Acha yakukute ni sawa mungu alikuwa anakulipa Kwa ulivokuwa unawakaba watu na Bado ile dhambi haijaisha na hata ukifa uliwazulumu wote lazima wachukue thawabu zako kama fidia yaan ni lazima wafidiwe dhulma ulizowafanyia Kwa hiyo we kaa ukijua siku ya hukumu lazima thawabu zako zichukuliwe na wafidiwe watu uliokuwa ukiwakaba na kuwazulumu kibaka mkubwa weee
@@fahadjinni5845 Kwan mi nimehukumu kuwa ataenda moton Mimi nimenukuu Hadith ya mtume inayosema kuwa siku ya kiama watu watakuja na swala watakuja na zaka na funga na Kila aina ya amali lakin alimzulum yule akamnyanganya yule mungu atakachokifanya dhawabu za huyu mtu mwema zitachukuliwa wafidiwe wale waliowazulumu hiyo ni hadithi ya mtume sio Mimi
@@fahadjinni5845 kiujumla Hadith mtume aliwauliza maswahaba je mnamjua mtu aliefilizika maswahaba wakajibu ndio SI ambae alikuwa na Mali ila akaondokewa na Mali yake mtume akawajibu hapana mtu aliofilisika ni mtu atakaekuja siku ya kiama Hali ya kuwa ana Kila aina ya amali njema kama swala zaka funga lakin alimzulum yule alimnyanganya yule ndipo mungu atakapochukua dhawabu za huyu mchamungu kuwafidia wale aliowazulumu na aliowanyanganya mtume akasema huyo ndio mtu aliefilizika atakuja na amali nyingi siku hiyo lakin atanyanganywa na wafidiwe wale aliowazulumu
@@amossmabangotz2032 Kwa hiyo haijalishi kuwa ametubu au hakutubu ili mungu amsamehe ni lazima awaludishie aliowazulumu haki zao na kama haiwezekan au hawajui Tena inatakiwa akaitoe sadaka hiyo Mali ya kiwango alichozulumu. Kwa Niaba ya wale aliowazulumu maana yake hayo malipo ya hiyo sadaka watayapata wale waliozulumiwa na sio yeye tofaut na hivo hakuna nyia nyingine ya kujinasua