Leo Ikiwa ni siku ya Tatu tu (3) Toka tuuanze Mwaka Mpya 2023
Mrisho Mpoto na Vijana wake wameanza kwa kuandika Historia nyingine kubwa Duniani
Jana usiku ulikuja Ujumbe maalumu, kutoka kwa Viongozi wa Kiroho Duniani kote.. (BAPS)
Waliokutana hapa India kwenye Sherehe kubwa zaidi Duniani za Miaka 100 ya Pramukh Swami Maharaj Mpoto na vijana wake waliombwa kufanyika kwa Onyesho la Jukwaani (Storytelling and Theatre Performance)
Kwa hakika walifanya Walichotumwa na Watanzania kuja kukifanya
2 янв 2023