Тёмный

Polisi jijini Nairobi wanachunguza kutoweka kwa mwanafunzi 

Citizen TV Kenya
Подписаться 5 млн
Просмотров 72 тыс.
50% 1

Polisi jijini Nairobi wanachunguza kutoweka kwa mwanafunzi wa miaka 12 katika hali tatanishi mtaani south b, kaunti ya Nairobi. Akolde Dut Paul, alitumwa dukani kununua bidhaa tarehe 23 machi mwaka huu lakini hakurejea nyumbani. Wahudumu wa duka alikonunua bidhaa hizo wanasema walimwagiza kurejea nyumbani kumleta mzazi baada ya kupatikana na peremende ya wizi

Опубликовано:

 

4 апр 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 50   
@jackieshamim3162
@jackieshamim3162 Год назад
Inaka ameogopa kurudi nyumbani.atapatikana katika jina la yesu
@brigidmusanga1325
@brigidmusanga1325 Год назад
Amen .
@JEFFKINGish
@JEFFKINGish Год назад
We are sending love she will be found well and safe
@njeruflorence
@njeruflorence Год назад
Aliogopa kurundi home because of the threat from the shop. Shame😢
@amazingbeatrice9228
@amazingbeatrice9228 Год назад
Why do i feel like she got scared of going to bring the parents and decided to take off elsewhere. Woiii.. May she be found safe and sound i pray.
@simonmurage7177
@simonmurage7177 Год назад
That must be the case
@brigidmusanga1325
@brigidmusanga1325 Год назад
She was hungry
@nissispuppies5990
@nissispuppies5990 Год назад
If you have lived near Sudanese you know how they punish the kids. The girl got scared and took off.
@brigidmusanga1325
@brigidmusanga1325 Год назад
Wako xtremely strict😮.
@akierb1657
@akierb1657 Год назад
Imagine that is your sister will you talk like that?
@christineamlinger5630
@christineamlinger5630 Год назад
​@@akierb1657 why are you making it look cruel? Most of the times when kids runaway it's because they are afraid of punishment, shoot we know our African parents are strict.
@husseinkazungu5101
@husseinkazungu5101 Год назад
GOD we protect her we pray for her safe return
@bellaliga907
@bellaliga907 Год назад
Atapatikana in Jesus name...
@elizahbethngele
@elizahbethngele Год назад
Alikua amevaa aje ndio maybe iwe easy to find the lady😢😢😢
@dominictanui5027
@dominictanui5027 Год назад
Kuishi na relatives ni noma. She must have been scared.
@lucymwai7645
@lucymwai7645 Год назад
Ata ni parents wake,Kama alikosa lazima angeogopaa
@jakee2041
@jakee2041 Год назад
Sasa kuangalia angalia vitu ni mbaya juu hujaiba?? Hivyo we don't have window shopping?? Hakuna kenye alifanya anatumwa wazazi, cctv vile inaonyesha huyu mtoto hakuna kenye aliiba na kenye alitumwa alinunua. Shame on you hii supermarket, nyinyi ndio mumepea akaogopa kwenda home akatoroka bureeeee kabisaaaa
@zaitunisagwa2082
@zaitunisagwa2082 Год назад
Just add 1 +1 and know it's 2. According to the video and the narration, one can just conclude the child took the chocolate. If they did not find her with anything why did they then hold the Milk and the money?. The thing is she was scared to go back home because of discipline may be. I think she is just in the streets.
@anjellamasika-lm4ze
@anjellamasika-lm4ze Год назад
I wish wangemwambia akaa hapo,wacall the parents,juu huyu obvious anajua number ya either mum
@joshuaotieno1734
@joshuaotieno1734 Год назад
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😮
@lucymwai7645
@lucymwai7645 Год назад
Maybe kalichukuwa Chocolate,But ni kawainda watoto. Wangemuzuiliwa mpaka mzazi akuje
@Kipash
@Kipash Год назад
When home is terror zone, the child likely disappeared fearing reproach.
@EphantusMNjeru
@EphantusMNjeru Год назад
Here's a case of a little girl 'tempted by candy'. I don't argue for shop-lifting but have my reservations that this retail outlet could have done better owing to the juvenile age of the subject. Was the candy open? Was the difference between the value of the milk pack and the Ksh.1400/- enough to take care of the chocolate? There's a possibility that the girl, oblivious of the risks out there on our streets got hesitant to return home in fear of punishment by her parents/guardians for the wrong she had done. We commit this family unto God's able hands for strength during this difficult times & pray that young Akolde returns home safe ... 🙏🕊️ ...
@roselikhaya5872
@roselikhaya5872 Год назад
They could take the items she had taken and let her go home with the milk or even buy her like 5 sweets. That was just a child
@lucymwai7645
@lucymwai7645 Год назад
They did not know, kama huyo mtoto angepoteya jameni
@eevansnnyongesa3343
@eevansnnyongesa3343 Год назад
Ati peremende mko na mchezo sana naivas mko aje
@johnndegwa67
@johnndegwa67 Год назад
Naivas security to be blamed solely,they could have called the parents and detaine the child 😅
@abijahhamisi1474
@abijahhamisi1474 Год назад
Mungu mrejeshe
@bettyomusikoyo2898
@bettyomusikoyo2898 Год назад
God help
@rosekadzokillian9700
@rosekadzokillian9700 4 месяца назад
May she be fine whenever she id
@lucymwai7645
@lucymwai7645 Год назад
Oh my God, wooiyie grade 1
@morineopana8991
@morineopana8991 Год назад
Labda aliogopa but my prayers apatikane salama salmini
@wilsonkombeyeri4623
@wilsonkombeyeri4623 Год назад
Why did you have to send a little child like that even you parents stop carelessness
@jessyjizzy2396
@jessyjizzy2396 Год назад
😢
@berylngiela6149
@berylngiela6149 Год назад
Peremende ni kitu ya kutumana mzazi surely
@mosesgakobo1634
@mosesgakobo1634 Год назад
nmemuona leo asubui huyu mtoto
@victoriaanyango692
@victoriaanyango692 Год назад
Wapi jamani piga ripoti kwa wazazi
@sarahpurity2263
@sarahpurity2263 Год назад
Alikuwa amevaaje for eazy indetity
@elizahbethngele
@elizahbethngele Год назад
Waseme alilovaa
@webmallkenya8480
@webmallkenya8480 Год назад
@@elizahbethngele kwani huoni cctv
@elizahbethngele
@elizahbethngele Год назад
@@webmallkenya8480 ooh sorry dr
@Miss_Lydia_slay
@Miss_Lydia_slay Год назад
But I think she had enough money they could have deducted from after paying the milk
@MwariwaMukurino
@MwariwaMukurino Год назад
Meaning her parents are very strict
@lucymwai7645
@lucymwai7645 Год назад
You have to be strict kwa watoto as parents. Hakuna mtu angenjua huyo mtoto hataenda nyumbani. God Almighty saidia huyo mtoto arundi kwa wazazi wake 😢
@evalynmuema2303
@evalynmuema2303 Год назад
Please can we know the dates girl lost because there was girl raped and killed 24th of April
@yubizkip2309
@yubizkip2309 Год назад
12 years Grade 1???
@JEFFKINGish
@JEFFKINGish Год назад
From south Sudan haezi kuwa level moja na watoto wa kenya kazima aanzie chini ndo ashike poa
@hl2501
@hl2501 Год назад
Form 1
@charlesondabu3135
@charlesondabu3135 Год назад
Ni tricky sana. I thought ako grade 7
Далее
Аминка ❤️
00:16
Просмотров 1,4 млн
Maiti Iliyozikwa Kakamega Yafukuliwa
3:24
Просмотров 1 млн
Hospitali ya Mama Lucy Kibaki yajipata mashakani
3:10
Wanawake zaidi wasimulia masaibu yao na John Matara
4:32
Majambazi wamuua afisa wa DCI kwa kumpiga risasi
3:35
Просмотров 195 тыс.