Тёмный

RICARDO MOMO ATOA ZA NDANI CHAMA, DUBE WAMESAINI YANGA, APANGA KIKOSI MSIMU UJAO,CHAMA,DUBE,AZIZ KI 

SPOGA ONLINE
Подписаться 140 тыс.
Просмотров 45 тыс.
50% 1

RICARDO MOMO ATOA ZA NDANI CHAMA, DUBE WAMESAINI YANGA, APANGA KIKOSI MSIMU UJAO,CHAMA,DUBE,AZIZ KI

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 37   
@OS-pf6op
@OS-pf6op 3 месяца назад
Yes, nafasi ya Aucho inahitaji 'back up'..👍🏿
@josephnyatugara6422
@josephnyatugara6422 3 месяца назад
Kiungo tungekomaa na bajana ingekua poa sana
@ShabaniJuma-n7f
@ShabaniJuma-n7f 3 месяца назад
Yanga Uwezo tunao na Fainal Tungecheza, ila Akiongezeka Chama Fainali naiona tu labla watufanyie figisu kama msimu uliopita
@JosefuMulima
@JosefuMulima 3 месяца назад
Nikwrl yanga iwe na chama
@bakarikombo6882
@bakarikombo6882 3 месяца назад
Aliye sema momo hajui ni mpuuzi tu
@JoshuaBenson-h3o
@JoshuaBenson-h3o 3 месяца назад
😮wachezaj wangap? Waliosajiliwa yanga SC?
@HassanNgota-b5o
@HassanNgota-b5o 3 месяца назад
Yanga watafute mtu wa kukaba ili msaidie aucho,chama wann,pacome yupo zaidi yauyo,max,kii wapo saa izi chama na faridi,faridi zaidi uyo chama wann
@nelsonmungereza1458
@nelsonmungereza1458 3 месяца назад
Sahihi, viongozi wanazingua mno aisee, wasilete chama, watafute mtu sahihi wa kucheza kumsaidia aucho
@babaabro8847
@babaabro8847 3 месяца назад
Momo nimekuelewa kama na viongoz wamekusikia tutatoboa kimataifa
@LinusKyando
@LinusKyando 3 месяца назад
KIUNGO NI CHAMA
@mohamedikassimu7016
@mohamedikassimu7016 3 месяца назад
Uko vizur kaka. Akili kubwa
@errydeo8865
@errydeo8865 3 месяца назад
Akili gani!? Kama umamuona huyu ana akili,BASI HUNA AKILI! KAONGEA UPUUZI MTUPU!
@Ameir-t4k
@Ameir-t4k 3 месяца назад
Huyu jamaa mpira anaujuwa
@errydeo8865
@errydeo8865 3 месяца назад
Wewe! Yanga hata bila hao injuries,tulikua na uwezo wa kuingia NUSU FAINALI! Kama ISNGEKUA figisu! Kwani Mamelodi walitufunga?! WAT R U TALKING ABOUT!? YANGA KIKOSI KILIKUA KIPANA! HAO WALIPOUMIA HATUKUCHUKUA UBINGWA NA 3 games in hand? Wachambuzi wa aina gani nyie? Kauzeni karanga au anzisheni saloon! You kno nothing abt footie bro!
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 3 месяца назад
Kweli wachambuzi hao Vichwa vyao havina tofauti na mayayi Viza Mchambuzi kweli Mwanduke peke yake tu Hawa Wengine ni chapli chapli
@errydeo8865
@errydeo8865 3 месяца назад
Spoti on ! Wachambuzi mafala matupu ! Mzee wa data PEKE.YAKE NDO NAMUHESHIMU! NUMBERS DONT LIE!
@jonathansirkintungi7434
@jonathansirkintungi7434 3 месяца назад
Ukiona mtu anatukana badala ya kujibu hoja ujue yy ndiye akili hana. Mwenye akili anajibu hoja.
@nasoromsaga6911
@nasoromsaga6911 3 месяца назад
Yan hata mm nimemuelewa. Mchambuz yuko saw tujitahid kukata kadi2 mambo yatakuwa pw
@Ameir-t4k
@Ameir-t4k 3 месяца назад
Yaani jamaa shida yake kuongea tu ukimi wake kama una mashaka mashaka lakini ni mchambuzi mzuri sana anajuwa boli.
@JumaJuma-g5e
@JumaJuma-g5e 3 месяца назад
Momo. Huna. Ujuwalo. Kenge. Mkubwa
@MoseGerson
@MoseGerson 3 месяца назад
Hahaha 😂
@JumaJuma-g5e
@JumaJuma-g5e 3 месяца назад
Haikuhusu. Kuuliza. Ivo
@SalmaOthman-v5v
@SalmaOthman-v5v 3 месяца назад
Za ndaaaaaaanikabisa wewe unakitu ila2
@Ameir-t4k
@Ameir-t4k 3 месяца назад
Ulimi sio ukimi sorry
@DrjosephKingo
@DrjosephKingo 3 месяца назад
Mbona unajilambalamba midomo wewe kijana????
@jonathansirkintungi7434
@jonathansirkintungi7434 3 месяца назад
Wewe momo ni mla mihogo ulisoma wapi au wewe ni comedy?. Simba ni ya 5 afrika yanga ni ya ngapi? Kwenye afcon Senegal wameondolewa na timu ndogo ina maana walikuwa na wachezaji wabovu?. Shule yako ni ndogo sana. Tofauti ya simba na yanga ni upambanaji . Wachezaji wa simba pamoja na ubora wao walikosa usimamizi walicheza kifadha hawakujua mpira umebadilika. Wanchezaji wa yanga ni wa kawaida ila wamecheza kwa jihadi pamoja na hujuma zingine ambazo kina try again walishindwa kudhibiti zikawa zinawapa ushindi yanga. Try again si mtu sahihi kuongoza simba. Mabadiliko ya simba yatawarudisha kwenye mstari. Ninyi kina mo acheni ushabiki wa kijinga mwambieni msomali aache figisu acheze mpira tuone kama atamshinda simba au azamu kama kutakuwa na fair play.
@HassaniselemanPwicha
@HassaniselemanPwicha 3 месяца назад
Huna akili wewe!
@jonathansirkintungi7434
@jonathansirkintungi7434 3 месяца назад
@@HassaniselemanPwicha ukiona mtu anatukana badala ya kujibu hoja ujue yy ndiye hana akili. Hatuwezi kutembea na waimba mapambio hawajui kitu ni kufuata yanayosemwa na watu wengine.
Далее
Как улучшить шоколадку Милка?
00:35
다리찢기 고인물⁉️😱 Leg Splits Challenge
00:37
Как улучшить шоколадку Милка?
00:35