Asante Sana Mama Samia Umejua Kuweka Mtu Wa Maana Kma Huyu Ndugu Makonda MUNGU Amlinde Kwani Msema Ukweli Hapenwi MUNGU Mlinde Yy Na Wowote Ule Anae Tetea Haki Za Walio Dhulumiwa
Yaani Makonda akitoka mama njoo wewe au ikishindikana njoo mkoa wetu Morogoro, maana ulanga tunapata shida sana mzee mwanakijiji hana haki ya kulima uko mashambani mzee nakuombea cheo kipya kiwe cha taifa
Piga spana Makonda hao wote wafungwe tu wananuka rushwa hao kila siku mambo yale yale tamaa za maisha ya dunia mafupi wananchi wanapata tabu tu kwa upuuzi wa wachache ...China wananyongwa hao wote ndio maana wachina wamepiga hatua
Siyo KUNENGE ANASHIRIKIANA NA WATENDAJU WA VUJIJI KUUZA MASHAMBA PORI.BAADAE.WANAVUNJIWA .HATUONI AKIWACHUJUKIQNHATIQNHAOMMAAFISA.WATENDAJI.NAN WENYE VITI .WA VUJIJI
Kwa nini? Mtu apatikane na kosa la wazi wazi na bado uchunguzi ufanyike? Alafu hii dhamana ya polisi inakuwa vipi? Kwa nini dhamana isitolewe Mahakamani tu
Wewe ndiyo Rais wa Mkoa ni lazima wafuate maelekezo yako inaonekana uyo jamaa alikuwa anafanya atakavyo apo Mkoani muajibishe ajuwi kuwa ni majira mapya
Swala la rushwa halivumiliki siyo maneno ya kufurahisha watanzania,bunge lipitishe sheria ya kukabiliana na rushwa .Siyo wanafunga wezi wa kuku na kumuacha rais wa nchi au mkuu wa mkoa