Dodoma ipoh salama kwa sasa ofisa kutoka field force kuwa arapisii safi sana hawa huwa hawana mazoea na Longoria longo katika utendaji asijisahau tu akawa sio wa command tena na kuhamia siasa
Polis ya tanzania haina msaada wa kusaidia raiya wanaweza kumchukua mtuhumiwa waka kwambia uchunguzi unafanyika mwasho wa siku mnamuona mtuhumiwa yuko uraiyani n bora kama mmemkamata mtuhumiwa muuweni hukohuko kuliko kumwacha tanzania uhalifu ni mwingi sana kwa sababu ya hiyo uchunguzi wezi nao ni wengi sana
Acheni kumsema sana afande jamani ,yeye katokea Karatu . Nafikiria mmenielewa sana Kule wanajihamini na amesoma ndiyo maana kafika hapo. Wewe unaemsema una cheo gani
Jeshi la police sasa hivi hata muongee nini hatuna imani na nyinyi taarifa zenu ni za uongo mnatetea wahalifu ile ya yule binti mpk leo mnazungusha zungusha tu narudia tena hatuna imani na jeshi la police ni wauwaji
Mimi siwaelewi polisi wa CCM. Hata mmoja ni wacheche sana polisi ni waadalifu. Kwani mbona nanyi mnatesa watu ovyo? Mliyoyafanya jana Mungu anaruhusu? Achani tunawajua na mccm tena maccm wabaya kama mabwana wenu
Tuombe toba kwa hao police tena mtapigaje ? Mtu mchana na hakuwa na silaha yoyote hao waumini wote wa roman waliohusika na mauaji wa mandojo wote watiwe ndani pamoja na mlinzi shaidi , mlinzi asitudangaje anajua kila kitu! Kweli dunia kwisha mtu anauwa kanisan sehemu ya toba kweri bado mnasema hilo ni kanisa kweri tena hilo likanisa lifungwe la michongo duuuu! Spati jibu kamili
Polisi pia imechangia. Kwa nini haikumpeleka hospitali mpaka mdogo wake alipomkuta huko na kuomba wampeleke hospitali? Pengine angepona Ila mtu anapigwaje kanisani? Hao wakristo gani? Mmelisulubisha jina la Yesu. Mahali salama mtu anapigwa hadi kufa!!!