Ooooooh!!!! Haleluyaaaaa! Nimefurahi sana kukuona tena Kaka angu casian, Mungu akukumbuke kiongozi wetu makonda kwa kazi kubwa uliyoifanya hakika kuna watu wameandaliwa kwaajili ya wengine
Mungu aikumbuke sadaka yake aliyo ipanda kwa Casian hakika hukutupa tumeona mafanikio na juhudi za kuokoa uhai wa pascal zimefanikiwa Mungu abariki vyanzo vyako vya mapato na kazi zako
Ainuliwe Mungu alieye juu!!glory and honor is before Him Alpha na Omega barikiwa sana mtumishi makonda na wote waliosimama na kuugua na mtumushi katika shida huo ndo upendo ,yaani nikiona mtumishi amesimama katika hali yake yakawaida Jamani utukufu Kwa Mungu,moyo wangu unabubujika Kwa Furaha kuu kweli Mungu ni Mungu amini
Daaaaa aise ujue Mungu yupo jmn? Shauri ya yule asiyeamini. Hakika ntamsifu Mungu mpaka mwisho Wa maisha yangu. Ahsante Mungu kwa kumrejesha kaka yetu km awal hakika ww ni Alfa na Omega.
Hakika Mungu ni mwaminifu mpaka sasa umesimama tena kaka yetu paschal. Yesu aliponya kumi lakini aliyerudisha shukurani kwake ni mmoja tuu na akaulizaa waliponywa kumi kenda wako wapi?? paschal umefaya jambo la kheri Sana kuwa mmoja wa yule aliyerudi kushukuru. Shukhrani zako ziwafikie woote waliosimama nawe kwa michango na hata kwa sala pia kaza buti na hongera kwa kulishinda jaribu.
When you fumble or fail or feel rejected,the bible is there to remind you that you are loved and accepted no matter what, up to that far is the powerful hand of GOD.AMEN
Unakila sababu yakumwimbia wimbo makonda. Ila kuna nyumbu zaufipa zitakuja zitawabeza nakusema mlipanga ili mpate kiki kwatatizo lako. Mungu awalaani misukule hawa.