Jamni mimi napenda maneno ya Kelvin yenye busara, hekima hivi ndivyo tunapaswa kuishi hii filamu ina mafunzo kama wakubaliana na mimi tu tushikane tumpe mauya yake Kelvin ❤❤❤
James na amina ujanja wenu kwisha maana kelvn kashamkuta loveness sasa rafiki yko ndio adui yko kelvn huyo rafiki yko james usimuani sana like kwa kelvn na loveness
Mm nampenda loveness aolewee na Kelvin jamn mkaka msikivu mstarabu na mwenyew upeo wakufikilia mbali so lover❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹mwaaaaaa loveness and Kelvin👏👏🙏
Ila jems sijapenda kumsaliti kelvin😢 jmn pole kelvn kwa unayo pitia yataisha tu na tunaotamani kelvin wakutane na loveness tujuane jmn nawapenda sana wana donta tv❤🎉🎉🎉🎉
Yan Kevin na amina mko so romantic to be honest, nawapenda sana na msichelewe kuoana ndio wale nyoka wawili aibu iwapate. I hate them with passion,..watching you from Kenya🇰🇪🇰🇪
Kiukweli chukuwa maua yako kwanza hongera kwakutusikiliza mashabiki zako maana movie ninzu story nzuri kiukweli nilianza kuwafatilia kwenye kesho yangu nawakubali sana mnajuwa sana💪
yanaitwa mapenzi ya kweli na hata nani hajalibu kuingilia kati hawezi kabisa .jameni tualakishieni tuone mwisho wa mapenzi yenu ,tunaofia kulundi shule b4 kuona mwisho wenu but anyway mnatubamba sana na tunawapenda sana