@mpjozzegalvanize4926 kabisa hakuna mawazo chanya wanachoona ni mikopo wakati wanajua siri ya mikopo ni kutuweka umasikini hata iyo mikopo wanakula,maliasili zetu wanagawa
Hongera sana Ruto kwa kuwa unawaheleza wana nchi wako kwa luga ya kiasili ya bara la Afrika. Nahamini watu hote wanakuhelewa vizuri, sio Kongo yetu , kifaransa saana na kujiweka wa juwaji saana kumbe bure.
Ahadi zako Gen Z wamezichoka, wanataka matakwa yao uyatimize 1 kuvunja baraza lako, 2 upuguze budget yako, upuguze mishahara ya viongozi wote, uweke mtandao jinsi vile pesa uliokopa kila mkenya ajue vile unatumika,3 na uwache kuchukua loan bila kujulisha wakenya na mengi neyo
Ile Uwongo Ako Nayo Ruto Akikatia Demu Awezi Rukaa iyo Uwongo 😂😂😂😂😂 Kila siku Ako na Mipango Ya Hawa vijana kuusu Ajira 😂😂😂 Yni Ruto Ni Muongo Sana 😂😂😂
Ngeli ya TU-NA, TU-TA, TU-ME na TU-LI, katika muktadha wa raisi but on the ground, zero work is done😂😂😂😂😂tulikuzoea Mr. Hiyo mtihani ulifeli mapeeeema sana, maybe you ridge as it has been your trends.
Yes I think Samia is a 3mason as well. She changed attire when she came to Kenya on her first official visit but the new dress had a secret masons symbol, most people missed it but not me!!