Hidary scoda ur genius of freestyle hao wengne wanachana vitu ambavyo walisha viandaa kichwan kuanzia Leo naanza kukusapot sema tu skukujua mapema km una uwezo huo coz unaweza ukawa una rap na kundika punchlines safi lkn ukiambiwa freestyle ukashindwa hicho ni kipaji ambacho mungu humpa MTU km extra gift.hakika ur next ngwear kWa mitindo huru Ovaaaaaaaaa!!
sijawahi andika comment ya dakika kumi za maangamizi na planet bongo.We need to go down to earth sometimes(Being honest) huyu jamaa(scoda) ni Fundi,wa moto.Hatari sana bro kwa freestyle
hii ni planet bongo, inavyowalewesha mtaani utasema watu wamekunywa planet gongo, naz naziba jicho washkaji wanasema Hidary we ni planet chongoo... Freestyle adimu kuwahi kusikia...
hahahahaaaaa huyu ndio kauaaaaaaaaa big up sana hongera planet bongo tunahitaji wasani kama hawa uwiiiiiiiiii mwiteni tena tumekubali kumpa mikoba ya king wetu ngwair
Mjukuu leo umetuotea sana asee Icho kichwa siyo cha kawaida Wengi wanamaliza dakika kwa yoyoyiyooooooooooh kibao lakin jamaa yuko vizuri mwanzo mwanga anafroooooooh mpka mmemkatisha mpeni zawadi ya kumsupport afike mbali..... But 1.stamina(veratti) 2 . Stereo ... Tunawaomba utuletee hao wakuu..... Thanks DULLAH. JR & DJ SAMMER
Salute mingi sana kwa huyu raia harifu, tunawataka maraper kama nyie. Mnapiga freestyle ile laana na haurudia line,, kwel una jukumu la kuibeba mikoba ya Ngwair,, r.I.p kwake mziki wake bado unaishi.
Duuh hichi kichwa balaa mamc wa zaman wameishalewa sifa wakati machalii kama hawa wanapasuka freestyle laana hapo bado hajaperform mistari aliyoandika.....big jombaa anaweza
wooooooooooooouuuuu Dom city whatsap ndonga limejaa mistari ,Waliopita wote chali, Mistari ugali siyo wali , Na hiyo ndiyo freestyle. tishaa sana mzee Baba
in short toka hyo hicho kpndi kianzishwe scoda ndo kaumiz xna no 1 yang ya freestlye alikuwa ni king zilla ila kwa xaxa nafac hyo imechukuliwa na scoda keep it up boy hidary scoda utafika mbali ushaur wang nmegundua wasanii wenye majina makubwa hawajui kufreestyle ni bora m2letee hawa maunderground
Hahah....huyo Scoda anaitaji soda apate msisimko zaidi. Anaweza sana. Tanzania mshikeni mkono huyo atang'arisha nyota ya bongo Hiphop. I really admire that.....big up bro. I rep254🇰🇪
oya @dulla acha niulize ivi lengo la dakika kumi ni #kufrestaily au #kuchana_alichoandika maana jamaa Co mtu wa kuchezeaa ao wengine wanaimba mistari waliondika lkn #wanafikiria lkn uyuu we ndo #umemnyamzaishaa