Mashallah wanivutia kwamsimamo wako wadini ak nakuombea ALLAH akuhifadhi nakukujalia mkemwema inshaallah nakupenda bure Patrick Jihifadhi usiwekama wasanii wenzio walio jiharibu kitabia kisa ni usanii LOVE you ak💕
Sultana show Iko best than any show. Keep it up, I'm your best number one fan in Kenya and I wish you the best. Continue with your occupation of acting. I like it.
I really love this guy walahi,kijana mwenye hekima zake mpole na mwenye heshima anaonekana kwa mwonekano wake na mwendo na ni mcha Allah sana,, you're a good actor nakupenda sana #Othman wish to meet you one day face to face,,
Ndugu mtangazaji nna mashaka na ww unqvyojivunja vunja kwa mwanangu kwanza hiyo Miwani umeivaa Ili umuagalie yy tu yy asikuone mwanangu bado mdogo huyo usijivunje vunje hapo.
Personal oberservation: Most TZ actors / artistes Wana nidhamu kwenye kazi zao za usanii hamna ulevi, Wala hawana maringo. Kuja Kenya, mtu amekuwa featured in one episode kama maid lakini ukimwita interview atakuuliza umutumie ndege imlete studio🤣🤣 Kenya Ina malipo mazuri sana Kwa wasanii, Kenya ni London ya East Africa. Dem uyu wa interview mbali ni kumuhoji pia anajitafutia kazi ya kuolewa na huyu kijana🤣...ameona Raha sana akisema Yuko single na Hana mtoto. Good interview though, keep supporting the industry
Huyu si ni patrick aliuza chumba xha mjombake JJ🤣🤣🤣🤣amekua mkubwa araka sana.kymbe aliuza akatorokea kwetu kenya.coz sikumuona tena😂😂😂😂.any way karibu kwetu kenya.we love visitors.bora ukae kama mgeni😏