Kwetu ni kwetu, Prof Kabudi, you're the best father. Ila Magufuli is the best president, wako wengi viongozi wazur kama Prof Kabudi, ila hawana nafasi kabisa. Watafute tu tupo father. God bless you ever
Nashukru sana mzee wetu, siyo kwamba Tanzania hatuna wasomi!!! Wapo ila shida ilikuwa uzalendo. Masilai binafisi ndo yametawala miongoni mwetu. Hao watanzania unaongea nao baba, siyo wote walioko huko Wengine walisha kataa kwao. Lazima tujitambue turudi nyumbani... Siyo vibaya kuwa ughaibuni lakn lazima tuwe wazalendo.
Aksante sana Mungu kwa hazina ya huyu Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, bingwa wa Sheria, Nguli wa Sheria/ Fundi wa Sheria nimefuatilia speech yako yote ambayo imejaa / sheheni kila kitu na unamadini ya kutosha kichwani, asante Pr. Kabudi (Bruce Lee) uliwachakaza ACACIA
Kaka hata mie namkubali huyu Prof. Ni mzuri kwa kila eneo la sheria ....swali ni je? Atatenda haki?. Haijalishi una elim na maarifa kias gani juu ya taalum yako...kinachokupa hijara njema ni kutenda haki siku zote.
Prof Kabudi ,you are uniquely identifiable. W are proud of you to be born in Nyerere land.It cements also to have his Excellency Dr John Pombe Magufuli our President to be our leader at this moment timely
Kabudi paramagamba ni Mtu mhimu muno TZ , wasomi Kama Hawa wakifa wasizikwe wawe vielelezo kwa vizazi vyetu Mimi nitasimama kwa niaba ya watz Mungu ampe Afya na maisha marefu Hakika wewe ni nabii wetu Nabii Prof Paramagamba kabudi
Safi sana waziri umengea vzuri Maana Kunawatu wakiskia wabembe wanajuwa wote niwakongomani, wapo wabembe hata uzalendo wakongo hawana, babuzao wapo kabla hata yakuitwa Tanzania
Mhhh!!! Shulee !!! Nimekuelewa saana Professor.Hakika ni Mmoja wawasomi wanaoitumia vizuli taaluma yao sio professor Jina ila unadhihirisha Taaluma yako.
Asante sana muheshiwa sasa ni inarusiwa kuwa kiwanja kujenga hotel au svjule au nyumba bila tatizo watajaa hao ni sawa wapemi haki zao wanadjulumiwa sana wajisikia wajenga taifa tukiwa wengi tuta win umasiki umekwesha watasaidia ndugu xao pia
Mungu mbariki zrais wetu na taifa lake kweli mafuli ni ameletwa kila jambo hanatatua ilil swala kika wakati ni hadidhi tu sasa imefika inabidi rais utoa tamko watadhania wote wemye urai mwingine warudi wajengea wazazi wao wawekeze wanunuwe viwanja na walipe kodi ubarikiwe Rais wetu mpendawa
yaani ktk watu huwa sichoki kuwasikiliza ni huyu profesor palamagamba kabudi yaani speech zake zimenyooka na hasa pale anapotoa mifano ya nchi zingine dah hiki kichwa kweli
MzeeMagufuli hongera sana kumpata mzalendo huyu profesa Kabudi ananikumbusha mbali sana hasa yale mabango ya mwl Nyerere yaliyokuwa sekondari yakiwataja wanaopata nafasi ya kusoma kuwa privilege wakiwasahau wanavijiji waliojima wakati wa njaa ni wasaliti.Naomba yarudi tena mashuleni.
Asante sana muheshimiwa kwa hiyo kujenga hotel na kujenga viwanda na kuwa nyumba inarusiwa safi mbona twajaa sana mdio vizuri tuwe wamoja hao ndugu zetu wawe nauwakika maisha yao pia wakiwekeza sio kudhulumiwa tena kidumu chama cha mapinduzi Mungu ibariki tanzania na rais wetu JPM
Hujakosea Mimi ni mnyambo lkn ninaongea kinyankole tofauti na kihaya japokuwa rugha zote ninazielewa kinyambo kinyankole na kihaya pia na kinyarwanda na kiganda na huko kote Nina ndugu zangu na wamezaliwa uko