Hallelujah, hallelujah for this changing powerful testimony,to transform I pray that prophet to visit. Us,Kenya,we need this..and the whole promover TV...
Naona wapo, wasioamini.... Na wapingao... Vyema tunatazamia mapingamizi.. lakini ... Lengo letu kuu lakulibadili kanisa lililo na mbegu za giza ... na uchafu wa thiolojia lazima litimie ... Na hakuna wakutuzuia
Kuhusu Aston, ushuhuda wake, umekaa ktk Neno la Kristo. Ushuhuda huu ni wa miaka mingi na alifunua miaka hiyo kuwa wafuasi wa TB Joshua (wa Nigeria) wapo kuzimu wanalia; na baada ya miaka mingi kupita; hapa majuzi, tumesikia jinsi T.B.Joahua alivyokufa kwa kauli ya Mganga wa Kienyeji aliyesema ndiye aliyempa T.B.J pete ya uganga na kwamba atamwua; na baada ya siku chache T.B akafa na mganga akarudi kwenye Television kusema amemaliza kazi. Watu tukajua T.B hakuwa wa kweli kama alivyoshuhudia Aston Mbaya
wewe unaonekana ni miongoni mwa wana wa anaki nn, au Oguu... tuache sisi wana wa Mungu tusikilize ujumbe wa baba yetu Yesu anaetupenda maana wana wa anaki na Ogu washahukumiwa tayari