Тёмный

PART4:BINADAMU ALIEENDA MBINGUNI/PEPONI AKAONANA NA MUNGU NA AKAFIKA JEHANAMU AELEZA SAFARI NZIMA. 

Davistar Media
Подписаться 241 тыс.
Просмотров 5 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

19 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 209   
@elizanzula8375
@elizanzula8375 3 года назад
MUNGU akubariki sana prophet simama imara kabisa na Kazi ya MUNGU utabarikiwa zaidi na zaidi uzidi kufungua watu kutokwa kwa utumwa wa ibilisi bwana yesu apewe sifa milele nguvu na ufukufu ni vyake milele tumsifu MUNGU ni wa neema kubwa. tuombee sana prophet..
@fidelbarutwanayo4068
@fidelbarutwanayo4068 3 года назад
Tatizo huwa mnaamini mtu kwenda kuzimu lakini mtu akisema kamuona Malaika kila mtu huwa anakuwa kwenye Dunia yake ila tunaweza msikia wote
@rahaisacl9954
@rahaisacl9954 3 года назад
Kwakwel mpzi kwann shetani aeze kukupa majini 1000 why mungu asikupe malaika wake na yy wakulinde mm namuamini kwakweli acha mungu atuonyeshe yake tumepotea sn
@abdimohamed3953
@abdimohamed3953 3 года назад
Upo sahihi mnoo ninacho gundua watu wamezoea habari flani hizi zingine zenye neema ndani yake watu hawapo teyar kuamini Bali ninaimani had mwisho wa story mwenye akili na maarifa atapata kuelewa na kujifunza zaid nayaweza kua akapata kurekebika Kwa namna moja ama nyingne
@Samir20005
@Samir20005 3 года назад
Nime barikiwa kweli from 🇺🇸
@alfambaga9823
@alfambaga9823 3 года назад
Mungu ni Mungu tu
@ole_larusai587
@ole_larusai587 3 года назад
Davistar unafeli wapi ndugu yangu? Hii story ni ya kutunga! Tuletee sheikh Mnyeshani kaka.
@jamesolando2479
@jamesolando2479 3 года назад
Ila za kichawi ndio sio za kutunga?
@ole_larusai587
@ole_larusai587 3 года назад
@@jamesolando2479 sijamaanisha hivo. ..ukisikiliza vizuri utajua ni za kutunga...kama yule Danny naye alitunga tu
@jamesolando2479
@jamesolando2479 3 года назад
@@ole_larusai587 sehemu gani ya story uliyosikiliza vizuri ukaona hapa katunga?
@saidessry9942
@saidessry9942 3 года назад
inawezekana ikawa sio ya kutunga lakini aliwowaona moja kwa moja ni mashetani mtu mvuta bangi anapewa utume ndani ya miezi mitano ila mengi ktk maneno yake anatoa ktk ufahamu wake binafsi kila maswali anayoulizwa anajibu kwa ufahamu wake na ianoneshea bado kijana mdogo hajapekua vitabu vya kutosha lazima tuwe makini asante alphonce
@jamesolando2479
@jamesolando2479 3 года назад
@@saidessry9942 kwa nini wawe mashetani na sio malaika?
@sayari_ya_simulizi
@sayari_ya_simulizi 3 года назад
Yeu kafa,kaadhibiwa kuzim..yesu n mungu yesu n mwan w mungu ...tuelew vp
@mariamndimbo8833
@mariamndimbo8833 3 года назад
Vyote amini
@miriamngosha6856
@miriamngosha6856 3 года назад
Yaani Davista una araka 😃 yaan katika story zako zote hii ndiyo unakiwewe sana yaan una muhao sio wa nchi hii 🤣🤣🤣🤣🤣 embu tuliza mzuka bas boss
@kimsamespa8490
@kimsamespa8490 3 года назад
Amen mtumishi wa Mungu Mimi pia najifunza
@carolinewanza2648
@carolinewanza2648 3 года назад
Unaishi mbinguni auu....ni mdudu gani uyo anaitwa mbali......
@costantinekikinda7574
@costantinekikinda7574 3 года назад
Acha ushetaniki story uwezi mwona mungu ukaishi
@sayari_ya_simulizi
@sayari_ya_simulizi 3 года назад
Hakuna aliewahi kumuona mungu
@maserafirecord8178
@maserafirecord8178 3 года назад
Haya nimambo ya Ndani sana ki roho wengi hawawezi Eliwa Lazma uwe Wa Rohone Ndo Uelewe
@subiramohd1895
@subiramohd1895 3 года назад
Muulize davi daah hawa mitume wa uongo muulize hasaaaa usimuache salama
@just_this_way
@just_this_way 3 года назад
Za kina Zabron na kina Lwanda magere.
@just_this_way
@just_this_way 3 года назад
Yani ni uongo tu. Ht stor ya yule shekh omari ni ya uongo. Stori za kweli ni
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 3 года назад
Kijamaaa kiongoo😃😃😃😃😃 Hamna shalobaro akamjua mungu
@jamesolando2479
@jamesolando2479 3 года назад
Ukweli ni upi ndugu?
@kahindiwanje90
@kahindiwanje90 3 года назад
Safi Sana broo
@subiramohd1895
@subiramohd1895 3 года назад
Davista hebu kaa mbali na mabilisi kama hawa hee hee duuu moto unachochewa huko kwa ajili ya binaadamu umeonana na munguu au ulimuona babaakoo
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rogermomodesty3568
@rogermomodesty3568 3 года назад
Umenikosha Sana ungekuwa karibu yangu ningekupa chochote
@shimii3662
@shimii3662 3 года назад
Alimuona baba ako
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
@@rogermomodesty3568 nipe mie badala yake🤣🤣🤣🤣
@sayari_ya_simulizi
@sayari_ya_simulizi 3 года назад
Mungu ana roho ...so anaweza kufa
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Round hii mko mahalii pazuri hongereni kama nikwa prophet hongeraa zake
@costantinekikinda7574
@costantinekikinda7574 3 года назад
Kanisa lako nalipiga na kuliangamiza wewe na familia yako acheni uchawi kwajina la YESU KRISTO MUNGU WETU AMEN AMEN mgeukieni mungu haraka kama hamtogeuka basi nafyeka wote na kanisa nalifunga kwa jina la YESU KRISTO AMEN
@glorynguma3593
@glorynguma3593 3 года назад
That's my Dad MTU hatarii sana
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 3 года назад
Hi story ni mchosho tu! Tuleteeni story makini ndugu! Huyu jamaa kila kitu anadanganya tu! Hana tofauti na aposto maziwa!
@jamesolando2479
@jamesolando2479 3 года назад
Mzee aposto maziwa alikupiga nini? Na kama unasema ni uongo je kweli kwako ni ipi?
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад
na fimbo ya mb maziwa
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 3 года назад
Mi siwezi kupigwa na manabii wa uongo! Sahau! Walioenda ndo wanao smulia tunayajua!
@meenalaza2839
@meenalaza2839 3 года назад
😳😳😳😳😳😳😳😳huyu jamaa nimuongo jamani duh kitu cha Arusha bado kipokichwani mwake
@pili3750
@pili3750 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@sadamkhamis1956
@sadamkhamis1956 3 года назад
🤣🤣 kwa kweli triple hii tumewezekana
@shukuruilomo768
@shukuruilomo768 3 года назад
Nakuelewa sana
@evalineawary3604
@evalineawary3604 3 года назад
Watu mmezoe story za kichawi mara majini mpaka mmekolea hata mungu aliye hai mmemsahau, na yeye pia anamatukio kuzidi hao mnaowafagilia yeremia17 amelaaniwa yule amfanyaye mwadamu kuwa Kinga yake, mwaminini mungu
@suzansimon5296
@suzansimon5296 3 года назад
Yahvo mbn n kawaida tuu hata mm huwa naota mengi yatakayotokea mbele
@faridaahmed2671
@faridaahmed2671 3 года назад
Eti nikamkasirika mungu jamani😂😂😂😂
@mariamndimbo8833
@mariamndimbo8833 3 года назад
Yes
@marthachai.humjuimalaikata939
@marthachai.humjuimalaikata939 3 года назад
Ukiwa unajua hii haikubari Acha kuangalia na inamana inakubariki ukiendelea kusikiliza story za uongo ndio watu hupenda lakini za kweli kwao huboeka.
@jotafungo4622
@jotafungo4622 3 года назад
😂😂😂atakayemaliza hii story atanihadithia. Mi naona mapichapicha tu😂😂😂
@سعيدهعلي-ف5ك
@سعيدهعلي-ف5ك 3 года назад
Yani mimi ndo kwanza alivoaanza2 naona mapicha picha2
@jotafungo4622
@jotafungo4622 3 года назад
@@سعيدهعلي-ف5ك tumepigwa😂😂😂
@sayari_ya_simulizi
@sayari_ya_simulizi 3 года назад
Mm naskiliza story....ila nina uhakika 💯 jamaa kaonana na falme ya majini waovu kaja kuwapoteza na hawa watu wa humu
@makame3524
@makame3524 3 года назад
Mr dm mulize alimuona furkum wa mnyeshan alipoenda uko mbinguni🤭
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 3 года назад
😀😀😀😀😀
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Mata kilamwanadamu anamalaika wake wakumilindaa
@saidessry9942
@saidessry9942 3 года назад
hii kali leo ndio mara ya kwanza kusikia mashetani ni watoto wa mungu
@nooor1120
@nooor1120 3 года назад
Hhhhh umeona ee Akili ni mali
@jonnyfranco5318
@jonnyfranco5318 3 года назад
Wap nchibalonda aje kuskia hii k2
@achsahcharles6728
@achsahcharles6728 3 года назад
😂😂😂yuko Kalemii
@saidessry9942
@saidessry9942 3 года назад
ninaswali hivi malaika wanamuasi mungu halafu malaika anaweza kushindana na jini nakushindwa nakusudia level ya malaika ni sawa na majini maana naona jibrael alizuiliwa mbinguni siku 21 na mapepo hii ni toomuch huyu kijana ameshukiwa na malaika wakubwa ambao hata hao mitume waliopewa vitabu hawakushukiwa nawo kashukiwa na mikaiil na jibriil namuaminia kwa faida kila mtu ana malaika wawili na anajini mmoja kila mtu anawo malaika kazi zao ni kuandika mema na mabaya yako na huyu jini ni qarin wako unazaliwa nae kazi yake ni kukshawishi ktk maasi hivi viume haviingiliani na binadamu wapo kazini mpaka unakufa
@samuelnshimiye449
@samuelnshimiye449 2 года назад
prophet of GOD
@andrewbigambo6721
@andrewbigambo6721 3 года назад
Sijamfustilia nimesoma maoni nimeshapata picha halisi.Anisidie kupata picha alizopiga mbinguni. Ni hivyo tu.
@suzansimon5296
@suzansimon5296 3 года назад
😂😂😂
@vaghoghontweki9827
@vaghoghontweki9827 3 года назад
Davistar hebu punguza basi maneno tupate series ya matukio,,,,hapo hata mfuatano wa matukio haupo kabisa,,,,,,muache atiririke ujaribu kuuliza a penye ulazima🙏🙏
@marthachai.humjuimalaikata939
@marthachai.humjuimalaikata939 3 года назад
AAA dada humjui malaika Tamuel Kwa kuwa hutumiki Kwa njia hiyo
@happynesskimt6249
@happynesskimt6249 3 года назад
Na mimi nafatilia ila sielewielewi 🤭😅😅😅😅😅
@just_this_way
@just_this_way 3 года назад
Yani stori ya Uongoooo. Eti malaika wana jinsia 😳😳😳
@swaeleesalim1272
@swaeleesalim1272 3 года назад
Interesting story tunataka movie sasa
@oscarkibate1913
@oscarkibate1913 3 года назад
Mungu atusaidie tuwe macho wakristo
@shamimhayat7637
@shamimhayat7637 3 года назад
Huu uwongo wa kipuuzi
@happykajeli5453
@happykajeli5453 3 года назад
Asante baba yangu unanijenga ktk imani
@paulagola919
@paulagola919 3 года назад
Bakora za kimkakati yupo wapi?huyu wa kuvaa jeans zilizochanika mwache ahojiwe na daniel shillah 🤣🤣🤣
@ole_larusai587
@ole_larusai587 3 года назад
Davistar niseme tu nilikuwa nakuamini sana! Sasa naona umekuwa kama unashindwa kutambua stori za kutungwa? Huyu ndio wale akina Mtakatifu Mziwa! Ni walewale! Akiimaliza huu uongo uniwekee sheik Omary niendelee kupata shule.
@just_this_way
@just_this_way 3 года назад
Na mimi nakusapoti. Yani ni stori ya uongo.
@just_this_way
@just_this_way 3 года назад
@@ikabako2454 Ninyi wakristo mmezoea hizo fix, sisi waislamu hatu-intatain mambo ya fix. Kwa waislamu ukija na hizo fix unatiwa bakora mpaka unashika adabu.
@ole_larusai587
@ole_larusai587 3 года назад
@@ikabako2454 hatuwezi tukanyamazia upuuzi wa kusimuliwa uongo. Hii channel bila sisi watazamaji haina maana
@happyperson3016
@happyperson3016 3 года назад
Huyo spiritual father wake ndio bonge la false prophet...matukio kibao amekuwa na scandal juzi tuu
@kimsamespa8490
@kimsamespa8490 3 года назад
Nilisikia urefu wa Malaika ni gorofa 4 kwenda juu anatisha kweli
@vellarose2596
@vellarose2596 3 года назад
Amen Amen🇧🇭🇰🇪👏🏽👏🏽👏🏽
@oscarkibate1913
@oscarkibate1913 3 года назад
“Beloved, do not believe every spirit, but test the spirits to see whether they are from God, for many false prophets have gone out into the world” (1 John 4:1). In this verse believers are commanded to “test the spirits to see whether they are from God.” This same command is echoed in other parts of Scripture as well. For example, in 1 Thessalonians 5:20-21 we find Paul exhorting the Christians to not “despise prophecies, but test everything; hold fast what is good.”
@upendoluv7197
@upendoluv7197 3 года назад
Davista bhana Eti anakupa hela
@elizabethjohn7177
@elizabethjohn7177 3 года назад
Nauifikishe zawadi
@francisgaudence511
@francisgaudence511 3 года назад
Tutafutie hamza atueleze kuhusu Israel na Palestina
@سعيدهعلي-ف5ك
@سعيدهعلي-ف5ك 3 года назад
Atakae maliza anihadithie jmn miye naona mapicha picha2 kama yote
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Haha Mata bn eti usiachee hata moja hatakama tutachukuwa mwexi mximaa😂😂😂😂💥💥
@frankanold9803
@frankanold9803 3 года назад
Hakika wewe Ni Mtume wa MUNGU
@faridaahmed2671
@faridaahmed2671 3 года назад
😂😂😂malaika hana jinsia apo umechemsha
@alphoncekusaja1114
@alphoncekusaja1114 3 года назад
Nahtaji kulifaham kanisa lake
@Davekigen
@Davekigen 3 года назад
Naona wengi hapa wanasema hii story ya kutunga na uwongo ila naona inaweza kuwa ya kweli lakini hao ambao anawaita malaika na mungu ni majini.Mwenyezi Mungu ameweka kila kitu wazi katika bibilia haitaji kuchukua mtu mbinguni au kuzimu iliawe mtume wake.Yesu christo ndiye njia ya kweli na ya kipeke chochote kingine ni cha ibilisi shetani.
@estherbarasa5807
@estherbarasa5807 3 года назад
Kigen, vile unakaa vitu vingi hauelewi
@Davekigen
@Davekigen 3 года назад
@@estherbarasa5807 Hebu nisaidie kuelewa
@qelseykenya3933
@qelseykenya3933 3 года назад
Nikija tz lazima nitafute kanisa lake
@evasaimon6764
@evasaimon6764 2 года назад
Shuhuda haieleweki haina mpangilio wa matukio yan kelele tupu
@nsubisingailo5006
@nsubisingailo5006 3 года назад
Na mimi usinisahau kwenye mgao wa energy drink
@moreenmbatha1147
@moreenmbatha1147 3 года назад
Zuu mimi number1
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад
napia ututajie hawa mitume waongo
@berthamghanga1093
@berthamghanga1093 3 года назад
Hilo nalo neno, atutajie tuwajue
@edwardsamwel5084
@edwardsamwel5084 3 года назад
Pamoja sana nabi
@nooor1120
@nooor1120 3 года назад
Mapepo hao wanakuhadaa wanajibadilisha wanachezea akili yako.
@carolinewanza2648
@carolinewanza2648 3 года назад
Mm ningeomba kama inawezekana nikaongea nae ju nina matatizo
@qelseykenya3933
@qelseykenya3933 3 года назад
Mimi nipate zawadi Great fan nawapenda bure
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
Nani aliye muhukumu Yesu?
@mariamndimbo8833
@mariamndimbo8833 3 года назад
Yesu ajahukumiwa
@angelbenjamin7326
@angelbenjamin7326 3 года назад
Mungu ni mwema
@kabulagodfrey5343
@kabulagodfrey5343 3 года назад
D naomba umuulize mtumishi kwanini manabii wengi makanisani,huwa wanaweza kuwatabilia wageni tu kwa mara ya kwanza lkn ukiendelea kusali kwa huyo nabii huwa hawezi kukutabilia tena?
@achsahcharles6728
@achsahcharles6728 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@rashidiwataka7618
@rashidiwataka7618 3 года назад
Davister mic 🎙 yako hipo mbali sana sauti yako atusikii sawa swali zako
@chingaboy6917
@chingaboy6917 3 года назад
Hii story ikiisha mtaniadisia yani uwongo mtupu
@ahyatibenn8319
@ahyatibenn8319 3 года назад
Astaghafirullah...
@saidhamad533
@saidhamad533 3 года назад
Noma
@juliusmushi6428
@juliusmushi6428 3 года назад
Davista mi zawadi yangu nitakuja kuchukua mwenyewe
@musicworldwide2625
@musicworldwide2625 3 года назад
Okay okay okay sawa
@rukiyaissa2005
@rukiyaissa2005 3 года назад
Muong mkubwa ww
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 3 года назад
😀😀😀😀😀
@benahdesigner
@benahdesigner 3 года назад
Kaka dav unachelewesha sana story
@asdasd9253
@asdasd9253 3 года назад
jamani Yule shekhe yuko wapi mbona mmemuacha nyuma
@rogermomodesty3568
@rogermomodesty3568 3 года назад
Mnaofatilia hi stor naomba kujua Ni mzuri au mbaya maana mi stor za Hawa akina aposto uwa sifatilii
@lifezest6274
@lifezest6274 3 года назад
Huyu ni nabii wa kweli. Msikilize utajifunza mengi. Ana neema kubwa ya kupata mafunuo mengi, anajua siri nyingi za ulimwengu wa roho. Usiangalie muonekano wake au umri wake, Mungu humchagua amtakae akitaka kutoa nishani. Waongo wengi ila huyu ni nabii kweli, labda akengeuge badae ila kwa sasa ni mtu makini na lucifer ana taarifa zake. Mungu amlinde mtumishi aendelee kumuaibisha shetani. The light side always wins.
@rosemarry2020
@rosemarry2020 3 года назад
Devi naomba namba zake tafadhali sana
@Sarah-hl9lr
@Sarah-hl9lr 3 года назад
Haha Davy eti moto utapungua?
@abushaddad989
@abushaddad989 3 года назад
Uongo mkubwa Malaika hawana jinsia Acha kudanganya kijana.
@paulinerathgeber1045
@paulinerathgeber1045 3 года назад
Wajuaje hayo?
@nsengakabulo4076
@nsengakabulo4076 3 года назад
Davist tupe story ya mana siyo iyu tutakajioneya siku ya mwisho njo tukawajuwe namAjina ya malaika
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 3 года назад
Huyu jamaa huyu mmmh!
@venessaroselyne566
@venessaroselyne566 3 года назад
Mr facts mashwali yako yananifanya nicheke😹😹😹
@georgemaji7915
@georgemaji7915 3 года назад
Huyu kaka ni takataka ya Ibilisi: rusifer!
@jamesolando2479
@jamesolando2479 3 года назад
Kwa nini sio Mungu iwe ibilisi?
@florencerose859
@florencerose859 3 года назад
Malaika jina Tamael? Hilo ni kigeni kwuangu na Mimi ni mkiristo
@bensonswai7575
@bensonswai7575 3 года назад
Ulitaman bibilia iwataj wt maelfu ya malaika yangeixha na ww tumika kiroho iliuzbtxh co mkristo jna afu unaongea ongea
@jesusislord9190
@jesusislord9190 3 года назад
MUNGU wangu malaika anatisha??? Huyo sio malaika wa MUNGU malaika wa MUNGU.. huwa hatishi.... huyo ni malaika gani???
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад
kwani na wewe umekutana na malaika mwenzangu
@jamesolando2479
@jamesolando2479 3 года назад
Alimuona kwenye ulimwengu wa kiroho siyo kimwili
@jesusislord9190
@jesusislord9190 3 года назад
@@jamesolando2479 ok kwasababu ameshuhudia mwenyewe basi MUNGU aweshahidi yake
@jesusislord9190
@jesusislord9190 3 года назад
@@valentinandukuvalentinandu4779 ndio ndo maana namshangaa anavyosema malaika anatisha
@jesusislord9190
@jesusislord9190 3 года назад
@@jamesolando2479 unajua swala la KI MUNGU.. shahidi wake ni MUNGU... na mimi siwezi kuthibitisha jambo ambalo sikulishuhudia wala MUNGU hakunishuhudia... wooote tumesoma... namna prophet's.... walivyokuwa na sifa zao... na hutokea wapi?? Na hutokana na nn?? Basi ikiwa ameshuhudia kweli nayo ni kweli basi MUNGU wa mbinguni... atakuwa anamshuhudia... na ikiwa yu miongoni mwa wale manabii wa uongo waliosemwa na Ezekiel kwa ufunuo wa MUNGU.., waliosemwa... katika Zaburi... waliosemwa na YESU mwenyewe... basi atajuwana nae YEYE ampae kila mtu haki impasayo....Ubarikiwe sana...
@petersume2780
@petersume2780 3 года назад
Mbona kama movie hivi, au imani yangu haba.
@Sarah-hl9lr
@Sarah-hl9lr 3 года назад
😁😁 engeza imani
@macamezunguzungu5697
@macamezunguzungu5697 3 года назад
Duh🙄💪
@rahaisacl9954
@rahaisacl9954 3 года назад
Prophet ako na macho matatu........ Atupe no jmn tunahitaji maombi
@kakajoss2464
@kakajoss2464 3 года назад
Mtumishi yuko sawa huyu
@nurukhamis7454
@nurukhamis7454 3 года назад
😫😫Napita jamani 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
@jesusislord9190
@jesusislord9190 3 года назад
Haya.... twende..labda tutaelewa
@Maryam-vj1rb
@Maryam-vj1rb 3 года назад
Davistar iko wapi sheikh Omar hatutaki hiyo Story
@msrj5764
@msrj5764 3 года назад
Utak wewe pekeako wengine tunataka
@milkahotieno2198
@milkahotieno2198 3 года назад
Safari ya mbinguni ya pendeza
@edwardsamwel5084
@edwardsamwel5084 3 года назад
Manabii wa uongo wako wapi wasikie
@mainapatrick2295
@mainapatrick2295 3 года назад
Nice story big up brother 🙏
@FineLOOKtZ
@FineLOOKtZ 3 года назад
Number zake please mr fact... naishi mbali sana nahitaji number zake za watsapp...
@subiramohd1895
@subiramohd1895 3 года назад
Unataka mukamuone mungu pamoja auu
@subiramohd1895
@subiramohd1895 3 года назад
Unataka mukamuone mungu pamoja auu
@rukiyaissa2005
@rukiyaissa2005 3 года назад
Muong
@FineLOOKtZ
@FineLOOKtZ 3 года назад
Так точно
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
@@subiramohd1895 🤣🤣🤣🤣🤣
@subiramohd1895
@subiramohd1895 3 года назад
Ndio hawa wanaokuja kutubu wakasema wameuwa watu elfu moja kwa siku
@سعيدهعلي-ف5ك
@سعيدهعلي-ف5ك 3 года назад
Asitaghafrulilah Jamani dunia naona imefika mwisho 🤣🤣🤣🤣🤣
@jamesolando2479
@jamesolando2479 3 года назад
Unahitaji kujifunza zaidi.akili yako isifungwe kwenye be open minded. Hivi mtume Muhammad alikutana na nani kule pangoni?
@سعيدهعلي-ف5ك
@سعيدهعلي-ف5ك 3 года назад
Achana na habara za mtume Muhammad huyo anaongea habari za mtume Muhammad acheni kufanya comedian jmn aty amalaika wakiume anamabawa🤣🤣 astaghafrullah
@jamesolando2479
@jamesolando2479 3 года назад
@@سعيدهعلي-ف5ك malaika unayemjua wewe yukoje?
@سعيدهعلي-ف5ك
@سعيدهعلي-ف5ك 3 года назад
@@jamesolando2479 my brother miye sijawahi kumuona malaika na sijui umbo lake lkn haya ninayo yasikia hayaingii akili
@jamesolando2479
@jamesolando2479 3 года назад
@@سعيدهعلي-ف5ك sister moja hujawahi kumuona malaika, lakini pili hata umbo lake hulijui, sasa inakuaje unaanza kupinga? Ungekuwa unajua basi ungetwambia kwamba hayuko hivyo bali yuko hivi, unahitaji kujifunza zaidi dada
@mamyomar9206
@mamyomar9206 3 года назад
1
Далее
КОСПЛЕЙ НА СЭНДИ ИЗ СПАНЧБОБА
00:57
SADAKA NA FUNGU LA KUMI
48:56
Просмотров 20 тыс.
Prophet Muhammad and Aisha's Adultery (Al-Ifk)
16:31
Просмотров 709 тыс.