Тёмный

PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 11 | Love Story 

DONTA TV
Подписаться 632 тыс.
Просмотров 649 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2,9 тыс.   
@Dontatv255
@Dontatv255 2 месяца назад
JAMANI NAVYO WAHI HIVI HAMNIPI HATA MAUA YANGU? 👋😅😅
@LovenessMollel-g4m
@LovenessMollel-g4m 2 месяца назад
❤❤❤❤unafanya nizd kukupenda nivunjee ndoa ya watu😂
@NeillahMcute
@NeillahMcute 2 месяца назад
🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@AminaRamadhan-h1o
@AminaRamadhan-h1o 2 месяца назад
❤❤❤❤🎉🎉🎉
@Deborahdepsy-qh4rj
@Deborahdepsy-qh4rj 2 месяца назад
🎉🎉🎉umeweza bro mapema ujachelewesha ❤❤keep burning it
@SaidiAbdul-fp5yv
@SaidiAbdul-fp5yv 2 месяца назад
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@Christine-ho5us
@Christine-ho5us 2 месяца назад
Kazi safi sana James mnafiki kabisaa like ya loveness atakama ni mmoja tu nitashukru 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@fatumaselemani3807
@fatumaselemani3807 Месяц назад
Mashallah ❤❤❤❤❤❤
@TumainiElizabeth
@TumainiElizabeth 2 месяца назад
Jamni mimi napenda maneno ya Kelvin yenye busara, hekima hivi ndivyo tunapaswa kuishi hii filamu ina mafunzo kama wakubaliana na mimi tu tushikane tumpe mauya yake Kelvin ❤❤❤
@FrancineNtibaruta
@FrancineNtibaruta Месяц назад
❤❤❤Kbx
@masaamawia
@masaamawia 7 дней назад
❤❤❤kweli kabizaaaa
@ZainabuKassim-l1c
@ZainabuKassim-l1c 2 месяца назад
Kazi nzuri sana Nami nilihisi watakutana mtaani, ila napenda hiyo wimbo❤❤
@marryDapash
@marryDapash 5 дней назад
❤❤❤
@khafidamkambeKhafidamk-dq7nj
@khafidamkambeKhafidamk-dq7nj 2 месяца назад
James na amina ujanja wenu kwisha maana kelvn kashamkuta loveness sasa rafiki yko ndio adui yko kelvn huyo rafiki yko james usimuani sana like kwa kelvn na loveness
@SafariNkana
@SafariNkana 2 месяца назад
Kamuonea wapi
@chagaboy255
@chagaboy255 2 месяца назад
Bro wamenya viazi😂😂❤.Kweli mapenzi ni matamu.Kama walipenda penzi la Mwamba na Loveness gonga like apa🎉😊❤
@jacklinewabomba4119
@jacklinewabomba4119 2 месяца назад
Nimefurahia Sana vile Kevin amempata loveless imenibidi nicomment juu mm huwa nawatch Tu na kulike❤❤❤❤, upendo kutoka Kenya 🎉🎉Maua ya wapendanao
@Naliakatv-t9s
@Naliakatv-t9s 2 месяца назад
❤❤❤pia mimi nimefurahia sana 😊
@Vee_money
@Vee_money 2 месяца назад
The best comment of the year, jack ee kama ingewezekana kulike mara 10k nngefanya ivo kwa comment yako nakupenda sana mmwaaa
@charityngumbao
@charityngumbao 2 месяца назад
Kumbe tuko wengi 🎉🎉🎉 nimefurahi sana
@sulaymanjuma
@sulaymanjuma 2 месяца назад
Tuko kwenye emaya moja dada, nami naona nikizidiwa na Amani moyoni mwangu ❤❤
@mkacibeiib7278
@mkacibeiib7278 2 месяца назад
Jamani Kuna marafiki mwengn ni wanapiki sana. sasa nini mana ya urafik jmn bro kelvin pamabn usichke mung Ako pamoja n aww big up🎉🎉
@dorahpatrick6698
@dorahpatrick6698 2 месяца назад
Iyo like mkipewa mnapewa sh ngp sifieni kazi wanayofanya❤❤ok big up timu nzima ❤️❤️❤️
@ImeldaMwende
@ImeldaMwende 2 месяца назад
Nafurahi sana leo kumuona kelvin akiwa karibu na loveness, kelvin nakuomba usiwache kumpenda ju ni mwanamke mzuri, mwenye unyenyekevu na bidii ❤❤❤
@CalvniHaule-gl7tp
@CalvniHaule-gl7tp 2 месяца назад
Kaka respect kwako uko pwh kabisa kwenye swala la kuwah kutoa kitu tukipendacho❤❤🎉🎉
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 2 месяца назад
Kama unapenda loveness,,,,,aolewe na kelvin gonga like hapa tujuane ❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 2 месяца назад
😅
@JosuePaluku-j9g
@JosuePaluku-j9g 2 месяца назад
Mimi napenda loveness aolewe na Kelvin ❤❤❤🎉
@ZuhuraRajabu-q1x
@ZuhuraRajabu-q1x 2 месяца назад
Mm nampenda loveness aolewee na Kelvin jamn mkaka msikivu mstarabu na mwenyew upeo wakufikilia mbali so lover❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹mwaaaaaa loveness and Kelvin👏👏🙏
@gastonlwabira6736
@gastonlwabira6736 2 месяца назад
Ndiyo minapenda muhowane'loveness.
@NelsonMiseho
@NelsonMiseho 2 месяца назад
Daaah sema loveness ni mzuri na halingi... Kama anavoigiza ndo anavoishi daaah n wife material kabsa ,
@FaidhaRamadhani-p6i
@FaidhaRamadhani-p6i 2 месяца назад
Ila jems sijapenda kumsaliti kelvin😢 jmn pole kelvn kwa unayo pitia yataisha tu na tunaotamani kelvin wakutane na loveness tujuane jmn nawapenda sana wana donta tv❤🎉🎉🎉🎉
@malikahiribae
@malikahiribae 2 месяца назад
Kwa kweli kipendacho roho ni dawa, hongera kelvin kweli unabidii ya mchwa yote tisa kumi amempata loveness 🥰🥰🥰
@muyastar3908
@muyastar3908 2 месяца назад
Hii ndo tamthilia pekee ninayoipenda na inatoka kwa wakati,, Hongereni sana🙏🙏🙏
@Daudimolle-p6t
@Daudimolle-p6t 2 месяца назад
Naniananiuga mukono. kelvin amuowe love ns tiya like hpo chin❤
@Dinah-qg1mq
@Dinah-qg1mq 2 месяца назад
Leo nimechelewa kidogo but mnipee like. Leo hope Kelvin atampata loveness
@Agatha-g6v
@Agatha-g6v 2 месяца назад
Siku hiz mnawahi ndota mpaka raha yan hongeren kwa kaz nzr jmn,,ila wenzangu mnaotaka kelv aonane na love gonga like tujuane hata 20 tuu zinatosha
@KagenziSandra
@KagenziSandra 2 месяца назад
Nik hap
@Agatha-g6v
@Agatha-g6v 2 месяца назад
@@KagenziSandra vzr
@Dayana-o4z
@Dayana-o4z 2 месяца назад
Sasa ivi ndo unafanya kazi yko vzr kevvy wallah mkichelewa huwa mwatukosesha Amani kama unakubaliana n mm hebu nkuone kwa like🎉🎉🎉🎉
@pendopallangu
@pendopallangu 2 месяца назад
🎉🎉🎉
@FatmaKombo-w5e
@FatmaKombo-w5e 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤ kelvin kwel UK vizur
@SAIDISAIDI-lj5qu
@SAIDISAIDI-lj5qu 2 месяца назад
Wapooooo
@Aminaallnipo-sv9ro
@Aminaallnipo-sv9ro 2 месяца назад
Napo naona Bado wanachelewa mno bhana mpaka wananikera
@JumaJafaraiii
@JumaJafaraiii Месяц назад
Napenda Dana love na kelvin
@EvaThoya
@EvaThoya 2 месяца назад
Yan Kevin na amina mko so romantic to be honest, nawapenda sana na msichelewe kuoana ndio wale nyoka wawili aibu iwapate. I hate them with passion,..watching you from Kenya🇰🇪🇰🇪
@AnnahAniffa
@AnnahAniffa 2 месяца назад
Sio Amina ni loveness ,Amina ni yule mwenye roho mbaya
@Shaahamedy
@Shaahamedy 2 месяца назад
Sema fanyeni yote jamni mnawaisha saana move hadi najihisi faraja kuwafuatilia, big up saaana💪💪💪💪💪
@judithpendo9985
@judithpendo9985 2 месяца назад
Rafiki mnafki James 😢usaliti usiowakipimo kwa mtu mwaminifu 😢jmn km wampenda Laverne's like apa please jmn love from 🇰🇪🇸🇦🥰🥰🥰🥰🔥
@ChristineBetty-il2yv
@ChristineBetty-il2yv 2 месяца назад
Walai hata mm nimeona
@dhahabudeche926
@dhahabudeche926 2 месяца назад
❤❤❤❤ hapo sasa unatufurahisha hongereni sana team Donta
@judithpendo9985
@judithpendo9985 2 месяца назад
@@dhahabudeche926 kbsaaa 👊👊👊♥️♥️♥️
@judithpendo9985
@judithpendo9985 2 месяца назад
@@ChristineBetty-il2yv 👊👊👊♥️♥️♥️♥️♥️
@Noosa-o4q
@Noosa-o4q 2 месяца назад
Jemes amepewa Asali na Amina kwahiyo hakiliake imehamia sehem nyingune kama hafanyi kamavile Amina amamwambia asali hatopatatena😂😂😂
@BimkubwaOthman
@BimkubwaOthman 2 месяца назад
Jamn msinikose like japo ishirini team strong oyeeewww🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@LilianJuma-q6y
@LilianJuma-q6y 2 месяца назад
Tupo team hamam Team hayawani
@MbulaMary-qe3ux
@MbulaMary-qe3ux 2 месяца назад
Hongera kwa kutuletea kwa mda mzr bila kukawia 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@BeatricePaul-y2r
@BeatricePaul-y2r 2 месяца назад
Nimependa point ya kelvin, mama anapenda furaha ya marafiki kuliko furaha ya familia yake❤❤❤
@rukiahassan7001
@rukiahassan7001 2 месяца назад
Woooh amina na james mipango yao imefel wamechekwa na kuku ama kwel asie na wake ana mungu.likuwa nadhn ni ndoto..atimae kelvin kamuona loveness
@ReahnatorGerald
@ReahnatorGerald 2 месяца назад
Amina anatamaa ashaambiwa hapendwi bdo analazimisha yey abak tu na jems amwache loveness
@AdelinaHery
@AdelinaHery 2 месяца назад
Mmmh jamanii James ni rafiki mnafiki na mwenzie Amina kaaa,,, jaman kelvin unatupa funzo kubwa Aya yapo kwenye jamii zetyy❤❤❤
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 2 месяца назад
amekula tunda (rushwa)ndo inamtesa 😂😂😂
@ZuhuraNgasinda
@ZuhuraNgasinda 2 месяца назад
Kabisa maana sio kwa kulazimishwa hivyo jamani.
@ChristineMaloba-hk9je
@ChristineMaloba-hk9je 2 месяца назад
Sijachelewa sana siata mm npewe like ata moja kwaajili ya kelvin kwa kazi nzuri❤🎉😊
@NancySibiaOnguti-gb9yq
@NancySibiaOnguti-gb9yq 2 месяца назад
Kevin haki wewe bora unyanganywe kila kitu lakini moyo na mapenzi wakuajie finally umemfikia loveness amina kwisha😂😂😂😂
@TulizoMota
@TulizoMota 2 месяца назад
Upo vizur San kamanda
@TulizoMota
@TulizoMota 2 месяца назад
Upo vizur San kamanda
@TulizoMota
@TulizoMota 2 месяца назад
Upo vizur San kamanda
@FannyIgirubuntu
@FannyIgirubuntu 2 месяца назад
Ooooh jamn nimechelew khai Kil sik nachelewa kam uk kam mim unachelew gong ap like zangu😅
@robertshujaa
@robertshujaa 2 месяца назад
Kiukweli chukuwa maua yako kwanza hongera kwakutusikiliza mashabiki zako maana movie ninzu story nzuri kiukweli nilianza kuwafatilia kwenye kesho yangu nawakubali sana mnajuwa sana💪
@DavidMarosha
@DavidMarosha 2 месяца назад
Hatimaye nimekuwa wa kwanza jaman sio rahisi kelvin big up sana ma braza 💞
@Oman-k4j
@Oman-k4j 2 месяца назад
Tunaompenda love like zenu hapo simpend tina na Amina nyoka hao
@RoineRakoi
@RoineRakoi 2 месяца назад
Tupo
@Oman-k4j
@Oman-k4j 2 месяца назад
@@RoineRakoi nakupenda pia
@SalomeKawogo
@SalomeKawogo 2 месяца назад
mim kipande cha amina nasoma comment silipendi ata kidog
@LevinaFrancisco
@LevinaFrancisco 8 дней назад
Waooo ongera sana kevn kwa kumpata loveness❤❤❤❤❤❤❤
@AfreyBahalaye
@AfreyBahalaye 2 месяца назад
Mafunzo Sana wap likes kutoka kwa Kelvin❤❤❤❤❤❤😂
@Leilajepmtu
@Leilajepmtu 2 месяца назад
Niko na fura Sana 🥰🥰🥰 Kevin na loveless amekutana iyo ni sawadi ya Kevin na loveless 💖💗💖💗💛❤️🧡💜🩵💚🌟💫🌟💫✨✨💋💋💋💋
@MbarakaSefu-w6y
@MbarakaSefu-w6y 2 месяца назад
Dah Leo nimekuwa wa mwishooooo❤❤❤ ila co mbaya nipeni like zanguuuuu
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 2 месяца назад
mwisho Wapi Bado wengine wanakuja
@umfahad2609
@umfahad2609 2 месяца назад
Nimefurahi saana zaidi ya saana. Kelvin kukutana na Loveness. Amina na James. Tina na mamaake mshindwe, kuwaharibia wapendanao.
@sarahkanyana5099
@sarahkanyana5099 2 месяца назад
Yaaaani wa shindwe kabsa 😂😂
@RaelAmunga
@RaelAmunga 2 месяца назад
Wenye wanapenda Kelvin Na team yake mko wapi wakenya wenzangu sikieni iyo wimbo tu Mashallah team Donta tv
@MariaMwita-p6e
@MariaMwita-p6e 2 месяца назад
Hi
@josephineuwizeye8250
@josephineuwizeye8250 2 месяца назад
Nnafurahi saana kwa kupatikana kwa loveness.❤❤❤❤ from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@SautiMakini
@SautiMakini 2 месяца назад
Duuuh Kila mtu anasema yeye ni wa kwanza Mimi Je from Zanzibar
@amosmacompyuta1015
@amosmacompyuta1015 2 месяца назад
Yaan Hawa jamaa kila movie penzi la nini duuh kuashiria wanayajua sana hahaha safi sana penzi la flan
@ummycheedy2809
@ummycheedy2809 2 месяца назад
😂😂😂😂😂
@SalomeKawogo
@SalomeKawogo 2 месяца назад
kuna kesho yangu ukiachana na penzi
@stitore2388
@stitore2388 2 месяца назад
Mashalla mashalla tabarkallah 🤼‍♀️🤼‍♀️ nafuraha sana kuwona kevine nakutanana lovines 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MaryOmwenga-sc3tc
@MaryOmwenga-sc3tc 2 месяца назад
Nafurahi kuona kelvin akipatana na loveness ❤❤ next please 🙏🥺
@TitusWaita-y8p
@TitusWaita-y8p Месяц назад
Janee nikiwa kenya,nafuatili vipindi vyenu❤❤kelvin na loveness nawapenda kinyama mnavyo act❤❤❤ hongereni
@niyokwizerajiribrt7161
@niyokwizerajiribrt7161 2 месяца назад
Kwanini James hataki kumusindikiza nyumbani kwakina Amina. Ila James anakua naloho mbaya
@thabitharange-vz2ru
@thabitharange-vz2ru 2 месяца назад
Hata Mimi wa kwanza nami pia naomba like😂..mumeamua kipost now asanteni sana
@SalamaTaura
@SalamaTaura 2 месяца назад
😅
@Scholaticatoyi
@Scholaticatoyi 2 месяца назад
😂😂
@JacklineMulongo
@JacklineMulongo Месяц назад
😂😂😂
@rehemambilinyi9452
@rehemambilinyi9452 2 месяца назад
Ukiwa unatuwahishia hivi Tutanenepa kwa burudani Hongereni sana kwa kazi nzuri
@SalooHussein
@SalooHussein 2 месяца назад
Kelvin khan kaka kazi unaijua sana ubunifu tele stori tamu tena inayovutia sana hongera kaka na shikilia hapo hapo
@BrayoSkit
@BrayoSkit 2 месяца назад
yanaitwa mapenzi ya kweli na hata nani hajalibu kuingilia kati hawezi kabisa .jameni tualakishieni tuone mwisho wa mapenzi yenu ,tunaofia kulundi shule b4 kuona mwisho wenu but anyway mnatubamba sana na tunawapenda sana
@DeboraCharles-l7g
@DeboraCharles-l7g 2 месяца назад
Jmn wakwanza leo mim..🎉🎉🎉❤❤ nipen likes zangu🎉🎉🎉
@SarahMuyoka-jx7ff
@SarahMuyoka-jx7ff 2 месяца назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MamyLily-f2i
@MamyLily-f2i 2 месяца назад
Wooh hongera kelvin Kwa kuwahisha mzigo we na timu yako ,tunawapenda
@JoannyBreezy
@JoannyBreezy 2 месяца назад
Jamaan thank you lord kevy kampata lovenec 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 amina na james kimewalambaaaaaaaaa halooooo nyieeeeeeee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 naombe like hata moja tuu🎉🎉🎉🎉🎉
@TamukakyeBwangyo
@TamukakyeBwangyo День назад
kazi ipo kweli❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@DebyDival-t6g
@DebyDival-t6g 2 месяца назад
Hata kama nimechelewa kuiangalia, ila sijachelewa sana naombeni na mimi like zangu msininyime jameni.
@SAMIRA-k4b
@SAMIRA-k4b 2 месяца назад
🎉🎉🎉
@CheenGuy1
@CheenGuy1 2 месяца назад
wa kwanza hapa ke ke ke nairobi.basi likes zangu wadau🔥🔥
@ivybrown958
@ivybrown958 2 месяца назад
Nilifikir mm ndo kwanza❤❤gonga like ukipitaa❤❤
@ashurapandu4116
@ashurapandu4116 2 месяца назад
Ila umerauka mwaya😂
@ivybrown958
@ivybrown958 2 месяца назад
@@ashurapandu4116 San Aisee😂😂😂
@JoshuaMagere-n9z
@JoshuaMagere-n9z 2 месяца назад
Poa san movie tamu san maan kun kitu cha kijifunza hongera kwa movie nzuri
@maimunamselemo8427
@maimunamselemo8427 2 месяца назад
Wooh thanks God Calvin nimefurai kuonana na loveness
@CalvniHaule-gl7tp
@CalvniHaule-gl7tp 2 месяца назад
Hatimae tulizo la Move tumelipa loveness ❤❤❤
@Inglide-star
@Inglide-star 2 месяца назад
Warundi muko wapi munatizama hiyi movie😂❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮munipe like
@AdellaMwita-xz5zm
@AdellaMwita-xz5zm 2 месяца назад
Namimi Leo nimewahi nipeni like zangu 😂
@nancyeliza
@nancyeliza 2 месяца назад
Wapi likes za wakenya w Enza,na❤❤
@ByamteByaesemtema
@ByamteByaesemtema 2 месяца назад
Mimi nakuita mrithi wa kanumba tz, Kaka Kelvin nime kukubali sana❤️❤️❤️❤️❤️
@ByamteByaesemtema
@ByamteByaesemtema 2 месяца назад
❤❤
@joycemuenimutua4506
@joycemuenimutua4506 2 месяца назад
Amina pole sana juu Kelvin ameshamuona loveness ❤❤❤❤ loveness kipezi 🎉🎉from kenya
@RehemaJuma-o3r
@RehemaJuma-o3r 2 месяца назад
Jaman nampenda love na kevi kma na wewe unawapenda kama Mimi ngnga like hapa❤❤
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 2 месяца назад
Unahisi kama Ww Ndio unasaidiwa kumenya viazi
@judithlewis-k6v
@judithlewis-k6v 2 месяца назад
Wakwaza leo
@NathaSMART
@NathaSMART 2 месяца назад
Wakwanza Leo Team strong hoyeeeee gong likes 1k Guys 😢😢😢 km unaipenda hiy team kelvin ❤ whaching from which country ✍️
@madhualacedrick4098
@madhualacedrick4098 2 месяца назад
Me from 🇧🇮 Burundi
@MelphineAciegoh
@MelphineAciegoh 2 месяца назад
Saudia 😂
@faithkanini1876
@faithkanini1876 2 месяца назад
Mombasa,, Kenya
@AnnieHaule
@AnnieHaule 2 месяца назад
Hahahaha jamaniiii kelvin anavomenya viazi ila mpo vzr mnawahi kutoa kazi hongereni 💞💞nawapenda sana
@MasaidiKilama
@MasaidiKilama 2 месяца назад
❤❤❤ much love nawapenda sana
@JacintaMaloba
@JacintaMaloba 2 месяца назад
Wale wefurahia kelvin kuonana n loveness nipeeni likes jameniii 🎉
@Phanny-Nyonge
@Phanny-Nyonge 2 месяца назад
Like za Loveness zije huku❤ James ni kiddush mtu jamani, Dah
@JenifaNyamhanga
@JenifaNyamhanga 2 месяца назад
Jamani na mimi nimewahi leo nipeni like zangu jamani nawapenda sana sema amina hadi anakera jamani
@MbarakaSefu-w6y
@MbarakaSefu-w6y 2 месяца назад
@@JenifaNyamhanga aaah demu mapepe yikes
@damarisnjerunjeru399
@damarisnjerunjeru399 2 месяца назад
Na furaha sana 🎉 Kelvin kampata Loveness,,,hiyo ndio furaha yangu na baadhi yetu na zaidi ya vyote raha yake Kelvin
@AnastaziaSebastian
@AnastaziaSebastian 2 месяца назад
Kevi asante kwa kuwahi mkichelewa tunasahau tupokuwa tumefikia❤
@جوزفينامحمد
@جوزفينامحمد 2 месяца назад
Nawafatiria mimi kutoka burundi watu waburundi tujuane apa nipeni like
@twagirimanaaisha
@twagirimanaaisha 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤❤naw pend san munafany kaz vizur tume wakumbuk san 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@HappinessYoram
@HappinessYoram 2 месяца назад
Jamani nimewahi leo like zang😅
@AdventinaRichard-op9eu
@AdventinaRichard-op9eu 2 месяца назад
Hongera kavini kutafuta loveness
@vivianiravuha628
@vivianiravuha628 2 месяца назад
Cool kid hajui kumenya viazi wapenda Kelvin na loveness❤❤❤
@Oman-k4j
@Oman-k4j 2 месяца назад
Kevin nawe jiongez acha kujifany huyo James so mtu mzur
@esthernekoye-ly5cx
@esthernekoye-ly5cx 2 месяца назад
Hali yangu majalala sinapakula pakulala🎉🎉❤
@AishaHashim-o4f
@AishaHashim-o4f 2 месяца назад
Mm wapili jaman naomba like zenu
@gracenyabuto9073
@gracenyabuto9073 2 месяца назад
Team Kenya naona tuko wengi,,❤❤iko love for this
@mkasykhamisi2587
@mkasykhamisi2587 2 месяца назад
Kelvin leo nimefurai sana ulivyo kutana na Loveness nakuamiania dear fanya mambo basi nikusifu nawapenda sana ❤❤❤❤
@SummyIsmaah
@SummyIsmaah 2 месяца назад
Doooh nakukubali sana kijana mnapambana
@HudhaimaYussuf
@HudhaimaYussuf 2 месяца назад
Mim mnanichosha nyinyi kila mtu wakwanza mpaka mnaboa kweli badala ya kusema waengeze dakik na mambo mengine mnaomba like tu
@YusufAbdirashid
@YusufAbdirashid 2 месяца назад
🎉🎉🎉🎉hh❤❤❤❤❤❤❤😊
@AishaJafari-sh4pe
@AishaJafari-sh4pe 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤
@KhadijaAly-lu7lk
@KhadijaAly-lu7lk 2 месяца назад
Yan ww umeongea point kipenz🥰
@MalkaNinik
@MalkaNinik 2 месяца назад
Hata mimi nakupongeza kwailo maana wananikera
@SaidaGm-c5n
@SaidaGm-c5n 2 месяца назад
😂😂
@julianaouma9230
@julianaouma9230 2 месяца назад
😋😋wakuanza na mmi from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 naombeni like jamani movie nzuri Kwa wakati
@NaifatMachano
@NaifatMachano 2 месяца назад
Samahani naomba majina ya michezo ya kenya
@BabraWati
@BabraWati 2 месяца назад
Kazi nzuri ila time maze just add more than twenty minutes plz loveness u are good actor God bless u 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ❤❤ much love from Kenya
@SakinaHassan-xc2in
@SakinaHassan-xc2in 2 месяца назад
Wawoooo ma Shaa Allah tunafurahi kuona MNAFANYA kazi nzuri
@KendaNaomi
@KendaNaomi 2 месяца назад
Mimi leo wa 204 jameni 😢😢😢😅😅 nahitaji basi Likes zenu From Rwanda ❤🇷🇼🇷🇼🇷🇼💞 nawapenda saaana pamoja na Loveness nampenda na Kevin pia ❤❤❤❤❤🎉
@rafiaahmad168
@rafiaahmad168 2 месяца назад
Rwanda unaandika kiswahili kizuri hiki kuwazid hata wakenya😂
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 2 месяца назад
Kumbe pia ww umeona nilikuwa najuwa mm mwenye ❤
@estergordian-vv9jx
@estergordian-vv9jx 2 месяца назад
Asituchoshe like kafanya nn​@@aminamwivita7690
@KendaNaomi
@KendaNaomi 2 месяца назад
@@rafiaahmad168 Asante 🫡👍😅🙏
@KendaNaomi
@KendaNaomi 2 месяца назад
@@aminamwivita7690 😅😅🙏🙏 Rwanda tunakaza ujuwe 🇷🇼🇷🇼💪💪😅🥰❤️❤️
@Nailaty564
@Nailaty564 2 месяца назад
Team lovenes na Kelvin tumefurahi 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@AgnesKwaslema
@AgnesKwaslema 2 месяца назад
Jamn Leo nimewah kupat daaah❤❤
@SmaiyaNgombage
@SmaiyaNgombage 2 месяца назад
🎉🎉🎉🎉 unifraish sn. Napenda kazi zitoke Kam hv. Pa1 San
@GraceJumwa-q1p
@GraceJumwa-q1p 2 месяца назад
Atleast imetoka nmeisubir kwa hamu sana hii movie 🎉🎉
@MLasha-vu1uj
@MLasha-vu1uj 2 месяца назад
Wale walowai kma mm nipeni like yng❤
@franktodory
@franktodory 2 месяца назад
daaaah wengine tulikuwa busy na mamipila daaaah ongela sana kaka mungu akuzidishie ubunifu
@dorotheasamwel8071
@dorotheasamwel8071 2 месяца назад
😂😂😂😂mamipira
@user-wo2wk5eq6
@user-wo2wk5eq6 2 месяца назад
Mwendereye kuwahi ivo yani tunafulhi sana kutoka Burundi🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮
@JuliethNELSON-ji1bz
@JuliethNELSON-ji1bz 2 месяца назад
Jmn kaka kelvin😂 tuwaishie bas ep12 plz 😊
@ClementinaClemence-u8z
@ClementinaClemence-u8z Месяц назад
Kivyovyote kevi na love bhnaa Mfanye kweliiiiiiiii et❤🥰
Далее
DEMONS ARE ATTACKING BRAWL STARS!!!
09:08
Просмотров 14 млн
VITUKO VYA KWENYE DALADALA ( DAY2)
11:30
Просмотров 132 тыс.
PLAN B _ Episode 22
1:02:01
Просмотров 181 тыс.