Mkoa wa Singida unatarajia kuwa mwenyeji wa maonyeshoya 7 ya mifuko ya programu za uwezeshaji wananchi kiuchumi yatakyofanyika kwa siku 7 mfululizo kuanzia tarehe 8 mpaka tarehe 14 mwezi huu
Akizungumzana waandishiwahabari ofisinikwake mkuu wamkoawasingida Halima Dendegoamesemalicha ya maonyesho hayo kufanyikasingida kwa pamoja watashirikiana na mikoa ya Dodoma, Manyara, Shinyanga, Tabora pamoja Dar es salam
Aidha amewataka wakazi wa singida kujitokeza kwawingi katika maonyesho hayo yatakayofanyika viwanja vya bombadia ili kujifunza na kujua program hizo zinafanyaje kazi na mwananchi anafaidika vipi na program hizo ili kukuza uchumia wa mtu mmoja mmoja na uchumi wa mkoa
18 сен 2024