Тёмный

PROFESA TIBAIJUKA ACHAFUA HEWA CCM 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 11 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

24 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 38   
@ZaidSeifSuleiman
@ZaidSeifSuleiman 2 часа назад
Huyu bibi tibaijuka haya maneno mazuri anayasema baada ya kustaafu ubunge wakat yumo ccm hakuwahi kusema maneno kinyume na chama chake
@brother_majesty
@brother_majesty 3 часа назад
KATU CCM HAITOKUBALI CHANGAMOTO KAMA HIZO...HAO JAMAA SIO KABISA
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 часа назад
Mgombea huyo binafsi ataleta sera nzuri kila Chama hakieleweki vurugu tupu
@frugensifaustine3889
@frugensifaustine3889 3 часа назад
Nashangazwa na watu waliyokuwa kwenye mfumo hawakushauri lakini wakishatoka ndo wanakuwa walimu wa kuurekebisha mfumo😂
@JohnManyilizu-rl5bm
@JohnManyilizu-rl5bm 4 часа назад
Nijambo jema sana mgombea binafi
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 4 часа назад
Safi sana mgombea bunafsi
@hockingsshangali1747
@hockingsshangali1747 4 часа назад
Mahakama kwa kutumia sheria iliruhusu kupitia kesi ya mchungaji Mtikila hayati kwa sasa.
@tumainimayala8187
@tumainimayala8187 2 часа назад
Kabisa..maana huyu mgombea wenu hana mashiko kabisa…
@knight6757
@knight6757 9 минут назад
🐸 👂
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 3 часа назад
Faida ya vyama vya siasa haipo tangu kuwepo kwa hivyo vyama vyenyewe
@dismasjohnas5970
@dismasjohnas5970 2 часа назад
Ccm ni waoga hawaturusu hiko kitu
@Veni584
@Veni584 3 часа назад
Mama una akili wawepo wagombea binafsi kama ubunge wa Shirikisho
@fxmeddy9567
@fxmeddy9567 Час назад
Wananchi wanahitaji muwakilishi bora na sio muwakilishi wa CCM
@privatusmbehoma8186
@privatusmbehoma8186 2 часа назад
Chama kimoja ni kuanzia 1965 Bara TANU na Zanzibar. 1977 CCM!
@fridayjkajange1247
@fridayjkajange1247 4 часа назад
Wow iwe hivyo tupate nafasi maana wazee wanangangania juu
@SaugoNdemo-tx4le
@SaugoNdemo-tx4le 3 часа назад
Wasio na chama ni wazuri sana kwani wao na katiba ya JMTZ TU.
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Час назад
Mgombea binafsi akiharibu nani atamuwajibisha
@wemapaschal2325
@wemapaschal2325 3 часа назад
Chama kimoja ilikua 1965
@isacklaizer6776
@isacklaizer6776 4 часа назад
Mgombea binafsi...ni tishio kwa vyama vya siasa.
@SylvesterKameo
@SylvesterKameo 4 часа назад
Tunahitaji wawakilishi wa wananchi siyo wa vyama.
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 4 часа назад
​@@SylvesterKameohaswaa
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 3 часа назад
Na havikuwahi kuwa na tija kwa Taifa zaidi ni purukshani za hovyo
@gellangi9694
@gellangi9694 3 часа назад
Tishio kwa CCM,usipotoshe.
@Chemba67
@Chemba67 3 часа назад
LIPIGIENI CHAPUO HILI SUALA WAANDISHI , HII NDIO NJIA PEKEE YA KUONDOA HAWA TUSIOWATAKA WANAOHARIBU NCHI YETU KWA MASLAHI YAO.
@harounali9057
@harounali9057 4 часа назад
Jiunge na chama cha Zambarau
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 3 часа назад
Chama cha zambarau kina zambarau ndani yake, political party hatuvihitaji tunahitaji uwakilishi tu siyo porojo za siasa.
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 3 часа назад
Wewe profesa Tibaijuka kwani zile Sh. 1,600,000,000/- za mboga zimeisha mara hii? Kweli aliyepata hatosheki
@knight6757
@knight6757 8 минут назад
🙆‍♂️😂
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 4 часа назад
Alikuwa wapi kusema wakati hajatoka Hana jipya
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 3 часа назад
Hajachelewa ni wakati muafaka
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 часа назад
Kwa kweli iwe hivyo kama alivyosema Tibaijuka Mgombea binafsi awepo irudi sheria hiyo maana wananchi wamechoka kuishi kwa wasiwasi
@NgamelaYussuph
@NgamelaYussuph 3 часа назад
Kama Mgombea Binafsi Akiluhusiwa Kuwe Na Sheria Kama Za Marekan Awe Na Utajili Usiopungua Kiasi Fulani mana Mgombea Binafs anaweza kutuuza Nae akatomkia mbali
@billimambo9517
@billimambo9517 3 часа назад
Sasa ruzuku itagawanyikaje?
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 3 часа назад
Ah ruzuku unachangia kiasi gani wewe
@georgewilson6830
@georgewilson6830 3 часа назад
Kuwaza ruzuku ni dalili ya wizi
@SaugoNdemo-tx4le
@SaugoNdemo-tx4le 3 часа назад
Iondolewe pia nayo!
@gellangi9694
@gellangi9694 3 часа назад
Hakuna issue ya ruzuku hapo,jambo hilo litawekewa utaratibu wake.
@Muhammedually
@Muhammedually 2 часа назад
Kidumu chama cha mapinduzi
Далее
MZEE WASIRA AKIZUNGUMZIA MAANDAMANO YA CHADEMA
26:33
Просмотров 1,1 тыс.
JE, MAUAJI HAYA NI UHALIFU AU KISASI?
6:02
Просмотров 1,5 тыс.
KIJANA KORTINI TUHUMA UTAPELI AKIJIFANYA JK
5:58
Просмотров 1 тыс.