Тёмный

R.I.P Prof. NGOWI, HAUKUWA NA BAYA BABA, MAARIFA YAKO YALIWAFIKIA WENGI 

Ngowi TV
Подписаться 25 тыс.
Просмотров 21 тыс.
50% 1

Uliifanya Ngowi TV kuwa jukwaa la maarifa hata kwa wanyonge

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 59   
@johngibson3089
@johngibson3089 2 года назад
Mimi binafsi ni mfuatiliaji mzuri wa ngowi tv na makala za prof ngowi. Nimeumia sana moyoni mwangu kwa kifo chake. Huyu mtu ni prof wa tofauti sana ukilinganisha na wale wanaokimbilia kwenye siasa na kujikondesha ili wapate teuzi kwa kuwa hawana maarifa kama pro ngowi wakati ngowi anagawa maarifa kwa jamii buuuureee. Nawashauri maPROF wengine wote kupitia makala zake na watakuwa na cha kujifunza. RIP Pro NGOWI. You will always be missed
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 года назад
Kwakeli kizuri huwa hakidumu. Mungu hujichukulia vyake vizuri mapema
@ambore610
@ambore610 2 года назад
Daaah nimeimia sana,pumzika kwa amani baba,nilitamani kukutana na ww siku moja😭😭😭😭
@sitakija4161
@sitakija4161 Год назад
Siyo sili imeniuma sana bada ya kujuwa kuwa huyu mzee kaisha juga aseee inauma sana pole ntanzania titék kiujumra aseeeeha
@Coachsamwel
@Coachsamwel 2 года назад
So sad kwakwel😭😭😭 Alikuwa msomi mwenye akili na mapenzi mema kwa jamii yake.. Tunamshukuru Mungu kwa mazuri yake... Mungu akawe Faraja kwetu
@subirajohn728
@subirajohn728 2 года назад
Amina!
@ponsianaermandus5955
@ponsianaermandus5955 2 года назад
Daaaa lala Baba sina neno tumepoteza Mtu wa muhmu sana mara nyingine kwenye Taifa Letu,
@elizabethkimbi3336
@elizabethkimbi3336 2 года назад
Kumbe ngowi ulikuwa unafanya kazi hizi pamoja na usomi wako may God rest your soul in peace
@innosenciajoseph9967
@innosenciajoseph9967 2 года назад
Tujifunze kutoka kwake. Kila fursa iliyo mbele yetu tuitumie ipasavyo!!
@mariammwamaso3984
@mariammwamaso3984 2 года назад
Duh! Nimeumia sn japo nilikua sikufaham, lkn nafuatilia TV yako ulikua mtu mwema sana. Ushaur wako umeanza kunijenga kwa namna flan hv. Pumzika kwa Aman Baba. Hakika chema hakidumu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@givennzunda340
@givennzunda340 2 года назад
Ulikua ni zaidi ya professor,. Uliutoa mda wako na nguvu zako kwa ajili ya kuleta chachu ya maendeleo kwa mtu mmoja mmoja na vijana kwa ujumla. R.i.p Dady
@musajoseph7933
@musajoseph7933 2 года назад
Nitakukumbuka sanaa mwalimu wangu wa uchumi, upumzike kwa amani!
@johnngowi2992
@johnngowi2992 2 года назад
Mungu ampunzishe kwa amani. Tumejifunza mengi kwake. ❤❤❤
@martinahezron6450
@martinahezron6450 2 года назад
Mungu akupe pumziko la amani Prof. Ngowi. Ulitufundisha mengi tukiwa Mzumbe ikiwa ni pamoja na upendo mkubwa uliotuonesha
@pascalsamson4721
@pascalsamson4721 2 года назад
Daaaa inauma sanaaa
@3kumahiri867
@3kumahiri867 2 года назад
Dah! Apumzike kwa amani Professor🙏🙏
@erickbitarohize1591
@erickbitarohize1591 2 года назад
Living legacy. Rest easy big Brain you'll always be missed
@salomekense525
@salomekense525 2 года назад
Udongo unafaidi jamani. R.l.p.
@jumachanewstrends6899
@jumachanewstrends6899 2 года назад
Rip baba Nilipenda sanaaa motivator wako
@maryr4033
@maryr4033 2 года назад
Rest in Peace Prof Ngowi. Think Tank Of Africa.
@nedkatunge5702
@nedkatunge5702 2 года назад
Jamani serikali mtusaidie malori yanayobeba makonteina yatatumaliza wenye magari hayo huwa hayaziyafungi makonteina yao kwa kutokuyafunga makonteina hayo ili yakianguka yadianguke na gari ndo maana kila ukisikia konteina limeanguka gari haranguing serikali kuoitia training wayakamate magari hayo na kuzuiwa kufanya kazi.
@jacquelineulotu5279
@jacquelineulotu5279 2 года назад
Rest in peace our beloved professor Ngowi 😭😭😭😭😭😭
@rajabhussein7794
@rajabhussein7794 2 года назад
Nimelia Sana jamani prof ngowi duu
@allan3723
@allan3723 2 года назад
Tangulia kamanda.Wee mbele sisi nyuma
@tumsifumunuo2602
@tumsifumunuo2602 2 года назад
RIP PROF NGOWI. TILL WE MEET AGAIN
@rosekishengere7258
@rosekishengere7258 2 года назад
PUMZIKA KWA AMANI PROF NGOWI TUTAKIKIMBUKA SANA KWA WEMA WAKO ULITIFUNDISHA TUKAWA IMARA NA SASA TUNATUMIA UJUZI ULIOTUFUNDISHA, PUMZIKA KWA AMANI.
@isikesamike
@isikesamike 2 года назад
Rest easy Prof Ngowi 🙏
@lokindasamwel5305
@lokindasamwel5305 2 года назад
💔💔💔💔daaaaaah
@mwanahawarajabu1837
@mwanahawarajabu1837 2 года назад
Huuyu alikua zaidi ya professor
@emmana07
@emmana07 2 года назад
Rest well Professor P. H. Ngowi.
@davidndolela7758
@davidndolela7758 2 года назад
R.i.p papa tunaanzia tumboni kuelekea kaburini pumzika kwa amani ulikua mtu na nusu wewe😭😭😭😭
@jobmaclean5382
@jobmaclean5382 2 года назад
Kiukweli alikuwa ni MTU anayesikiliza mawazo ya MTU bila kujali ukubwa na udogo wa MTU mwenyewe
@frankdionis7700
@frankdionis7700 2 года назад
Du yaani jamaa amewagusa wanyonge wengi Mimi huwa naonana naye sana akija Zanzibar huwa namuendesha Sana😭😭😭
@michaelmandia4405
@michaelmandia4405 2 года назад
Yaaah
@frankdionis7700
@frankdionis7700 2 года назад
Kizuri hakidumu Mimi nilikua namuendesha Sana nikiwa Kama dereva wake akija kikazi huku Zanzibar huyu jamaa alikua ni zaidi ya professor
@kwizeraerick
@kwizeraerick Год назад
R.I.P profesor
@giftmangowi816
@giftmangowi816 2 года назад
Rest in Peace Professor🕯🕯
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 2 года назад
R.I.p mzee
@kayshanil9195
@kayshanil9195 2 года назад
R I P Prof......
@mwijagenelsoni357
@mwijagenelsoni357 2 года назад
RIP baba
@shawejimnipera2937
@shawejimnipera2937 2 года назад
R. I.P
@sublimemedia2795
@sublimemedia2795 2 года назад
Too Sad 🥺
@daudimasui3806
@daudimasui3806 2 года назад
RIP Prof.
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 2 года назад
Mmmh Jamani😭😭😭🙏
@emilinechitalasita6077
@emilinechitalasita6077 2 года назад
Pumzika kwa Amani Mpendwa wetu tutakukumbuka daima.prof.Ngowi
@wingodsiyao7658
@wingodsiyao7658 2 года назад
Rest in Peace Professor. Your LEGACY will live forever
@veronicatemba7683
@veronicatemba7683 2 года назад
Rest in peace ngowi
@joycengai6669
@joycengai6669 2 года назад
Mmmh,kweli haupo????
@bonifacejohanes895
@bonifacejohanes895 2 года назад
Mtu mpole na asiye na makuu. Pumzika kwa amani
@subirajohn728
@subirajohn728 2 года назад
R.i.p Profesa Ngowi!
@jacklinmasawe2697
@jacklinmasawe2697 2 года назад
Mpaka nimeliaaaaaa
@edwardmwampaka8320
@edwardmwampaka8320 2 года назад
Brother Aidan hii ni kama bado nipo kwa ndoto...
@daudiaidani3860
@daudiaidani3860 2 года назад
Ni kweli kaka na ataagwa pale Karimjee siku ya alhamis
@edwardmwampaka8320
@edwardmwampaka8320 2 года назад
@@daudiaidani3860 Nashukuru kwa taarifa brother
@omarhamad9489
@omarhamad9489 2 года назад
Dah hapa tume poteza ila ndio hatma ya mwana adamu
@veronicaromwald8311
@veronicaromwald8311 2 года назад
Huzuni Kubwa 😥
@phiniasoyugi4850
@phiniasoyugi4850 2 года назад
Pumzika kwa Aman mentor
@mwakalagotv711
@mwakalagotv711 2 года назад
Kila raheli umetuachia hazina kubwa ya elimu isiyofundishwa shule
@ismailkatanga6611
@ismailkatanga6611 2 года назад
R.I.P
Далее
NINAPAMBANA NA WANAUME NA NINAWAKALISHA
13:29
DK.MWINYI ANGURUMAA KISIWA PANZA
7:56
Просмотров 585
KUTENGENEZA MPANGO WA BIASHARA
31:38
Просмотров 6 тыс.