Тёмный

PRODUCER SHIRKO AFUNGUKA ALIVYOCHANGIA MZIKI WA BONGO FLAVA/ANA MPANGO GANI KWA WASANII WA KENYA? 

Mseto East Africa
Подписаться 298 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

Please watch: "(96) ICE BOY: WEMA SEPETU Alikuwa Wangu/Ataja List/VERA SIDIKA?HUDDAH?VANESSA? "
• ICE BOY Kujiunga WCB/S... -~- WATCH YOUR FAVORITE SHOW IN EAST AND CENTRAL AFRICA , #MSETO_EAST_AFRICA NA #MZAZI_WILLY_M_TUVA

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 39   
@andersonanusu3158
@andersonanusu3158 3 года назад
Shirko..wimbo mliofanya na 2 berry (kuwa na wewe) ni favorite kwangu mpaka sasa hivi.Wimbo strong sana,inazungumza na nafsi mpaka sasa hivi.Big up!!!...Najua-pia ya 2 berry niliipenda pia.
@raheemyusuph5694
@raheemyusuph5694 4 года назад
ndo leoo najua huyu jamaa ni mkenyaaaaaa nilijua ni Mzanzibar
@tonyi6807
@tonyi6807 3 года назад
Jamaa ni mkenya@hata mm mwanzoni sikumfahamu vema ila ni mtu mbunifu na sio mbinafsi.
@mwanaishakhamis8069
@mwanaishakhamis8069 2 года назад
Kwao mkenya kwao ni mambasa mtaa kaloleni
@tonyi6807
@tonyi6807 3 года назад
Kiukweli hakuna ubishi Mziki wetu kuna namna unapewa Heshima sana na Wakenya na ndio Funbase Area of Bongofleva inapokuwa jamaa wanatusupport bila kutenga wasanii wetu wao kila msanii wa Tanzania ni wao ili mradi Kazi ni nzuri@Produza shirko Big up sana Kazi ya mikono yko Idumu milele.
@ShababiDuruboy
@ShababiDuruboy Год назад
Ikubali ukatae Kenya is the back bone of bongo fleva
@jumakaswelele3143
@jumakaswelele3143 4 года назад
Huyu jama kabadilika Sana kwanza kawa mweusi kidogo kawa mnene saana na nimemzoea akiwa anaongea saan kiingereza nakumbuka alivyo ft na berry black alichana Sana ngeli alafu alikuwa mweupesana na mwembamba dah mungu akupe Long life
@TravelersTour_TT
@TravelersTour_TT 5 лет назад
Wapi heshima kwa @mzazi🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 5 лет назад
Uko powa sana broo Shiriko kazi zako nazikubali sana.
@003peaceboykenya
@003peaceboykenya Год назад
Respect 2 kenyan producers
@jeremiahmwasapilicharlie2926
@jeremiahmwasapilicharlie2926 5 лет назад
jamaa kawa mzee saivi ,,shiriko
@captainnyotatv001
@captainnyotatv001 5 лет назад
Safi sana M.E.A
@kalistimarley1924
@kalistimarley1924 5 лет назад
Dah jamaa mshua sana flan hivi. apriciate my producers #tz #love
@franciskaruga1523
@franciskaruga1523 5 лет назад
wapi like za #mseto
@Kachaa254
@Kachaa254 5 лет назад
Sweety sweetie 😘 my favorite tune by chege now that nmejua ww ndo ulobonyeza vinanda naikubali snaa
@alizetidecimals
@alizetidecimals 5 лет назад
That's my producer001 @shirko we going far
@owendancan3043
@owendancan3043 5 лет назад
Shirko was my eve best artsit and producer ever..share yo instagram acount maze
@mosesjnr8436
@mosesjnr8436 5 лет назад
@shirkomedia
@hiphoptv59
@hiphoptv59 5 лет назад
uko sawa sana nakukubali sanaaa🤗
@deljaysamil1153
@deljaysamil1153 5 лет назад
N mmoja wa mapro wanoma EA
@barakakambi1469
@barakakambi1469 5 лет назад
Hilo ji mic balaa Mzazi
@خسنموس
@خسنموس 5 лет назад
Safi sana shirko nmekuelewa
@dukemoha8825
@dukemoha8825 2 года назад
Mambo
@خسنموس
@خسنموس 2 года назад
@@dukemoha8825 poa
@mwangiirungu3670
@mwangiirungu3670 2 года назад
I used to think he is Tanzanian
@hevizymatho7853
@hevizymatho7853 Год назад
Shirko juu xna bro 🤝
@ananiamakasy2050
@ananiamakasy2050 10 месяцев назад
Oya nivile tu wabongo wa nafki nafki sana et producer Shiriko hajulikana hata kwenye tunzo za heshima ya bongo freva. Sasa sijui mbosso hua anakukumbuka kweli mtengeneza njia.
@OmanIbra-d6u
@OmanIbra-d6u 8 месяцев назад
Miye nahamini unene siyo mzuri jamani yaani uyu miye naona siyo yeye
@tunumajuma1661
@tunumajuma1661 5 лет назад
MashaAllah
@stanleytango7012
@stanleytango7012 5 лет назад
Pamoja sna Mzazi
@richardngendakumana2871
@richardngendakumana2871 5 лет назад
Aaah kumbe ndio huyo jama Nakubali kazi zake
@KilimanjaroBand
@KilimanjaroBand 4 месяца назад
Ukowap shirko mara ya mwisho nakuona muembe tayar
@kalistimarley1924
@kalistimarley1924 5 лет назад
Nakubali mzee
@matanochengo9375
@matanochengo9375 3 года назад
Mimi ni msanii wa mziki nitapata vipi number za simu za producer shiriko ama contacts zake
@mosesnyamhanga449
@mosesnyamhanga449 2 года назад
Binafs nakuelewa sana bro!
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 3 года назад
Pamoja sana kaka
@johnmwangi2435
@johnmwangi2435 5 лет назад
Muzadee
@melvinwafula6379
@melvinwafula6379 5 лет назад
Shirko nimekufatilia tangu enzi za "kuwa nawe' unatalanta bro..ebu kuza talanza kenya maana tumchoka kuskiza mziki za nje wakati tunatalanta huku kwetu
@user-yh7lm9sm5s
@user-yh7lm9sm5s 10 месяцев назад
Leo ndo nimejuwa ni mkenya.
Далее
Семья с двойным дном. Рассказ
2:45:06
Ice Bear would appreciate some cheese 🧀
00:18
Просмотров 13 млн
TUNDU LISSU AICHAMBUA SERIKALI "HAKUNA LOLOTE"
9:35
Masanja MONICA ft Walter Official Video
5:13
Просмотров 677 тыс.
Семья с двойным дном. Рассказ
2:45:06