Тёмный

RECAP: HARMONIZE alifanya show MBAYA, MAKOSA aliyoyafanya JUKWANII, RAYVANNY, MARIOO & DJ ALLYB noma 

Bongo5
Подписаться 1,2 млн
Просмотров 7 тыс.
50% 1

Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny

Опубликовано:

 

8 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 61   
@user-jd6vr9xw1o
@user-jd6vr9xw1o Месяц назад
Broo umeongea point kabisa ,show ya yanga Harmo alizingia sana
@mtazycomedy
@mtazycomedy Месяц назад
Anatakiwa kuhifunza vingi😂kwa mondi bado bangi
@ramayonline2281
@ramayonline2281 Месяц назад
Facts mzee ndy maana ata dada Mwijaku amemwamby ukwel 😂😂😂😂😂😂
@Johnkadjele-pz9xm
@Johnkadjele-pz9xm Месяц назад
Bro wewe ni mkweli sana nakukubali sana
@HazardHbcomEmmanuelprodduseign
@HazardHbcomEmmanuelprodduseign Месяц назад
Courage pour les informations nécessaires essayer de lui faire comprendre Harmonize cette année pas des bonne chose dans son sanat,🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc Месяц назад
Weeeeee nilikua nakungoja
@JLMEDIA-35
@JLMEDIA-35 Месяц назад
bro leo umeongea sana
@imanuelnguya9277
@imanuelnguya9277 Месяц назад
Asante sana mchambuzi wa mziki
@user-xr4dp1cs5b
@user-xr4dp1cs5b Месяц назад
Kondeeeeee😂😂😂 Ana mdomo sanaaaaaa huyo dogoooo
@HalimaNamangupa
@HalimaNamangupa Месяц назад
Daaaah😢😢
@user-tt9bp2id5p
@user-tt9bp2id5p Месяц назад
Sasa we julize kwenye show ya yanga kavaa nguo za ccm😂😂😂😂 zina pcha ya samia😂😂😂
@sadikilumumba1370
@sadikilumumba1370 Месяц назад
Mondi akifanya usemaga kahuwa kukosowa danganya hivo vitoto vya 2000😂😂😂😂😂😂
@AaronLamsy-cy3gr
@AaronLamsy-cy3gr Месяц назад
wew nikuma
@SusannaTaji-os8jh
@SusannaTaji-os8jh Месяц назад
Huyu ako hivyo wanao mtumia waongeze dau manake anafanya kazi kubwa kushinda mwijaku na babalevo.
@MuddyKazuba-en4mz
@MuddyKazuba-en4mz Месяц назад
Ifike mahala wasani wajifunze kwa diamond bila ivo taifa linaenda kupoteza vipaji vingi
@BabeRymz
@BabeRymz Месяц назад
Kweli bro hongera 🎉🎉🎉
@abdimakame7929
@abdimakame7929 Месяц назад
Show ni mbovu uyoo kaishiwa😃😃
@FranklinChaula
@FranklinChaula Месяц назад
✌️
@FredrickSamson-kh4hz
@FredrickSamson-kh4hz Месяц назад
Harmo jau
@happysanga6846
@happysanga6846 Месяц назад
Yako yamekaaje achana na harmo ndo kwaanzaaa tunampenda harmooo
@vanemmy6043
@vanemmy6043 Месяц назад
wasio penda kuambiwa ukweli😅😅😅
@mbulajm1877
@mbulajm1877 Месяц назад
Bangi nyingi Ka overdose . 😂😂😂
@benjagaspar5304
@benjagaspar5304 Месяц назад
Dah bro umeongea point sana mwanzo alianza kusema wasanii wengne ni mashabk tu ila yy nimwana chama wa yanga
@IssaTayari
@IssaTayari Месяц назад
Siusemetu halijui
@robertkisasa1346
@robertkisasa1346 Месяц назад
Menja wap amepia sana hapo hapana
@sadikilumumba1370
@sadikilumumba1370 Месяц назад
Tatizo watangazaji wa media tanzania 🇹🇿 hutaka msanihi afanye unavo taka ihiiiiiii mmmmm. Wewe sasa hivi ni WCB 😮😮😮😮😮😮😮😮😂😂😂😂😂
@MagomaPato
@MagomaPato Месяц назад
CCM na Samia wametetemeka kwa nguvu ya uchawi wa Harmonize kuweza kupunguza nguvu za video views za Diamond youtube...Mzee Popo❌❌❌❌❌🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@collinndabi1914
@collinndabi1914 Месяц назад
Mzee small 😂😂😂😂
@abdulmsuya8542
@abdulmsuya8542 Месяц назад
😢 sio utoto,# bangi na pombe noma😢
@SusannaTaji-os8jh
@SusannaTaji-os8jh Месяц назад
Kama uko na watu wanao ku support ukiongea hivyo waambie waongeze dau manake unafanya kazi kubwa kushinda mwijaku na babalevo🙌
@MagrethEvaresth-dd1lb
@MagrethEvaresth-dd1lb Месяц назад
Ukumbuke ukimwongelea kwa mabaya aumeme kwakenifaida kwaiyo aimshutui ndokwaza tunampenda kuliko jana
@jerlasKambale-kx5yf
@jerlasKambale-kx5yf Месяц назад
cv
@petropastory8254
@petropastory8254 Месяц назад
Anajikuta kontawa wakati mwenzake hana time nae mond hana wasiwasi kwenye performance
@mtazycomedy
@mtazycomedy Месяц назад
Tayar alikua kashatoka on mood
@MusaKomba-h5o
@MusaKomba-h5o Месяц назад
Na wamakonde kwa sifa hatar
@harmo_ke5845
@harmo_ke5845 Месяц назад
Acha ushamba ww wangetaka kupewa maneno ya heshima wangeenda church
@paizinhosaide-cv9pm
@paizinhosaide-cv9pm Месяц назад
Nchomari ni uchamba😂😂😂😂
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq Месяц назад
Ni pombe hizo sio yy mizigo ww huezi taja kama huna bangi kichwani 😂😂😂
@SaidKawanga-fy2my
@SaidKawanga-fy2my Месяц назад
Unaogea sana ukweli kaka nakkubali gonga like kama umekubalian nae
@sadikilumumba1370
@sadikilumumba1370 Месяц назад
Kurudia wimbo siyo kosa. Umeshasema hajalipwa umejuwaaje hacha hujinga mwana.
@MagrethEvaresth-dd1lb
@MagrethEvaresth-dd1lb Месяц назад
Umetumwa
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq Месяц назад
Labda alikua na pombe nyingi kichwani sio vitu vingi kichwani 😂😂😂😂
@user-ct5yt9zp1u
@user-ct5yt9zp1u Месяц назад
Wee mnafki tu ata useme aj fala
@aliadremanengolilo6378
@aliadremanengolilo6378 Месяц назад
Sisi tunajuwa km ww ulitaka apigesho mondi acha umama ww
@michaeljuma254
@michaeljuma254 Месяц назад
Kilichomponza harmonize Jana ni alitaka aonyeshe ukubwa wake kumzidi diamond platnumz wakati ukubwa wake Kwa diamond platnumz hata nusu hafikii, kikamponza akapanic akaanza kuweweseka
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in Месяц назад
Makelele tu na mabuti yake😂😂😂utoto mwingi elimu ndogo masifa kibao...Moshi pumz ilikata akaanza huhema kama anataka kufa
@user-hm3qm2nf1v
@user-hm3qm2nf1v Месяц назад
Na zile mbio za huku na huku jeee😅😅😅😅😅😅 apunguze moshi
@jerlasKambale-kx5yf
@jerlasKambale-kx5yf Месяц назад
Ch
@SusannaTaji-os8jh
@SusannaTaji-os8jh Месяц назад
Weee nawe kila siku hamonise harmonise hadi tushajiongeza kwa sasa 🥺.....sawa hakufanya show nzuri but hakuna siku ushawahi msifia hata single again ulisema ni mbaya ilipopenya ukaanza oooooh sijui hatawahi toa heat kama single again .......jua tu tushakuzoa wee endelea kujipiga kifua eti fact zaa nyoko!!!!!!!!
@SusannaTaji-os8jh
@SusannaTaji-os8jh Месяц назад
Unaongea kwa hisia mtu atafikiria unamtamania mema kumbe hiyo negative part ndiyo ulikuwa ukiisubiri kwa hamu upate content tushakuona sana usifikirie ukiongea huwa hatujiongezi hadi tushaunda group kwa ajili yako huwezi tudhalilisha kwa faida zako mwenyewe
@IBRAHIMMWITA-id2jf
@IBRAHIMMWITA-id2jf Месяц назад
Wasurpot wasanii sio kuwabonda kishenzi, Hata wewe mwana ripoter acha ujinga, Wewe ungeweza,
@bachiramisse2744
@bachiramisse2744 Месяц назад
Unapoongeya kuhusu harmz, unapenda sana kuyaongea mabayake Kwa muda wa muisho WA stori yako ili yakumbukwe sana. Kifupi wewe unauwa kipaji cha harmz sasa hauna siku unae yaongea mesma tupu ya harmz Bila kuyataja na mabaya yake. Ila kaa ulikua kama mista pimbi aliaza kama wewe na yeye aliishia tu kupigua je wewe utaishia wapi, pili jua kama yule ni binadamo nae anaumiya na ameazambali kuipambania hadi kufika pale, ila wewe Leo unaongea mengi mabaya ukiwa unaoshusa samani yake kila siku. Usipende tu pesa kwako, penda na tua wako kuna maisha baada ya kazi
@shabanihamisi115
@shabanihamisi115 Месяц назад
Huna unchokijua
@giztony2009
@giztony2009 Месяц назад
Pumbavuu sasa mtu anaingia stejini anataja mara kajala, mara kuna mademu wengi yanga, mara wasani wote ni wapenzi yy ni mwanachama wa yanga kwa kifupi huyo jamaaa ni mvuta bangi
@IBRAHIMMWITA-id2jf
@IBRAHIMMWITA-id2jf Месяц назад
Msiwe mnaongea utumbo, Mnafikiri kufanya kazi ya mtu ni RAHISI hivo, Na sio kila siku utafanya vyema, Acha kuwapoteza wasanii wenu, hili ndo tatizo la wabongo, Mnashindwa kuwapongeza wasanii wenu WAENDE, Kimataifa, Yani kuwabonda ndo mnajua tu, Ndo maana huwezi kazi anayo ifanya mwenzio unazani utaweza , Acheni unafiki na ugomvi,
@sadikilumumba1370
@sadikilumumba1370 Месяц назад
Mbona mondi hukosowaji mondi hivo? Unamchukia bwana mondi kila siku wana fanya mangapi na zuchu husemi? Wewe kwa sasa nichawa siyo media tena tumesha jua hupande wako 😂😂😂😂😂😂
@kizdady2544
@kizdady2544 Месяц назад
Akili yako ndo imekufikisha hapo sio 😅😂
@ramayonline2281
@ramayonline2281 Месяц назад
Huo n uzeze 😂😂😂😂😂
@SusannaTaji-os8jh
@SusannaTaji-os8jh Месяц назад
Kwani ni Siri hajawahi makosa mondi alaaah!!!!!!​@@kizdady2544
@SusannaTaji-os8jh
@SusannaTaji-os8jh Месяц назад
Huyu tunamwangalia na jicho la tatu asifikirie watu ni wajinga
@MagrethEvaresth-dd1lb
@MagrethEvaresth-dd1lb Месяц назад
Fwata yako
Далее