Acha hizo ,wewe unadhani bila kujua ngeli utapata msaada ukiwa nje ya TZ ? Acha kudanganywa ndo maana watoto wanapelekwa nursery school hata wa kwako anasoma huko
Sio Greece tu nchi kibao ndo zao kn na roho mbaya hasa hawa mabaharia wa zamani ndo mana mie ujamaa nao sitak nikienda nchi yyte lzm nitakapokaa sehemu hio niulze kn wabongo mana km wapo sikai kbs.
Mwenyewe nilipofika Greece kwamala yakwanza niliga kelele nikasema hii sio ulaya ni ilala hapo umeongea ukweli mkuu namie pia nilifikaga wakati wa winter time duh umenikumbusha mbali it was not easy 2010 hiyo
Kama huelewi ni vizuri kujifunza. Hizi comments za kulalamikia watu kuongea lugha za kigeni sio poa. Tatua tatizo kwa kuuliza pale ambapo huelewi ama jifunze tu hiyo lugha husika
Unataka kwenda ulaya sawa Ila Nina rafiki yangu MTU wa Burundi anakwambia yeye Africa haijamshinda eti wanaoshindwa maisha ndo wanakimbilia tofauti na Africa yao hivi ni kwelii duh navojua maisha popote
Angalia baharia wazawa wakiokoa watu baada ya meli ya kigeni kuzama Gusa link hii apa chini kuangalia. 👇🏾. 👇🏾. 👇🏾. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-m8X5qFrmA9g.html
Huyu jamaa muongo sana sijapata kuona maisha ya ulaya yamemshinda kaona aje kujifanya yeye baharia anawakandia wazanzibar wakati hao ndo watu waliomsaidia sana sana lakini hana shukran mshenzi mkubwa
Visa iliishia uturuki .yy Yuko ugirik sasa.na document ziliishia uturuki ..hata kama angekuwa na document za uturuki zisingesaidia maana alishavuka border tyr
we unayesema hvyo huko wap umeshawai kuish na wanigeria ww ss hao cc tunawaita wapopo ni watu wakorofi na wana roho mbay kitu kidgo tu anakifanya kuwa kikubwa asilimia kubwa wana roho mbay ni wachache san wakarimu #bambojr from india
Kweli wanijeria hawana ROHO MBAYA HUWA KWELI WANSAIDIA NA WANAULLE UAFRICA KIUKWELIU NIMeishi nao CANADA na SOUTH AFRICA, ILA TU ila tatizo lao madawa, wnaweza kukubambikia madawa, wanatabia kama za wabongo kiaina, hustling mentality, kwa wanawake usijaribu wanaigeria wanawake wengi south africa na na Canada wameishia jela kifungo cha maisha kwasababu ya wanaigeria, wanawafungashia madawa bila kujua kisha wanakatwa wanaisha, kwanza wanajaribu juwapa au kujifanya wanaupendo nao kisha wale wanawake wakisha waamini wanaweza kumwambia nipelekee begi langu mji huu, au jamaa yangu akija mpe mzigo huu, au demu wake anasafini demu bila hata kujua , anapandikiza MADAWA KATIKA BEG LA DEMU KISHA AKISHAFIKA HUko anamwambia , fungua beg lko mpe jamaa hiki na kile, WANAWAKE WAKALIENI MBALI WANAIGERIA, Msije mkasema wamjaambiwa.... you can never trust them , i once nilikwa naishi na mzee =wa miaka hamsini na tano mtu mzima, tulipanga wote nyumba, alikuwa ananishauri kama baba, kuja kugundua siku askari wamekuja wanasema kuna madawa yanauzwa pale , ilikuwa mshike mshike ila kwasababu kipindi hicho nilikuwa mwanafunzi na naweza sana kujieleza na nahati nzuri walivyo ingia hao askari wakizungu walinikutwa nasoma saanane ya usiku....wamemkamata jamaa nje anauza madawa.. nihatari
@@saidibambo4339 wanaigeria hawana hawana roho mbaya hata kidogo pia wanapenda kusadia isipokuwa wanapenda ugomvi wna makundi ya group Jamani nimeishi now India huu mwaka wa 5 tangu 2014 mpka leo pia kuna makabila tofauti kama aslimia wengi ya wanao penda kupigana ni wa benin, na wa Agbo pia kuna wa igbo hawa wanapenda biashra ya madawa pia wengi wao wanapesa na hupendi kusadia watu japo kuwa watu wenye roho mbaya kila sehemu wapo hata tz pia kwao wapo arafu wanaenda watu wa inchi ya watu wengine kuliko hata wenyewe miaka ya nyuma nilivyokuja huku asee wanigeria unaweza ukaenda kwa mpopo ukala ukashiba hawana roho mbaya Jamani ukweli usimwe isipokuwa wanenda kupigana wenyewe kwa wenyewe tena sio wa watu wa ichi nyingine no wenyewe kwa wenyewe kwasababu wana magroup aslimia nyingi wa Tanzania walikuwa india waschana wapopo wamewasadia kimaisha wengine wamejenga na why tunawaita wapopo kwasababu hawalali usiku ila kwa kweli roho mbaya hawana na wapo kote duniani kwasababu wanapenda kusafir
@@annievibes8794 Mimi pia sina rafiki wa kibongo tangu nilipoondoka africa 2000. Mimi rafiki yangu kazi nikimaliza kazi narudi nyumbani kulala nikiamka narudi tena kazini
Baaaada ya kuzamia sasa kipi umechuma cha maendeleo au ndio story tu hapa kwamba nawe baharia mchanga, hamcgelewagi kurudi na mbwa kutoka ulaya halafu mliowaacha Africa washawapita mbali