Тёмный

Pt1_MCHUNGAJI ALINIINGIZA KWENYE MTANDAO WA KICHAWI WA KUTAFUTA PESA|USHUHUDA WA ALBOGAST BITEGA 

PROMOVER TV
Подписаться 149 тыс.
Просмотров 65 тыс.
50% 1

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Опубликовано:

 

8 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 90   
@swahilimagnet
@swahilimagnet 10 месяцев назад
Asante kwa ushuhuda. Kwa ushauri wangu hayo makanisa mngekuwa mnayataja. Hao wachungaji mngekuwa mnawataja pia. Kwa Mungu hakuna siri. Mnaogopa nini. Tajeni kila kitu watu waokolewe kutoka kwenye hayo makanisa na wachungaji hao. Okoeni kondoo wa Bwana kwa ujasiri bila kuogopa mtu wala serikali.
@user-re4iu4vu3b
@user-re4iu4vu3b 11 месяцев назад
Naomi from Kenya abarikiwe mungu aliye ileta promover tv tunakombolewa Kweli kweli
@SelestinaJoshua-pn4zv
@SelestinaJoshua-pn4zv 11 месяцев назад
Kwa mtu atakae kumbuka ushuhuda wa Aston jamani yule baba ni mtumishi wa MUNGU kweli hallelujah
@nanyamasheilah5695
@nanyamasheilah5695 10 месяцев назад
SHEILLAH from KENYA nimebadilisha Sana njia zangu za kiroho Na Hizi shuhuda 🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jackiemaggy2484
@jackiemaggy2484 11 месяцев назад
Barikiwa mtumishi kukitambuwa siri zao
@JumaStanslaus-ds1qu
@JumaStanslaus-ds1qu 10 месяцев назад
Amina
@maryandason1815
@maryandason1815 11 месяцев назад
Blessed promover tv❤
@EsterBernardoVumo
@EsterBernardoVumo 11 месяцев назад
Tatizo Tamaa Hawamogppe Mungu Wao Wanajari Tu Hela Tuamke Jamani Makamisa Jamani Muogopeni Mungu.
@catherineangaufoo2530
@catherineangaufoo2530 11 месяцев назад
Mbona maswali mazuri tu jamani wapendwa? Asanteni Promover . Kazi nzuri
@MonicaNestory
@MonicaNestory 10 месяцев назад
Hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙏 jina la BWANA YESU libalikiwe kwa kutuletea wateule kama Hawa Ili kututoa hatua 1 kwenda nyingine kupitia shuda
@helenamoshi602
@helenamoshi602 9 месяцев назад
@@MonicaNestory ok
@helenamoshi602
@helenamoshi602 9 месяцев назад
Pamojanawewe
@user-dy1kf6ng8t
@user-dy1kf6ng8t 9 месяцев назад
​@@helenamoshi602my cc
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 11 месяцев назад
Shida kubwa Sana ya watumishi wengi wameingiwa na tamaa mbaya ya pesa hata wakiongea na washirika mawazo Yao ni vile washirika hao watawapa pesa
@BerylSeer1
@BerylSeer1 11 месяцев назад
True
@mariamswedi1140
@mariamswedi1140 11 месяцев назад
kabisaaa
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 10 месяцев назад
Kweli kabisa...yaan mtu anawaza anapataje hela kwa waumini mimi sipendi kweli
@marycianasylvester
@marycianasylvester 11 месяцев назад
Blessed promover tv
@sallymumia8425
@sallymumia8425 11 месяцев назад
Glory to Jesus Christ,kwa ushuhuda huu mkubwa .
@shadrachkamyori9911
@shadrachkamyori9911 2 месяца назад
Natokea Kigoma. Hapo pote anapoelezea napafahamu vyema kabisa. Ashukuriwe Mungu mwenye nguvu anayefunua haya.
@josykogei7647
@josykogei7647 11 месяцев назад
Mi nangojea ushuhuda wa ule Mzee Ambae ulionyesha kidogo ukapotea
@rerisamba
@rerisamba 11 месяцев назад
Shetani kweli hana uruma anapenda vilivyo vizuri sasa ona huyu kaka alikua kwA njia sawa yakumtumikia Mungu sasa ona kakutana na shetani alie vaa nguo ya mchungaji
@mosesjohnswilla9926
@mosesjohnswilla9926 11 месяцев назад
Kwenye kutafuta hela za zamani hiyo ni kweli maana hata Mimi nilishawahi kukutana na mchungaji ambaye aliniambia nitafute hela za zamani hizo Rupia.
@josephatjoseph1755
@josephatjoseph1755 11 месяцев назад
Zina nguvu gan
@littlelunie.7653
@littlelunie.7653 11 месяцев назад
Mtumish post sehm ya pili
@yushuaissa467
@yushuaissa467 10 месяцев назад
This must be an interesting country.
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 11 месяцев назад
Yaani jamani humu duniani kuna mambo mengi ya ajabu sana, wakati mwingine tunasikia kama hadithi tuu, kumbe ni kweli kabisa uchawi upo, na misukule pia ipo, mhhh inasikitisha sana.
@viousa
@viousa 11 месяцев назад
Vyakula vya misaada ni ibada aisee
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 11 месяцев назад
😅😅😅😅😅
@user-dy2id4mz3k
@user-dy2id4mz3k 11 месяцев назад
Good job
@user-fr2vz6hq5w
@user-fr2vz6hq5w 11 месяцев назад
Jaman mungu atusaidie dunia inamazito
@HesboneMalangalila-ek6te
@HesboneMalangalila-ek6te 9 месяцев назад
Naomba utaratibu wa kumsaport atoe shooting Na kama yupo wa kuungana nami mm namsaport kwa elfu hamsini Anitumie namba yake nimtumie sasa hivi Tumsaport Albogast zipo baraka nyingi
@eliethmwanguya7118
@eliethmwanguya7118 11 месяцев назад
Mungu atusaidie ili watumishi wasipoteze kanisa la Mungu
@CherieDeDieu
@CherieDeDieu 11 месяцев назад
Kwa kweli! Mbona tumemuachia shetani mpenyo kanisani?! Bwana Yesu Kristo turehemu na utupe maarifa tuweze kumshinda shetani na kazi zake zote.
@rosendanshau2674
@rosendanshau2674 11 месяцев назад
Sasa havi ndo hi you wanapotosha neno mno na warming wengi huelekea huko
@nyamogafamily9549
@nyamogafamily9549 11 месяцев назад
Amina na tuzidi kuwaombea
@bless-vn4gf
@bless-vn4gf 11 месяцев назад
Hongera kwa kueleza watu yatawasaidia pindi wakikueleza
@sarafinamwandi2444
@sarafinamwandi2444 11 месяцев назад
Dar ni kisiwa Cha watumushi matapeli kuweni makini
@RebecaMaloda-xx2qm
@RebecaMaloda-xx2qm 6 месяцев назад
Jacktan upo vizur huna maswali mengi
@georgevicent6849
@georgevicent6849 11 месяцев назад
Kazi mzuri, ila nashauri kama itawapendeza maswali mngeyaweka mwishoni mwa ushuhuda, maana tunashindwa kuwa na mtiririko mzuri, ahsante na samahani.
@PromovertvTz
@PromovertvTz 11 месяцев назад
Ahsante kwa ushauri mwenyewe ushuhuda hakuwa mzuri katika mtiririko wa kusema alitegemea maswali ndio maana unaona ushuhuda umekufikia.
@neemakillango4126
@neemakillango4126 11 месяцев назад
Kabisa.maswali katikati yanaboa
@fatumatandika6220
@fatumatandika6220 11 месяцев назад
Mimi nimeshaibiwa dhahabu za watu kimiujiza hadi ni leo mwenyewe tumekuwa maadui anaamini nimemuibia nikajaibiwa tena pesa za watu hivyo hivyo kimiujiza uhusiano ulikufa kabisa na sasa sitaki kushika pesa kabisa
@novatidamian7236
@novatidamian7236 10 месяцев назад
Kumbe kama kuna makanisa ya kiroho ! Una maanisha kuwa kuna na makanisa ya kimwiri??? Nyie ni mashetani na ubatizo wenu wa kishenzi
@fitinamarando
@fitinamarando 11 месяцев назад
Naomba alitaje live
@marcelineshanga9811
@marcelineshanga9811 11 месяцев назад
Wadunguzangu
@fitinamarando
@fitinamarando 11 месяцев назад
Daaah Mungu atusaidie, agitate hilo kanisa ili watu waelewe wajiepushe---Dsm
@rerisamba
@rerisamba 11 месяцев назад
Naomi Bonface alisema mamake alizaa watoto wawili
@AlexG-hl7en
@AlexG-hl7en 10 месяцев назад
Kwanin usimtaje watu wapone
@floramongi1410
@floramongi1410 11 месяцев назад
Ndio maana watu wanatafuta sana hizo hela
@littlelunie.7653
@littlelunie.7653 11 месяцев назад
Mungu aturehem
@HesboneMalangalila-ek6te
@HesboneMalangalila-ek6te 9 месяцев назад
Mimi nimemwelewa hata mm gueen ya 1955 niliipeleka kuuza tukapata ila ni hatari
@jayjoe5160
@jayjoe5160 9 месяцев назад
kwanini kuna hatar brother
@GroriminaVenancempua-fe1xi
@GroriminaVenancempua-fe1xi 11 месяцев назад
Kaka tunaomba mwendelezo tafadhali
@marywanjiru1831
@marywanjiru1831 11 месяцев назад
Naomba ..tuwe na muendlezo...andika maswali..uliza baadaye....tafadhali
@mjumbewaaganoduniani
@mjumbewaaganoduniani 11 месяцев назад
Mjumbe wa agano Duniani atafanya semina kwa Mathias Ujumbe UNABII WA MWISHO WA DUNIA. usikose tarehe 20/9 mpaka tarehe 30. Unakaribishwa.
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 11 месяцев назад
Alitaje kanisa
@AinekishaGodwin-ru8bn
@AinekishaGodwin-ru8bn 11 месяцев назад
Maswali mengi nimekosa kuelewa
@floramongi1410
@floramongi1410 11 месяцев назад
Watu wanatafutz sana pesa ya queen Elizabeth na Huyu queen ni waanzilishi wa wajenzi huru
@adkajisi4536
@adkajisi4536 11 месяцев назад
Ndo story za kijiweni kwn
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 11 месяцев назад
Ila ngoja niulize kwanini watu wa kigoma ni wachawi Sana
@wardawarda6109
@wardawarda6109 11 месяцев назад
Hata mie hilo ni swali najiuliza sana.
@catherineangaufoo2530
@catherineangaufoo2530 10 месяцев назад
Kanda ya ziwa yote wanatisha.. mm nilikuwa najua Tanga ndio bingwa kumbe kuna mabingwa aiseee. Dunia hii ina mambo. Waaaah
@LodvolaLameck-jl5vs
@LodvolaLameck-jl5vs 9 месяцев назад
Usiwaogope watu wa Kigoma ila miongoni mwa maeneo yemnye malango ya kuzimu katika ziwa Tanganyika ni huko Kigoma tena malango makubwa
@HappyJohn-kk1pr
@HappyJohn-kk1pr 3 месяца назад
Mbna unamswali meng sana bs simulia ww😅
@YudasChondwa
@YudasChondwa Месяц назад
Duuu natamani nisikie part3
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 11 месяцев назад
Achia tu mwenyewe aongee
@neemamassame8183
@neemamassame8183 11 месяцев назад
Je hao misukule wanapotumwa wanakuwa au wanaweza kuw kama panya au chochote kile ili kuiba?
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 11 месяцев назад
Hata kuwa sisimizi inawezekana
@user-tx2lu2ps9b
@user-tx2lu2ps9b 11 месяцев назад
Hiyo password ni li jini anawekewa
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 11 месяцев назад
Sasa kuna mtumishi anae aminika??
@priscampanda7820
@priscampanda7820 11 месяцев назад
MUNGU TULINDE
@myself4128
@myself4128 11 месяцев назад
First Born King Charles born 14/11 /1948,Second born Princess Anne was Born 15/08/1960! Queen Hakuwa na Mimba mwaka 1956 walikuongopea
@carolpraise88
@carolpraise88 10 месяцев назад
Pengine ilitoka
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 11 месяцев назад
Watu wa kigoma wanamambo mazito sana ndo maama ule mkoa ulibaki nyuma sana kimaendeleo daah wanasema sumbawanga haifii kigoma
@zerbabelnyabenda7007
@zerbabelnyabenda7007 11 месяцев назад
Kigoma kubaki nyuma kimaendeleo sababu yake kubwa ni nyingine ,uchawi upo kila eneo
@graceshayo5763
@graceshayo5763 11 месяцев назад
Lkn huko kumezidi
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 11 месяцев назад
Hivi hawa wanaopitia kwenye mambo mazito kama haya wanatubu na toba yao inakubalika mbele za Mungu mwenye haki!!?? Maana haya ni mambo yakutisha
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 11 месяцев назад
Watatubu wapi wakati huko walikoamini ndiko wanakoamini. Labda waende kwenye dini ya Mohammad hapo ndipo wataokoka. Ashahadu ann laa ilaha ila Allah. Happy tu ndipo ataokoka kila aliyepotea.
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 11 месяцев назад
​@@MwanaishaShattrydini ya Mohamed..ndio nini .. sasa..kwaYesu ndio kila kitu
@happymvula
@happymvula 10 месяцев назад
Hakuna dhambi isiyosamehewa maadamu umetubu, ukiwa hai,umegeuka na kuacha kabisa....
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 11 месяцев назад
Naomba kuuliza swali huyo malkia wa uingereza ni yule halisi au ni kivuli chake
@HesboneMalangalila-ek6te
@HesboneMalangalila-ek6te 9 месяцев назад
Mpigie
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 9 месяцев назад
@@HesboneMalangalila-ek6te Sina no zake
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 9 месяцев назад
@@HesboneMalangalila-ek6te Sina no zake
@flourishing_wilderness6072
@flourishing_wilderness6072 8 месяцев назад
Pepo
@evangelistdanielsenyagwa4018
@evangelistdanielsenyagwa4018 11 месяцев назад
Muendelezo Mtumishi jactani
@PromovertvTz
@PromovertvTz 11 месяцев назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-GOOy0ecUatg.html
@evangelistdanielsenyagwa4018
@evangelistdanielsenyagwa4018 11 месяцев назад
@@PromovertvTz ubarikiwe sana
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 11 месяцев назад
Alitaje kanisa
Далее
Они захватят этот мир🗿
00:48
Просмотров 312 тыс.
ПРИКОЛЫ НАД БРАТОМ #shorts
00:23
Просмотров 3,4 млн
ALIYEKUWA AKIFUGA MAJINI 4004-Part 1
32:50
Просмотров 8 тыс.