Тёмный

Rais Ruto sasa asema yuko tayari kusikiliza vijana wanaoandamana 

Citizen TV Kenya
Подписаться 5 млн
Просмотров 60 тыс.
50% 1

Rais William Ruto sasa amesema yuko tayari kuwasikiliza vijana ambao wamekuwa wakiandamana kupinga mswada tata wa fedha. Rais akizungumza mjini Nyahururu kaunti ya Laikipia amepongeza kile anasema ni ujasiri wa vijana. Nje ya kanisa la ACK alikokuwa rais, mamia ya vijana waliandamana kutaka rais kuwasikiliza. Emmanuel Too anatuarifu zaidi kuhusu yaliyojiri kwenye hafla hii iliyosheheni maafisa wa usalama

Опубликовано:

 

22 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 259   
@Muiaerick88
@Muiaerick88 Месяц назад
Mkora huyu vijanaa msikubali
@baloz8974
@baloz8974 Месяц назад
Huyu jamaa Ana mdomo mtamu sana wakumtoa nyoka pangoni, ruto ukikubali kumpa sikio lako amekumaliza ni tapeli wa maneno
@nesbitmiriti4366
@nesbitmiriti4366 Месяц назад
Wanafaa kufanya😮.
@Kingluther1612
@Kingluther1612 Месяц назад
Nothing to talk about, reject bill or go home! 😡
@BORDERSSAFARISTRAVEL
@BORDERSSAFARISTRAVEL Месяц назад
🇰🇪🇰🇪 TUESDAY 🇰🇪🇰🇪 OCCUPY PARLIAMENT RUTO MUST GO # GEN Z 🇰🇪 KENYA
@bkaymakeups1725
@bkaymakeups1725 Месяц назад
No dialogue here..... WE KNOW YOUR LIES.... WE REJECT ‼️‼️‼️
@michaelokumu204
@michaelokumu204 Месяц назад
Don't accept any dialogue with the president.Stand firm for the reforms we need in this country.
@suleimanhinzano913
@suleimanhinzano913 Месяц назад
Aaaiiiiii uongoooo since when ashawai sikia mtu we reject no dialogue
@baloz8974
@baloz8974 Месяц назад
Asitaki kulainisha watu people's have reject it
@groovy5357
@groovy5357 Месяц назад
Sasa tumereject alafu bado anatuambia tuongee Tunaongea nini na tushasema pande yetu
@msa3957
@msa3957 Месяц назад
😂😂😂kupangwa daily
@suleimanhinzano913
@suleimanhinzano913 Месяц назад
@@groovy5357 nashangaaa ati dialogue ya nini our msg is clear reject let's work on the 23/24 tuone wapi tueze legezaa
@suleimanhinzano913
@suleimanhinzano913 Месяц назад
@@groovy5357 anaongea na naniii yeye si anasikiza institution
@sarahdeweerdt6792
@sarahdeweerdt6792 Месяц назад
Lies, lies, lies, as usual,who can trust his words?
@jeanclaude1173
@jeanclaude1173 Месяц назад
It's a trap.. Don't fall for it
@vokeh_hcl
@vokeh_hcl Месяц назад
Hatutaki! Reject!
@robertkaruga7088
@robertkaruga7088 Месяц назад
Tumezoea uongo zake, and we are 15 million of us
@baloz8974
@baloz8974 Месяц назад
It's a good number that's will manage to remove him in office
@philiplugalia3724
@philiplugalia3724 Месяц назад
​@@baloz8974uyu atolewe vile prime minister wa Sri Lanka alifanyiwa bure tutaumia
@lucafrica123
@lucafrica123 Месяц назад
No rejection of the bill no dialog. Shenzi nyinyi. Mmetuzoea
@baloz8974
@baloz8974 Месяц назад
Who are you ? I think you're gay .
@Flamingo9653
@Flamingo9653 Месяц назад
Vijana msikubali let him drop the bill
@rashiduchongole1333
@rashiduchongole1333 Месяц назад
Ruto asubui watasema hivi lunch atasema vengine
@boggsbrown2544
@boggsbrown2544 Месяц назад
A double minded is man is unstable in all his ways.....James 1:7 and 8
@user-jn7wc8tb8m
@user-jn7wc8tb8m Месяц назад
Good guys let us continue to demonstrate
@Amos-pz6ps
@Amos-pz6ps Месяц назад
Matiangi for president 🎉🎉🎉🎉
@ruthirene9051
@ruthirene9051 Месяц назад
Asanteni vijana wetu kwa ushuja wenu🎉🎉🎉👏👏👏
@salavynick6888
@salavynick6888 Месяц назад
Watamzikiliza nini na ametia sahihi…mkwende huko tumechoka na ufisadi/ukatili
@maimunalibuwa9836
@maimunalibuwa9836 Месяц назад
Proud of my fellows....we can make it
@calvincerairo1132
@calvincerairo1132 Месяц назад
Reverse psychology and emotional blackmail will not work.
@njurukaranja8452
@njurukaranja8452 Месяц назад
Vijana msikubali
@BORDERSSAFARISTRAVEL
@BORDERSSAFARISTRAVEL Месяц назад
🇰🇪 # TUESDAY 🇰🇪 OCCUPY PARLIAMENT RUTO MUST GO
@georgeopiyo609
@georgeopiyo609 Месяц назад
VascoDanganya trying to dupe you, Gen Z... Kaeni ngumu 💪
@BORDERSSAFARISTRAVEL
@BORDERSSAFARISTRAVEL Месяц назад
@@georgeopiyo609 🇰🇪 We're STRONG AND YOUNG 🇰🇪
@Flamingo9653
@Flamingo9653 Месяц назад
No need to listen to them just drop the bill then talk
@winnywin6988
@winnywin6988 Месяц назад
Yes after that he can talk to the whole nation
@johnkimani500
@johnkimani500 Месяц назад
Asijaribu kutia signature mambo yatakua mabaya
@josephnyakeraka9371
@josephnyakeraka9371 Месяц назад
Emmanuel too good job... am proud of u unarepresent UoK fraternity 👏👏
@terahedd2
@terahedd2 Месяц назад
Act,tayari wamesema reject finance bill. Meeting ya nini?
@emorutnicholas1893
@emorutnicholas1893 Месяц назад
Zakayo aende Sugoi we've rejected the finance bill
@The_sultans
@The_sultans Месяц назад
But you killed two of them
@peterndiritu096
@peterndiritu096 Месяц назад
We reject the bill forever
@aliceayua338
@aliceayua338 Месяц назад
Msikubali kile Iko a drop the finance bill then tuendelee koz aki akitaa any of the young z please msikuwe bribed kabisaa,we are together and together we shall have the freedom of our country
@byrondrinkle.1744
@byrondrinkle.1744 Месяц назад
DROP THE BILL OR GO HOME.!!
@kamche3563
@kamche3563 Месяц назад
MASTER OF DOUBLE SPEAK
@Paulkdq4l
@Paulkdq4l Месяц назад
No more lies!!!!!!!!!!!!!!!!!!
@djjumprix8504
@djjumprix8504 Месяц назад
Achape reject iyo kitu... atakuwa ashaongea na sisi
@issashee9791
@issashee9791 Месяц назад
Huyu Ruto angelikua mshairi...ingeweza Walahy....Mm humwita ruto abunuwasi 😂
@SANKALASOMO
@SANKALASOMO Месяц назад
We know him with lies.....we cannot accept him at all reject finance bill .....zakayo lies again.... ground imemkataa kabisa
@kdfkenya3435
@kdfkenya3435 Месяц назад
This is the biggest coward in Kenyan decade
@wasongabeatrice
@wasongabeatrice Месяц назад
He had all the time.... No conversation just remove that draconian bill... Kuongea nini
@katanakazungutete8256
@katanakazungutete8256 Месяц назад
Am so far away but i & iwill continew suppot you my Love kenyan GEN Z Power to the peole💪💪 kaende Kaende na tusirudi nyuma ju walituzoea sana
@Du-Rango
@Du-Rango Месяц назад
NO RETREAT, NO SURRENDER.🚩💩🖕🏾
@Paradigmshift5727
@Paradigmshift5727 Месяц назад
And I am so proud of youths right now. He should know hii sio generation ya wazazi wetu. We are not buying his lies.
@kalonzo2073
@kalonzo2073 Месяц назад
Mambo bado 🔥🔥
@ahmedfeleb4877
@ahmedfeleb4877 Месяц назад
Zakayo lazima ashuke
@shaukatashiq137
@shaukatashiq137 Месяц назад
BIG TRAP BIG TRAP MSIKUBALI
@HESBONLUKHUBI-hm2sp
@HESBONLUKHUBI-hm2sp Месяц назад
Ruto is just a hypocrity, acha kutupia Kuku mahindi, lazima uende nyumbani
@denniscemagik1260
@denniscemagik1260 Месяц назад
We REJECT the Finance Bill 2024!!! Ushaskia? Ni hayo tu kwa Sasa
@Jingajinga64
@Jingajinga64 Месяц назад
He is looking at penetrating into the inner circle of the movement to offer bribes as he usually does to get his way. Hawataki pesa yako hata kama wao ni masikini. Do you get it?
@The_sultans
@The_sultans Месяц назад
Yessssssss.....now me Aviator is talking
@user-ef5or8or9c
@user-ef5or8or9c Месяц назад
we cannot let the fearlessness and sacrifice of the fallen heroes go in vain just by a mere "CONVERSATION" The conversation was supposed to be held in parliament and they failed us in broad daylight !!!! DOWN WITH THIS LOT OF HYPOCRITS!!!!!
@Marsemo
@Marsemo Месяц назад
We say reject not ammend
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 Месяц назад
Msikubali kuongea na ruto,tayari anajua maandamano nikwa sababu gani, alafu sio kua yuapongeza ,huyo ni mnafki sana,anatamani awatumie majambazi wake wauliwe lakini yuashindwa maana duniani inamtazama
@johnbrown3235
@johnbrown3235 Месяц назад
ruto ni mbwa ya wazungu wa magharibi yaani kikaragozi cha nchi za magharibi.
@JeffaNzaro
@JeffaNzaro Месяц назад
Lazima atusikize manake ametuzowea sana
@monyqernyagah
@monyqernyagah Месяц назад
He should first stop the committee sitting to pass the finance bill then ask what should be removed from it. Sikutwambia atatusikiza
@georgemuroki6988
@georgemuroki6988 Месяц назад
There’s no listening! Get rid of the WHOLE FINANCE BILL, Bill!!!!!
@dokwiri
@dokwiri Месяц назад
We want the bill rejected plus national audit since 2022. No convo my fren!!
@leonardseur3717
@leonardseur3717 Месяц назад
Those are not our demands, you are out of touch to with us.
@justineakach6080
@justineakach6080 Месяц назад
These are the ones Uhuru was pleading with prior to 2022 election not to elect ruto but they didn't hear
@georgeopiyo609
@georgeopiyo609 Месяц назад
Atatii🤣 Na sio tafadhali 💪👍
@mgnasura344
@mgnasura344 Месяц назад
ACK Nyahururu! We shall remember
@darklorde668
@darklorde668 Месяц назад
Ziiiiii....... ndo atukoroge tena kama vile anakoroganga first lady akiitisha 😂😂.. REJECT
@bobochieng8026
@bobochieng8026 Месяц назад
Ruto does not get it. Scrap finance bill 2024. Review previous Finance Acts remove all the budgeted corruption cut down on expenditure and reduce TAXES.
@F7iw59hdrqy8
@F7iw59hdrqy8 Месяц назад
MNATISHIA HADI PASTOR ATI LAZIMA MUONGEE KWA KANISA THEY ARE A DICTATE GOVERNMENT BECAUSE THEY HAVE NO OTHER PLACE TO AIR THIER VOICES BUT CHURCHES ,CHURCHES HAVE BEEN CORRUPTED
@blessingsmary
@blessingsmary Месяц назад
Ruto your are a liar with your entire people GenZ msikuɓali huyu chameleon puppet wa wazungu
@danielkariuki2117
@danielkariuki2117 Месяц назад
Zakayo is laying a trap to divide Gen Z. First, the the finance bill should be dropped before talking.
@BenWanguke-qf6fb
@BenWanguke-qf6fb Месяц назад
The moment you bond with Ruto you will be compromised.
@LeahSimiyu-eg3yb
@LeahSimiyu-eg3yb Месяц назад
Ruto must go , he must go , he must go , and God after dealing with government, also false prophets and churches must go , Lord Ruto must go
@hilaryasasira2205
@hilaryasasira2205 Месяц назад
People who seat to listen ruto wako sawa kweli
@dak212
@dak212 Месяц назад
If they did the protests peacefully,why were they killed and abducted
@catherineikovwa3401
@catherineikovwa3401 Месяц назад
How he should start by rejecting finance Bill
@annekamau5288
@annekamau5288 Месяц назад
Listen to him at your own peril.😊
@F7iw59hdrqy8
@F7iw59hdrqy8 Месяц назад
ALL THE YOUTH READING THIS COMMENT'S ANYBODY WHO TAKES YOUR SIDE AFTER BEATING YOU WHEN YOUR INNOCENT YOU SHOULD THINK TWICE HUEZI PAKWA MAFUTA KWA MGONGO NA MTU AMESHA KUPIGA THEY WANT TO BE RE ELECTED 2027 SO THEY ARE ACTING ASIF THEY ARE ON YOUR SIDE AND FOR ME I WILL NOT VOTE FOR UDA LEADERS WITH THEIR IDEOLOGY BE IN SUPPORT AND SEE THE FUTURE ICHUNGWA NI BIBI YA RUTO AME SUPPORT AFTER PRESIDENT AME SUPPORT
@muziki79
@muziki79 Месяц назад
The only way for youth to go to negotiating table is for the government to first cancel the finance bill and start over again
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv Месяц назад
Ukweli kadri siku zinavyo songa afathali ya jana tu.
@makori047
@makori047 Месяц назад
Before anything else the bill must be rejected
@stevekimani6194
@stevekimani6194 Месяц назад
Ziii what dialogue reject the bill then we can have a seat down after
@ElizabethNafunamakhanu
@ElizabethNafunamakhanu Месяц назад
Only God will save Kenya if no Kenya is in hell not poor not Rich Satan has already taken over our country this is the end
@beast.king573FX
@beast.king573FX Месяц назад
Si mswada tu. Dismantle the government and everybody go home
@badmeetsevil7643
@badmeetsevil7643 Месяц назад
Ana tu tapeli musimtowe kwa kiti😂😂😂😂
@marywainaina5747
@marywainaina5747 Месяц назад
We don't want any talk ..do the action ..we are tied of your lies..juu wataka tu kutulushia Mahidi Kama kuku
@lynnedarling1135
@lynnedarling1135 Месяц назад
We have given this man enough time.He should just go coz he will still lie about something else
@wycliffemusyoki1413
@wycliffemusyoki1413 Месяц назад
Drop the bill.period
@shabaddu
@shabaddu Месяц назад
Hhhhhhhhhhhh hakuna kukubali....tunataka utoke state house
@wanjalajesse1694
@wanjalajesse1694 Месяц назад
Hypocrisy of the highest order,, you haven't condemned the excessive force used by your hooligans in the name of police,,
@billjames1216
@billjames1216 Месяц назад
Kuskiza nini after mswada imepita huyu jamaa huwa anabeba watu vipi??
@bonifacewanyonyi3555
@bonifacewanyonyi3555 Месяц назад
😂😂😂😂❤❤❤❤ asandi vijana wetu
@rabanKamau
@rabanKamau Месяц назад
Kuwamaliza pressure by talking you down classic .
@bethwaceke962
@bethwaceke962 Месяц назад
We reject anything to do with him....
@geraldngirimo8773
@geraldngirimo8773 Месяц назад
Zakayo gone are the days we listened to your lies...we don't want dialogue...we want two things... 1.Reject Finance bill 2.Ruto Must Go.. End of story
@thewanjala1family
@thewanjala1family Месяц назад
Kusikiliza ni kutoka mamlakani
@christophermicho9752
@christophermicho9752 Месяц назад
Mambo ni mawili,mgonjwa apone ama daktari akufe
@AnneKenya
@AnneKenya Месяц назад
No dialogue, we are not fools.
@odangydrama
@odangydrama Месяц назад
No negotiations reject that nonsense.
@douglasomare147
@douglasomare147 Месяц назад
We don't want him near us . Ww know him
@PeterGituiku
@PeterGituiku Месяц назад
Yaani Ruto umeanza kutuangusha,unashauliana na wanaosabotage your agenda,you must think about what you promised ,now you're agenda are being divided to Genz utafanyia wakenya KAZI lini, remember Tyme waits no man
@larisabaranga914
@larisabaranga914 Месяц назад
Atuende kukubali hizi uwongo zake we are not please he is fooling us lie's tusikubali uwongo tena we are Gen Z ✊ tafuta ukora ingine wewe mzeee
@swts4k
@swts4k Месяц назад
Uongoooo. Ametenga wakati wa kuwasikiliza?
@user-jy7ne3iw7y
@user-jy7ne3iw7y Месяц назад
My president
@martinzmusyoki9224
@martinzmusyoki9224 Месяц назад
io conversation ajiwekee Buda boss unataka conversation ndio utuweke box tunakujua ww
@walenisi9278
@walenisi9278 Месяц назад
Akwendeeeee
@jacklinezombo5806
@jacklinezombo5806 Месяц назад
pole sana umechelewa
Далее
Raila aelezea Rais Ruto alivyotaka msaada kwake
3:29
DAY BREAK | DP Gachagua impeachment fears
33:46
Просмотров 12 тыс.
Наташа Кампуш. 3096 дней в плену.
00:58
[FULL BULLETIN] Monday Report 5th August
45:27
Просмотров 4,5 тыс.
Mwanawe Mwanasheria mkuu Justin Muturi atekwa nyara
2:52
Наташа Кампуш. 3096 дней в плену.
00:58