Mjue kitu kimoja kwaulimwengu wasasa watu mfano wa ngano niwachache sana wengi wana taka miujiza awataki mafundisho ili wajitoe kwenye vifungo vinavyo watesa ndio maana wanaibiwa na watumishi hewa pole sana
Upo na 241k subscribers Mzee ulifeli waapi, jee ni mtiririko wa stoli, ama ni kuegemea pande Moja ama unafeli wapi.. hao laki mbili wote walifariki😢 bona sioni views , sioni coment
Walio wengi niwapenda story, ambazo mwisho wake wanabaki vile vile na Imani zao ama bila badiliko lolote ndio maana wamepukutika lakini naamini wataongezeka wengine wengi Zaid nawachache tuliopo tutaendelea kuwepo