Лучшее на RU-vid
Кино
Авто/Мото
Видеоклипы
Животные
Спорт
Игры
Приколы
Развлечения
Хобби
Наука
Авторизоваться
Зарегистрироваться
SAKATA LA MPINA, BASHE , SPIKA NGOMA BADO NZITO MAWAKILI WAIJIBU SERIKALI
8:15
🅻🅸🆅🅴 TAMKO ZITO KUTOKA KWA TUNDU LISSU MUDA HUU
срочно! МОЙ ДРОН СНЯЛ ЭЛЬ ГРАН МАЙЯ vs БЛУП в Реальной Жизни
25:17
отличник vs двоечник ( списывание на контрольной ) подписывайся на мой ТГ в шапке канала ❤️
00:56
РЕДЧАЙШИЙ ВКУС НУТТЕЛЫ🤤 #Shorts #Глент
00:19
Собачка спасла меня от училки #iribaby #shorts
00:23
PROFESA TIBAIJUKA ACHAFUA HEWA CCM
Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 11 тыс.
50%
1
Видео
Поделиться
Скачать
Добавить в
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Опубликовано:
24 сен 2024
Поделиться:
Ссылка:
Скачать:
Готовим ссылку...
Добавить в:
Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии :
38
@ZaidSeifSuleiman
2 часа назад
Huyu bibi tibaijuka haya maneno mazuri anayasema baada ya kustaafu ubunge wakat yumo ccm hakuwahi kusema maneno kinyume na chama chake
@brother_majesty
3 часа назад
KATU CCM HAITOKUBALI CHANGAMOTO KAMA HIZO...HAO JAMAA SIO KABISA
@margarethpolepole7438
3 часа назад
Mgombea huyo binafsi ataleta sera nzuri kila Chama hakieleweki vurugu tupu
@frugensifaustine3889
3 часа назад
Nashangazwa na watu waliyokuwa kwenye mfumo hawakushauri lakini wakishatoka ndo wanakuwa walimu wa kuurekebisha mfumo😂
@JohnManyilizu-rl5bm
4 часа назад
Nijambo jema sana mgombea binafi
@RamadhaniKitala-gx6wc
4 часа назад
Safi sana mgombea bunafsi
@hockingsshangali1747
4 часа назад
Mahakama kwa kutumia sheria iliruhusu kupitia kesi ya mchungaji Mtikila hayati kwa sasa.
@tumainimayala8187
2 часа назад
Kabisa..maana huyu mgombea wenu hana mashiko kabisa…
@knight6757
9 минут назад
🐸 👂
@jacksonsilaa415
3 часа назад
Faida ya vyama vya siasa haipo tangu kuwepo kwa hivyo vyama vyenyewe
@dismasjohnas5970
2 часа назад
Ccm ni waoga hawaturusu hiko kitu
@Veni584
3 часа назад
Mama una akili wawepo wagombea binafsi kama ubunge wa Shirikisho
@fxmeddy9567
Час назад
Wananchi wanahitaji muwakilishi bora na sio muwakilishi wa CCM
@privatusmbehoma8186
2 часа назад
Chama kimoja ni kuanzia 1965 Bara TANU na Zanzibar. 1977 CCM!
@fridayjkajange1247
4 часа назад
Wow iwe hivyo tupate nafasi maana wazee wanangangania juu
@SaugoNdemo-tx4le
3 часа назад
Wasio na chama ni wazuri sana kwani wao na katiba ya JMTZ TU.
@KassimAlly-xp4dz
Час назад
Mgombea binafsi akiharibu nani atamuwajibisha
@wemapaschal2325
3 часа назад
Chama kimoja ilikua 1965
@isacklaizer6776
4 часа назад
Mgombea binafsi...ni tishio kwa vyama vya siasa.
@SylvesterKameo
4 часа назад
Tunahitaji wawakilishi wa wananchi siyo wa vyama.
@RamadhaniKitala-gx6wc
4 часа назад
@@SylvesterKameohaswaa
@jacksonsilaa415
3 часа назад
Na havikuwahi kuwa na tija kwa Taifa zaidi ni purukshani za hovyo
@gellangi9694
3 часа назад
Tishio kwa CCM,usipotoshe.
@Chemba67
3 часа назад
LIPIGIENI CHAPUO HILI SUALA WAANDISHI , HII NDIO NJIA PEKEE YA KUONDOA HAWA TUSIOWATAKA WANAOHARIBU NCHI YETU KWA MASLAHI YAO.
@harounali9057
4 часа назад
Jiunge na chama cha Zambarau
@jacksonsilaa415
3 часа назад
Chama cha zambarau kina zambarau ndani yake, political party hatuvihitaji tunahitaji uwakilishi tu siyo porojo za siasa.
@stanslausbernard5950
3 часа назад
Wewe profesa Tibaijuka kwani zile Sh. 1,600,000,000/- za mboga zimeisha mara hii? Kweli aliyepata hatosheki
@knight6757
8 минут назад
🙆♂️😂
@judithtitomalyeta4000
4 часа назад
Alikuwa wapi kusema wakati hajatoka Hana jipya
@jacksonsilaa415
3 часа назад
Hajachelewa ni wakati muafaka
@margarethpolepole7438
3 часа назад
Kwa kweli iwe hivyo kama alivyosema Tibaijuka Mgombea binafsi awepo irudi sheria hiyo maana wananchi wamechoka kuishi kwa wasiwasi
@NgamelaYussuph
3 часа назад
Kama Mgombea Binafsi Akiluhusiwa Kuwe Na Sheria Kama Za Marekan Awe Na Utajili Usiopungua Kiasi Fulani mana Mgombea Binafs anaweza kutuuza Nae akatomkia mbali
@billimambo9517
3 часа назад
Sasa ruzuku itagawanyikaje?
@jacksonsilaa415
3 часа назад
Ah ruzuku unachangia kiasi gani wewe
@georgewilson6830
3 часа назад
Kuwaza ruzuku ni dalili ya wizi
@SaugoNdemo-tx4le
3 часа назад
Iondolewe pia nayo!
@gellangi9694
3 часа назад
Hakuna issue ya ruzuku hapo,jambo hilo litawekewa utaratibu wake.
@Muhammedually
2 часа назад
Kidumu chama cha mapinduzi
Далее
8:15
SAKATA LA MPINA, BASHE , SPIKA NGOMA BADO NZITO MAWAKILI WAIJIBU SERIKALI
Просмотров 913
🅻🅸🆅🅴 TAMKO ZITO KUTOKA KWA TUNDU LISSU MUDA HUU
Просмотров 1,3 тыс.
25:17
срочно! МОЙ ДРОН СНЯЛ ЭЛЬ ГРАН МАЙЯ vs БЛУП в Реальной Жизни
Просмотров 696 тыс.
00:56
отличник vs двоечник ( списывание на контрольной ) подписывайся на мой ТГ в шапке канала ❤️
Просмотров 90 тыс.
00:19
РЕДЧАЙШИЙ ВКУС НУТТЕЛЫ🤤 #Shorts #Глент
Просмотров 1,3 млн
00:23
Собачка спасла меня от училки #iribaby #shorts
Просмотров 49 тыс.
26:33
MZEE WASIRA AKIZUNGUMZIA MAANDAMANO YA CHADEMA
Просмотров 1,1 тыс.
11:57
MWABUKUSI AJILIPUA MBELE ya WAKILI MKUU wa SERIKALI - AFICHUA MUAFAKA wa TLS na OFISI ya WAKILI MKUU
Просмотров 661
🔴#LIVE: RAIS SAMIA AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA BAMBABAY KWENYE MKUTANO WA HADHARA RUVUMA
Просмотров 13
7:40
'പുഷ്' ചെയ്യാനുള്ളതല്ല ജിം, വെറുതെ തുടങ്ങാനാകില്ല വർക്കൗട്ട് | Heart Attack in Gym
Просмотров 123 тыс.
#LIVE | Tundu Lissu Anatoa Tamko Muda Huu Kupitia Vyombo vya Habari
Просмотров 382
6:30
"NIKO NA VIDEO KIJANA AKILIWA NYUMA"JICHO PEVU TERRIFIES MOMBASA GOV OVER ASSAULT OF MOMBASA BLOGGER
Просмотров 8 тыс.
#LIVE🔴 : KEN GOLD SC VS YANGA SC(NBC PREMIERE LEAGUE)
Просмотров 5 тыс.
8:39
BREAKING: Deadly mass shooting in downtown Minneapolis | LiveNOW from FOX
Просмотров 263 тыс.
6:02
JE, MAUAJI HAYA NI UHALIFU AU KISASI?
Просмотров 1,5 тыс.
5:58
KIJANA KORTINI TUHUMA UTAPELI AKIJIFANYA JK
Просмотров 1 тыс.
25:17
срочно! МОЙ ДРОН СНЯЛ ЭЛЬ ГРАН МАЙЯ vs БЛУП в Реальной Жизни
Просмотров 696 тыс.