Тёмный

NIFFER AMUOMBA MSAMAHA VUNJABEI, PENZI LAKE NA PATRICK KANUMBA MAMBO NI 'HUYU HAPA HUYU.....' 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 167 тыс.
50% 1

NIFFER AMUOMBA MSAMAHA VUNJABEI, PENZI LAKE NA PATRICK KANUMBA MAMBO NI 'HUYU HAPA HUYU.....'
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

9 ноя 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 240   
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 Год назад
Hata akisemwa nakapenda tu. dada Niffer hongera yu found true love uko happy and proud of your Man
@sichanaali7284
@sichanaali7284 Год назад
Weeeeeeh! nampenda huyu dada ❤❤❤yuko vizuri anajilewa nampendaaaaaah😍😍😍
@Chatt-town
@Chatt-town 7 месяцев назад
Perfection ❤❤❤
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 Год назад
Watu wanawivu sana jamani unamchukia hata usiemjua niugonjwa wa akiri kumchukia usiemjua. Nifff ochu wako na unampenda sana mfike mbali ❤️
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 Год назад
Aaaa naona wengi wanaomsema bi dada wamepigwa hatua balaaa Yani MTU ukifanikiwa ukizingatia umri mdogo 🤣😂😂😂😂😂aloo niffer achana nao piga KAZ mwenyez mungu yu pamoja na wewe♥️💞♥️❤️❤️💖💖
@hamisahodari9229
@hamisahodari9229 Год назад
Bila gigy wala uyu dem nilikuag cmjui jmn....🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@neemapatrick1610
@neemapatrick1610 Год назад
kam mm ty
@fauziakitenge8061
@fauziakitenge8061 Год назад
Mmmh niffer anajimaliza kwa huyo ochu
@joshuamkupi6893
@joshuamkupi6893 Год назад
VUNJA BEI AFUNGUKA MAZITO KUHUSU NIFFER🔥🔥 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-9vhp4e5JrBY.html
@hawamfaume3171
@hawamfaume3171 Год назад
Niffer n mzur kuongea anaweza yupo charming sema anauhaya mwingi
@lindaemmanuel4446
@lindaemmanuel4446 Год назад
muache jmn muhaya mwenzangu
@yasinthaprosper4226
@yasinthaprosper4226 8 месяцев назад
Hahaha NAMI Muhaya otyooooo hahahaha
@jacintabati6238
@jacintabati6238 Год назад
Dada maringo huyu kwa kweli
@azinarashidi5204
@azinarashidi5204 Год назад
Huyu bado mdogo🥰🥰love you Niffer M napenda unavyompenda Mungu🥰🥰
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz Год назад
Niffer: mimi sina boyfriend nina mwanaume Niffer baada ya dakika tano: boyfriend wangu mnyamwezi sanaaa
@justinemasweta2877
@justinemasweta2877 Год назад
aise watu mko makini
@ismailferouz8688
@ismailferouz8688 Год назад
Hhhhh mdomo koma hapo umensaidia ndg
@mrnobody-qg6ed
@mrnobody-qg6ed Год назад
We muhaya malaya sana wew I know u since kitambooo
@nadanasser1020
@nadanasser1020 Год назад
❤️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 nakupenda saaana dada
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 Год назад
Nakupnda wedada❤❤❤
@meryamreally2768
@meryamreally2768 Год назад
Ok sawa ❤️
@joysarah
@joysarah Год назад
Eti ana miaka 23😄😄🙌
@willygraphics360
@willygraphics360 Год назад
Kwani ni uongo?
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 Год назад
Bila gigy nilikua sikujui hakii vile🤣🤣🤣
@hamzamoshi8275
@hamzamoshi8275 Год назад
Niffer mzuri uyu dada uuuuuuwiiiiii💜💜💜💜💜💜💜💜🙆🏻‍♂️✔✔✔
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Год назад
wa kawaida sana mbona..uso mzitp
@wisperfect5320
@wisperfect5320 Год назад
Macho yako mabovu tu😀
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 Год назад
Hata asemwe vibaya me Niffer nampenda sana, hata Mimi pia napitia unayopitia mpenzi, napigwa vita kisa upambanaji wangu, usiogope Mungu yupo na wanaotuwazia mabaya ukiangalia tumewazid Kwa Kila kitu, ko wache wabwatuke ila Mungu yupo nasi💪
@beatricekamenge7000
@beatricekamenge7000 Год назад
Siku zote ipo hivyo MPAMBANAJI lazima wakuongelee
@gabrielishmael5956
@gabrielishmael5956 Год назад
🤣🤣🤣🤣
@annafrancis7313
@annafrancis7313 Год назад
Na ukijipost wanasema unajidai unawaringishia😂😂😂😂
@albassammusaalbassam7487
@albassammusaalbassam7487 Год назад
Upambani Katika kudanga ama?
@sadasaid4408
@sadasaid4408 Год назад
Mashallah nifa uko vzr kuongea
@charlessalimu5875
@charlessalimu5875 Год назад
Mara boyfriend mara mwanaume wangu, ni hatari na mademu wa Tanzania
@tausihasheem5169
@tausihasheem5169 Год назад
Nimependa ulivyosema kitu cha kwanza n kumuamin Mungu🙏
@rehemalukali8326
@rehemalukali8326 Год назад
Unaangaika tu fredy wala hana muda na wewe na ndoman hakujibu coz kakuzarau
@vickydan2869
@vickydan2869 Год назад
Saaaaana
@rehemalukali8326
@rehemalukali8326 Год назад
Kila interview lazima ajiongeleshe kuhus Fred mwenzie yupo kimya
@allanikaal6379
@allanikaal6379 Год назад
I don't know why people catching feeling with this girl first of all ni mdogo inafaa mjue lazim atakuwa na immature nyingii kwa umri wake mambo ya kujickia n kitu cha kawaida ngojeni afike miaka 25 kwenda juu ndo muanze kumwambia aache maringo
@halimakanik8789
@halimakanik8789 Год назад
Amefika25 vzur tuu
@yasinthaprosper4226
@yasinthaprosper4226 8 месяцев назад
Umeona kaka ndy Ile barehe bado anayo utoto Yani. Akifka25 hatokuwa hvo Kwanza akili itachange.maringo yatapungua NAMI nilikuwa hvo si Mimi Tu Kila kijana
@loveneypoul9285
@loveneypoul9285 Год назад
Nakupenda niffer🤩
@chuchudorice8531
@chuchudorice8531 Год назад
Kwany kuwa kuwa na ex nikuwa ulikuwa umeolewa mxieeew huyu anajiona Nani kulikuwa wengi wanoma hata kina wema ila Leo wametulia punguza misifa
@imranihussen5764
@imranihussen5764 Год назад
Niffet nakupenda san❤
@daglaskiberenge106
@daglaskiberenge106 Год назад
unachanga'nya habari mwadada kama ulitoa kimpango wako mlielewana ss sio watoto wadogo ulikolea kisa mkwanja, habari tunayo!
@deus8629
@deus8629 Год назад
Ipo siku huyo mwanaume unae msifia tutasikia story nyingine... tunza hii comment pls
@vicentmlumba591
@vicentmlumba591 Год назад
Bichwaa ndio romantic name🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@issahpaul4510
@issahpaul4510 Год назад
Huyu demu kalewa na umarufu
@MahelaMnazaleti-vg6mo
@MahelaMnazaleti-vg6mo Год назад
Mtazamo wako tu
@furahayahaya8472
@furahayahaya8472 Год назад
yan nakupenda mno sanaa beby niffa
@noelalubulilla6362
@noelalubulilla6362 Год назад
Hahahahaha sema niffer unampenda ochu ..ata ukimuongelea tu inaonyesha
@thekennedy2002
@thekennedy2002 Год назад
Mchaga ww ni mnyamwezi nmekubali unajua interview
@faridaabdallah7424
@faridaabdallah7424 Год назад
Kwan mkisemaga mna date ndo kitatokea nini
@ashanguya843
@ashanguya843 Год назад
Wewe aueleweki mara wasema ausuki ayo manywele ulio nayo au auswali tena we mnafiki aueleweki
@mimikimanga3126
@mimikimanga3126 Год назад
Acha makasiriko weweeee
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
@@mimikimanga3126 kwakweli, anataka aeleweke ili iwaje sasa,..
@masika.zubeda.430
@masika.zubeda.430 Год назад
She is 23 daah kumbaaa nikoo 12😂🤣🤣🤣
@vestinambunda8837
@vestinambunda8837 Год назад
Tutunze interview🤣 Maan Nana dolly ni pisiii kweliii na akabagwaa🤣🤣🤣 Itakuwa ww sura nzitoo ivoooo punguzaaa mihemkoooo dada weka na akibaaa ya maneno
@zailethomary4093
@zailethomary4093 Год назад
Sem wat mna wiv
@dayanandama8873
@dayanandama8873 Год назад
Nana hajawahi kudate na ochu ww....ni washkaji tuuh maana wanaigiza series moja ya pazia
@vestinambunda8837
@vestinambunda8837 Год назад
@@dayanandama8873 Kaa hapo hapo🤣
@hassansammy1076
@hassansammy1076 Год назад
Niatari kweli
@wisperfect5320
@wisperfect5320 Год назад
Eti ongea kiswahili bhn😁
@preciouspeter2897
@preciouspeter2897 Год назад
Mmmh
@rosenaafya9356
@rosenaafya9356 Год назад
Nmependa mwishoni Saloon gani Et needvaa aaaha Sijui😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 Год назад
Ahahahahaaaa Ahahahahaaaa jmn mimi ni muhaya lakini sijafikia ayo majigambo aya
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 Год назад
Huyu demi mshamba kweli, kweli mjuaji saaana! Mademu kama nyinyi ndio vile
@hashimlowela294
@hashimlowela294 Год назад
Ila niffa anacheka vizuri kinoma af napenda mdada mwenye kaaibu flani iv kama uyo duh dogo Suma anafaid
@chidybwax8080
@chidybwax8080 Год назад
Tutafut hela jaman salooon hoyeeee
@kwisa4899
@kwisa4899 Год назад
Umaarufu unamlevya na hilo Duka
@saimarmuhsin9578
@saimarmuhsin9578 Год назад
Mfyuuu ujinga tu mwanume si akuoe mnafanya uzinifu kisha manaongea kwa proud kabisa khaa uchafu tu
@mussafoum6562
@mussafoum6562 Год назад
Nice one
@canisiusjohnkayombo4996
@canisiusjohnkayombo4996 2 месяца назад
Mapenz konyo kweliiii kwaiyo kashaachana na patrick,sahivi niffer kafunga ndoa na mwingine,kwel kila mtu nawakati wake
@divinebernard1047
@divinebernard1047 Год назад
Kwanza apo kwa urembo atukome!!uyu dada mbaya ilaanajiona sijuwi Rihanna 🤔🤔
@swaumironlady3645
@swaumironlady3645 Год назад
Mnaanzaga sio yy mwsho wa siku mambo hadharan
@sophiangaoga7451
@sophiangaoga7451 Год назад
Ila tukitaka ubuyu Zaid tumuone dada mange kimambi kuhusu huyu bibie .
@reneeisaya733
@reneeisaya733 Год назад
Demu muongo huyu,kfc piza ya matako😂
@theopistachialo6750
@theopistachialo6750 Год назад
😅😅😅😅😂😂😂
@rehemaothman2475
@rehemaothman2475 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@stewardmbena3737
@stewardmbena3737 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Год назад
Sasa uongo wake nini? KFC 🍗 kula 🍕 umeona ni kitu kikubwa
@reneeisaya733
@reneeisaya733 Год назад
@@NR-ll4sr 🤣🤣🤣kfc tangu lini kuna piza
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 Год назад
Me napita tu maana comment za waja sina la kusema
@jamilajamal1584
@jamilajamal1584 Год назад
Binti huyu ni anajitambuwa ni bichwa kweli❤️
@rehemalukali8326
@rehemalukali8326 Год назад
Huy ndo inaonekana anampenda san mwanaume ila ataachwa muacho mmoja matata
@khadijandege2036
@khadijandege2036 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rehemaothman2475
@rehemaothman2475 Год назад
😅😅😅😅😅jamani
@vickydan2869
@vickydan2869 Год назад
Hahaha muacho
@rehemalukali8326
@rehemalukali8326 Год назад
@@vickydan2869 😂😂😂
@donkaloza6985
@donkaloza6985 Год назад
😂😂😂😂
@Gody360
@Gody360 Год назад
MaKn
@bossjooh
@bossjooh Год назад
Daaaah Mdada Mzuri Uyu ila amfikiii Wanguu🙅☕️🙅☕️
@eliasenyaleonard178
@eliasenyaleonard178 Год назад
Et ongea kiswahili
@abedomar5183
@abedomar5183 Год назад
Mademu wa bongo njaa Sana yani
@munnahbakari725
@munnahbakari725 Год назад
Kumbe Kfc wanauza na pizza siku hizi na watu hata hamsemi jamani..
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Год назад
😂😂😂
@nin6324
@nin6324 Год назад
KFC Mikocheni Kuna Pizza Hut
@diywithhassy3773
@diywithhassy3773 Год назад
@@nin6324 uwongo uwoo pizza hut iko kivyake kfc kinyake loh
@tausihasheem5169
@tausihasheem5169 Год назад
🤣🤣kaupiga mwingi
@tonestisakwe368
@tonestisakwe368 Год назад
😅😅
@jacklinechuga2569
@jacklinechuga2569 Год назад
Jomoniii nimekupenda bure niffer
@dianadenice3610
@dianadenice3610 Год назад
Hujui ata kudanganya mjinga wrw😅😅
@valeriaally6584
@valeriaally6584 Год назад
huyo Ochu ndio kwanza anakua,bado ujana hajaumaliza,usijimalize dada ukadharau ulikotoka
@abasisudi1809
@abasisudi1809 Год назад
Gud girl but mtii mungu wanadam Wana mengi
@suzanmeela5542
@suzanmeela5542 Год назад
Yan kajing'ata akubali tuu ochu ni mwanaume wake ndo ndo hyo boyfriend wake
@halimambarouk4612
@halimambarouk4612 Год назад
Unamuamini mungu kweli dada angu lkn ujistiri
@kingnicky2568
@kingnicky2568 Год назад
Eti ukamweka ndan haya bwana ipo sku mtu atajichangnya ...ntanunua hio kesi hta amini
@everlyne8595
@everlyne8595 Год назад
Uyo wanadatevzr sana
@lusekelodaison8159
@lusekelodaison8159 Год назад
Mara ana mwanaume tena anageuka ana boyfriend au mm ndiye sijamuelewaaa
@fakiikibakola1300
@fakiikibakola1300 Год назад
GIGI ashukuliwe mmi nilikua simjui hyu
@rehemalukali8326
@rehemalukali8326 Год назад
Huy ndo amshukuru gig coz kajulikana 😂😂😂😂
@givenlugenge2212
@givenlugenge2212 Год назад
Wewe kama mim😅
@hashimlowela294
@hashimlowela294 Год назад
😄😄😄
@mwajabukaseke8710
@mwajabukaseke8710 Год назад
Ochu hajafkish 25
@noraazan9124
@noraazan9124 Год назад
Wivu wa watu tu.Songa mbele
@carlitomsolla7287
@carlitomsolla7287 Год назад
Kwann kawa maarufu uyyu bongo bwana sasa anatak kusemaje
@nasseralhatmi1762
@nasseralhatmi1762 Год назад
Duuuuuh hii balaa jamani toka lini pizza 🍕 ikauzwa KFC labda pizza ya kwake mwenyewe ndio anaiuza
@merisianantandu1327
@merisianantandu1327 Год назад
😂😂😂anaona wote washamba hatujui KFC nini inauzwa
@vennyrichard2139
@vennyrichard2139 Год назад
@@merisianantandu1327 hahàaa KFC sijawah ona pizza jmn
@nin6324
@nin6324 Год назад
Nenda KFC Mikocheni pale kuna Pizza Hut and KFC
@nasseralhatmi1762
@nasseralhatmi1762 Год назад
@@nin6324 nafikiri wewe umetoka hospitali ya mirembe angalia vizuri ulivyoandika pizza hut na kfc ni vitu viwili tofauti pizza hut haiuzwi KFC hata siku moja pumbavuuu wewe
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 Год назад
@@merisianantandu1327kwanini wasiuze najiulizaga
@vickydan2869
@vickydan2869 Год назад
Unampenda sana patrick cjajua nayy anakupenda hvhv alaf unapenda ukiulizwa kama unadate nae ila patrick cdhan kama anaweza kukuoa kwa ulivo ww ni muongeaji sana na sifa juu sory lkn
@paskalinapa6177
@paskalinapa6177 Год назад
Yap ata mm siko sure kama anaeza olewa na Patrick Kanumba
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 8 месяцев назад
Mmh zambi Yule kinyoz amekataliwa 😂😂kisa Hana salali😢
@najuf8021
@najuf8021 Год назад
Mimi nikajua anaakili
@sheilahhamid8510
@sheilahhamid8510 Год назад
KFC Kuna pizza??
@shadrackkassale2968
@shadrackkassale2968 Год назад
Bichwa🤣🤣🤣 nakupenda sana vile unajikubali
@zulehhasani6690
@zulehhasani6690 Год назад
Et ongea kiswahili bwana 😂
@tabomusic3625
@tabomusic3625 Год назад
Babu hakuna kitu kitafanya amani iwepo kwenye mapenzi zaidi ya kipara yaani kipara kinaanza vingine baadae
@user-ce2uj8oi4h
@user-ce2uj8oi4h 8 месяцев назад
😅😅ety bichwa nimefrah
@Officialmrisho
@Officialmrisho Год назад
Haaaa
@samwelipaschal6412
@samwelipaschal6412 Год назад
Aka kadada Kazuri wivu tuache jaman sema ndo ivo wengine atunaga neema mm huyu akiwa rafik tu nalizika
@madamoppa-cg9hd
@madamoppa-cg9hd Год назад
Hakana uzuri...wowote usimpe sifa zisizo zake
@zailethomary4093
@zailethomary4093 Год назад
Kazur afu mpambanaj
@stamalamkulungwa8708
@stamalamkulungwa8708 Год назад
Dada wawatu anapambana mwacheni jamani
@mayamu2150
@mayamu2150 Год назад
Miaka 23 ya mbwa
@sameeraaljabry8703
@sameeraaljabry8703 Год назад
kfc mkala pizza😂😂😂
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 Год назад
Mmmmh majirani hawezi kuongea uongo
@YasiniHasani-og4hc
@YasiniHasani-og4hc Год назад
Kwa uzur gani
@amenyemwansile6919
@amenyemwansile6919 Год назад
Mshamba wee muombe msamaha gigy money kwa kumtukana bila sababu za msingi wewe umemwonea gigy wewe ningekuwa mimi ningekunyooosha
@francisjuly5761
@francisjuly5761 11 месяцев назад
Wacuba tushaelewaa😂
@paskalinapa6177
@paskalinapa6177 Год назад
Hauna uzuri wowote😏😏😏😏 punguza mdomo, una ropokwa vibaya na mwisho wa siku hyoo Patrick Kanumba atakuacha tuu.
@fatimarita6490
@fatimarita6490 Год назад
KFC za tz wanauza 🍕 pizza
@rinmo2124
@rinmo2124 Год назад
Huyu dada mkorofi, kila siku anagombana na mtu. Amweke ndani kwajili amesema amepata ajali? Sasa hapo amevunja sheria gani?😂
@tinalikasi7585
@tinalikasi7585 Год назад
We kila mtu rafiki yako
@greatest_of_africa
@greatest_of_africa Год назад
😂😂😂kadangaji haka
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 Год назад
Na ww kadangeeee kwani kunasiku alikuita mkamshikiee mguu
@mizesuleiman1834
@mizesuleiman1834 Год назад
Sawa ulikua ushuke uongee nao uombe radhi
Далее
A SMART GADGET FOR CLUMSIES🤓 #shorts
0:21
Просмотров 1,7 млн
Starman #starman #superman #starmanmeme #shorts
0:16