kipenz chamm lowasa, umeenda bila ndoto yako kutimia, mungu hakutaka na kazi yake Haina makosa . umetimiza ambacho mungu alikuleta duniania. roho yako I mikononi mwa Mungu Amen
😭😭Tuko kwenye dunia ambayo walio kufa hupokea maua mengi kuliko walio hai,, hii ni kwa sababu majuto yana nguvu kuliko shukrani✍📌 inaumiza saana,, itoshe kusema nenda ulale salama kiongozi wetu, japo tumekupa maua mengi baada ya kufikwa umauti😭😭😭😭😭
Sisemi.uongo lowasa nilikua nampendaa ni baba asiyrkua na majivuno siku zoe ongea yake ilikua ya kistaarabu pumxika kwa aman acha upate heshima zako ulikua hujikweziii
Jamani ivi ninani anaekubali kusifiwa kila siku?? Hizi nisifa za mwisho kwani akisha ingia tu kaburini nawatu wakaligeuzia kaburi kisogo basi kilakitu kinakua kimesahaulika😢😢😢 Pumzika kwa amani Lowasa
Pumzika kwa amani mzee wetu lowasa,Mungu ailaze roh yako mahal pema pepon Mungu akusamehe yote uliyokosea hakika wewe ni mwanadam,unakosea pia Tutakukumbuka kwa mengi sana.😢
UNAPOISHI HUWA UNAKUWA UNA UNATENGENEZA HISTORIA UNAPO KUFA HUWA NDIPO HISTORIA YAKO INA ANDIKWA KWA ULICHO FANYA KWA WATU UMEFAULU KUISHI MZEE LOWASA RIP😭😭😭😭
Kuna watu hapo kipindi anahamia chadema walimsema kwa maneno ya hivyo sana,sasa Mungu kampenda zaidi hutosikia kwenye hotuba ya marehemu Kama aliwahi kuhama chama dah Ulale mahari pema peponi shujaa wa Tanzania
Nimesomea hapo Monduli Mazoezi Primary na Irkisongo sec School nikiwa hapo niliabudu kanisa moja na Mh Lowassa alikua mnyenyekevu sijawahi ona.r.i.p my daddy .pia baba yangu aliitwa Edward kama ww .a.k.a Docta Osama ktk hosp ya Monduli nae pia wmetangulia mbele za haki 20,02,2020.
Hakika Lwasa mzalendo wa kweli umekwenda moja kwa moja tungali tunakuhitaji tusiyethamini vyeo wala madaraka, bali utu. Ole wao walio wa vyeo, tuone wadumu milele duniani.
Hapa tumesha sahulishwa kutambua nn! Maana ya kifo!! Maana sijui tunacho kitafakar hapa ni kifoo!! Ngomq?? hatujui tuendako wala hatuujui ugumu wake huko tuendako 50:6 yeremia inna lillah wa inna ilaih raajiun😭😭😭😭😭
inna lilahi wainnaa ilaihi rajiuun maiti anaburudishwa wakati hapo anahangaika na ya akhera hana habari ya dunia anaona kama kazaliwa akafariki hajui haamini kama kaishi miaka mia moja
each spirit will taste death,,, innalillah wainnalillah Raajun , tulitoka mavumbin na huko tutarud tena tangulia baba tupo nyuma yako tutaonana baadaye, still rest in paradise