Тёмный

RAHEEM KIBEGA ALIVYO MCHANA MBOSSO KUSEMA WASANII WAACHE KUVAA CHENI ZA MABATI // ZITAWAPA FANGASI 

PTVTANZANIA online
Подписаться 516 тыс.
Просмотров 9 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 38   
@paizinhosaide-cv9pm
@paizinhosaide-cv9pm Год назад
mbosso ❤❤❤
@justerkaregi8044
@justerkaregi8044 Год назад
Pole babu polepole usipatwe na pressure sababu ya mbosso 😅😅😅
@vincentmbaire2666
@vincentmbaire2666 Год назад
Mweli kabisa jama anasema kweli
@HassanIsman-wl2pv
@HassanIsman-wl2pv Год назад
Mbosso ni njaa Hanaadabu kama alikotoka amesahauu basi let's move on
@عايشهعايشة-ر1ب
@عايشهعايشة-ر1ب Год назад
Huyu kaka uogea ukweli ila yuwaogea nasira sana😂😂😂😂
@SalehSaleh-b6i
@SalehSaleh-b6i Год назад
Mboso utalia kilio Cha mbwa mbeleni Diamond nae ni mwanaadam ni MFANO wa kinyonga angalia sana Dogo
@meryamreally2768
@meryamreally2768 Год назад
Wwww mbosso ucjuli baby ❤️❤️❤️🥰🥰😂😂😂😂
@josephevaristi8923
@josephevaristi8923 Год назад
Kibega jay z is from USA not from europa
@silageorge1638
@silageorge1638 Год назад
Mtu ukila shida mwanzoni mungu ajalie mbona usitambe # bora ni enjoy
@LoxJuma
@LoxJuma Год назад
Kweli kabisa itakiwi uongee ivyo nizalau tunafaham kabisa
@lucasmartin-vs2yh
@lucasmartin-vs2yh Год назад
Aaaaaah!! Seleman !!!!!!;
@Tintaaahasirakirende
@Tintaaahasirakirende Год назад
Ukiona vyenye yuko sura kabla kupikwa hana sura
@OMANOman-qc1lm
@OMANOman-qc1lm Год назад
jamani izo cheni zenyewe ni feki Hana uwezo wa kununua cheni original iyo cheni ni gred tatu au nne kama viatu kuna original number moja alafu number mbili tatu nne ndo izo cheni wanazo vaa wcb wakina mwambino na ao wasani wake
@MulababazOG
@MulababazOG Год назад
Huu jmaaa kaongea point kwa kweli
@Youngmaro1234
@Youngmaro1234 Год назад
Mboso anazingua
@eliudkimari-wt5cl
@eliudkimari-wt5cl Год назад
Muache kufeki maisha hasa nyie wabongo tz doh😮😮😮
@muddysharo7699
@muddysharo7699 Год назад
Hii inaitwa pata pesa tuone tabia zako😂
@tomsijohni
@tomsijohni Год назад
sasa mbosso anafulai sana siku akitoka WCB wakimwambia alipe amukataba wakutoka usije kulia kama harmoniz nae maana diamond kuku nunualia cheni za garama sio mchezo hizo ni pesa nyingi sana
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 Год назад
Harmonize hakulia mbona alilipa wakakataa kumpa mkataba wake wa kufunga mkataba mpaka Magu akangilia. Harmonize alipata emotion alipoongelea yaliyomkuta akiwa WCB na sio hizo million 600. Mjifunze kufahamu kitu sio kukariri tu
@OmbeniØgbdi-d5u
@OmbeniØgbdi-d5u Год назад
Mbosso amejisahau kweli ilipotoka alafu unaanza kuropok
@abediWakati
@abediWakati Год назад
Matako yake😂😂😂😂
@annasolomon9855
@annasolomon9855 Год назад
Hovyo kabisa 😂
@SINTACLEMENSBYABATO
@SINTACLEMENSBYABATO Год назад
Ila penyewe mbosso kazingua ni usanii tu wakati ni aliimba shida
@NamimanaClaude
@NamimanaClaude Год назад
Uko rofa wew tuliya togo mutakufa
@jumannemuhammad2073
@jumannemuhammad2073 Год назад
mbona jamaa anabweka sana kama katiwa kidole, hasidi ww, cheni ni jambo la kistarehe so km huna hela kwann uvae mabati
@Mejas-i9k
@Mejas-i9k Год назад
Mboso msenge na pua lake
@LoxJuma
@LoxJuma Год назад
Tutavaa cheni zetu za mabagala rangi tatu napete zakimasai zakizombi zombi mbona poa tu tunavimbanazo mtaani nawatu wanajua original
@dullahafidhz9194
@dullahafidhz9194 Год назад
Mboso mchumba tu
@mrsinia3064
@mrsinia3064 Год назад
Kwan hapo anamwambia nan 🤣🤣
@merinakassembe118
@merinakassembe118 3 месяца назад
Hata hizo sio piwa
@merinakassembe118
@merinakassembe118 3 месяца назад
Mapua ya mepanuka
@AolamoAhpani-mi6sp
@AolamoAhpani-mi6sp 11 месяцев назад
Umeongea mjomba pwent
@salimomanjavilamanjavila603
Acheni kuwa wivu muwacheni mbosso atambe na yeye
@AdamTuran-t4i
@AdamTuran-t4i 11 месяцев назад
Kesi sio kutamba
@JosepitaJosepita-lq4bg
@JosepitaJosepita-lq4bg Год назад
Kajisahau dogo
@erickzephania1030
@erickzephania1030 Год назад
Ayo yote mabati
Далее
这到底是怎么做到的 #路飞#海贼王
00:10
Просмотров 4,4 млн
WHICH SODA CAN FLY THE HIGHEST?
00:48
Просмотров 8 млн