MUNGU akubariki sana prophet simama imara kabisa na Kazi ya MUNGU utabarikiwa zaidi na zaidi uzidi kufungua watu kutokwa kwa utumwa wa ibilisi bwana yesu apewe sifa milele nguvu na ufukufu ni vyake milele tumsifu MUNGU ni wa neema kubwa. tuombee sana prophet..
Kwakwel mpzi kwann shetani aeze kukupa majini 1000 why mungu asikupe malaika wake na yy wakulinde mm namuamini kwakweli acha mungu atuonyeshe yake tumepotea sn
Upo sahihi mnoo ninacho gundua watu wamezoea habari flani hizi zingine zenye neema ndani yake watu hawapo teyar kuamini Bali ninaimani had mwisho wa story mwenye akili na maarifa atapata kuelewa na kujifunza zaid nayaweza kua akapata kurekebika Kwa namna moja ama nyingne
inawezekana ikawa sio ya kutunga lakini aliwowaona moja kwa moja ni mashetani mtu mvuta bangi anapewa utume ndani ya miezi mitano ila mengi ktk maneno yake anatoa ktk ufahamu wake binafsi kila maswali anayoulizwa anajibu kwa ufahamu wake na ianoneshea bado kijana mdogo hajapekua vitabu vya kutosha lazima tuwe makini asante alphonce
Kanisa lako nalipiga na kuliangamiza wewe na familia yako acheni uchawi kwajina la YESU KRISTO MUNGU WETU AMEN AMEN mgeukieni mungu haraka kama hamtogeuka basi nafyeka wote na kanisa nalifunga kwa jina la YESU KRISTO AMEN
Watu mmezoe story za kichawi mara majini mpaka mmekolea hata mungu aliye hai mmemsahau, na yeye pia anamatukio kuzidi hao mnaowafagilia yeremia17 amelaaniwa yule amfanyaye mwadamu kuwa Kinga yake, mwaminini mungu
ninaswali hivi malaika wanamuasi mungu halafu malaika anaweza kushindana na jini nakushindwa nakusudia level ya malaika ni sawa na majini maana naona jibrael alizuiliwa mbinguni siku 21 na mapepo hii ni toomuch huyu kijana ameshukiwa na malaika wakubwa ambao hata hao mitume waliopewa vitabu hawakushukiwa nawo kashukiwa na mikaiil na jibriil namuaminia kwa faida kila mtu ana malaika wawili na anajini mmoja kila mtu anawo malaika kazi zao ni kuandika mema na mabaya yako na huyu jini ni qarin wako unazaliwa nae kazi yake ni kukshawishi ktk maasi hivi viume haviingiliani na binadamu wapo kazini mpaka unakufa
Davistar hebu punguza basi maneno tupate series ya matukio,,,,hapo hata mfuatano wa matukio haupo kabisa,,,,,,muache atiririke ujaribu kuuliza a penye ulazima🙏🙏
Davistar niseme tu nilikuwa nakuamini sana! Sasa naona umekuwa kama unashindwa kutambua stori za kutungwa? Huyu ndio wale akina Mtakatifu Mziwa! Ni walewale! Akiimaliza huu uongo uniwekee sheik Omary niendelee kupata shule.
@@ikabako2454 Ninyi wakristo mmezoea hizo fix, sisi waislamu hatu-intatain mambo ya fix. Kwa waislamu ukija na hizo fix unatiwa bakora mpaka unashika adabu.
“Beloved, do not believe every spirit, but test the spirits to see whether they are from God, for many false prophets have gone out into the world” (1 John 4:1). In this verse believers are commanded to “test the spirits to see whether they are from God.” This same command is echoed in other parts of Scripture as well. For example, in 1 Thessalonians 5:20-21 we find Paul exhorting the Christians to not “despise prophecies, but test everything; hold fast what is good.”
Naona wengi hapa wanasema hii story ya kutunga na uwongo ila naona inaweza kuwa ya kweli lakini hao ambao anawaita malaika na mungu ni majini.Mwenyezi Mungu ameweka kila kitu wazi katika bibilia haitaji kuchukua mtu mbinguni au kuzimu iliawe mtume wake.Yesu christo ndiye njia ya kweli na ya kipeke chochote kingine ni cha ibilisi shetani.
D naomba umuulize mtumishi kwanini manabii wengi makanisani,huwa wanaweza kuwatabilia wageni tu kwa mara ya kwanza lkn ukiendelea kusali kwa huyo nabii huwa hawezi kukutabilia tena?
Huyu ni nabii wa kweli. Msikilize utajifunza mengi. Ana neema kubwa ya kupata mafunuo mengi, anajua siri nyingi za ulimwengu wa roho. Usiangalie muonekano wake au umri wake, Mungu humchagua amtakae akitaka kutoa nishani. Waongo wengi ila huyu ni nabii kweli, labda akengeuge badae ila kwa sasa ni mtu makini na lucifer ana taarifa zake. Mungu amlinde mtumishi aendelee kumuaibisha shetani. The light side always wins.
@@jamesolando2479 unajua swala la KI MUNGU.. shahidi wake ni MUNGU... na mimi siwezi kuthibitisha jambo ambalo sikulishuhudia wala MUNGU hakunishuhudia... wooote tumesoma... namna prophet's.... walivyokuwa na sifa zao... na hutokea wapi?? Na hutokana na nn?? Basi ikiwa ameshuhudia kweli nayo ni kweli basi MUNGU wa mbinguni... atakuwa anamshuhudia... na ikiwa yu miongoni mwa wale manabii wa uongo waliosemwa na Ezekiel kwa ufunuo wa MUNGU.., waliosemwa... katika Zaburi... waliosemwa na YESU mwenyewe... basi atajuwana nae YEYE ampae kila mtu haki impasayo....Ubarikiwe sana...
@@سعيدهعلي-ف5ك sister moja hujawahi kumuona malaika, lakini pili hata umbo lake hulijui, sasa inakuaje unaanza kupinga? Ungekuwa unajua basi ungetwambia kwamba hayuko hivyo bali yuko hivi, unahitaji kujifunza zaidi dada