jamani izo cheni zenyewe ni feki Hana uwezo wa kununua cheni original iyo cheni ni gred tatu au nne kama viatu kuna original number moja alafu number mbili tatu nne ndo izo cheni wanazo vaa wcb wakina mwambino na ao wasani wake
sasa mbosso anafulai sana siku akitoka WCB wakimwambia alipe amukataba wakutoka usije kulia kama harmoniz nae maana diamond kuku nunualia cheni za garama sio mchezo hizo ni pesa nyingi sana
Harmonize hakulia mbona alilipa wakakataa kumpa mkataba wake wa kufunga mkataba mpaka Magu akangilia. Harmonize alipata emotion alipoongelea yaliyomkuta akiwa WCB na sio hizo million 600. Mjifunze kufahamu kitu sio kukariri tu