Тёмный

Professor Jay - Kikao cha dharura (Official Audio) 

ProfessorJay
Подписаться 359 тыс.
Просмотров 806 тыс.
50% 1

#MapinduziHalisi #ProfessorJay

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 366   
@daudaloyce1891
@daudaloyce1891 4 года назад
Kimsingi nimesongwa na haka ka muda, nadhani mkichagua tena nitatekeleza kile ninachosema, 😁😁😁😁😁 gonga like kama unamkubali huyu legendary
@david88.92
@david88.92 4 года назад
Kama Hiii ngoma umeisikiliza 2020 tia like 😄
@MrGwax
@MrGwax 3 года назад
✌️
@danielnguti6907
@danielnguti6907 3 года назад
hapo sawa
@jemjay1011
@jemjay1011 5 месяцев назад
Nimefika hapa mwaka huu 2024 2025...
@patrickmugo7249
@patrickmugo7249 3 месяца назад
2024 and still lazima nisikilize ndio mzee na kikao cha dharura 😅😂
@Iman675
@Iman675 Год назад
2023 ,huu wimbo na wakati wa Sasa katika serikali ya kenya😢
@amourhabiby5118
@amourhabiby5118 24 дня назад
Ana akisi maisha halisi na siasa za Bara Afrika 😢
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 4 года назад
Kwa wanaoiskiliza hiingoma kipindi hiki cha uchaguzi kandamiza ma like teleee
@peterkutoh3699
@peterkutoh3699 4 года назад
Professor Jay ft. Babu Ayoub Kikao cha Dharura Prof Jay: Nawashukuru sana wananchi kwa kweza kunipa kura Nashangaa nimeitwa ghafla kwenye kikao cha dharula Kikao kinaashiria kina maswali juu yangu Hii inatokana na ndiyo mzee na ahadi zangu.. Naona watu ni wengi wananchi walio na maana Najaribu kutafakari ni nini kinawachanganya!! Nipo tayari kujibu maswali yenu zamu kwa zamu Watakao uliza maswali na ningependa niwafahamu Swali: ..Naitwa sajent Byemero kwa niaba ya jeshi la polisi Nilikuwa nauliza zile helikopta zetu vipi? Jibu: Prof Jay: Nafikiria kwanza kuanzisha chuo cha marubani Vinginevyo mtapata ajali nyingi sana angani. Baskeli hamjui kuendesha helikopta mtaendeshaje Kila mtu aendeshe yake huko angani itakuwaje? Swali: Mheshimiwa sisi wakulima ulituahidi matrekta Na siku zinayoyoma tu mbona haujayaleta ? Jibu: Prof Jay: Wakulima mngeendelea tu kutumia jembe la mkono Serikali haina hela bajeti imefika kikomo Naona kilimo cha mkono kiniendelea vizuri Jamani kazeni mikono endeleeni kukaza misuli KIITIKIO Wananchi tupo pamoja hapo. (siyo mzeeeeeee) Watanzania tunaerewana kule, (siyo mzeeeeeee) Washika dau na wapiga kura pale (siyo mzeeeeeee) Eeehh: siyo mzee....eti, (siyo mzeeeeeee) Wakulima tupo pamoja pale, (siyo mzeeeeeee) Wanafunzi tunaelewana kule, (siyo mzeeeeeee) Mabahamedi na mapolisi pale (siyo mzeeeeeee) VERSE 2 Prof Jay: Mabaaamedi ondoeni hofu kilio chenu nimekisikia Ma benzi yenu yapo bandarini tayari yameshawadia Nimemchagua kiranja ili anipe idadi yenu Niwape funguo zenu muondoke na magari yenu. Swali: Ulituahidi utatujengea barabara tano tano juu na chini Hizo zote hatutaki tunataka moja tu ardhini Kila siku tunapita barabara zinakuwa mbaya Umeyafumbia macho mheshimiwa huoni haya? Jibu: Prof Jay: Barabara ya makwekwe nimesha imwaga kifusi Baada ya wiki mbili itakuwa safi kama urusi Makandarasi wanafanya kazi kutoka china na madagascar Kuhusu vibarabara naomba muondoe shaka. Swali: Eeh vipi mzee mabomba kutoa maji na maziwa nchi nzima ? Jibu: Prof Jay: Jamani naomba muulize maswali ya utu uzima Mabomba kutoa maji na maziwa haiwezekani Mlinukuu vibaya nasisitiza haiwezekani Swali: Mzee hali ni mbaya si tungegawana vya kwako? Kwenye kampeni zako si ilikuwa moja ya ahadi zako ? Jibu: Prof Jay: Eeehh? kugawana vya kwangu hilo swala litakuwa gumu Familia itanitazama ebo? nina majukumu Imeandikwa kila mtu atabeba msalaba wake Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake Mbona mnaniuliza maswali mengi kunikomoa Jamani watanzania tunajenga tunabomoa RUDIA KIITIKIO x2 VERSE :3 Prof Jay: Wafanyakazi wa serikalini sasa nyinyi magari ya nini? Daladala chungu mzima mnaweza kuwahi kazini Nasema mnapenda sana starehe kuliko kazi Na hiyo ndio sababu mnaharibu hiki kizazi. Wanafunzi niliwahidi mtafanyia practical mwezini Kabla ya kupeleka mi nilifanya utafiti Nimengundua huko mwezini kweli kuna baridi sana Na pia kunavitisho kuwepo kambi za osama Mkinichngua tena mtakwenda huko mapema Nanita tekeleza kila neno ninalo sema Sema nimesongwa na haka kamuda Mkiniongezea muda kila kitu babu kubwa Wengine kimya na maswali yamepungua Yeyote mwenye swali ningependa kumtambua. Naona mnanong'ona na wengi mmekunja sura Hii inaonyesha mmeridhika kunipa kura Nadhani ndugu zangu tuko pamoja...... (aagh wapi) Jamani tupunguzeni jazba basi kidogo...... (hatutaki) Sasa watanzania mbona mnaazisha vurugu Nadhani mmesahau watanzania wote ni ndugu Babu Ayoub: Eeeh? jamani nasema hivi kikao kimeahirishwa Jamani maafande..... Afande miraj.... Afande mzafalu, afande nani Gondwe njooni mtusaidie huku.
@daisybrayson7769
@daisybrayson7769 4 года назад
Kazi nzuri uliyoifanya
@johnmatiko2596
@johnmatiko2596 4 года назад
2002 nijaza daftari za nyimbo za wasanii 😎😂😂
@micktinnos7482
@micktinnos7482 4 года назад
Xaf
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 4 года назад
Sio mchezo.
@jerushanyawera4964
@jerushanyawera4964 4 года назад
Jerusha from Kenya. Professor J your songs have fantastic message l really like them. High five🖐
@zulfaabdala7370
@zulfaabdala7370 3 года назад
Kama unampenda professor j gonga like
@IssaSalimo-v5w
@IssaSalimo-v5w Месяц назад
Kama wakurima tumesikia tuendelee murina kwamkono twende pamoja❤❤❤
@KizzyBoe
@KizzyBoe Месяц назад
2024 gonga like hapa
@jafaripaje5366
@jafaripaje5366 2 года назад
When music was composed by the taleted musician as opposed today’s rubbish. Reminds me of my high school days
@ngenokipkorir9758
@ngenokipkorir9758 2 года назад
true,old is gold
@abdifatahabdullahi729
@abdifatahabdullahi729 3 года назад
The relevance of this song on Kenyan political context. Mnakumbuka stadiums, free wifi, etc nothing came of it. Prof J will remain one of the best rapper ever.
@PembaImani
@PembaImani 3 года назад
Tablets for school going kids, guaranteed paid internships for university graduates, universal health care, big 4 agenda oh noo...😭😭. Ebo! What a scam!
@biggiesmalls5050
@biggiesmalls5050 10 месяцев назад
This song is a living reference to Kenya's political class
@isaacquesney2732
@isaacquesney2732 6 месяцев назад
Prof's song highlights the current situation in Kenya. The hustler government resonates with what Prof says in this song.
@karanjakiarii6238
@karanjakiarii6238 3 года назад
This was a true prophecy. That you were elected .. . and later.. maybe watu wakakwambia 'sio mzee'
@geoffreybasesa2015
@geoffreybasesa2015 2 года назад
2022 minus 2 still feeling the hit. Legend
@kakabarracks9456
@kakabarracks9456 Год назад
This guy is so accurate in voicing for the common citizens I wish tz would give him more chances on the legislative arena.
@yusufushabani691
@yusufushabani691 7 месяцев назад
2024 here Hivi Babu Ayubu alipotelea wapi?
@bible_bites93
@bible_bites93 11 месяцев назад
Ruto government amplified by two songs... first Ndio mzee and Kikao cha dharura later all by Prof Jay..... Kweli usanii kioo cha jamii.... This song was released in 2004/2005 and its 2023 and it reflects perfect with kenyan economy and government at the moment..... 😂😂😂😂❤❤❤❤❤
@ngenokipkorir9758
@ngenokipkorir9758 10 месяцев назад
Very true...namvulia prof Jay kofia kwa utunzi wake
@samuelnjuguna1343
@samuelnjuguna1343 3 месяца назад
True
@koriremmanuel4871
@koriremmanuel4871 Месяц назад
Maze we reject
@MG-wx8yx
@MG-wx8yx 3 года назад
Kama huielewi hii ngoma, basi pumzika kidogo, kichwa yako itakuwa haiko sawa! Rudi tena baadae. 2021 and still like yesterday.
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG 6 лет назад
Hii imenifanya nikumbuke maisha ya zamani duuu!! Bongo frava umeitoa mbali sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻.
@NabakiZanzibar
@NabakiZanzibar 2 года назад
Tujuane ambao bado tunaukubari huu wimbo mpaka sasa! #2022 #GYPSY Professor Jay ft. Babu Ayoub Kikao cha Dharura...Life time song.
@yusufmohamed4609
@yusufmohamed4609 Год назад
Tunaukubali , tafadhali usiharibu Kiswahili
@eddynando2522
@eddynando2522 5 лет назад
Living legend !! he prophesied of being an elected member of parliament now it has come to pass..... 2019 bado wimbo unahit
@manassehjoseph3740
@manassehjoseph3740 4 года назад
Maisha in jinsi uishivyo ulijiaminisha Leo umefanikiwa good,
@chalimsupa6603
@chalimsupa6603 3 года назад
hii wimbo inachekesha sana... ahsante professor Jay! wamekuzoea
@petermuma1582
@petermuma1582 Год назад
This guy is one of the best brains in music I have looked for this song since 2008. Prof J the legend in living
@edgartv3322
@edgartv3322 9 месяцев назад
Dedication to William Ruto and his hustler supporters
@josiahkariuki1799
@josiahkariuki1799 Месяц назад
Indeed
@jamesomondi4757
@jamesomondi4757 3 года назад
Tanzanian icon...Respect sir🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mussalugete5480
@mussalugete5480 11 месяцев назад
Mungu akufanyie wepesi katika majukumu yako Ndugu Mheshimiwa Joseph Leonard Haule
@dulaabdallarashid
@dulaabdallarashid 2 года назад
tuachane na diamond huyu mwamba wa bongo records big legendary
@fedrickwilliam1721
@fedrickwilliam1721 4 года назад
PROFESSOR JAY FOR PRESIDENT 2025
@feronandsulubu6711
@feronandsulubu6711 Год назад
Hip-hop na reggae ndo mziki wa kijamii
@ellymwitakichonge8416
@ellymwitakichonge8416 6 лет назад
Safi sana ,,mzeee Wa ndio mzeee umekuja kivingine gonga like hapa kama umemuelewa huyu jamaa na bonge la creativity,,
@massongacharles3904
@massongacharles3904 Месяц назад
2024 button👇🏾
@maulidrehani
@maulidrehani 6 лет назад
Msanii wangu wa muda wote...mzee wa mitulinga
@manisule7668
@manisule7668 6 лет назад
Ukiskia prophecy ndio hii ulijua utakua kiongozi na mungu amekujalia big up sana mkubwa
@AbduliTza-pe7pg
@AbduliTza-pe7pg 3 дня назад
2024 ngoma bado ya moto
@mmunjaru
@mmunjaru Год назад
2023...Reminds me of the empty blanket promises made to Kenyans in 2022
@guyokorma9211
@guyokorma9211 Год назад
Prof Jay among the top prolific legend 🙌
@mauriceogola9243
@mauriceogola9243 6 лет назад
MC mkubwa sana . Nakukubali Eminen wa Africa
@butchaureprisioneiro5873
@butchaureprisioneiro5873 3 года назад
I m Mozambican FANS 🇲🇿🙏🙏🙏
@jaymapepefatma5936
@jaymapepefatma5936 9 месяцев назад
igualmente 🇲🇿😃
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 Месяц назад
You understand it?
@johngachuhi4776
@johngachuhi4776 4 года назад
Tanzania finest ..am from kenya
@mr.platonic2166
@mr.platonic2166 24 дня назад
17-8-2024 😂😂NILIKUWA NAULIZA ZILE HELKOPTA ZETU VIP??
@user-tl1du5jl8j
@user-tl1du5jl8j 9 месяцев назад
2023..still listeing from kenya much lov pr jay
@kevinevans9923
@kevinevans9923 3 года назад
Mheshimiwa sisi wakulima ulituahidi matrekta,nasiku zinayoyoma tu mbona hujahawajaletaa..loved this vibe,much love from 254 ❤️❤️❤️❤️
@yonarashidimbwambo2299
@yonarashidimbwambo2299 4 года назад
Nafurahia sana nyimbo za huyu mwamba
@davidkojo9525
@davidkojo9525 Год назад
Sometimes it feels like Prof Jay understood the Kenyan political state inside out. But it seems, politicians are the same everywhere. Kazi safi sana hii.
@hezbonokoth5013
@hezbonokoth5013 Год назад
I was raised by these legends, music was pure talented content. 2023 still a reflection of future
@ngenokipkorir9758
@ngenokipkorir9758 Год назад
The song is relatable to the current govt in our country
@yahyabakari4000
@yahyabakari4000 3 года назад
Mbona kama hizi nyimbo ulijitabilia hatima Yako kwenye Siasa Prof Jay 😢😢😢😢
@briankenyan1799
@briankenyan1799 3 года назад
Kweli
@vickyshio8732
@vickyshio8732 4 года назад
Kichwa kingne ich jaman. Nan ako hapa 2020??
@savimbialex8452
@savimbialex8452 6 лет назад
Proff j zee...wametulinga...mti mkavu....your my legend...I will always love your music
@weezypaker7941
@weezypaker7941 3 года назад
I can never get enough of Jay and I don't even speak swahilli nut I understand the most but I wish can understand it all do beautiful
@miriamdaniel3415
@miriamdaniel3415 5 лет назад
hali mbaya tugawane vyakwako
@issamwahezi6236
@issamwahezi6236 4 года назад
Hiyo itakua ngumu
@RenatusMatungwa
@RenatusMatungwa 3 месяца назад
Hilo suala litakuwa gumu, familia inanitazama eboo nina majukumu😮
@MOchieng85
@MOchieng85 2 года назад
Jina lako PROFESSOR linakufaa na hadhi yako vile vile, na nina uhakika itachukuwa karne(centuries) nyingi sana, pengine hatapatikana mwenye kukung'atua kwa kiti chako cha Ufalme, kwa maana wewe ndiwe!!! Mungu akuzidishie maisha marefu na afya nzuri tu.
@user-ki4kh5ub4h
@user-ki4kh5ub4h Месяц назад
ameni
@rashidmsengwa.4789
@rashidmsengwa.4789 5 лет назад
#arijitabilia ivi sasa kiongoz wa mikumi.... daa" life baana🙂
@arshavine0
@arshavine0 2 года назад
Continuation of song" 𝘯𝘥𝘪𝘺𝘰 𝘮𝘻𝘦𝘦" 2022 and still listening to this legend💯......kenyans vote wisley professor Wajacoyah afadhali can change our country August 9th vote wisely
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 3 года назад
Mwana hop anaepaswa heshima ni wew. Hukuan did q ,joh makin wala nn
@Narratoroflovestories
@Narratoroflovestories Год назад
Dah nilikuwa naskiliza hii nyimbo nikiwa mdogo sna😊😊😊
@genosumaye140
@genosumaye140 2 года назад
Tunakutakia afya njema bro mungu ni mwema kila kitu kitakaa Sawa 🙏
@kipkurgatthomascheruiyot-ep2ij
@kipkurgatthomascheruiyot-ep2ij 9 месяцев назад
This songs is masterpiece reflection of today's politicians..example being kenya
@PeyaMutombo-nj5ri
@PeyaMutombo-nj5ri Год назад
Cette chanson m'a trop fait du bien vraiment
@samwelelias1532
@samwelelias1532 5 лет назад
Asnte kaka mkuu wa hii bongo flava kama tuko pamoja na wewe gonga like hapa twende saws
@kakabarracks9456
@kakabarracks9456 Год назад
This guy is so articulate in voicing for the common citizens I 4:04 4:05 4:05 4:06 wish tz would give him more chances on the legislative arena.
@coldmama1714
@coldmama1714 2 года назад
Ma producers wazamani wslikua na talent kweli
@elvisngosia215
@elvisngosia215 10 месяцев назад
This song has reminded me Kenya Kwanza promises Ruto promised kenyans heaven on earth, its now very tough 😂😂😂
@johnnoel5849
@johnnoel5849 4 года назад
2020 Bado inafanya vzur gonga like km na ww unaisikilza bado
@dominiquebirler7031
@dominiquebirler7031 3 года назад
Wakenya bado tupo hapa 2020🇰🇪🇰🇪
@FranklinFranklin-ux7gq
@FranklinFranklin-ux7gq Месяц назад
This song belong to our president
@seniorminor3071
@seniorminor3071 6 месяцев назад
my all time legend 💪🏾
@staralive9260
@staralive9260 2 года назад
Magufuli alikuwa anampenda sana Sugu! Sema tu maslahi ya Chadema ndiyo yaliyomuweka kando Pro. Jay tokea zamani.!!
@mettanahonyo3345
@mettanahonyo3345 Год назад
Living legend 💪
@oirishgervas6603
@oirishgervas6603 6 месяцев назад
2024 but still watching
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 6 лет назад
Baskeli hujui kuendesha helicopter utaendeshaje 😂😂😂 back in high scul 2002-3-4-5 daah
@dinnajeff6570
@dinnajeff6570 4 года назад
Hahahaha
@issamwahezi6236
@issamwahezi6236 4 года назад
Sote tukiwa na ndege itakuaje huko angani
@renatusmatungwa6506
@renatusmatungwa6506 3 года назад
Kila mtu awe na yake uko angani itakuwaje?
@kiokomutua3209
@kiokomutua3209 5 лет назад
Proff Jay had the so much talked about dream...EAfrica
@TrippleBeans
@TrippleBeans Год назад
NOMA SANA
@isacklaizer6776
@isacklaizer6776 2 месяца назад
Classic classic classic song, nyimbo zinazoishi ... ⚘🌷🌹⚘🌷🌹🥀🌹🥀🌷⚘⚘🌷🌷🌺🌺🌺🌺🥀🥀🌹🌹...Chukua Maua yako Prof.Jay, Stay blessed.
@dylangivens17
@dylangivens17 2 года назад
My all time favorite Bongo artist. In 2022 May and still feeling the same hit as 2004
@chimbaonline1418
@chimbaonline1418 4 года назад
Jamaa uliona mbal asee
@zlfamz3540
@zlfamz3540 2 года назад
Mzee wa bongo
@opendoorspoutryfarm309
@opendoorspoutryfarm309 4 года назад
wangapi bado tunaitazama iyi ngoma adi 2021 sasa tujuane
@20lutebeatz
@20lutebeatz 4 года назад
I remember I bought this album that time I was too young
@levikipruto2562
@levikipruto2562 2 года назад
This guy was ahead of time. Kenyan politics!
@jfinest.x543
@jfinest.x543 3 года назад
2021 nko hapa
@kevyprimus5859
@kevyprimus5859 6 лет назад
yaani huu wimbo ni applicable kwenyew ishu za 2018 kabisaaa 🙌🙌🙌🙌
@fremmangyemo200
@fremmangyemo200 6 месяцев назад
Mpaka Sasa Nafata Iyi Song ! Kazeni Msuli Vijana. Bomba zakutowa Maji Na Maziwa. Que Dieu te bénisse Prof J Légende Vivante
@teddyrevocatus1546
@teddyrevocatus1546 4 года назад
Kuhusu vibarabara naomba muondoe Shaka🥰
@basomakivodo3516
@basomakivodo3516 4 года назад
Hiyi ngoma kilasiku Inakuwaga Mpya Kwangu Jamanii
@sylivesterkunbert8277
@sylivesterkunbert8277 6 лет назад
Daaa kitambo sana but mistari yako mpaka sasa ni hot
@rebimbere
@rebimbere 3 года назад
2021 we here
@brownmwaibole8414
@brownmwaibole8414 6 лет назад
Baba so Kwa utawala huu
@daudisimwinga1324
@daudisimwinga1324 6 лет назад
I wish pro jay atupe nyimbo moja inayozungumzia hali halisi ya kisiasa tz
@barakakimaro5135
@barakakimaro5135 6 лет назад
swafi
@lucaskashimwita6386
@lucaskashimwita6386 4 года назад
Sina shida na ww Proj j Mungu akupe ushindi japo mm ni ccm nakukubali
@dishangib
@dishangib Год назад
Oldskool Classic Hit 🔈🔉🔊🇰🇪🇰🇪❤️❤️
@ezratibore5750
@ezratibore5750 5 месяцев назад
Legends we love you
@delgalshan6318
@delgalshan6318 2 месяца назад
2024 na hali ya nchi ndo ilivyoo😂
@samsonmgeta2345
@samsonmgeta2345 4 года назад
Shikamoo professor afande mzafaruuuuuu
@castronicodem1539
@castronicodem1539 3 года назад
Good song. Nakukubali jay
@peterluther5830
@peterluther5830 Год назад
Professor J mistari balaa wewe.Mpaka sasa bado hakuna aliyekukaribia,Kichwa vina kama mchanga wa bahari.
@user-ch1bx5xw8u
@user-ch1bx5xw8u Год назад
Mkali wa 2023
@emmanuelopiyo6408
@emmanuelopiyo6408 Год назад
In kenya we have been promised electric motorcycles 🏍️
Далее
Professor Jay - Ndio Mzee (Official Audio Song)
6:00
Просмотров 526 тыс.
Mandojo na Domokaya  - Dingi (Official Video)
5:45
Просмотров 548 тыс.
Новый уровень твоей сосиски
00:33
Boss (feat. Ferooz & Juma nature)
7:26
Просмотров 110 тыс.
Professor Jay - Bongo Dar es Salaam
5:37
Просмотров 130 тыс.
Afande Sele - Heshima
5:29
Просмотров 1,4 тыс.
NCHI YA AHADI KALA JEREMIAH ft ROMA (official video)
4:47