"labda maneno yangu wataelewa siku nikifa mi ni mfalme labda nahitaji queen strong ka latifa... machozi mashavuni pass a tissue...muda mwingine nachoka natamani ku run away natambua hawana mabawa so i gotta...STAY" REST EAZY KING #ZIZI 😭😭😭
Hakuna kitu nilichokuw nikkipenda na kukuangalia san ten san Kama Hilo jino lako lililokatik kipande 😭😭😭pumzik salam #Zilla# weeee Tutakukumbuk Daima 🙏🙏🙏🙏🙏
@@diamondplatnumznewsajm2053 bro, na wewe nenda kimala b, kwa Bishop Paul BENDERA yule ni mwisho kk, mimi yule Bishop ndie alinisaidia acha kuishi kwa mateso na mashariti kibao, kwani hukuumbwa na shetani bali uliumbwa na Mungu, yule mzee atakutenga na free national, tena nendeni na lebo yako yote kk, ucijekuwa kama kanumba, maisha ni mafupi tena yenye laha sn, ila kilio chake bro, ciku ukikata, ndio utaona, nakupenda kaka nasibu ndio maana nimeamua kukuandikia na kukushauli ila ukiona vip potezea, ila one day itaukumbuka hii sms yangu poul Bendera yule ni mtumishi wa Mungu hata mimi kaniepusha bila chenga na jamaaa wakakata kabisa kuni fatilia, nasema hivo bro, kwani nawajua vizul ila kwa yule mtumishi ni moto bro, na wala cio utani na cijawai kukuandikia mahara, nakupenda na ndio maana nimeona ikupendeze kk nasibu
*Kiukweli nilipooiona taarifa ya kifo cha GODZILLA niliumia mnoo jamaa way back nikiwa shule nikizipenda kazi zake za mziki Mungu akuangazie mwanga wa milele ameni*
Niliambiwagwa kuna cku 40 before kufa ya kumjua matendo ya marehemu mtarajiwa yy peke yake ndio anajua ilo na anahic lkn mdm haufunguki anakuwa muoga mpole uso unainama aibu akuangaliii moja kwa moja anakwepesha macho huyu jamaa alipoteza tyr nuru uson
True....Give my roses when I'm still alive, tell me how much you love me now that I'm alive....Don't wait till i die and start saying how much u love me
He was strong man hata hapo anaonekana hakua sawa but alikua anajikaza na kujitahidi kuonyesha furaha daah maisha yetu ya kuishi hapa duniani ni mafupi tupendane rest in peace zilla see you again
Dah huyu jamaa alikuwa na plan kubwa sana juu ya Hip Hop Music... Jamaa alikuwa mcheshi sana yan. Dah #NikkiWaPili yuko too stressed,dah Godzilla.... Jamaa alikuwa anajua sana but walimbania kinoma yan
Timoth Mwakakusyu Aise ni bora Umwambie huyo mdau nazani current situation ndio inamfanya aseme hivo sidhani kama ana uhakika na ushahidi kutoka moyoni kuwa Zila alikua bora kuliko Nikki all in all R. I. P Godzilla umetutoka jembe kwenye tasnia ya Hip Hop na bongo Fleva kiujumla
Yasir Emcee ukweli haufichiki mkuu, maana mi mwnyw nawakubali wote ila niki hayumbishwi na commercial kabaki na msingi wa ueMC kwa muda mrefu mpaka sasa. kama ni marekani basi niki ningemfananisha na nas escoba katika misingi ya kihiphop
Timoth Mwakakusyu na hicho ndio kitu pekee kinachomtofautisha Nikki na wasanii wengine Kwakweli yupo kwenye misingi Sana na katika uandishi kwa sasa ndio sioni kabisa Kwakweli ukiacha kizazi cha wakina Hashim dogo na wakina Saigon kwa sasa bhana Nikki sitokosea nikisema ndio rapper bora wa muda wote kikubwa kwamba Wenda wapo wengi bora rakini Nikki hayumbishwi na mainstream kama plastic Mcz wengine tunaowaona
Walazimisha wenzako kuishi utakavyo .do you know what people go through with their families ndio wafike kutowaongelesha, wachekesha sana if u got two parents walikulea vizuri shukuru n mind ur own biz pambana na hali yako. Sasa chanzo chake kufa ilikuwa baba???
Jane suma wote umaskini uhu jaman na tukizingatia maneno ya wahenga #MASKINI_AUGUI mtu unajituma mpaka dakika ya mwisho r.i.p goden Jacob mbunda mbele yako nyuma yetu. Allahmdulilaih allah atupe mwisho mwema in shaa allah
zizi alikua genius yan nterviews zake hazifany uchoke kisikiliza paw na nikki mbish meanwhile jamaa angekua tv presenter hakuna ambaye angemshinda coz alikua open charming na kingne alikua anakwepa unafiki! r.i.p zz