Тёмный

RC MAKONDA AOMBA RADHI NA KUWASIMAMISHA KAZI WATENDAJI WA SERIKALI NA KUWAKAMATISHA KWA TAKUKURU 

Adil TV
Подписаться 185 тыс.
Просмотров 41 тыс.
50% 1

#AdilTV

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 60   
@djgravityreu_for4906
@djgravityreu_for4906 2 месяца назад
Aliyemwona mhindi ameshika kichwa kwa huzuni kubwa nadhani haamini kinachoendelea! agonge like za kutosha!
@bashirbaruan3969
@bashirbaruan3969 2 месяца назад
Good job makonda mungu akupe afya njema umri mrefu
@fatumasaidimmependezamjeng8994
@fatumasaidimmependezamjeng8994 2 месяца назад
Don't use fake information you undermine your channel
@Supershopdubai-ck8td
@Supershopdubai-ck8td 2 месяца назад
Good job mzebaba from 🇧🇮🙏🔥🔥 tunakupenda san
@user-gy6xz5xh3f
@user-gy6xz5xh3f Месяц назад
Asante Sana Mama Samia Umejua Kuweka Mtu Wa Maana Kma Huyu Ndugu Makonda MUNGU Amlinde Kwani Msema Ukweli Hapenwi MUNGU Mlinde Yy Na Wowote Ule Anae Tetea Haki Za Walio Dhulumiwa
@axdomician4785
@axdomician4785 2 месяца назад
Kazi nzuri sana Blaza Makonda
@KafumuBoniphace
@KafumuBoniphace Месяц назад
Hakika makonda ni kiongozi mzuri. Mungu ampe afya njema.
@AminielMbise-cl3fq
@AminielMbise-cl3fq 2 месяца назад
Makonda hakika unafaa sana. Mtu anayetetea wanadamu wengine ni mtumishi wa Mungu
@user-tg8tq1pz1u
@user-tg8tq1pz1u 2 месяца назад
Brother unajua kazi yako vilivyo Wapambanie waTanzania , sisi tupo nyuma yako Mh @Makonda
@user-jh6jf2vr4o
@user-jh6jf2vr4o Месяц назад
Good bro makonda,
@mlumendoigonza6398
@mlumendoigonza6398 2 месяца назад
Well done makonda
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 2 месяца назад
Hapo kiongozi uwe makini sanaa kwani wala rushwa upo nao hapo hapo wamechuna tu ni miyoka furani
@mohddelo
@mohddelo 2 месяца назад
Wanyooshe wapige spana
@zefamange7281
@zefamange7281 2 месяца назад
HIVI VIONGOZ WENGINE WANAONA KAZ YA MAKONDA AU WANAPITA TUU
@TitoNgomuo
@TitoNgomuo 2 месяца назад
Imagine
@taseleli9181
@taseleli9181 2 месяца назад
Wanapita tu hawana time na shida za wananchi , mwenyezi Mungu aendelee kumlinda huyu Makonda
@laylayl5166
@laylayl5166 2 месяца назад
Viongozi wachafu hawampendi kuona wasafi.wanaona
@ThomasErro
@ThomasErro 2 месяца назад
Mungu akulinde sana ww makondo
@laylayl5166
@laylayl5166 2 месяца назад
Amiin
@samirsamson3996
@samirsamson3996 2 месяца назад
Viva Makonda Viva ww ni mtu na nusu
@Kelvin-sd9gb
@Kelvin-sd9gb 2 месяца назад
Brother unahekima sana
@mussaissa6796
@mussaissa6796 2 месяца назад
MAGUFULI ANAONEKANA KATIKA MANENO NA MATENDO YA MAKONDA WAZI WAZI.
@user-zo5sx5ko5s
@user-zo5sx5ko5s 2 месяца назад
Sema makondo hameokoka yeye sasaivi Kawa muamasishaji mungu ham baliki
@isaacndimangwa6791
@isaacndimangwa6791 2 месяца назад
Hi kazi sio ndogo, Mungu akuongezee ulinzi muhishimiwa Paul
@ABDALLAHKASSIMKILOLA-yc6ds
@ABDALLAHKASSIMKILOLA-yc6ds 2 месяца назад
Yaani Makonda akitoka mama njoo wewe au ikishindikana njoo mkoa wetu Morogoro, maana ulanga tunapata shida sana mzee mwanakijiji hana haki ya kulima uko mashambani mzee nakuombea cheo kipya kiwe cha taifa
@user-zl2mf8on2o
@user-zl2mf8on2o 2 месяца назад
Morogoro ni mkoa mzima ni shida
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 2 месяца назад
Piga spana Makonda hao wote wafungwe tu wananuka rushwa hao kila siku mambo yale yale tamaa za maisha ya dunia mafupi wananchi wanapata tabu tu kwa upuuzi wa wachache ...China wananyongwa hao wote ndio maana wachina wamepiga hatua
@JosephaNdomba
@JosephaNdomba 2 месяца назад
Mpaka wanyoooke
@TitoNgomuo
@TitoNgomuo 2 месяца назад
Uongozi bora ni huu jamani
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 2 месяца назад
Siyo KUNENGE ANASHIRIKIANA NA WATENDAJU WA VUJIJI KUUZA MASHAMBA PORI.BAADAE.WANAVUNJIWA .HATUONI AKIWACHUJUKIQNHATIQNHAOMMAAFISA.WATENDAJI.NAN WENYE VITI .WA VUJIJI
@yahayampangilwa
@yahayampangilwa 2 месяца назад
Tunahitaji maombi makubwa sana kwenye hii nchi.
@abelchacha5977
@abelchacha5977 2 месяца назад
Huo ndo wizi uliopo. Watu hawana imani na control namba. Wizi woteunaanzia kwenye mifumo.
@alawi6796
@alawi6796 2 месяца назад
Hafai hyo znatosha hzo alizo zpata mwez mkubwa hyo mzee
@user-wk8yl6jp9i
@user-wk8yl6jp9i 2 месяца назад
Kwa nini? Mtu apatikane na kosa la wazi wazi na bado uchunguzi ufanyike? Alafu hii dhamana ya polisi inakuwa vipi? Kwa nini dhamana isitolewe Mahakamani tu
@jaydenbedas5729
@jaydenbedas5729 2 месяца назад
Mkurugenzi anapete za Dr sule
@subirajohn728
@subirajohn728 2 месяца назад
😁😁😁😁😁😁😁😁
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 2 месяца назад
Wewe ndiyo Rais wa Mkoa ni lazima wafuate maelekezo yako inaonekana uyo jamaa alikuwa anafanya atakavyo apo Mkoani muajibishe ajuwi kuwa ni majira mapya
@alawi6796
@alawi6796 2 месяца назад
Ni mkuu wa mkoa ww tu ndy unaye fanya kza wengn wote uwozo mtupu hko Tanga ndy kumeoza kabsa
@mp.MwaithesonScania11
@mp.MwaithesonScania11 2 месяца назад
Let's pray 4 him, Amen
@nassorntandu4513
@nassorntandu4513 2 месяца назад
Mwandishi unashindwa kwenda na muda! Hizi habari za mwezi umepita! Mangapi yanaendelea huyaoni
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 2 месяца назад
Huyo mkurugenzi aombe uhamisho
@heaven.love.foundation
@heaven.love.foundation 2 месяца назад
unataka hili tatizo lihamishiwe wapi?
@Ernestlaiza
@Ernestlaiza 2 месяца назад
​@@heaven.love.foundation😂
@GwakisaMwaisanga-th7uz
@GwakisaMwaisanga-th7uz 2 месяца назад
Labda ahamie nyumban kwenu
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 месяца назад
Sasa unataka huu mzigo uende Halmashauri ipi.
@JosephaNdomba
@JosephaNdomba 2 месяца назад
Pambana mkuu
@EmanuelIsack-gb5jy
@EmanuelIsack-gb5jy 2 месяца назад
Makonda ww ni hatali had mazungu wanavua miwani na kusikiliza kwa makin ww ni hatar 😂😂😂😂
@JosephaNdomba
@JosephaNdomba 2 месяца назад
Fagiafagia nchi nzima
@user-jc8vt7ct9t
@user-jc8vt7ct9t 2 месяца назад
Makonda ungewa mkoa wa pwani Ingependeza mno na sijui kwa nn hawaleti watu kama nyie!!!
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 2 месяца назад
KUNENGE AINDOLEWE MKOA WA.PWANI NI MKUU WA.MATAPERU WA.MASHAMBA PORI
@mataypanga5262
@mataypanga5262 2 месяца назад
Swala la rushwa halivumiliki siyo maneno ya kufurahisha watanzania,bunge lipitishe sheria ya kukabiliana na rushwa .Siyo wanafunga wezi wa kuku na kumuacha rais wa nchi au mkuu wa mkoa
@ayubumoha6313
@ayubumoha6313 2 месяца назад
Mtu chum kwele kweli
@Kelvin-sd9gb
@Kelvin-sd9gb 2 месяца назад
🎤🎤
@user-ru1yk6tc7w
@user-ru1yk6tc7w 2 месяца назад
Mkurugenzi mwizi
@daudikirua42
@daudikirua42 2 месяца назад
Mtu wa maana kwelikweli
@VeronicaMsenga
@VeronicaMsenga 2 месяца назад
Mkurugenzi akapumzike tu
@sulabdul6007
@sulabdul6007 2 месяца назад
Huyu form 0 Sii ndio Yule alokuwa Dar akifanya ujambazi?
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 2 месяца назад
Ameacha ujambazi ameamuwa kuwa mtu mwema ndiyo maana anajuwa maovu yote
@Essa1554
@Essa1554 2 месяца назад
Pambana muheshimiwa, madudu mengi yanahitaji kusafishwa nchi nzima
Далее
Only I get to bully my sister 😤
00:27
Просмотров 21 млн
I Built a WATERPARK In My House!
26:28
Просмотров 15 млн
Cute kitty gadgets 💛
00:24
Просмотров 12 млн
KUMBE NDACHA NI KIFUU TUNDU
23:26
Просмотров 666