Тёмный

Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA" 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 320 тыс.
50% 1

Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"
Waziri wa Katiba na sheria Prof. Palamagamba Kabudi leo katika makabidhiano ya pesa pamoja na madini ambayo yaliibiwa Tanzania na Kukamatwa Kenya amesema Tanzania na Kenya ni ndugu akabisa hivyo tuendelee kudumisha upendo na mshikamano...
Pia ametoa shukrani kwa Rais wa kenya Uhuru Kenyatta kwa kuamua kurejesha mali za Tanzania , hivyo amefanya maamuzi mazuri na anastahili kuwa mfano wa kuigwa , na amelipa jambo hili uzito mkubwa sana..
Kabudi ametoa rai kwa wananchi wote wa Kenya na Tanzania kutokuwa wahalifu na kuzilinda mali za nchi zote mbili kwa umakini wa hali ya juu..
#MAWAZIRI
www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Insta

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 274   
@chrismutisya
@chrismutisya 5 лет назад
I am a Kenyan but i tune in to listen to this man. He inspires me to read books. He is a great brain and a blessing to East Africa.
@yusuphboli3416
@yusuphboli3416 5 лет назад
Christopher Mutisya east africa all the way
@paulinamon9087
@paulinamon9087 5 лет назад
Anasemaga mwnyw Kuwa ni wa jalalani . He doesn't know his worth
@edwardgerald8602
@edwardgerald8602 5 лет назад
Christopher Mutisya you are right brother!
@kaniogachief6151
@kaniogachief6151 5 лет назад
Kichwaa hicho
@samueltopoikaoltingidi2926
@samueltopoikaoltingidi2926 4 года назад
Very intelligent man indeed
@angelinasimchimba705
@angelinasimchimba705 5 лет назад
Moja ya watu ambao ni hazina zetu kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ".....ni huyu professor kabudi,he is very Talented @
@science_fact93
@science_fact93 5 лет назад
More than Talented
@khamisibinamu5323
@khamisibinamu5323 3 года назад
Ana elimu sana huyu mzee halafu ni mbobezi wa lugha ya kiswahili
@devotawaitara2333
@devotawaitara2333 3 года назад
More than
@wazirhussein3751
@wazirhussein3751 3 года назад
Ningependa awe makamu mpya wa Tanzania, he genius
@maxmax8273
@maxmax8273 Месяц назад
CCM should allow him to run for Presidency. He's really fantastic. By the way how does his CV look like?
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 5 лет назад
Professor Kabudi kongole sana kwa hotuba zako ambazo siku zote hujaa mafundisho na mawaidha ya kisomi na ya kiutu uzima.
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 5 лет назад
Kabudi safi sana..wajukuu zako wana raha sana
@ezmexplores
@ezmexplores 4 года назад
Kweli Kabisa.
@petermartin7181
@petermartin7181 5 лет назад
Professor Kabudi thank you for supporting the government of Tanzania. You are well informed and you are a pride of Tanzania. When I listen to people like Zitto Kabwe and Tundu Lissu talking evil about their country, I wonder whose interests they speak for. Professor you are doing a good job for the People of Tanzania and the country, well done and God bless you.
@munuoisaack418
@munuoisaack418 5 лет назад
Natamani sana Dr Magufuli,,,Prf Kabudi,,,Mh Bashe mjitahidi kusimamia uwezo wenu wa akili ulete matokeo hapa Tz najua huenda tutapitia aina flani ya maisha lakini hata Mwanamke anapojifungua anapatwa na maumivu lakini mwishowe hufurahi nasi tutavumilia lakini matokeo yawepo
@kahibiraphael2902
@kahibiraphael2902 5 лет назад
your brain is so smart Prof Kabudi
@maryjohn8785
@maryjohn8785 5 лет назад
Haiya nmejua leo hadidhi nzuri kweli 🇰🇪
@kingj9346
@kingj9346 5 лет назад
I don't get tired to listen to this prof, especially when is talking about history of great lakes region
@isayamwidete6420
@isayamwidete6420 5 лет назад
The comming president after KING MAGUFULI!!!i wish to see you in MAGOGONI in further days even though we know your not politician , and that makes you stronger!🇹🇿!!!i wish you can take even other ministry specifically ministry of internal affairs where we see huge loop holes for a long tym!!!We luv you MAFUFULI💕,we luv you HON KABUDI!!💕
@jerichoseth4188
@jerichoseth4188 5 лет назад
Duh!huyu mzee yyko vizuri kihistoria anaijua nchi vizuri sana
@science_fact93
@science_fact93 5 лет назад
This Man has great Gift of leadership I think within few years to come he might be great leader within this country
@evancelawrence1813
@evancelawrence1813 5 лет назад
Big up
@clementkithinji7091
@clementkithinji7091 5 лет назад
Prof is a gem in EA such history is the minds of very few if any,he has made me feel very proud that we have such brains with eloquence,succinct and unravelled orator, please Prof write book on this, rich history which many citizens of both countries don't have
@jumbeojaso5767
@jumbeojaso5767 5 лет назад
Prof mwl ni mwalimu usimpe jukwaa hata masaa 3 hachoki ,Ila kwa ukweli wakenya ni ndugu zetu Wa damu kama ambavyo Waganda ,Warundi,Wanyrwanda ,Wakongo ,Wa Malawi na Wazambia ni ndugu Wa damu, na tunamahusuano ya miaka mingi, japo wazungu walizigawa nchi zetu ili watutawale vizuri na kunyonya rasilimali za bara letu LA Africa. Tudumishe udugu huu kwa vitendo na siyo kwa maneno. Tujifunze kusameheana huku tukijadiliana kila tunapoona kasoro . Mungu zibariki Tanzania na Kenya .tuishi kwa Amani ...Amen.
@MsAggie5
@MsAggie5 5 лет назад
Jumbe Ojaso amen
@jumbeojaso5767
@jumbeojaso5767 5 лет назад
@@MsAggie5 .AMEEN
@sapduke8691
@sapduke8691 4 года назад
Wakigawa kwa minaajili sis ndio waiburu.... wahibiraniha (Hebrews in English) It is why we suffered so much with slavery and slave trade... But our people don't know who we are.. Wazungu wameficha siri, but we are the chosen people of the most high! Wake up and stand up against the gentile's (barbarian (beberu)
@williamlumbasia7110
@williamlumbasia7110 4 года назад
Ameen!
@lennyalega1559
@lennyalega1559 4 года назад
Umenena ukweli nami nasema Amina. Love from kenya
@remmychuma1313
@remmychuma1313 5 лет назад
It was a great and an excellent presentation. Well done Prof. Palamagamba Aidan Kabudi.
@djatm1319
@djatm1319 5 лет назад
Mwana historia huyu ....nimempenda sana kutoka Kenya
@maryjohn8785
@maryjohn8785 5 лет назад
DJ ATM mm pia
@husseinnkenja8149
@husseinnkenja8149 5 лет назад
Prof. Kabudi wewe ni profesa haswa. Nakupenda sana mkuu najua wapo wanaokubeza na kukuona si kitu lakini hajui hazina kubwa uliyobeba kichwani mwako. Nadhani kwa sasa upo sehemu sahihi kabisa na mkuu wa nchi amekuweka sehemu sahihi ya diplomasia na unaiweza kwa haki. Mkuu Prof. Kabudi endelea hivyo hivyo kama watanzania wa sasa hawaona ubora wako basi wajao wenye akili nyingi watatambua hazina kubwa na watatushangaa sisi ambao tunaishi na wewe na kula na wewe kwa nini hatuthamini hazina hiyo. nampongeza sana rais Magufuli kwa kukuona na kukuteua katika nafasi hiyo.
@fediruben5009
@fediruben5009 5 лет назад
Duu mh Kabudi nimekukubali unaijua historia vizuri
@kinigarm8239
@kinigarm8239 5 лет назад
Tanzania is the father of Politics in Africa/Ka.
@josephinemitamba3399
@josephinemitamba3399 5 лет назад
Asante sana kwamaneno ya hekima na busara tunacho omba kama wa Afrika nikwamba wale ambao wanajuwa sisi wote ni ndungu wawe wanaelimisha watu mauwaji ubaguzi na matengano vinatokeya wengi wetu hawajuwi undungu wetu kaeni chini mukafunze watoto wetu Afrika tuwe kitu kimoja
@jamhuricity
@jamhuricity 4 года назад
Am a Kenyan and I never tire to listen to professor.. Full of wisdom and knowledge
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 5 лет назад
Profesaaa!!! I do appreciate you.
@omarykaita43
@omarykaita43 5 лет назад
Pro: John Aidani Mwiyange Palamagamba Kabudi. the Minister of External Affairs, East Africa and Zone at Large, You deserved to be on the current position, Please, in faith, assist our Beloved JPM. I am admiring your presentation.
@rahjah5882
@rahjah5882 5 лет назад
I always lean some when Prof. Kabudi chant One love Itinualy
@Kushpoll
@Kushpoll 4 года назад
Kenyan's who are here after the BBI report launch chapeni like.
@lennyalega1559
@lennyalega1559 4 года назад
Remember when he talked of magniloquence?
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 5 лет назад
Kabudi safii upo makini sanaaa
@robertmwakavi1266
@robertmwakavi1266 4 года назад
This man should be the next Tanzanian president after DrJ P Maghufuli.Very brilliant,articulate,sense of humor and bold.
@danielbugwema6969
@danielbugwema6969 5 лет назад
Naomba ukabidhiwe nchi baada ya Magufuli unajua mengi Sana
@abdulatifmoxamed8047
@abdulatifmoxamed8047 5 лет назад
Absolutely
@kiatu
@kiatu 4 года назад
4 months later - Magufuli will take us to 2030. No chance for Kabudi. But really a learned guy. Love him
@mariamnimbo8394
@mariamnimbo8394 3 года назад
Nimejifunza kutoka kwako waziri Kabudi, kumbe wengi wetu ni Africa ni ndugu. Asante kwa historia hii. Tku!!!
@williamray7751
@williamray7751 3 года назад
Professor Kabudi, An intelligent man ,your gift of understanding and grasping information is outstanding 👏 👌
@allykivike7228
@allykivike7228 5 лет назад
Magufuli anaakili sana hata anapo cheka anamaanisha sikama wengine wanacheka hata msibani.
@prospermakela7791
@prospermakela7791 5 лет назад
Ally Kivike ,upo vizuri mkuu umeliona hilo jamaa anacheka kwa kwa timing
@andreajeremia436
@andreajeremia436 4 года назад
Wale jamaa,walikuwa wanacheka hata msibani duuh.
@lucieserero7475
@lucieserero7475 4 года назад
I felt like I was in class learning Swahili again... Loved it👍👌
@abdallahhassan6055
@abdallahhassan6055 5 лет назад
Kwakweli mm huwa naumia sana ninapoona kabudi eti anakosolewa na lema au mbowe kwa uwelewa upi walionao au sugu jamani wasikilize haya mafundisha ya History ndo wajue kama nchi hii inawalimu wanaojua kufundisha lapili wajuwe huyu jamaa kasoma na akina nani na wapi mashaidi wake ni wakenya na ninadhani hawazidi watanzania watano wenye kutowa spich za namna hii tumpongeze jamani prof kabudi mwaaaaaa
@andreajeremia436
@andreajeremia436 4 года назад
Shida yetu nyingine ni wivu wa kijinga,watu kama hawa ni tunu kwa Nchi za wenzetu,wanaheshimika na kujaliwa sana,lakini kwetu,utakuta mjinga mmoja anaropoka ujinga mtupu na wajinga wenzake wanamsapoti anajiona ni mtu anayejua kitu kumbe hamna lolote.!!
@ambrosemilinga1395
@ambrosemilinga1395 4 года назад
(99999999999)99999999999999999999999999999999999999999999999999999999999999999)999999999999999999999999999999999999))9999999999999999999999999999999999)99999)9999999)99999999999999999999999999999999999999999
@deusrobert1343
@deusrobert1343 3 года назад
@@andreajeremia436 wambie
@devotawaitara2333
@devotawaitara2333 3 года назад
Ananivutia huyu baba, Yuko vizuri
@nichkakumbi7657
@nichkakumbi7657 5 лет назад
Kabudi uko vzr uncle..
@ntibanahum8113
@ntibanahum8113 5 лет назад
Nampongeza Rais magufuli kwa kutamka hadharani kua Tanzania sio masikini ni nchi Tajiri Sana Asante sana mh Rais. Umetuonyesha kwa vitendo Hawa watu walikua wamefungiwa tu University pale dar. Now I feel proud to be a Tanzania
@AliMvingira-ls2vm
@AliMvingira-ls2vm Год назад
Mungu akutangulie mzee wangu
@josephharri9015
@josephharri9015 5 лет назад
Ingekuwa awamu zilizopita, hizo zingepigwa na wala Taarifa msingezisikia. Big up to our Lovely President Dr. J.J.P Magufuli.
@MsAggie5
@MsAggie5 5 лет назад
Joseph Harri yaani usiseme hizo zingepigwa juu kwa juu
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 5 лет назад
sijawahi kuchoka hutuba za kabudi na mzee magufuri hakika kinavitu vinainhia ndani yake
@shadrackkwemoi5604
@shadrackkwemoi5604 4 года назад
Uko vizuri sana bwa. Prof. Kabudi kwa hotuba zako haswa kwa kutujuza historian nyingi tusizozijua
@masanjemuyenjwa2434
@masanjemuyenjwa2434 5 лет назад
u'r a really prof. unajua mambo meng sana, mara nying unapozungumza na kuwa karbu kukusiklza il nijifunze mengi kutoka kwako
@kingsolomon0
@kingsolomon0 4 года назад
Indeed you are professor kabudi
@omarymohammed2880
@omarymohammed2880 4 года назад
genius and intelgent man prof kabudi
@williamlumbasia7110
@williamlumbasia7110 4 года назад
Am being inspired by this man. After BBI....I landed here to do some follow-up
@hassanhamudy6639
@hassanhamudy6639 3 года назад
How do you see the man....
@shaffimwakz1413
@shaffimwakz1413 4 года назад
This is why watu wanasema Mombasa sio Kenya.... Now I understand
@msemwawalter837
@msemwawalter837 5 лет назад
Watu wanakula lecture kwa ikulu. Take notes...... Free academic input.
@athumanomary1171
@athumanomary1171 5 лет назад
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
@mhojamsafiri2273
@mhojamsafiri2273 3 года назад
Mungu akubariki sana Kabudi🙏🏻🙏🏻
@davidmatoka5203
@davidmatoka5203 4 года назад
Hon. Kabudi you deserve being a great leader thank you for making effort of trying to create good relationship between Kenya and Tanzania, , , akubariki sana Maulana
@johnjaphet9548
@johnjaphet9548 5 лет назад
HAKI HUINUA TAIFA SAFI SANA
@jeremymakokha4797
@jeremymakokha4797 4 года назад
Huyu Kabudi ningependa kumfahamu sana...aliniguza sana tukizindua BBI Kenya....from 254
@davidgithiomi4021
@davidgithiomi4021 4 года назад
I Honestly salute prof Kabundi. I have learned a lot from him. Great Historian of this century.
@moudymchemia6598
@moudymchemia6598 4 года назад
Ahsante kiongozi wangu nimetokea kukukubali toka umetoa speech Kenya
@cyrilologe
@cyrilologe 4 года назад
Naienzi sana hekima na busara ya Bwana Kabudi...hongera
@fredricklemiso6191
@fredricklemiso6191 4 года назад
When he attended bbi launch we almost died because of laughter . Kiswahili tulitafuta kamusi
@saidbarawa9096
@saidbarawa9096 Год назад
Kabudi iadmire.your leadership, keep up,next president of Tanzania
@abdulatifmoxamed8047
@abdulatifmoxamed8047 5 лет назад
My next president honestly kama nguvu zitaruhusu akimaliza mchapakazi Magufuli
@isayamwidete6420
@isayamwidete6420 5 лет назад
exactly!!!
@johnpesambili4806
@johnpesambili4806 5 лет назад
Watu kama hawa tulikuwa tunawaweka mfukoni wakati wanamadini kiasi hiki.. Mungu akubariki Rais wetu hukoseagi kuteua kabisa.
@alfayokisambu6105
@alfayokisambu6105 4 года назад
W
@oman7710
@oman7710 4 года назад
Amiiiin
@jacksonzakayo6759
@jacksonzakayo6759 4 года назад
Kama unamkubali waziri kabudi weka like yako hapo.
@muhamoha5038
@muhamoha5038 4 года назад
It's a joy always to listen to this great man talking
@deusmauka9626
@deusmauka9626 5 лет назад
Tusome vitabu, tusome magazeti, tuache ujinga.
@kazikazini1042
@kazikazini1042 4 года назад
Nimekubali
@robertngwagala5939
@robertngwagala5939 2 года назад
Namkubali sana hyu mwmba
@tobynasheimani7969
@tobynasheimani7969 5 лет назад
Ilike this guy ithink he should be the next president of Tanzania
@TheB920
@TheB920 4 года назад
Watanzania huwa wanashukuru Mungu kwa vile wako na viongozi wema ama huwa wanadhani ni jambo la kawaida? 🤔
@enocklugora4331
@enocklugora4331 5 месяцев назад
Gud gud sana
@robertkipkoech008
@robertkipkoech008 4 года назад
He came to Kenya and surely united us a country...he is a gentleman
@eutychusthiongo1335
@eutychusthiongo1335 3 года назад
Profesa Kabudi is all tym best foreign affairs minister in TZ
@officialmsigwa5069
@officialmsigwa5069 3 года назад
Good History very Interestive
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 5 лет назад
Profesa Kabudi!!!
@okothdido3827
@okothdido3827 4 года назад
Great man. Kenyans honour you
@vstvst3135
@vstvst3135 3 года назад
Kabudi for president
@andreajeremia436
@andreajeremia436 4 года назад
Una sifa zote za kuwa kiongozi,maana kiongozi hanuni wakati wore pia hachekicheki wakati wote,vizuri sana Mungu akufikishe alikokukusudia.
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 5 лет назад
We kabudi ni prof Ur real ticha
@franciscomasungulwa3575
@franciscomasungulwa3575 5 лет назад
Tunazidi kujifunza mengi ya kale
@kipkemoiisaac5326
@kipkemoiisaac5326 4 года назад
Who's this guy. Brilliance galore
@memocheptabkipsigis312
@memocheptabkipsigis312 4 года назад
Kabudi he was there on BBI launch
@wbabu6155
@wbabu6155 4 года назад
Prof Kabudi, what a great speech!
@issamsomba7219
@issamsomba7219 5 лет назад
big up
@TheMrisho
@TheMrisho 4 года назад
Professor Kabudi sio wa mchezo mchezo aisee. Yuko vizuri sana.
@aginiweyessayakyando9855
@aginiweyessayakyando9855 5 лет назад
😂😂😂😂😂😂😂 Unaijua mipaka na historia vzr
@sallykalya9023
@sallykalya9023 4 года назад
Woie Nyerere alikuwa wetu😂🇰🇪
@kingnicky2568
@kingnicky2568 3 года назад
Sanna Kruger kenya akili hamnaga kabisaa😂😂😂😂😂
@alexfrancis2278
@alexfrancis2278 4 года назад
Waziri kabudi yuko vizuri sana sana nimeipenda hiyo
@oslominiconcerts3538
@oslominiconcerts3538 4 года назад
Prof Kabudi the next President of Tanzania. This man is smart and has a deep sense of detail and knowledge of the region. Hongera mtoto wa kasisi.
@schoolboy1614
@schoolboy1614 4 года назад
Prof. Kabudi respect kwako
@e.jack.47
@e.jack.47 3 года назад
Kabudi we love you here in Kenya. Kwa kweli tz na Kenya ni mandugu
@MJ-ye7dd
@MJ-ye7dd 4 года назад
Nilimpenda huyo Prof Kabudi bure tu🌷
@johnzephania8549
@johnzephania8549 5 лет назад
historia za kuhusu nchi hii nazitamani Sana kuzisikiliza, na hata sipati uchovu, nakukumba uandike kitabu cha historia kiuzwe madukani nitakuwa wa kwanza kukinunua
@samjohn583
@samjohn583 4 года назад
Pround to be East Africana.
@kanyaugatiejagwo
@kanyaugatiejagwo 4 года назад
This will be the next Tanzania president
@hipu755
@hipu755 4 года назад
This is a lesson to those who reasoned that if your neighbour's chicken strays to your backyard you have a right to slaughter and eat it.
@rasnjogu
@rasnjogu 4 года назад
I believe what he is saying, colonial boundaries are just mental boundaries.
@jamesohayo5329
@jamesohayo5329 4 года назад
This man IS brilliant.
@cosmasmapesa
@cosmasmapesa 4 года назад
Tumekuelewa sana mwalimu wa walimu, uwepo wako ni mhimu sana nchi endelea kutufungua vichwa
@salvatorykipyoka1567
@salvatorykipyoka1567 5 лет назад
Kweli huu ubongo ni dunia aisee
@nellynzau421
@nellynzau421 4 года назад
Mie Mkenya, Hotuba za Prof. Huwa na ujasiri
@samgesaka4203
@samgesaka4203 4 года назад
Mimi in mkenya nampigia upatu kabudi kuwa rais wa Tanzania baada ya jjm
@adeltusbashara9720
@adeltusbashara9720 5 лет назад
Kabudi anafaa kuwa rais baada ya JPM!
@boniphacetabu2903
@boniphacetabu2903 5 лет назад
Kumbuka prof hii level ni mtu anayeamini sana mawazo yake na hakosolowi na anapaswa kuwa lecture tu
@josephkiliko7114
@josephkiliko7114 4 года назад
Tanzania tumebarikiwa kuwa na viongozi mahiri sana Mungu awatunze msogeze taifa ili mbele
@jumamavind7713
@jumamavind7713 3 года назад
Profesa Kabudi asante kwakujiamini unapoongelea kitu
@Djaiicool2012
@Djaiicool2012 4 года назад
Huyu buda alitu mix Nairobi na kiswahili remixes.
@nicksonngogo7904
@nicksonngogo7904 11 месяцев назад
🎉🎉🎉
@josephkinyanjui8399
@josephkinyanjui8399 4 года назад
Very smart man...
Далее
Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda
25:42
Просмотров 302 тыс.
Тренеруем память physics drop 103 - 104
00:51
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶
00:21
Waziri Ashindwa Kujizuia  "Nitaleta Marks Zenu Hapa"
14:04
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Тренеруем память physics drop 103 - 104
00:51