Тёмный
No video :(

Rais Ruto adai raia wa kigeni ni chanzo cha maandamano ya kuipinga serikali ya Kenya 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 13 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 127   
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 Месяц назад
Kachangannyikiwa anafanya kampeni wakati keshakuwa Rais anaanza kudanganya upya😂😂😂
@jacksonlusagalika
@jacksonlusagalika Месяц назад
🤣
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s Месяц назад
🎉🎉🎉
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s Месяц назад
😂😂😂😂 ah mbavu zangu nononoooooooo.
@user-xn2ih2br7y
@user-xn2ih2br7y Месяц назад
Kwenda zako uko,watu wamekuchoka maliza term yako uende zako
@rosemaryogambe4498
@rosemaryogambe4498 Месяц назад
Haujakosea 💯
@noonelike6382
@noonelike6382 Месяц назад
Huyu mzee dishi limeyumba...
@hamisself6820
@hamisself6820 Месяц назад
Gz nae wamemuenyesha mambo sasa anaanza kampeni round 2 jamaaa ana say
@section8ight174
@section8ight174 Месяц назад
“Bei ikikuja chini” 🤣 bei ikipungua 🤦🏾‍♂️ yaani wakenya ongeeni tu lugha zenu za kikabila kiswahili kigumu yakhee 😂
@hbdina
@hbdina Месяц назад
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 polojo za watu wengi weusi Kenya wawaletee Kanali Traore wa Burkinafaso ndani ya mwaka mmoja Kenya itakuwa safi
@FahmiNassor
@FahmiNassor Месяц назад
Si kenya tu hata tanzania
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 Месяц назад
​@@FahmiNassor kweli kabisa kaka, viongozi wetu wa East Africa ni tatizo kubwa sana.
@hbdina
@hbdina Месяц назад
@@FahmiNassor kabisa
@hbdina
@hbdina Месяц назад
@mpjozzegalvanize4926 kabisa hakuna mawazo chanya wanachoona ni mikopo wakati wanajua siri ya mikopo ni kutuweka umasikini hata iyo mikopo wanakula,maliasili zetu wanagawa
@kevicristian2738
@kevicristian2738 Месяц назад
​@@FahmiNassor acha kutuongelea wa Tz😂
@section8ight174
@section8ight174 Месяц назад
Sasa “Elfu Mia tatu” ndio nini tena? 🤣 alafu hii mijitu mishamba kweli mpaka inatia uchungu lmbo 😂
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 Месяц назад
Ahad ahad hizi, Hongera bana Mh.Raisi.
@Symoob5c
@Symoob5c Месяц назад
Kwani anaongea na watu wangapi mbona hatuonyeshwi
@CandyLoud
@CandyLoud Месяц назад
🤣😂😂😂
@wemakalama6458
@wemakalama6458 Месяц назад
Omg🤣🤣🤣🤣
@zenajustus5731
@zenajustus5731 Месяц назад
Yy na akina Murkomen na Musalia😊.
@eddythomz001
@eddythomz001 Месяц назад
😂😂
@eddythomz001
@eddythomz001 Месяц назад
​@@zenajustus5731😂
@Benjaminkakamasha662
@Benjaminkakamasha662 Месяц назад
Ameanza tena huyu baba wongowongo zake
@theblacktrader101
@theblacktrader101 Месяц назад
Tuliweka, tumetoa, tumetenga, tutafanya ama namna gani
@hamisself6820
@hamisself6820 Месяц назад
Ndio iyo sasa nikama analazimishwa kuongea ana chakuongea
@jeffchurum1431
@jeffchurum1431 Месяц назад
Tunakubaliana jameni? 😂😂😂
@amanikoiz3816
@amanikoiz3816 Месяц назад
Tu,tu,tu,tu😂
@dulaabdallarashid
@dulaabdallarashid Месяц назад
Tatizo la rais wetu Kenya ni mrongo sana
@section8ight174
@section8ight174 Месяц назад
It’s an art, don’t you know?
@IsayaMngaza
@IsayaMngaza Месяц назад
Anawachonganisha wakenya na wageni, yeye anajutoa 😁😁😁
@andreadaniel214
@andreadaniel214 Месяц назад
Waka huuu round hii😢😢😢😅
@emmanuelheshima4985
@emmanuelheshima4985 Месяц назад
Nimbaguzi huyu rais
@BigZhumbe
@BigZhumbe Месяц назад
One day Wakenya watamkumbuka huyu mwamba he means well to the citizens of Kenya.
@user-xn2ih2br7y
@user-xn2ih2br7y Месяц назад
We ndio uta mkumbuka
@kevicristian2738
@kevicristian2738 Месяц назад
Acha kuwaongelea watu. Ww pambana na kwenu😂
@abdullahnassor9433
@abdullahnassor9433 Месяц назад
Nadhani alikuwa anatazama magufuli kwenye RU-vid, anatumia point zake za kuongea, Mungu ampe magufuli peponi.
@section8ight174
@section8ight174 Месяц назад
Eti “manyumba” 🤣
@djafro8729
@djafro8729 Месяц назад
FSB tusaidie tutoe hii ngombe
@mwenebatuetabo5515
@mwenebatuetabo5515 Месяц назад
Hongera sana Ruto kwa kuwa unawaheleza wana nchi wako kwa luga ya kiasili ya bara la Afrika. Nahamini watu hote wanakuhelewa vizuri, sio Kongo yetu , kifaransa saana na kujiweka wa juwaji saana kumbe bure.
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s Месяц назад
Hapo kwenye kiswahili😂😂😂🎉🎉
@daprince7545
@daprince7545 Месяц назад
Ahadi zako Gen Z wamezichoka, wanataka matakwa yao uyatimize 1 kuvunja baraza lako, 2 upuguze budget yako, upuguze mishahara ya viongozi wote, uweke mtandao jinsi vile pesa uliokopa kila mkenya ajue vile unatumika,3 na uwache kuchukua loan bila kujulisha wakenya na mengi neyo
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 Месяц назад
Kabisaaa hyu atajua hajui this tym tumemchoka
@3erffeoui86
@3erffeoui86 Месяц назад
ukiwa waishi kenya ndio utajua huyu jamaa anasema nini hakuna kitu cha maana anasema shida KUBWA NI UWONGO kila mahali anaenda PR PR
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw Месяц назад
Million ishirini ya kuunganisha kijiji... Bro as kenyan we r not stupid huo ni ujinga
@afifhussein9447
@afifhussein9447 Месяц назад
Kweli
@CholoFaizaan
@CholoFaizaan Месяц назад
Hizi ndio shida za viongozi wetu ujinga tu
@MauroZaratte-r4r
@MauroZaratte-r4r Месяц назад
Amechemka 😂😂😂
@isaacramadhan9721
@isaacramadhan9721 Месяц назад
Hizo ahadi uhuru alifanya na akamaliza stima ilingia Kwa Kila Kijiji hizo ahadi zako ruto ni hewa
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 Месяц назад
Ht si uhuru ni Marehmu Mwai kibaki ndio alianzisha
@AliKaroyo
@AliKaroyo Месяц назад
Ile Uwongo Ako Nayo Ruto Akikatia Demu Awezi Rukaa iyo Uwongo 😂😂😂😂😂 Kila siku Ako na Mipango Ya Hawa vijana kuusu Ajira 😂😂😂 Yni Ruto Ni Muongo Sana 😂😂😂
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Месяц назад
😂😂😂😂😂 Akikatia demu Tena?(Sisi huku watanzania tunasema akitongoza).
@Africaamkenitznawenuso
@Africaamkenitznawenuso Месяц назад
Kachanganyikiwa
@chande2k250
@chande2k250 Месяц назад
Huongozi mtamu sana na hii ije Bongo GNZ safi sana Mwnyw kanyooka na Bado Mpk maji aite mma
@section8ight174
@section8ight174 Месяц назад
*Uongozi
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj Месяц назад
Mr promise
@user-rc2ye4ri6t
@user-rc2ye4ri6t Месяц назад
Uongo wwe wacha kudanya wakenya ruto must go
@olembetonga7341
@olembetonga7341 Месяц назад
😂😂😂 nimepanga nitapeana mimba kwa 10k 😂😂
@musalaben9080
@musalaben9080 Месяц назад
Hata mimi nirikua na kupenda lakini leo hapana umebadilika
@mohamedalidarabunyange4879
@mohamedalidarabunyange4879 Месяц назад
Dar Ruto anaazaa mojaa 😢
@StephenKudaka
@StephenKudaka Месяц назад
WW Mwaga Congo wako alafu ukanyage frame Singapore sana
@allykiduli2156
@allykiduli2156 Месяц назад
Hio ndio pesa aliopewa na usa ili kuwalagai wakenya
@sultaking8719
@sultaking8719 Месяц назад
Leo amepunguza figures tu million 20 zile billion kumi million 200 hakuna tena😂😂
@reymekay1
@reymekay1 Месяц назад
Kumbe kenya kuna sehem hamna umeme?!
@section8ight174
@section8ight174 Месяц назад
🤣
@HabibuHoseni-sv8hd
@HabibuHoseni-sv8hd Месяц назад
Ao wageni wkikusikia wankunyima loan😂😂ufe njaa
@Noor-xu7wd
@Noor-xu7wd Месяц назад
😂😂😂😂😂huyu hastuki..... ... Bado tu anatenga 😅😅😅
@sayyedsaeed8089
@sayyedsaeed8089 Месяц назад
😂😂😂😂 wa kwanza
@user-rc2ye4ri6t
@user-rc2ye4ri6t Месяц назад
Fanya vitendo wwe wacha maneno mengi htukutaki muongo
@gideonmageto4623
@gideonmageto4623 Месяц назад
Ataaamini 😂😂😂😂😂
@HansChuma
@HansChuma Месяц назад
😂😂😂😂ndio zile siasa za tanzania😂😂😂mabomba yote yatatoka maziwa😅😅😅😅
@biggyshari3328
@biggyshari3328 Месяц назад
Shida yako ww bwana umesomea uongo na unadanganya kila kiumbe
@afreecastzaxie
@afreecastzaxie Месяц назад
Amamnasemaje watu wa Ngong.. Hii mutuiani
@user-yp9el7xp8g
@user-yp9el7xp8g Месяц назад
Uyu RUTO NI STRESS AKO NAYO NA PRESSURE AMEPEWA NA GEN Z, SO ANAEZA ONGEA UWONGO ILI AJITETEE
@fazeemwelanian34
@fazeemwelanian34 Месяц назад
Kumbe ruto ni muongo sana ase afu rais wa kenya ako na kichogo
@raymondanthony6207
@raymondanthony6207 Месяц назад
😂😂😂😂
@section8ight174
@section8ight174 Месяц назад
Acha kutuvunja mbavu bwana wee 🤣
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Месяц назад
😂😂😂 band ya Zaire lipua lipua hana kitu
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Месяц назад
dah huyu Rais wao nampenda sana...kubali mie sana Ruto wa Samoei
@sponsor7882
@sponsor7882 Месяц назад
Mjinga sna ww
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Месяц назад
@@sponsor7882 i know right? but its true..the guy is smart , calm and collected..bold and he knows what he wants Kenya to be.
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 Месяц назад
​@@jedidahbintidaudi8241Ni story za vijiweni wewe humjui kwa uongo hajambo sisi wakenya ndo tunamjua
@ankalmzito254
@ankalmzito254 Месяц назад
Huyu RUTO inafaa tumsalimie kidogo
@SADICKITHOMAS
@SADICKITHOMAS Месяц назад
Gen z wamekiwasha ad unaongea lugha fasaha ya kiswahili na izo ahadi ziwe za kweli mshua watu wafaidi raslimali za nchi yao
@ramadhanichuma7925
@ramadhanichuma7925 Месяц назад
Stima ndio nin?
@Mwachuomo
@Mwachuomo Месяц назад
Umeme
@michaeljuma254
@michaeljuma254 Месяц назад
Ngeli ya TU-NA, TU-TA, TU-ME na TU-LI, katika muktadha wa raisi but on the ground, zero work is done😂😂😂😂😂tulikuzoea Mr. Hiyo mtihani ulifeli mapeeeema sana, maybe you ridge as it has been your trends.
@MuchaiSamuel-tm8xg
@MuchaiSamuel-tm8xg Месяц назад
RUTO matako yake....mwaka nenda mwaka rudi tumetenga😅😅😅
@user-hs9hh7ze1c
@user-hs9hh7ze1c Месяц назад
Stima ndo nn
@husseinsalehe6506
@husseinsalehe6506 Месяц назад
Umeme😂
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y Месяц назад
Sio miezi mbili miezi miwili from tz
@section8ight174
@section8ight174 Месяц назад
Yaani waache tu hawa wa kuletwa, utajichosha bure kuwakosoa 😂
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y Месяц назад
@@section8ight174 🤣🤣🤣
@Beckycitizentv768
@Beckycitizentv768 Месяц назад
Huyu sio president,, hii ni gaidi
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 Месяц назад
Eti gaidi😂daah jamni
@Soudbako
@Soudbako Месяц назад
Mzee umeanza kampong Au? 😅😅😅
@mriamsamy3129
@mriamsamy3129 Месяц назад
Mrongo huyu baba wala haonangi haya kwa ahadi zake zenye hazitimiangi
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 Месяц назад
Jenga kibera kwanza
@djafro8729
@djafro8729 Месяц назад
Vitendo si tutafanya
@lapozzydone5203
@lapozzydone5203 Месяц назад
Akiacha uongo atakua Rais mzuri sana.. Awachane na Ahadi hewa😂..
@shantisam-wo8wj
@shantisam-wo8wj Месяц назад
Ahadi hewa😂😂😂
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Месяц назад
Jmni huyu Ruto wa Kenya oyeee!!! karibu mzee tuko hapa Tanzania twakusubiri baba
@user-vr6fc5qm2i
@user-vr6fc5qm2i Месяц назад
Tunapagwa tena . Rais wetu ako expires na degree ya uongo 😅😅😅😅
@hameedm8361
@hameedm8361 Месяц назад
Tapeli huyu bwana😅😅
@faharihakikazi
@faharihakikazi Месяц назад
wewe ni mpuuzi kweli haujui nchi yako unayoiongoza wapi na wapi hakuna stima/umeme?
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 Месяц назад
Huyu mtu n mjinga sna wakenya hawapaswi kumpa kura tena 2027 wakenya mkichagua huyu mtu ninyi n wajinga
@brightmboya596
@brightmboya596 Месяц назад
Embu njo kwa Tanzania useme huo upuz
@isabellarkageha7707
@isabellarkageha7707 Месяц назад
Kwenu hua munasifu raisi wenu hata afanye mbaya ....Kenyans we don't abudu raisi
@MRIMAPICTURES
@MRIMAPICTURES Месяц назад
Uongo ya huyu jama aka nayo 😂😂😂😂😂
@Rennyburito
@Rennyburito Месяц назад
Mtukufu lies 😂
@CROWNMEDIAKE
@CROWNMEDIAKE Месяц назад
Ubwaa wqnapiga makof😂😂😂😂😂😂
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd Месяц назад
Anaomba kura
@wambuageorgemutua1930
@wambuageorgemutua1930 Месяц назад
Huyu jamaa ni muongo sana, kwa kuongea ako sawa sana
@eddythomz001
@eddythomz001 Месяц назад
😂
@mohamedathman3310
@mohamedathman3310 Месяц назад
Ruto must go wacha ahanyehanye tu hajielewi sasa hivi😂😂
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 Месяц назад
Subirini mwaka 2027 mchangue Genz mmoja aongoz nch ,,,tuone kama itakuwaje
@user-xo4qc2hk4j
@user-xo4qc2hk4j Месяц назад
Toka hapo wee zakayo, tapeli, free mason,wewe, kiboko Yako ni Gen z
@section8ight174
@section8ight174 Месяц назад
Yes I think Samia is a 3mason as well. She changed attire when she came to Kenya on her first official visit but the new dress had a secret masons symbol, most people missed it but not me!!
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 Месяц назад
Yaani utasema ndo anaonba kura upya😂
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 Месяц назад
Uwongo umetiririka like torn up water pipeline
@JosephatKalama-v1h
@JosephatKalama-v1h Месяц назад
Mbone huku kwetu hakuna kilifi
@sponsor7882
@sponsor7882 Месяц назад
Mjinga sna huyu kijana
@djafro8729
@djafro8729 Месяц назад
Muongo wewe
Далее
Triple Protein Sandwich
00:32
Просмотров 4,4 млн
TANZANIA WAUNGA MKONO MAANDAMANO YANAYOENDELEA KENYA
7:00
Triple Protein Sandwich
00:32
Просмотров 4,4 млн