Kindi Muyuni Mkoani Kilimanjaro,Hii ni Interview ambayo anafunguka Mengi Usiyoyafahamu Kuhusu Mzee Huyu.
Baba yangu alikua ni msikilizaji mzuri wa caset za Munishi na nilikua nazijua Volume zote ,,Baba angekua hai ningemsikilizisha hii interview angefurahi sana..Keep Resting in Peace Dady
Why should support full, why don't you say munish may support him? Dear brother to support a person is not obligation, it is willing, and that willing comes from living heart
@@romanamassawe814 He made a song out of his unfortunate situation, the song hit the airwaves and became an International chorus. On the other side of flipping the coin, Willis Raburu is being paid 6.5 Kenya shillings by Airtel just because his brand name Bazuu was used, and Samuel L Jackson 2200 dollars for his name in the movies. We can't be Cynical in our school of thought.
Wow, Mzee mcheshi sana, nimefurahia masimulizi yake. Pole Mzee kuvunjwa vidole na Wakongo na pia kukatwa mguu na mmaasai. Nafurahi sana kuona umeokoka ndo maana uko Salama. Munishi Ni rafiki wa Kweli. Salamu kutoka Canada.
Hongera Sana Mbwana Mdogo Pazia. Endelea na kazi yako kwa Bidii na Mungu Atakuonekania. Muda Wote Nilijua ni Wimbo Tu! Kumbe ni mtu ambaye yupo real. 👍👏
Nafurahi sana kumuona mzee Marebo .kwanza kabisa kusikia wimbo wa Pastor Faustini Mnishi ilikuwa mnamo mwaka 1994 nikavutiwa sana na wimbo huwo ingawaje sikujuwa bado lugha ya kiswahili nikaufuata kwa makini baadaye nikaelewa kilugha.Damascene kutoka Rwanda tena mnyarwanda msalendo nawapenda nyote.
Finally have seen malebo thanks for social media for easiest way, I really liked the song since 1997 until now 2024 mar 31 glory be to God Almighty for life he had given us
Inafaa iwe movie hii Nataman kuziona hizo santana na vasco dagama na kiatu cha mchongoko na huo mwondoko mixer kaunda suti hapo daa hakika itakuwa movie yenye uhakisia mzur wa maisha ya harakati za mtu mweusi
Alain Mnyarwanda🇷🇼 kutoka US 🇺🇲, nakutakia mwisho mema mzee Malebo. Kwa Yesu ni Amani tupu. Mungu azidi kubariki Munishi kwa kuweza kukuombea mpaka ukaokoka. True friend kabisa!
Haya nami nafuraha kukutana na ushuhuda huu wa mzee malebo. Nami mtu akiokoka mara nyingi natumia jina la malebo nakusema "Malebo ameokoka; Furaha moyoni". Na nivizuri kwangu kumuona malebo