Please watch: "(96) ICE BOY: WEMA SEPETU Alikuwa Wangu/Ataja List/VERA SIDIKA?HUDDAH?VANESSA? " • ICE BOY Kujiunga WCB/S... -~- WATCH YOUR FAVORITE SHOW IN EAST AND CENTRAL AFRICA , #MSETO_EAST_AFRICA NA #MZAZI_WILLY_M_TUVA
Shirko..wimbo mliofanya na 2 berry (kuwa na wewe) ni favorite kwangu mpaka sasa hivi.Wimbo strong sana,inazungumza na nafsi mpaka sasa hivi.Big up!!!...Najua-pia ya 2 berry niliipenda pia.
Kiukweli hakuna ubishi Mziki wetu kuna namna unapewa Heshima sana na Wakenya na ndio Funbase Area of Bongofleva inapokuwa jamaa wanatusupport bila kutenga wasanii wetu wao kila msanii wa Tanzania ni wao ili mradi Kazi ni nzuri@Produza shirko Big up sana Kazi ya mikono yko Idumu milele.
Huyu jama kabadilika Sana kwanza kawa mweusi kidogo kawa mnene saana na nimemzoea akiwa anaongea saan kiingereza nakumbuka alivyo ft na berry black alichana Sana ngeli alafu alikuwa mweupesana na mwembamba dah mungu akupe Long life
Oya nivile tu wabongo wa nafki nafki sana et producer Shiriko hajulikana hata kwenye tunzo za heshima ya bongo freva. Sasa sijui mbosso hua anakukumbuka kweli mtengeneza njia.
Shirko nimekufatilia tangu enzi za "kuwa nawe' unatalanta bro..ebu kuza talanza kenya maana tumchoka kuskiza mziki za nje wakati tunatalanta huku kwetu