Тёмный

PART 2: MISUKOSUKO MTANZANIA ALIEZAMIA UJERUMANI "TULIAMBIWA TUWE WASOMALI" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 134 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 171   
@abdulrahmanhassan3825
@abdulrahmanhassan3825 5 лет назад
Hili ni somo zuri sanaa mwenye akili atajiongeze kabla mtu ajataja nchi alio tokea Lazima ajifunze vitu vichache juu ya nchii hiyo
@storowaysimkway4693
@storowaysimkway4693 5 лет назад
Kama umem elewa huyu jamaa kama mm gonga like tuwe pamoja..
@chanidunga9101
@chanidunga9101 5 лет назад
Muongo huyu kuma tu mm nanjuwa huyu aliunguwa na gas kuna kipindi flani
@ibnuidrisa3996
@ibnuidrisa3996 9 месяцев назад
​@@chanidunga9101😂😂😂😂😂
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 лет назад
Hii inaitwa usikate tamaa, nice story, hata mimi ipo cku nitaenda ulayani kutafuta., inshallah.
@utaani1
@utaani1 5 лет назад
Ulaya hamna maisha wewe kaa ulipo tuliza ball
@blooperscorrectorelulu1566
@blooperscorrectorelulu1566 5 лет назад
Whatsapp number nitafute
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 года назад
Mm nataka kujua Kaz gani hasa kwa wanawake wakifika huko
@staydubai1915
@staydubai1915 3 года назад
Saumu ulienda?
@Chekibob
@Chekibob 5 лет назад
Nakubali ayo tv ila huyo jamaa aliyepita mbele ya kamera, mwambie asipite tena
@nasmafarmsltd9146
@nasmafarmsltd9146 4 года назад
siku ukish nje ýà nch ñďò utajua lugha ya nch husika inavyo Baďìĺśha lugha ýaķò
@soleimaniabdul8898
@soleimaniabdul8898 3 года назад
namimi pia ni mtanzania hambae nipo marekani salamu sana kwa wa Tanzania wote
@hassanmohamedi7585
@hassanmohamedi7585 3 года назад
Nisaidie namba yako kak
@soleimaniabdul8898
@soleimaniabdul8898 3 года назад
@@hassanmohamedi7585 ni follow mimi kwenye Facebook
@likimaro6
@likimaro6 5 лет назад
Ukizamia Ulaya ndo unasahau hadi Kiswahili vizuri?
@soleimaniabdul8898
@soleimaniabdul8898 3 года назад
hapana mimi kama mimi siwezi kusahau luga yangu ya kiswahili mimi ni mtanzania hambae niko marekani
@emmanuelgastine9826
@emmanuelgastine9826 3 года назад
Acha hizo ,wewe unadhani bila kujua ngeli utapata msaada ukiwa nje ya TZ ? Acha kudanganywa ndo maana watoto wanapelekwa nursery school hata wa kwako anasoma huko
@ruuh5149
@ruuh5149 3 года назад
@@soleimaniabdul8898 mambo sele naitaji kuongea na ww unawez kunipa namba yk tukawasilian kwa whatsapp
@toptictoc1884
@toptictoc1884 5 лет назад
Imagine Ingekua Polisi wa kibongo? Lol mngekula kipigo mpk mngejamba hahahaha
@likimaro6
@likimaro6 5 лет назад
Tena ushuzi wa motroooo
@eddy4998
@eddy4998 3 года назад
hauwezi kupigwa wakati ww sio raia wa nchi hiyo hata hapa bongo hauwezi kupigwa
@ahmedalazkawiasantesana6453
@ahmedalazkawiasantesana6453 3 года назад
Haaahaaa
@ibnuidrisa3996
@ibnuidrisa3996 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@habibhamed1587
@habibhamed1587 5 месяцев назад
Msenge maziwa usiombe tena kuingia katika maisha usiyoyaweza watu kaanyumbani uwe fundi cherahani pust malaka
@eddy4998
@eddy4998 3 года назад
Maisha yangu nimejitolea kama nitampata mwenzanguu basi nipo tayari kupita hiyo au njiaa yeyote ilimradi niingie German
@vamitv873
@vamitv873 3 года назад
Twende zetu mkuu
@bakarifatherb4180
@bakarifatherb4180 3 года назад
Tunaanzia wapi Kaka, hata mimi ninahamu kinoma
@wakuitwangosha
@wakuitwangosha Год назад
Mm marekani maana ujeruman lugha lazima uisome ila marekani kiingereza tu
@tonyelshabbaz
@tonyelshabbaz 5 лет назад
Aliyeona kuna jamaa kakatiza na camera wakati mahojiano yanaendelea agonge like hapa
@habibhamed1587
@habibhamed1587 5 месяцев назад
Mshamba mmoja Huyu kavamia maisha beach wakati hayawezi ukiwa msafiri au beach boys huwezi kutowa habari za jandoni
@angelageofrey9756
@angelageofrey9756 3 года назад
Vizuri kueleza ukweli about nje@italy hapa
@hamismalimungu9959
@hamismalimungu9959 5 лет назад
Tamtafuta huyu Jamaa niondoke zangu ulaya tu
@adamkatet274
@adamkatet274 5 лет назад
Njooooo
@jeremiahmasanzure6854
@jeremiahmasanzure6854 5 лет назад
Mimi pia
@salmadalaquimane5303
@salmadalaquimane5303 5 лет назад
Npe namba kka nku fuate
@muvobhekinyonga985
@muvobhekinyonga985 5 лет назад
Hamis Malimungu usitaman maisha ya nje ya nchi
@kapayatzchanel2976
@kapayatzchanel2976 5 лет назад
Tupo huku tunatamani kurudi sawa njoo ujionee ndugu
@judithtibandebage3227
@judithtibandebage3227 5 лет назад
Watanzania waishio Greece wanaroho mbaya mwanzo mwisho japo sio wote lakini 98%wakuda
@mwandumazaoidrossa1702
@mwandumazaoidrossa1702 5 лет назад
siyo greece tu wabongo nje wengi wakuda
@benten2369
@benten2369 5 лет назад
Maisha magumu alaf mbali na home, survival tu.siku za Kwanza mambo magumu lakini ukikomaa unatoboa
@annievibes8794
@annievibes8794 5 лет назад
@@mwandumazaoidrossa1702 swadakta ndiyo maana mimi siingiliani nao huku nilipo kwanza nawatikia nn na nimewaacha bongo
@mwandumazaoidrossa1702
@mwandumazaoidrossa1702 5 лет назад
m
@omarmatuta7709
@omarmatuta7709 4 года назад
Sio Greece tu nchi kibao ndo zao kn na roho mbaya hasa hawa mabaharia wa zamani ndo mana mie ujamaa nao sitak nikienda nchi yyte lzm nitakapokaa sehemu hio niulze kn wabongo mana km wapo sikai kbs.
@stanleysamwel5449
@stanleysamwel5449 5 лет назад
nice story
@calvinmorgan66
@calvinmorgan66 5 лет назад
Ungeongea kiswahil ndio ungetisha sana kuliko mashauzi
@devotajoel3730
@devotajoel3730 Год назад
Kbx
@emmanuelgastine9826
@emmanuelgastine9826 3 года назад
Ndo uone watanzania walivo na roho mbaya ,hawakutaka kuwasaidia jamaa huko ugenini ,haya tukiwa hapa inakuwaje
@happyjacline988
@happyjacline988 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@judithtibandebage3227
@judithtibandebage3227 5 лет назад
Mwenyewe nilipofika Greece kwamala yakwanza niliga kelele nikasema hii sio ulaya ni ilala hapo umeongea ukweli mkuu namie pia nilifikaga wakati wa winter time duh umenikumbusha mbali it was not easy 2010 hiyo
@bakarifatherb4180
@bakarifatherb4180 3 года назад
Tupe nasie michongo sister
@salimdoctor691
@salimdoctor691 5 лет назад
Babukubwa bro life popote
@mohamedmweche9195
@mohamedmweche9195 5 лет назад
Jamaa we noma
@azukurmusa2085
@azukurmusa2085 5 лет назад
Wazigua ndio wanaishi kismayo🤣
@barakatv4030
@barakatv4030 5 лет назад
Aise hii story tamu sana.
@Didah-hf4pw
@Didah-hf4pw 4 года назад
No kukata tamaa maisha popote
@abdielyusuf71
@abdielyusuf71 3 года назад
Kichwa cha habari Greece mimi nipo Germany nilizunguka mitaani nikashikwa nikapewa sehem na now naish vizur
@theophilyyona9940
@theophilyyona9940 5 лет назад
duuuuu hata kama!! bora hivo kuliko kukaa kwa uncle hapa
@oyay2821
@oyay2821 5 лет назад
Alafu mwasema Magufuli anapeleka nchi vizuri. Kama ni kweli watanzania wange kimbia nchi yao
@rainthatsgood8869
@rainthatsgood8869 5 лет назад
Namba NNE WAP jamani mwenye nayo naomba
@annievibes8794
@annievibes8794 5 лет назад
search misukosuko utapata zote mpaka 5
@jeremiahmsemwa8323
@jeremiahmsemwa8323 5 лет назад
Dah...hatari!!
@starboychyner3458
@starboychyner3458 5 лет назад
JAMAN PART 3 IPO ?... MBONA KWANGU MWISHO PART 2 TU..
@annievibes8794
@annievibes8794 5 лет назад
ipo search vizuri ipo mpaka 5
@duckygameing3900
@duckygameing3900 5 лет назад
How do I contact you my nigga
@homechannel534
@homechannel534 5 лет назад
My instagram is Junior_bori
@beatricechristian9257
@beatricechristian9257 5 лет назад
Naona kma Kiswahili kinakusumbua sana🤣🤣🤣
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 3 года назад
Huyu ni Mkenya, Mjaluo.
@ibnuidrisa3996
@ibnuidrisa3996 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@habibhamed1587
@habibhamed1587 5 месяцев назад
His Malaka Huyu jamaa
@slayingtee6044
@slayingtee6044 5 лет назад
Ukiongea kiswahili hauta kufa
@jamalissa3285
@jamalissa3285 5 лет назад
anatia asila
@subiramussa1428
@subiramussa1428 5 лет назад
Ha hahaha
@arsenalic23
@arsenalic23 5 лет назад
Kama huelewi ni vizuri kujifunza. Hizi comments za kulalamikia watu kuongea lugha za kigeni sio poa. Tatua tatizo kwa kuuliza pale ambapo huelewi ama jifunze tu hiyo lugha husika
@mahamedabdi1881
@mahamedabdi1881 5 лет назад
Umeona ee anabana pua jm
@colmanlesulie250
@colmanlesulie250 5 лет назад
Go back to school
@taitusbangu8909
@taitusbangu8909 3 года назад
Kiswahili cha minato kinomaaa
@salummuhija4435
@salummuhija4435 5 лет назад
Weka mic vizuri basi hatukusikii vizuri.
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 5 лет назад
Huyu jamaa nimemuelewa
@mudyazizi4771
@mudyazizi4771 5 лет назад
Kazi moja tu yan
@devotajoel3730
@devotajoel3730 Год назад
Ugeongea ki Swahili sitor ingefundisha wengi
@tahrinkessy7119
@tahrinkessy7119 5 лет назад
Wekeni yote jmn 😭😭
@ashahkishai2002
@ashahkishai2002 5 лет назад
Mi enyewe natamani kwenda Ulaya
@jazzbanza6804
@jazzbanza6804 5 лет назад
namimi nitumie nambayako tuasiliane
@pendojackison8822
@pendojackison8822 4 года назад
Unataka kwenda ulaya sawa Ila Nina rafiki yangu MTU wa Burundi anakwambia yeye Africa haijamshinda eti wanaoshindwa maisha ndo wanakimbilia tofauti na Africa yao hivi ni kwelii duh navojua maisha popote
@wemakalam3233
@wemakalam3233 5 лет назад
Huu chezo ni hatari
@wilboradahamary939
@wilboradahamary939 3 года назад
P
@damianimerou2752
@damianimerou2752 3 года назад
Hawaii wasenge wengine wanakuja fanya nini huku ulaya HIVi ni vita so you don't say siri ya vitani pussy ya
@congoswahilitv6465
@congoswahilitv6465 5 лет назад
mna tafuta views kulilini mweke yote
@ibrahimibraa4948
@ibrahimibraa4948 5 лет назад
WW muongo ulikuwa omba omba tu huna ishu
@winslowzirops3598
@winslowzirops3598 5 лет назад
Wew Umejuaje kama nimuongo Wabongo bhana
@ayshasaloom965
@ayshasaloom965 5 лет назад
aijalish awe omba omba au kichaa kikubwa alichokitak kimefanikiw ndio mna unamuangalia na kuskiliz anasemaj nyokoli we
@ibrahimibraa4948
@ibrahimibraa4948 5 лет назад
Huyo alikuwa omba omba anatudanganya tu
@nurdinimndeme2912
@nurdinimndeme2912 5 лет назад
bado ujui Maisha hata leo 'kweli unashangaza bro
@ibrahimibraa4948
@ibrahimibraa4948 5 лет назад
@@nurdinimndeme2912 unashangaza ww kumsikiliza huyo muongo
@lucyanyango8710
@lucyanyango8710 3 года назад
Mambo simbaya
@rogersmassawe8323
@rogersmassawe8323 5 лет назад
Jamaa namjua
@rogersaloyce2843
@rogersaloyce2843 5 лет назад
Sawa
@hadijatwahakipozi4229
@hadijatwahakipozi4229 5 лет назад
Uyo ni falaaaaa
@allykramadhan2062
@allykramadhan2062 4 года назад
Jamaa ajakosea anavo elezea ila mbona kama sio mswahili uyu sisi wote tumepitia ayo mambo tukiwa tunaingia South Africa
@pendojackison8822
@pendojackison8822 4 года назад
Duh pole ndo maisha
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 3 года назад
Huyu ni Mkenya, Mjaluo.
@saadjuma222
@saadjuma222 3 года назад
Wakenya mushaanza
@asiazuberi9722
@asiazuberi9722 5 лет назад
Story nzuri
@walterp.makundi5640
@walterp.makundi5640 5 лет назад
Video poorly produced i can hardly hear what the guy is talking!
@walterp.makundi5640
@walterp.makundi5640 5 лет назад
@Julius Baha it's not my profession but I don't lay eggs but I know a rotten egg 🥚
@arthurfesto9026
@arthurfesto9026 5 лет назад
Sio rahis kiivo bro mahojiano ya kujua utaifa hayapo rahisi ivo mzee tumekua sikuizi sio watanzania wa kuamini hadith za zamani
@basitbasit2281
@basitbasit2281 5 лет назад
Huyu jamaa anawapanga kiaina,sababu hizo experience wengine tumezipitia
@mkuurditv4227
@mkuurditv4227 5 лет назад
dahhh!
@sportsbiotz
@sportsbiotz 2 года назад
Angalia baharia wazawa wakiokoa watu baada ya meli ya kigeni kuzama Gusa link hii apa chini kuangalia. 👇🏾. 👇🏾. 👇🏾. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-m8X5qFrmA9g.html
@familylove5417
@familylove5417 5 лет назад
Kaka ulikuwa na Visa card hiyo Visa card ya uturuki au umetuambia umekamatwa na police so hawajajuwa tu mlipo toka nasie tumepitia usitudanganye bwana
@rogersaloyce2843
@rogersaloyce2843 5 лет назад
Umesikiliza vzurii?
@utaani1
@utaani1 5 лет назад
Naomba kuchat na wewe tafadhali kama itawezekana
@userAysha
@userAysha 4 года назад
Huyu jamaa muongo sana sijapata kuona maisha ya ulaya yamemshinda kaona aje kujifanya yeye baharia anawakandia wazanzibar wakati hao ndo watu waliomsaidia sana sana lakini hana shukran mshenzi mkubwa
@robertlinuma6051
@robertlinuma6051 8 месяцев назад
Visa iliishia uturuki .yy Yuko ugirik sasa.na document ziliishia uturuki ..hata kama angekuwa na document za uturuki zisingesaidia maana alishavuka border tyr
@salmaelhinai833
@salmaelhinai833 5 лет назад
Huyu jamaa mshamba sijapata kuona lol
@utaani1
@utaani1 5 лет назад
Mshamba wallahi tena
@abuubakarimtange4601
@abuubakarimtange4601 2 года назад
Msenge huyu kuma
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 5 лет назад
Wanigeria wapo kila kona aisee halafu wana hawana roho mbaya kiivyo.
@saidibambo4339
@saidibambo4339 5 лет назад
we unayesema hvyo huko wap umeshawai kuish na wanigeria ww ss hao cc tunawaita wapopo ni watu wakorofi na wana roho mbay kitu kidgo tu anakifanya kuwa kikubwa asilimia kubwa wana roho mbay ni wachache san wakarimu #bambojr from india
@Aidenkuye
@Aidenkuye 5 лет назад
Duh huwajui wapopo ndugu, hao jamaa sio!
@25bacteria
@25bacteria 5 лет назад
Kweli wanijeria hawana ROHO MBAYA HUWA KWELI WANSAIDIA NA WANAULLE UAFRICA KIUKWELIU NIMeishi nao CANADA na SOUTH AFRICA, ILA TU ila tatizo lao madawa, wnaweza kukubambikia madawa, wanatabia kama za wabongo kiaina, hustling mentality, kwa wanawake usijaribu wanaigeria wanawake wengi south africa na na Canada wameishia jela kifungo cha maisha kwasababu ya wanaigeria, wanawafungashia madawa bila kujua kisha wanakatwa wanaisha, kwanza wanajaribu juwapa au kujifanya wanaupendo nao kisha wale wanawake wakisha waamini wanaweza kumwambia nipelekee begi langu mji huu, au jamaa yangu akija mpe mzigo huu, au demu wake anasafini demu bila hata kujua , anapandikiza MADAWA KATIKA BEG LA DEMU KISHA AKISHAFIKA HUko anamwambia , fungua beg lko mpe jamaa hiki na kile, WANAWAKE WAKALIENI MBALI WANAIGERIA, Msije mkasema wamjaambiwa.... you can never trust them , i once nilikwa naishi na mzee =wa miaka hamsini na tano mtu mzima, tulipanga wote nyumba, alikuwa ananishauri kama baba, kuja kugundua siku askari wamekuja wanasema kuna madawa yanauzwa pale , ilikuwa mshike mshike ila kwasababu kipindi hicho nilikuwa mwanafunzi na naweza sana kujieleza na nahati nzuri walivyo ingia hao askari wakizungu walinikutwa nasoma saanane ya usiku....wamemkamata jamaa nje anauza madawa.. nihatari
@rainthatsgood8869
@rainthatsgood8869 5 лет назад
@@25bacteria duh pole sana
@Fadhira7897
@Fadhira7897 5 лет назад
@@saidibambo4339 wanaigeria hawana hawana roho mbaya hata kidogo pia wanapenda kusadia isipokuwa wanapenda ugomvi wna makundi ya group Jamani nimeishi now India huu mwaka wa 5 tangu 2014 mpka leo pia kuna makabila tofauti kama aslimia wengi ya wanao penda kupigana ni wa benin, na wa Agbo pia kuna wa igbo hawa wanapenda biashra ya madawa pia wengi wao wanapesa na hupendi kusadia watu japo kuwa watu wenye roho mbaya kila sehemu wapo hata tz pia kwao wapo arafu wanaenda watu wa inchi ya watu wengine kuliko hata wenyewe miaka ya nyuma nilivyokuja huku asee wanigeria unaweza ukaenda kwa mpopo ukala ukashiba hawana roho mbaya Jamani ukweli usimwe isipokuwa wanenda kupigana wenyewe kwa wenyewe tena sio wa watu wa ichi nyingine no wenyewe kwa wenyewe kwasababu wana magroup aslimia nyingi wa Tanzania walikuwa india waschana wapopo wamewasadia kimaisha wengine wamejenga na why tunawaita wapopo kwasababu hawalali usiku ila kwa kweli roho mbaya hawana na wapo kote duniani kwasababu wanapenda kusafir
@millitarybattalion7515
@millitarybattalion7515 5 лет назад
Nyingine mnaweka SAA ngapi?
@ibrahimibraa4948
@ibrahimibraa4948 5 лет назад
Kesho
@wagagagigikokohumulutililu8974
Hebu fumba macho, kisha fungua. Kama una marinda utaiona ya pili kama hauna hautaiona kamweee.
@millitarybattalion7515
@millitarybattalion7515 5 лет назад
@@wagagagigikokohumulutililu8974 hii ni ya pili mm nilikuwa naulizia ya tatu............ Sijaumbwa kutukana MTU.... Ubarikiwe sana
@wagagagigikokohumulutililu8974
@@Aidenkuye Mkundu isi na marinda wewe
@wagagagigikokohumulutililu8974
Hahaha, mkundu unakuwashaaa. Nani anataka kusafiri, nimeridhika na ugali kwa sangara, no Mwanza ujionee. Jifanye unajikunaaaaa
@annievibes8794
@annievibes8794 5 лет назад
jamani hamjajaribu hivi vitu msiseme kaka wa watu tuulizeni tuliopitia misukosuko ya kuingia ulaya
@annievibes8794
@annievibes8794 5 лет назад
@@utaani1 kuhusu nini km kuhusu ulaya bora usipoteze muda wako maana maisha ya huku siyo km ya miaka 20 nyuma
@annievibes8794
@annievibes8794 5 лет назад
@@utaani1 Norway
@annievibes8794
@annievibes8794 5 лет назад
@@utaani1 na kwa nini unichague mimi kuja kutembea Norway si uje km tourists wengine..mie siingiliani kabisa na wabongo utani sorry
@utaani1
@utaani1 5 лет назад
@@annievibes8794 Mimi pia sina rafiki wa kibongo tangu nilipoondoka africa 2000. Mimi rafiki yangu kazi nikimaliza kazi narudi nyumbani kulala nikiamka narudi tena kazini
@fahadjinni5845
@fahadjinni5845 4 года назад
Hello power eomen
@husnajohn7466
@husnajohn7466 5 лет назад
Baaaada ya kuzamia sasa kipi umechuma cha maendeleo au ndio story tu hapa kwamba nawe baharia mchanga, hamcgelewagi kurudi na mbwa kutoka ulaya halafu mliowaacha Africa washawapita mbali
@joejoshua7791
@joejoshua7791 3 года назад
Unaonekana una chuki na watu wanaoishi Europe
@babalois7240
@babalois7240 5 лет назад
Duu
@bluebeamkennel9266
@bluebeamkennel9266 3 года назад
Very poor strategy
@abuubakarimtange4601
@abuubakarimtange4601 2 года назад
Chako tu wewe
@hamoudmohamed4916
@hamoudmohamed4916 5 лет назад
Huyu sio mtanzania hakuna MTU WA kitz anaeongea hivi
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 3 года назад
Huyu ni Mkenya, Mjaluo.
@kenny5672
@kenny5672 3 года назад
Acha usenge wa kunata kichoko
@mussamussamussa8444
@mussamussamussa8444 5 лет назад
Huyu mshenzi tu naona muhaya huyu ss ongea kiswahili mshamba we ulaya hawajagi wasenge km ww
@dijahj4424
@dijahj4424 5 лет назад
Mbona mapovu mengi
@jumannekhalifa7761
@jumannekhalifa7761 3 года назад
Inakuuma nini sasa au unamuonea wivu
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 3 года назад
Huyu ni Mkenya, Mjaluo.
Далее
TAZAMA BASHE, MPINA WALIVYOKUTANA USO KWA USO
10:18
Просмотров 3,1 тыс.
SIRI YA KULIPA RENT NI MOJA! | MTUMISHI
8:19
Просмотров 8 тыс.