Тёмный
No video :(

POLEPOLE: MIMI KIROBOTO/NIKIFUKUZWA CCM/NAPE BASTOLA/BEN SANANE&AZORY/NILIOMBA HELA WAGOMBEA/BULEMBO 

Dar24 Media
Подписаться 728 тыс.
Просмотров 313 тыс.
50% 1

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Polepole #Samiasuluhu

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 796   
@erickngatunga2359
@erickngatunga2359 2 года назад
i dont get enough to listern to this man polepole,very smart,ni mtu mwerevu sana.
@stevenkagoyi5049
@stevenkagoyi5049 2 года назад
Nafarijika sana kumsikiliza Polepole
@SlsProductionTz
@SlsProductionTz 2 года назад
🔥🔥🔥ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-LrzMZcYdCvg.html
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 года назад
Kwa maoni yangu, Mh. Polepole ni role model wa kuigwa. Kama na wewe unamuona yuko vzuri, bofya 👍
@jumatamimu6841
@jumatamimu6841 10 месяцев назад
Upo vizuri
@levinachuwa7622
@levinachuwa7622 10 месяцев назад
Hakika...🙌
@user-tu8ur3jo4z
@user-tu8ur3jo4z 4 месяца назад
@keffajacob8952
@keffajacob8952 2 года назад
kataaa wahuni kataa kataaa!....hodari sana wakujieleza💪💪💪🤜🤛👋👍
@nelsonpeter2112
@nelsonpeter2112 2 года назад
🤣🤣😂😂 Huyu jamaa is very intelligent
@rehematogwa200
@rehematogwa200 2 года назад
Nakuombea maisha marefu polepole na wote wenyenia njema na nchi yetu .. I stand with my country . ..
@alimussa2655
@alimussa2655 2 года назад
Unamuombea heri gani muhuni tu uyo mpuuzi kweli wewe
@sponsor7882
@sponsor7882 2 года назад
Atoboi huyu
@DeficitNuts
@DeficitNuts 4 месяца назад
Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
@DeficitNuts
@DeficitNuts 4 месяца назад
@@alimussa2655 Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
@DeficitNuts
@DeficitNuts 4 месяца назад
@@sponsor7882 Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 2 года назад
Duuh! Hongera Mh. Polepole kwa kujibu maswali yotevkwa ufasaha. Una kipaji ambacho Mungu alikupatia na unakitendea haki.
@ooafrica3626
@ooafrica3626 2 года назад
Polepole nampenda, namkubali, namwamini, namheshimu, nampenda, namuona km mkomboz sawasawa na Nyerere, ni mzalendo KILA ANACHOKIONGEA NAKUBALI ni kweli
@martinmnzava9053
@martinmnzava9053 2 года назад
Polepole, upo sawa, umeiva kimaadili, gombea uraisi msimu ujao.
@rajeep-ni7lh
@rajeep-ni7lh 2 года назад
I wish be next president of the Tanzania❤❤❤
@gervasmalimi5126
@gervasmalimi5126 9 месяцев назад
Kama na wewe umegundua kwamba muhojiaji anakibuli na umetuma gonga like
@user-gc1jk7xj1u
@user-gc1jk7xj1u 8 месяцев назад
Ni nini maana ya muhojiaji anakibuli Kwa ninavoelewa muhojiaji ni mwandishi na anakibuli maana yake mkaidi kitu ambacho si kweli kwa mwandishi isipokuwa vice-versa
@farajamg
@farajamg 2 года назад
Mh. Polepole, hongera kwa kujibu maswali vizuri sana. You are very smart . Yani ni hatari. Nakuheshimu sana. Asante kwa kutuelimisha.
@benswai8099
@benswai8099 2 года назад
Hahahaaaaa. Virobo mu wengi
@sarafinafranci8481
@sarafinafranci8481 2 года назад
@@benswai8099 wewe ndo kiroboto.
@SlsProductionTz
@SlsProductionTz 2 года назад
🤣🤣🤣 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-LrzMZcYdCvg.html
@sebastianmsilikale4683
@sebastianmsilikale4683 9 месяцев назад
Nakupenda mh polepole. Mungu akulinde. Mwandishi motive yake inaelweka yeye hakuwa ana penda Magu hata wewe hakupendi!
@sebastianmsilikale4683
@sebastianmsilikale4683 9 месяцев назад
Lambart, polepole ni noma ubongo wako ukilinganishwa na wako, wako ni robo ya wakwako!! Mwancheni mtumishi huyowa watanzani.
@williammlama297
@williammlama297 2 года назад
Mtangazaji katumwa na wahuni
@jafetzmwacha1503
@jafetzmwacha1503 2 года назад
Mungu akulinde ndugu yetu msema kweli ndy mjinga mwongo mnyanyasaji mjanja komaa kaka una mungu mbele yako 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@sikapendinakapenda4170
@sikapendinakapenda4170 2 года назад
Polepole ni mtu mmoja adimu sana katika E. Africa ... aheshimiwe, atunzwe, awekwe kwenye historia ya nchi hii. Kizazi kipya kijacho kitakuja kumuishi nyendo zake, wanaompuuza kwa sasa wataonekana kituko kilichochelewesha mabadiliko waliyoyahitaji kizazi kijacho. Kina Polelpole wanazaliwa wachache sana kila karne lakini wanaompinga wanazaliwa wengi kama kumbikumbi wa msimu wa mvua ! Join Him , He is a Special One !
@lucky9285
@lucky9285 2 года назад
😂😂😋
@yahyamkone5601
@yahyamkone5601 2 года назад
Upo sahihi
@ellyrenalda5883
@ellyrenalda5883 2 года назад
Sijaona uadimu wake wowote, akiulizwa maswali magumu anakwepa. Ni muhuni kama wahuni wengine tu.
@badilikakijana4032
@badilikakijana4032 2 года назад
Facts
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 2 года назад
Sio kweli
@mtokaboys2175
@mtokaboys2175 2 года назад
SALUTE Humfrey Pole Pole
@mariayegela4224
@mariayegela4224 2 года назад
Mtangazaji ni mmojawapo wa wahuni.ila amekutana na nyagumi kakwama😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣😁
@visionstudios6804
@visionstudios6804 11 дней назад
Nimecheka sana 😅😅
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 2 года назад
Hamphrey, big brain👌
@saidirashidi6522
@saidirashidi6522 2 года назад
Polepole upo vzr mwenyezimungu akupe afya njema
@davimlyuka1046
@davimlyuka1046 2 года назад
Pole pole yupo vizuri Sana ukitaka kumhoji jipange
@thomasmuyya7221
@thomasmuyya7221 2 года назад
Polepole wewe ni Mzalendo Shujaa, umejaa hekima. Simamia maadili uliokuzwa nayo. Mahojiano haya yalikusudia kukutia doa, lakini tunaona uwezo ulionao. I support you. Thanks Godda
@kiizamrashani7223
@kiizamrashani7223 2 года назад
Wahuni Kwa Kweli ni hatariiii! 🆗
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 2 года назад
Ndg Polepole umebarikiwe sana
@dedankapongo7490
@dedankapongo7490 2 года назад
HII NDIO INTERVIEW BORA ILIYO FUNGA MWAKA NA KUTUFUNGULIA MWAKA... VERY CONSTRUCTIVE AND DETAILED... SAFI SANA
@rehemashabhay8946
@rehemashabhay8946 2 года назад
Vizuri sana Polepole Mungu akulinde..
@DeficitNuts
@DeficitNuts 4 месяца назад
Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
@renatusfmwendamnofu5234
@renatusfmwendamnofu5234 Месяц назад
Ukosahihi polepole, ikosiku mungu atayasia tu, usikate tamaa.
@jamesshao538
@jamesshao538 2 года назад
Hongera sanaa mbwana mwandishi upo vizuri Sana kwenye maswali , hongera sana
@emilykassiano6173
@emilykassiano6173 2 года назад
Polepole oyeeeeeee
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 2 года назад
Polepole una akili nidhamu na busara sana. Kataaaaaa wahuniiiiiii
@allyhusseni8149
@allyhusseni8149 2 года назад
Uyo mwenye ndyo kubwa la wahuni
@happyglorynnko602
@happyglorynnko602 2 года назад
@@allyhusseni8149 sasa mbona hayupo kweny lile genge lao🤣🤣🤣
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 Месяц назад
Nice interview, Lambert is a very good Journalist who met a smart Leader
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 года назад
Hongera Mhe. Polepole Mimi nimependa hapo hata Ibilisi hawezi kukuroga.
@giftmlaki2887
@giftmlaki2887 2 года назад
Polepole ni muhuni sana
@giftmlaki2887
@giftmlaki2887 2 года назад
Na Tanzania hakuna Muhuni Kama pole pole
@giftmlaki2887
@giftmlaki2887 2 года назад
Mzembe tu
@leonardmabula9472
@leonardmabula9472 Месяц назад
Wahunipia wanaweza kumtafuta mtumuadilifu kumchafua polepole uko vizuri
@zabongchannelemmanuel2615
@zabongchannelemmanuel2615 2 года назад
Lambat nimependa utulivu wako, hongera kwa focus, na consistency ya topic, mlikutana wote bigmind,# salute.
@SlsProductionTz
@SlsProductionTz 2 года назад
🤣🤣🤣ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-LrzMZcYdCvg.html
@ambrosiamlinga8402
@ambrosiamlinga8402 2 года назад
Polepole umemaintain calmness hata wakati huyu mwandishi alipo kuwa anakuuliza maswali very personal and unprofessional. Umeweza kujicontrol vizuri. Hongera sana polepole, mwandishi hafai he need more trainingof treating people with respect.
@SlsProductionTz
@SlsProductionTz 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-LrzMZcYdCvg.html
@fiselisgambishi6025
@fiselisgambishi6025 Год назад
Sasa kasema yupo vzr why asiulizwe maswali hayo af professionalism ya habari haiakisi mazingira yetu so mwandishi kajitahidi kutupa tunachopaswa kupata
@user-ul9vs9kg8t
@user-ul9vs9kg8t 8 месяцев назад
Polepole hongera kwa akili mingi upo vzri unajua na unajua tena.watanzania tuwe wakwwli polepole anajua na anajua tena.smart boy kama mimi.
@saxannjo6173
@saxannjo6173 2 года назад
Leo mwandishi amekutana na wakati mgumu haijawah kutokea....BIG UP JPM junior.... n suala la Muda tu
@NaomiKauzeni-zq9rs
@NaomiKauzeni-zq9rs Год назад
Yani kiukweli polepole wewe nikiongoz mwenye ekima nakwelewa
@salimamri9488
@salimamri9488 2 года назад
Pole pole your very smart. Huyu mwandishi ni zuzu katumwa na team Soga, kakutana na mtu mwenye hakili zaidi yake na akina nape. Hawa kuwezi kwahoja pole pole labda kwa mtutu only
@abdichangalima3773
@abdichangalima3773 2 года назад
Kweli Salim.
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 2 года назад
Kweli kabisa, huyo mwandishi ni team mzoga na kakutana smart boy.
@africano98.
@africano98. 2 года назад
Polepole kichwaa sana he's intelligent
@jamesmarumbo6820
@jamesmarumbo6820 2 года назад
Kichwa gani acha unafiki! Pole pole ni mjinga
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 года назад
Polepole mwenyezimungu akuhifadhi. AMIIIN stay in humble brother. AMIIIN
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 2 года назад
Nakukubari sana mh. Hamphrey polepole umejibu vizuri sana, wahuni bado wapo ila ipo siku moja watajutia matendo yao.
@johnsonbagambi1908
@johnsonbagambi1908 2 года назад
Polepole mwenyewe muhuni tu njia zake zimezibwa hatulie tulii shindano imuingie vizuriiiii
@adrianmallyakibona.352
@adrianmallyakibona.352 2 года назад
Pole pole ni hazina ya hii nchi. Kama kuna mtu CCM wanamuhitaji Leo na kesho ni pole pole...
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 2 года назад
@@adrianmallyakibona.352 Wewe mfuatilie vizuri huyu jamaa utamjua vizuri tu ,hana ukweli kiasi hicho kama unavyo fikiri wewe .
@user-ul9vs9kg8t
@user-ul9vs9kg8t 8 месяцев назад
​@@jumamohamed3168ww juma Mohamed mbna umejaa husda??? Muacheni polepole bhana kwasababu anajua
@juliusmakoye2863
@juliusmakoye2863 2 года назад
Mh Polepole we ni mtu Makin Sana.Mungu akubarik na akutunze
@kijaziwakijayo6833
@kijaziwakijayo6833 2 года назад
Pole pole! ....mtu makini na mjanja sanaa anajua anachofanya.
@LEO-uq6el
@LEO-uq6el 2 года назад
Pole pole popote ulipo kunywa pepsi baridi mi nitalipia 😂 unatoa ladha kama messi
@bictonykeraryo3900
@bictonykeraryo3900 2 года назад
Hongera polepole, achana na wahuni na bado wapo!!.
@lutenganomwannyalu3366
@lutenganomwannyalu3366 2 года назад
Pole pole uko Sawa Sawa mkuu ila wahuni kweli wapo na Mungu atakulinda
@ayoubmogassa8754
@ayoubmogassa8754 2 года назад
very smart boy,R.I.P JPM umetuachia watu
@mussaisaac
@mussaisaac 2 года назад
Pole Pole ni mtu makini sana,nakupenda umebaki peke yako kwa watu makini
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 2 года назад
Mwandishi wa habari upo vizuri.
@AlsonMoses
@AlsonMoses Месяц назад
Uko vizur sana mh polepole.
@mathewseverine9962
@mathewseverine9962 2 года назад
Mkubar mkatae polepole kabarikiwa kama mnabisha vaa viatu vyake utageuka chiz
@arunajuma497
@arunajuma497 2 года назад
Ongera.pole.pole
@fadhilimboyi8408
@fadhilimboyi8408 2 года назад
Umeongea ukweli mtupu
@YohanaPetro-xv9tp
@YohanaPetro-xv9tp 8 месяцев назад
Chizimbona Umekuwa Wewe Sasa Make Anajibu Tofati Naalivo ulizwa
@user-ug1ro7jf4b
@user-ug1ro7jf4b 7 месяцев назад
Wahuni hawafai katika Taifa letu Mungu ibarik Tanzania Mungu bariki viongoz wawe wazalendo asante
@mwanawetuamiri6747
@mwanawetuamiri6747 2 года назад
Mungu akulinde kaka Polepole kwa kila Baya,wachache hawataki kukuelewa lakini ipo siku watakuelewa tu
@petermachondo8285
@petermachondo8285 2 года назад
Safi sana pole pole
@pauloqaymo8925
@pauloqaymo8925 2 года назад
Polepole uko vizuri sana
@hogn4816
@hogn4816 2 года назад
Pole pole you are smart man. I salute you. Keep it up
@leonardmabula9472
@leonardmabula9472 Месяц назад
Mtangazaji Polepole ni muadilifu
@richardmanyilizu8400
@richardmanyilizu8400 2 года назад
Ndugu yangu Polepole ninakuelewa sana Mungu akutie nguvu
@joshuabartonpolelaab4985
@joshuabartonpolelaab4985 2 года назад
Muacheniiiiiii #hPolepole
@iongwaezekiel9060
@iongwaezekiel9060 Месяц назад
Huyo Jama nilikuwa nakubali kabisa kwenye hawamu ya tano halikuwa hanatumika vizuri sana baba bona hatukuoni tena
@rojajongo997
@rojajongo997 2 года назад
# kataa wahuni....daima
@edsonleonci5113
@edsonleonci5113 2 года назад
Ukimsikiliza Polepole kwa umakini utagundua ana akili saana na yupo smart saana...!! He is the kind of leader we should have...!!! Tukuacha siasa za mchumia tumbo tuna watu wazuri saana Tanzania
@soberkaleya5148
@soberkaleya5148 2 года назад
BIG UP, MH. POLEPOLE!
@user-jd8qq8dc8i
@user-jd8qq8dc8i Месяц назад
hongera Sana pole pole we ni mtu na nusu
@annapeter4994
@annapeter4994 8 месяцев назад
Hayo maswali ni ya msingi sana mwandishi wa habari Asante sana
@ephrahimukangalawe441
@ephrahimukangalawe441 2 года назад
Hongera sana Mh Polepole Mungu akujalie maisha marefu ndani ya urokole, ulokole ni moto zaidi ya moto
@bakariamour1024
@bakariamour1024 2 года назад
Hivi mtu kama huyu unamwambiaje Mungu ampe maisha marefu ?
@florameza1028
@florameza1028 2 года назад
Polepole tuko pamoja kataa wahuni mbona kigogo mlimwacha kapata alichokitaka mmeanza kumsonga polepole kwendaaà kataaa wahuni na genge lake
@francisrobert9652
@francisrobert9652 2 года назад
mwandishi nimependa sana mahojiano yako upo vizuri pia nampongeza mh Polepole kwa majibu yake yupo vizuri akurupuki thanks
@saimonsemwenda1349
@saimonsemwenda1349 2 года назад
Nakubari sana Mh .polepole
@floramsacky3929
@floramsacky3929 Месяц назад
Polepole ameshajua maswali ya mtangazaji ni katumwa kuchotwa akili amekuta polepole yuko vizuri sana, wanaompenda polepole tujuane jamani
@meshackthomas2950
@meshackthomas2950 2 года назад
Heko pole Pole unajibu vizuri heko
@mohammedmdangwe2056
@mohammedmdangwe2056 2 года назад
Mwandishi umuwezi polepole ukitaka kumuuliza polepole Mwandishi ujipange na inatakiwa umeenda shule kajipange
@DeficitNuts
@DeficitNuts 4 месяца назад
Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
@nyashatono5153
@nyashatono5153 Год назад
The wise leader
@thomasero6800
@thomasero6800 Год назад
Polepole umemjibu vizuri huyu muhuni aliyetumwana wahuni wenzake, mpe kavu zaidi
@mariamabdullah489
@mariamabdullah489 2 года назад
Polepole mpwa wangu hongera, wahuni hatuwataki
@josephgama7810
@josephgama7810 2 года назад
PolePole ni mtu muhimu sana ktk hii nchi ingawa baadhi wanampinga ila itafika wakati ataeleweka kwa uzuri.
@aminafesaliaminafesali8105
@aminafesaliaminafesali8105 2 года назад
Kweli kabsa
@elianoel8398
@elianoel8398 2 года назад
hakika
@sponsor7882
@sponsor7882 2 года назад
Nonsense
@ramsonmugisha961
@ramsonmugisha961 2 года назад
Maswali ya muandishi wa habari ni ya kinafki , yeye anaonekana ni mpinga uongozi wa awamu ya 5. Pole pole upo sawa Sana hii nchi imejaa wwtu wa hovyo hovyo tu.
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 Год назад
Kabisa kabisa ndugu yangu huyu yupo upande fulani
@nipautago8574
@nipautago8574 2 года назад
Polepole mtu makini sana! Halafu ww mtangazaji kama umetumwa
@mwirexchacha3813
@mwirexchacha3813 2 года назад
Infact hakuna mtu muhuni kama polepole, this guy is loosing it sasa anaishia kuropoka tu.
@ismailchami358
@ismailchami358 22 дня назад
Asante Mwandishi wa habari
@tozzowilliams308
@tozzowilliams308 2 года назад
Waandishi wetu mnafeli yaani unauliza maswali yako na yanaonyesha uko upande gani na unataka majibu Gani ,,,,,huwezi kupata majibu mazuri ya maswali yako Kwa uulizaji huo wa maswali
@fahamnitwahir9249
@fahamnitwahir9249 2 года назад
Jamani ulitaka aulize vipi, hebu nitolee mfano
@hamzanangameta6243
@hamzanangameta6243 2 года назад
@@fahamnitwahir9249 huwezi kuuliza swali lenye majibu ya maelezo ukiwa swali umelifunga, unasema kuvamia shamba huu sio uhuni? Uliza mtu akueleza uvamizi ulifanywa kwa malengo gani, kosa lilikuwa ni nini, na lilikosa ufumbuzi hadi likavamiwa shamba?
@liseprimaryschool2596
@liseprimaryschool2596 2 года назад
Ukija kwa maswali ya style ya huyu mwandishi ,humpati huyu mtu ..Yuko mbali sana kiakili.
@MussaNamkoka-dk2om
@MussaNamkoka-dk2om Год назад
Usijaribu ukapata tabu.I really like it na tabu utakua tabu ya ajabu.
@emmy85sweetie99
@emmy85sweetie99 2 года назад
Pole pole kama pole pole big up sana bro
@RAMADHANNYASOMA-rq5jh
@RAMADHANNYASOMA-rq5jh Месяц назад
Polepole ni chizi,akiri yake si nzuri.
@magesachacha8596
@magesachacha8596 5 месяцев назад
Mweshimiwa mungu Akubaliki sana: kwanza umetupigania kwenye korona
@2003hintay
@2003hintay 2 года назад
Polepole uko vizuri mwandishi unachemsha
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 2 года назад
Mwandishi wa habari upo moto sana hoji kwa kutumia maadili
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 Год назад
Yani polepole kiukweli nimtu wamaana sana tanzania yetu mungu akusaidie sana
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 2 года назад
Hata Mimi nakuunga mkono brother,nakataa wahuni Yani Ile kinyama ,Yani nawachukia Sana wahuni,kataa wahuni oyeee!
@evahalphonce5183
@evahalphonce5183 2 года назад
Huwa nakuelewa sana Pole pole mungu akulinde
@saidalsalmi9313
@saidalsalmi9313 2 года назад
Mwandishi uko vizuri sana big up my brother.
@nelsonpeter2112
@nelsonpeter2112 2 года назад
#kataawahuni 😂😂😂wahuni wamekasirishwa na hili neno
@makamoarea5270
@makamoarea5270 2 года назад
Humphrey polepole ni HAZINA YA TAIFA !! Mungu mjalie Nape aje kuwa WAZIRI MKUU
@eliassamson617
@eliassamson617 2 года назад
Big up sana Polepole mpole but sure and Very super master.
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 2 года назад
huyu kijana ni kichwa sana penda sana Mr PP #tuewakataewahunikwanguvuzote
@lilianjosephat9151
@lilianjosephat9151 2 года назад
Makini sana
@atupelejohnmwakangale3226
@atupelejohnmwakangale3226 2 года назад
Wahuni ni pamoja na wewe mwandishi mhojaji
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 2 года назад
Pole pole hutegeki kweli,unajua kupangua maswali Kwa namna ambayo hutaingia kingi. Nimejifunza mengi na nimejua mengi asante Sante
@mothernatureanditsbeauty5603
@mothernatureanditsbeauty5603 2 года назад
Your a Clever man. really I do envy you. your words are so wise.
@khatibjuma1313
@khatibjuma1313 2 года назад
Nakukubali bro
@InfinixTechnology
@InfinixTechnology 2 года назад
Jamani.kuuliza.ski.ujinga.sipiriiani.musiba.yuko.wapii.
@jesaminzo
@jesaminzo 2 года назад
Hongera mwandishi u makini sana!
@maimunashaban9538
@maimunashaban9538 2 года назад
Polepole we uko poa sana kwa majibu yako big p
@ooafrica3626
@ooafrica3626 2 года назад
Bila Polepole barakoa adi saiv tungekua tunalazimishwa wakati ni hiari hasa mabasi ya mwendokasi yalikua km biashara Et bila barakoa hupandi basi ni ujambazi kabsa, ASANTE POLEPOLE bora ulizaliwa katika kizazi hiki, POLEPOLE wewe ni mkomboz kweli kweli
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 2 года назад
Sio kweli
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 2 года назад
Asante sana mwenyezi MUNGU mkuu kwa muongozo wako mwema kwa taifa rangu mkubwa la TANZANIA
@chriskudilla5355
@chriskudilla5355 2 года назад
Waandishi hopeless badala ya kuuliza facts unauliza matukio ya watu wasiohusika
Далее
Кого из блогеров узнали?
00:10
Просмотров 383 тыс.
NYAKATI ZA MWISHO NA HUMPHREY POLEPOLE - WASAFI TV
42:23