Тёмный

PENZI JIPYA | NAMPENDA SANA MUONEKANO WAKE HELLO MR RIGHT 

Подписаться
Просмотров 157 тыс.
% 1 540

►Instagram stbongotv
►TikTok www.tiktok.com/@stbongotv.tz
►Facebook stbongotv
►Twitter stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Развлечения

Опубликовано:

 

13 янв 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 283   
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 7 месяцев назад
Eliza na zarish 😂😂mtakaa hapo kama mabalozi wa nyumba kumi😂
@godfreyzenda9027
@godfreyzenda9027 6 месяцев назад
😀
@HusseinTubile
@HusseinTubile 26 дней назад
😂😂😂😂
@BJM-j2t
@BJM-j2t 8 месяцев назад
Uyu jamaa ameniboa na hiyo kutafuna tafuna😂
@monirangerera7155
@monirangerera7155 8 месяцев назад
Huwa maraya Hawa wanao tafuta boblishi
@BJM-j2t
@BJM-j2t 8 месяцев назад
@@monirangerera7155 wamekosa kutafuta wanawake inje wanaenda kununua hapo 🙆
@LadouceIranyibutse
@LadouceIranyibutse 7 месяцев назад
Umeona hajieshimuuuuuu
@bhokejaqulineelias4197
@bhokejaqulineelias4197 6 месяцев назад
Inamfanya mtu aonekane local Sana anatafuna Manini sasa😂😂😂😂😂
@theeaglefilmproduction4567
@theeaglefilmproduction4567 6 месяцев назад
Jamani nisameheni me napendaga2 kutafuta bablish et😅
@omarsakwa-zs2zy
@omarsakwa-zs2zy 9 месяцев назад
Lulu diva you're beautiful..congrats
@SashaOscar
@SashaOscar 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂 leo Eliza limemkuta jambo 😅😅😅😅😅weupe wake huwa unamdanganya xana
@hanifahkhamiss8485
@hanifahkhamiss8485 9 месяцев назад
Uyo zarish atafte hela aache upuuzi😂😂😂et nahitaji hela nyoko zke...😂😂😂
@RoseKesi-zj4yy
@RoseKesi-zj4yy 9 месяцев назад
We kaka unajuwa kuchangua apo umepata mke mwema ❤
@ModesterLevercatus-hh3rd
@ModesterLevercatus-hh3rd 5 месяцев назад
Uwakika kaka umepatachombo
@fayverenah
@fayverenah 9 месяцев назад
Duuuh masikini eliza haamini anachokiona😂😂😂😂amewakataa wengi sanaa😂😂😂
@JoyceMwangangi-qh6tf
@JoyceMwangangi-qh6tf 6 месяцев назад
Mtafuno mwiiingi jamani 😢😮😂😂😂 sijapenda
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 9 месяцев назад
We miso misondo umepigaje hapo kwa Eliza 😂
@lydiagodfrey5959
@lydiagodfrey5959 9 месяцев назад
eliza anajiona sana tena kakomeshwa kabisa anajiona yeye ndoo mzur dunia nzima
@kakoxspgnewton
@kakoxspgnewton 9 месяцев назад
Najua mwenye ameona hii atanipea support
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 9 месяцев назад
😂😂😂 safiii sana Elizabeth kibibi alafu anajikuta kachaguliwa na wanaume wengi sana kawakataaaa safiii kbs, kibibi atabaki apooo😂
@rehemamajama4670
@rehemamajama4670 8 месяцев назад
Hhhhhhhhhh jmn daaah Elza anatia hurum
@PeterMashauri-q2g
@PeterMashauri-q2g 9 месяцев назад
Duuuh leo nimekuwa wakwanza nipeni like zang
@HusnaHassan-tb4kv
@HusnaHassan-tb4kv 4 месяца назад
Anaboa kutafuna uyoooooo aseee
@salummakenzi4846
@salummakenzi4846 9 месяцев назад
Leo lulu diva umevaa vzr umependeza dear love you
@levygasper7438
@levygasper7438 9 месяцев назад
Mr light nime mwelewa sana jama kaongea point hongela zake
@katolekiki368
@katolekiki368 9 месяцев назад
Uyu zarich amna mtu kabisa Uta kaa Sana apo
@rhodarichard4494
@rhodarichard4494 9 месяцев назад
" mim ni mwanamke mzuri naitaji matunzo bila hela siendi" Wanaume popote mlipo hebu jaribuni kuitafakari hii kauli😂😂😂,,
@GidiusAllenofficialTz
@GidiusAllenofficialTz 9 месяцев назад
hamna mke hapo atakutesa sana huyo daah yani wanawake wa ovyo kabisa
@eleanorkinadiali4721
@eleanorkinadiali4721 9 месяцев назад
Chewing jamaniiii😢😢😢😢😢😢
@MwajumShaban
@MwajumShaban 9 месяцев назад
Eliza kaongea kama anaugomvi😂😂😂😂😂😂
@moussagiza3723
@moussagiza3723 5 месяцев назад
Namtafuta huyo eliza kama unazo contracts zake nisaidie
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 9 месяцев назад
Eliza malipo duniani 😂😂😂😂 kuna kaka uli mnanga
@greggoryisaac8485
@greggoryisaac8485 6 месяцев назад
Nitumie number nikutafute dada
@greggoryisaac8485
@greggoryisaac8485 6 месяцев назад
Sasa
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 6 месяцев назад
Mimi nikupe namba au uyo eliza wa mr right
@gangmusicband3012
@gangmusicband3012 9 месяцев назад
Very nice 🎉
@neemapaul9073
@neemapaul9073 9 месяцев назад
Safiiiii sana mkaka my Hy ndie mkee wako
@stellatwaah3242
@stellatwaah3242 5 месяцев назад
Kwanza niwapokeze lulu ❤pamoja na viongozi wake jamnii nawapenda sana🥰🥰🫂🫂
@Soan16
@Soan16 9 месяцев назад
Eliza kapigwa n kitu kizito😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Noor56-i7s
@Noor56-i7s 7 месяцев назад
Syo mzuri uyo aliyo mchaguwa eliza beautiful ❤❤❤❤
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 9 месяцев назад
ELIZA LEO KAACHWA ANAJIONA MZURI😂
@khadijaabdhalla9669
@khadijaabdhalla9669 7 месяцев назад
Mzuri kweli Si uongo
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 7 месяцев назад
@@khadijaabdhalla9669 mbona haolewi anahangaika kujitangaza
@alhilayali4200
@alhilayali4200 9 месяцев назад
Kumbe wakipenda wao ao wanawake kisha wakakataliwa huwa wanajickia vibaya ee uyo eliza alikuwa ana uhakika kuwa atachaguliwa yeye kwa uzuri wk kumbe hajui kuwa wanaume huwa hawaangalii sn uzuri wanaangalia maini me nimefrahi sn kukataliwa mn vipande vya nyuma yeye ndo mwanamke alie chaguliwa n wanaume zaidi y 5 wote kawakataa 😂 Leo kakataliwa yeye 😂😂😂
@florahfrancis1613
@florahfrancis1613 9 месяцев назад
Muosha huosha
@joyce55727
@joyce55727 9 месяцев назад
😁😁
@joyce55727
@joyce55727 9 месяцев назад
​@@florahfrancis1613muosha huoshwa
@banguha
@banguha 9 месяцев назад
Leo kaoshwa alafu hata sio mzur ni keupe tu
@katolekiki368
@katolekiki368 9 месяцев назад
Eliza 😂😂😂yame mkuta na yeye
@irenemacha5661
@irenemacha5661 9 месяцев назад
Eliz leo zamu yko kukataliwa😂😂😂😂
@sharifu-story4644
@sharifu-story4644 5 месяцев назад
Unauzur gan ww mbuzi wa kikongo?
@janerachel1622
@janerachel1622 9 месяцев назад
Eliza ULIKUWA unawakataa sana watu Sasa jifunze
@YazrinKajia-rk8fc
@YazrinKajia-rk8fc 7 месяцев назад
Mmmh Eliza wamuajiri tu auze hizo soda mana podium ishamzoeaa😂😂😂
@jennet6484
@jennet6484 9 месяцев назад
Eliza haamini kilichotokea😂😂😂
@francengosha7157
@francengosha7157 9 месяцев назад
Unyama sana 🎉
@DianneZeberto
@DianneZeberto 9 месяцев назад
Eliza umekoma unazidi kuchaguwa sana
@ashamjeni292
@ashamjeni292 9 месяцев назад
Eliza aliringa sana na nilisema atakuja penda na asipendwe,pole yake😢😊😂
@PureSoul-rf4xd
@PureSoul-rf4xd 5 месяцев назад
Mbona anatafuna kama mbuzi aonyeshi awareness kwamba yuko sehemu ya interview
@DandyDandy-wj4tv
@DandyDandy-wj4tv Месяц назад
An Eliza sikupnd tyu kwa maneno Yako unajisikia sana
@Iamwitynes
@Iamwitynes 9 дней назад
Mwanaume unatafunajetafunaje hivyo mabigijiiiii
@isabellamichael1025
@isabellamichael1025 9 месяцев назад
Hapa wakaka mnatakiwa mje magaidi tu 😂😂😂
@chrisantusnditi8670
@chrisantusnditi8670 6 месяцев назад
😂😂Mimi nilijua tu.Eliza kutoboa ni issue,inabidi abadilike kwanza.Eliza kumuweka ndani shughuli
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 8 месяцев назад
Eti mzuri nataka matunzo. Number huyo dada anajiuza. Shenzi
@ChimodleRen
@ChimodleRen 7 месяцев назад
Jamani huyo zaylish atolewe maana anaker nakuharibu pia
@IddaJovent
@IddaJovent 2 месяца назад
Zarishi umekomaaaaaa San mpak umekuw bib yetu jaman acha ujing hat ukipat bwan wa ovyo sepa bhan mmezid na Eliza wako🤪🤪🤪
@amosmahona433
@amosmahona433 6 месяцев назад
Aaliah khaaaa!!!
@SimherHamadi
@SimherHamadi 7 месяцев назад
Cheko la Aliya 😂😂😂
@JosephDeogratias-up3im
@JosephDeogratias-up3im 9 месяцев назад
Eliza.... mwenyew ashaga mkataa mdau😂
@MwajumShaban
@MwajumShaban 9 месяцев назад
😂😂😂
@MarryOddo
@MarryOddo 5 месяцев назад
Dj mwendelezo jmn
@Happinesabella3654
@Happinesabella3654 9 месяцев назад
Glady na Eliza katafute wanaume mtaani hapo tumeshawachoka kila siku mpo halafu nyodo nyingi wenyewe wabayaaaaa khaaaa!!!
@SerenakaremboDzombo
@SerenakaremboDzombo 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
@prijoseph4665
@prijoseph4665 8 месяцев назад
😂😂😂 Huyu jamaa namfahamu
@jumamarere9790
@jumamarere9790 6 месяцев назад
Nainjoi sana
@jumwablandina5773
@jumwablandina5773 7 месяцев назад
Weeeeeh nkaliii hiii
@jamesbutendeli4511
@jamesbutendeli4511 9 месяцев назад
Careen is so pretty and cool
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs 8 месяцев назад
Hao wanaume ni waongo wangekua wanaulizwa na max wao wangeaibika
@gracemugozi8436
@gracemugozi8436 8 месяцев назад
Mm jamani glady sikuelewi azae akasomeshe wake
@Lushinge27
@Lushinge27 9 месяцев назад
Glady fanya uondoke umekaa mda mrefu sana
@bhokesamo6369
@bhokesamo6369 9 месяцев назад
Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua
@bhokesamo6369
@bhokesamo6369 9 месяцев назад
Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua
@bhokesamo6369
@bhokesamo6369 9 месяцев назад
Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua
@kizaikonsolat70
@kizaikonsolat70 9 месяцев назад
We misomisondo umpepigaje apo🤣🤣🤣 Eliza haaminiiii anachokionaaaa🤭🤭🤭
@PrincessHellen-pg1oy
@PrincessHellen-pg1oy 9 месяцев назад
Looo white and black ndo inanoga naona watu kumyari Eliza wa watu 😢
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo 9 месяцев назад
Mm ni mweupe kupita yeye ila sichagui anaetaka mke aje tu siangalii pesa
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy 9 месяцев назад
Kweli ee
@JacksonMartin-pb2vq
@JacksonMartin-pb2vq 8 месяцев назад
Brother nimekubali uchaguzi sahihi kabisa
@nashatHashimmohamad
@nashatHashimmohamad 4 месяца назад
Kupigwa ndio mapenz😮😮
@mwanaimaagrey6857
@mwanaimaagrey6857 9 месяцев назад
Kingine waking lulu na wenzie wapunguze kuongea sana wana kula muda wa kipindi
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 9 месяцев назад
Eleza Unaonaje Mimi Nipo Kwaajiliyako...???
@maurinemwesh5280
@maurinemwesh5280 9 месяцев назад
Inaitwa not everyone cup of tea Eliza 😂
@JacklineMdolwa
@JacklineMdolwa 7 месяцев назад
Hhhhhhh elizaa jogoo mnyonge 😂😂😂
@poulmbogo1770
@poulmbogo1770 9 месяцев назад
Mi mbona hawa ma golden girl naonaga wanaigiz au hapa ni kichaka cha kutaft connection za kuigiz
@bhokejaqulineelias4197
@bhokejaqulineelias4197 6 месяцев назад
Nataka mwanaume mwenye six park awe mrefu handisome awe na funguo tatu za gari awe na nyumba ya ghorofa kumi plz im here waiting😢😢
@AliAbdalla-lb8su
@AliAbdalla-lb8su 6 месяцев назад
Umba wako unavotaka halafu umpe maokoto kisha akuoe mwenyewe
@nashatHashimmohamad
@nashatHashimmohamad 4 месяца назад
Inawezakana napi siowake
@TabuMudi
@TabuMudi 7 месяцев назад
Elizabeth kuchamba kwingi ndio😮😮
@ellymwampashe8927
@ellymwampashe8927 9 месяцев назад
Kwani mbona comment zina mu attack sana eliza😅😅😅 ni wivu tu tunajua, kutochaguliwa si kuwa mbaya. Kaka kaona gharama ni kubwa sana yatarudi yale yale
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 9 месяцев назад
Yy si hodar kukataa wt ss leo kwa kwake
@JackineMdugala-xs8ht
@JackineMdugala-xs8ht 6 месяцев назад
Eliza Leo kaachwa mzuri❤😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂
@wemakatina8538
@wemakatina8538 6 месяцев назад
Nikweli mwanamke hawezi kuludina na x wake kama aliyekuwa nae yupo sawa
@mwanaimaagrey6857
@mwanaimaagrey6857 9 месяцев назад
Jamani gala b punguzeni Saudi ya mziki mana hatuwaskii waledwa
@neemaberny3598
@neemaberny3598 9 месяцев назад
Maisha yanaenda kasiii sana huyu glady nae anakosoa wanaume😂 sura kama mkuki wa mmasai😂..huyo zarish si alisema kwa siku anaingiza laki 6😂😂 imekuaje tena kaja kwenye kipindi kudanga😂😂
@CelinCelineort
@CelinCelineort 9 месяцев назад
apo kwenye sura kama mkukii😅😅
@angelamgalula8457
@angelamgalula8457 8 месяцев назад
Huyo glad angekua mzuri tungekoma😂😂😂 msomi lakin elimu yake Bado haija msaidia.. kingereza cha hovyo … pia pointless kila akiongea😂
@jaelmusanga3111
@jaelmusanga3111 6 месяцев назад
We za rush tafute kazi upate hela ile kuomba omba pesa ina shusha heshima. Usiwe pale ili kutafuta mtu atakaye kuwa anakupa pesa
@KisetiClément-e8h
@KisetiClément-e8h 2 месяца назад
Eliza leo kime waka huuu duh mapenzi buana
@ombeniismail1140
@ombeniismail1140 9 месяцев назад
Hivi kwanini asilimia kubwa ya Mr right wametendwa yani hakuna Mr right ambaye amecheat
@dw.biwacuhezahouse1738
@dw.biwacuhezahouse1738 9 месяцев назад
😅😂
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 9 месяцев назад
Ni uongo😢😂😂😂😂
@joycehaule9717
@joycehaule9717 9 месяцев назад
Mi naona aibu mimi uwiii sasa mmepima lini mna nyweshana jmn mmmmh
@VuwaiVuwai-eb2zy
@VuwaiVuwai-eb2zy 9 месяцев назад
😂😂 haitokei iyo kutu kua mr right aseme yy nd ka cheat akisema ivo hapat mrs right
@JosephDeogratias-up3im
@JosephDeogratias-up3im 9 месяцев назад
Asa mda mwengne c akili
@fabiannjovu2273
@fabiannjovu2273 9 месяцев назад
HIVI HAWA WASICHANA WANAOENDA UKU WANA AKILI. KWELII HAWA
@VailethSanga-n4i
@VailethSanga-n4i 9 месяцев назад
Hata wanaume pia wanaowafuata huko wanaakilikweli
@roseafrael75
@roseafrael75 9 месяцев назад
Eliza huo weupe unakuzuzua unafkiri utamchanganya kila mwanaume pole mwaya leo zamu yako kukataliwa😮😮
@amoslucas1247
@amoslucas1247 9 месяцев назад
Malipo n hapa hapa
@ElizabethMchomvu-s2d
@ElizabethMchomvu-s2d 9 месяцев назад
Huyo eliza mshahili apo atafuti mume anatafuta danga Lizzy mdangaji mzuri huyu dada chamazi ukienda utamkuta sana
@roseafrael75
@roseafrael75 9 месяцев назад
@@ElizabethMchomvu-s2d 🤣🤣🤣siyo vzr
@aceeofficial255
@aceeofficial255 9 месяцев назад
Anachagua sana uyo eliza😂
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 8 месяцев назад
@@ElizabethMchomvu-s2d mwachen achague had azeek
@ASUKULUNYASSA-hf6wk
@ASUKULUNYASSA-hf6wk 9 месяцев назад
Uyu zarish nimjuaji tu, kila mwanamume anakuàga na kasoro kwake yy kila kitu kwake tatizo ajui kuchanganua mambo.
@abdulkarimaliissa4352
@abdulkarimaliissa4352 7 месяцев назад
Dada lulu like beautiful ❤
@DanielyLuyenga-zf1bb
@DanielyLuyenga-zf1bb 4 месяца назад
nakuja apo kumchukua eriza
@FredyMwashitete-f6t
@FredyMwashitete-f6t 8 месяцев назад
Zarishi mpuuzi we nan kakudanganya wewe mzuri
@NicemaryLema
@NicemaryLema 5 месяцев назад
Mtu a natafuta Kama mbuzi 😂😂😂
@HappyMkopa
@HappyMkopa 8 месяцев назад
Nice
@babyrasta9685
@babyrasta9685 9 месяцев назад
Eriza jifunze kitu apo na Zailsh
@nashatHashimmohamad
@nashatHashimmohamad 4 месяца назад
Kupigwa ndio mapenz
@abdultandala6576
@abdultandala6576 8 месяцев назад
Hata mimi ningechagua huyo black maana yuko normal hana mambo mengi✅✅✅✅
@RandB_Channel
@RandB_Channel 9 месяцев назад
Huyo Eliza Acha akome wanaumme wengi wame mupenda lakini anawakata .kajiona mzuri sana kazaniya kwamba watamuchaguwa yeye ona sasa mubaya anaondoka unabaki nauzuri wako apo😃😃😃
@niyonkuruconsolee7820
@niyonkuruconsolee7820 9 месяцев назад
😂😂😂😂
@joyce55727
@joyce55727 9 месяцев назад
Ata huyo alio ondoka sio mbaya ukisema mbaya kwan kajiumba umeongea vzl ila hilo neno umekosea eti mbaya
@MagdalineProsper
@MagdalineProsper 9 месяцев назад
😂😂😂
@teychriss3248
@teychriss3248 8 месяцев назад
Jamani ina maana na sisi mashangazi hamtuoni mkatuandalia kipindi au? 😂😂
@AshraphJafar
@AshraphJafar Месяц назад
Naomba namba zako nikucheki mamii.
@Abdumfaume
@Abdumfaume 9 месяцев назад
Mr. Right anajua kuchagua kweli kaacha Eliza pisi kali..😅😅
@African511
@African511 8 месяцев назад
Hakuna mke hapo bali kuna wake za watu walioachika kisa pesa,aloooo Dunia inaenda kasi sana.
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 9 месяцев назад
Kwan mbona hakuna ndoa za hawa watu
@EsterNdalu
@EsterNdalu 9 месяцев назад
Safi careen ni mzuri sana
@suleimanbalemba3348
@suleimanbalemba3348 9 месяцев назад
Hivi wanapimaga afya kwanza huyu kanywa alafu kamnywesha
@bonifaceArisi
@bonifaceArisi 9 месяцев назад
Mate hayana maambukizi
@IddaJovent
@IddaJovent 2 месяца назад
Af na we Mr right ach kutafna bhan unakera mitafuno Yako mibaya bhan.🤫🤫
@getrudemlay6514
@getrudemlay6514 8 месяцев назад
Mbona sijaona huko hata waliopatana wqkafunga ndoa
@kingthedon508
@kingthedon508 9 месяцев назад
Yan hili li dayan lina dharau na linavaa uchi
@ElsonAsimwe
@ElsonAsimwe 9 месяцев назад
Uyu dada alikuja wakwake akawakataa akomae
@JescaMgeni
@JescaMgeni 6 месяцев назад
Eliza hadi ukatoke apo Mr right umezeeka