Тёмный

ENGINEER: "Tumekuta Club Inaishi Manzese, Cost Zote Alikuwa Anabeba Ghalib | SALAMA NA ENGINEER PT 1 

YahStoneTown
Подписаться 395 тыс.
Просмотров 84 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Kama kichwa cha habari kinavyosema, Engineer Hersi ndo chachu ya furaha kwa mashabiki wa moja ya timu kongwe kabisa ya Taifa hili, timu ya wananchi, timu yenye mataji mengi zaidi yaani mabingwa wa ki historia. Nikiwa kama shabiki wa Simba Sports Club basi sina la zaidi la kufanya ila kumpa mtani wangu Hongera ya kuongeza taji jengine kwenye historia yao na pia kumsifu round hii kwa kutuzuia kuchukua ubingwa kwa mara ya tano MFULULIZO.
Engineer Hersi Ally Saidi aliingia pale kwa njia ya mdhamini (GSM) ila baada ya kuonekana kazi nzuri ambayo ameifanya kwa kipindi cha miaka miwili, Yanga sasa inaingia katika mchakato wa kuifanya timu iwe na muekezaji na mchakato huo yeye ndiye ambaye anauongoza. Kama mshabiki wa klabu, suala la GSM kuwa mdhamini mkuu kulileta chachu ya yeye kuweza kuongoza mabadiliko hayo ambayo yataanza hivi karibuni. Na yeye ndiye anatabiriwa kuwa Rais wa klabu yake pendwa baada ya uchaguzi ambao utafanyika mwezi ujao.
Narudia tena, kama shabiki wa SIMBA, mchakato ambao watani wetu wanaenda nao mmoja anaweza kuwa kakaa mbali na kutamani tu yale ambayo yanaendelea na kuomba (kwa nia njema) wenzetu wafanikiwe zaidi ya pale ambapo sisi tulifika kwenye mabadiliko hayo. SIMBA ndo ilikua timu ya kwanza kwenda kwenye mchakato huu ila inaonekana kama kuna sehemu zoezi limekwama na maswali mengi yamekua yakijitokeza na kuulizwa na baadhi ya mashabiki, mashabiki ambao pia wengi wao ni watu wenye vyeo na mamlaka. Tena, yangu matumaini wenzetu wataweza kukamilisha zoezi hili mpaka mwisho ili wengine waweze kujifunza.
Engineer pia ni Engineer, Baba, Kaka, Rafiki na mtu poa sana, mfanya biashara pia kwa upande wake mwengine wa maisha. Ametoka katika familia ambayo ilihakikisha anapata elimu na kuwa mfano bora kwa jamii ambayo inamzunguka. Amekua Baba mzuri kwa watoto wake watatu, Engineer mzuri kwenye kazi yake, moja ya kazi yake ni ile HQ ya GSM pale mtaa wa Samora na kiongozi BORA mbele ya macho ya wana Yanga Afrika.
Niliongea nae pia kuhusu maoni yake kwenye suala la mfupi wa elimu hapa Tanzania na kama huwa anasaidia maoni yake hasa kwenye kitengo cha elimu ya ufundi zaidi ukichukulia yeye ni mmoja wa uzawa wa shule za ufundi.
Yangu matumaini basi uta enjoy na kujifunza jambo kama ilivyo kawaida yetu.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Развлечения

Опубликовано:

 

18 дек 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 85   
@pambanyepesi8949
@pambanyepesi8949 Год назад
Huyu Engeniar ni mungu alimleta. Mungu akubariki endelea Kua mweledi unaweka Alana ambavyo itakumbukwa. Badae utakuja Kua MTU mkuubwa Sana nchi hii nakuombea Kwa mungu
@MRJ1308
@MRJ1308 Год назад
Amen
@everlynkimaro40
@everlynkimaro40 Год назад
This man is very humble, even when you meet him 🙏🙏🙏🙏🙏
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 Год назад
Mimi ni Simba damu, but the guy is good example for young people in Tanzania.
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 Год назад
Huyu tunaweza,kumuongeza ktk watu wenye akili pale uto😊😊😊
@jocelinejohn7294
@jocelinejohn7294 Год назад
Sema nimegundua watu wenye hela wana uongeaj flan hiv hauna makelele 🙌🏻🙌🏻🙌🏻utulivu wa hal ya juu
@shamsally6277
@shamsally6277 8 месяцев назад
Nice interview nimejifunza mengi asa kama shabiki wa yanga sc
@tattoz4677
@tattoz4677 Год назад
Waswahili wanasemaje sio kwa ubaya Kusifia kazi bora inayofanywa na Yanstone town, Great job
@AlexMumoMalonza
@AlexMumoMalonza Год назад
This is my best Show,from Nakuru city Kenya
@beingrosy
@beingrosy Год назад
So calm and Collected, this Man genius aisee, so educated and so professional, Wananchi tunajivunia wewe sana Engineer 🙌🙌🙌
@zakaliajoseph7705
@zakaliajoseph7705 Год назад
Mie mwanasimba lakini namkubali Sana hers yupo kisoka Hana maneneo machafu ya usimba na yanga mungu akupe umri mreefu Kaka unajielewa mnoo
@prospermatovu3334
@prospermatovu3334 Год назад
Tulichelewa wapi kumpata mtu kama huyu big up Eng Heris Mungu akulinde na uwe na maisha matefu. Daima Yanga mbele nyuma mwiko.
@mgallason...5686
@mgallason...5686 Год назад
Tunakwenda vizuri. Yanga has gifted a president from God. #vivayangasc
@panchovalentino3576
@panchovalentino3576 Год назад
Viva Rais engineer Hersi said 💥🔥💚💛💯
@ourmath8725
@ourmath8725 Год назад
5:00 Mwenyezi Mungu atubariki wanaume wote tunaopambania familia zetu tusibaki na madeni kwa watoto wetu nimeipenda sana hii kauli Mzee wa watu Mungu amrehemu sana Amefariki huku akiwa amejitahidi kama Baba... Hadi kusikia mtoto anasema Baba amefariki lakini Hana deni..Hatumdai chochote
@patriciamaganga3891
@patriciamaganga3891 Год назад
Na kina mama pia ❤
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 Год назад
Sasa mlienda lalaliga kufanyaje wakati huo ndio mfumo wa Simba eng ? 49 wanachams 51 mmiliki?
@MRJ1308
@MRJ1308 Год назад
@@ellsonmkonyi1319 bus lenu liko wapi
@chriskiddo1304
@chriskiddo1304 Год назад
this guy is a total genious! a true engineer
@daudhabona8897
@daudhabona8897 Год назад
Huyu ni kijana WA maana sana. Vijana tujifunze kutoka kwake. Yanga Kwa mfumo huu tuko makini na mbali lazima tufike
@abrahammtongole2747
@abrahammtongole2747 Год назад
Big up Eng. Hersi Said. Akili kubwa
@patraychriss5723
@patraychriss5723 Год назад
Business Technical Strategist 💫 naisubiri ya Big Joe
@jodepoultryfarm5212
@jodepoultryfarm5212 Год назад
Wanachama 40,000, kwa club kubwa kama Yanga sio nzuri. We need over 500k members contributing to the club anually
@edinamkubwa2629
@edinamkubwa2629 9 месяцев назад
Fantastic interview!! Tunamuomba Jimmy mafufu dada salamaa
@makamlamuhammed3746
@makamlamuhammed3746 Год назад
Salama sjaionaa interviews na masoud naiptjee nisaidien
@coffeemuya618
@coffeemuya618 Год назад
Salama mlete doctor rick abdalah mchambuz wa soka nampenda sana
@marcelinojunior6340
@marcelinojunior6340 Год назад
I salute you man🙏
@user-pf2cf4hp6w
@user-pf2cf4hp6w 11 месяцев назад
Uyu mbona mstarabuu sanaa
@patriciamaganga3891
@patriciamaganga3891 Год назад
my President, my Club 💛💚🖤🟡🟢⚫️
@user-yo3km7su9x
@user-yo3km7su9x 5 месяцев назад
Jamani nisaidieni Enginia alishawahi kufanya kazi Simba
@farajamtalemwa9336
@farajamtalemwa9336 Год назад
Uyu mtu ana uwezo wa kuliongoza ata taifa 🟢⚫🟡
@abdulraufmohammedsalum6806
@abdulraufmohammedsalum6806 Год назад
Engineer 🙌
@amoscharles241
@amoscharles241 Год назад
Think Tanker.... Engr you are the best
@stephanoedimund7841
@stephanoedimund7841 Год назад
Kazi nzuri
@catenzeki678
@catenzeki678 Год назад
Hongera da Salama kwa kazi nzuri
@onekisstv8412
@onekisstv8412 Год назад
Mzee msomali tumeishi nae mailimbili dodoma
@kassimomar7589
@kassimomar7589 Год назад
Salama jabir anajuwa
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 Год назад
Natafuta jina zuri la kusifu hii "interview" naona kama yanapelea.
@saidadam2165
@saidadam2165 Год назад
From unguja town ningependa sisy umlete mezani feysal salum abdallah fei toto fundi kijana #hometownzanzibar
@najmaahmed3840
@najmaahmed3840 Год назад
Feitoto nani wewe mama mwambie akuite wewe
@saidadam2165
@saidadam2165 Год назад
Fei toto ni mchezaji wa mpira team ya yanga pia kma atanialikaa mezani nitaenda inshaallah
@user-sg9vd7tm8x
@user-sg9vd7tm8x Год назад
Bigup Eng😂
@mgallason...5686
@mgallason...5686 Год назад
Salama waandishi wengi wanapaswa kujifunza kwako the way unauliza maswali.
@dianerditto
@dianerditto Год назад
Simba na yanga zimekutana live, ila hers nimemfahamu sababu ya interview yako na manara alimwita hamnazo😀😀😀
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG Год назад
Japo mimi sio Yanga but jamaa anaeleweka sanaaaa kuna mengi yakujifunza kwake
@dianabanga2625
@dianabanga2625 Год назад
👏👏💚🖤💛
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
🔥
@iammichaellukindo
@iammichaellukindo Год назад
Dope
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 Год назад
Tatizo ni MFUMO.....Hili jitu naliekewa
@hamphreyalfred1156
@hamphreyalfred1156 Год назад
Mambo vipi salama naomba mahojiano yako na mzee zorro
@filamupictures9349
@filamupictures9349 Год назад
Alishamuhoji
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Год назад
Jemedari kasikia bila shaka
@hamphreyalfred1156
@hamphreyalfred1156 Год назад
Basi naomba nisaidie niweze kupata itazama
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 Год назад
Anavyoongea yani hata kama kiziwi utaelewa anamaanisha nini maana anaongea kwa vitendo kweli uyu jamaa ni Engeniar aliye nyooka.
@comics3437
@comics3437 Год назад
MGAA GAA NA UPAWA HALI WALI MKAVU (Yaani ukikaa karibu na mwiko huwezi kula wali bila mchuzi)
@goodluckferdnand9380
@goodluckferdnand9380 Год назад
Maana ya io methali ni ukipitapita pembezoni mwa mwambao wa habari (upwa) huwezi kosa kitowewo cha samaki ikakupelekea kula wali mkavu
@delekalxon7221
@delekalxon7221 Год назад
Engineer anahojiwa na Kolo
@barbarasara4033
@barbarasara4033 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@dokasalim943
@dokasalim943 Год назад
🤣🤣🤣🤣
@tariqmaduga8051
@tariqmaduga8051 Год назад
Mahojiano yangu bora ni Haya na Master J mpaka sasa.
@seyyactor1418
@seyyactor1418 Год назад
1 to comment
@ramadhanbigirimana2617
@ramadhanbigirimana2617 Год назад
Respect Big Boss Hersi nimekuhelewaa
@shilagijisandu3101
@shilagijisandu3101 Год назад
Kaaah, kumbe engineer hersi ,mumetukosea mashabiki kumficha sura Mimi nilifikilia engineer wa mjengo wako
@rehemaabdullah7606
@rehemaabdullah7606 Год назад
😂😂😂😂😂
@burhanngomile6216
@burhanngomile6216 Год назад
Engineer gan mbona anaongea sana unakosa la kuulza
@BasesTunu
@BasesTunu Месяц назад
Rojoooo 😂
@paulsamuel6265
@paulsamuel6265 Год назад
Tuletee Barbara Gonzalez Pia
@suzancharles1639
@suzancharles1639 Год назад
Yeah
@BasesTunu
@BasesTunu Месяц назад
Rojoooo😂
@BasesTunu
@BasesTunu Месяц назад
Unyama
@donnietommie8444
@donnietommie8444 Год назад
#SalamaNaDr.Leaky
@noeljacob9644
@noeljacob9644 Год назад
Engineer👏👏👏
@kissandoto2471
@kissandoto2471 Год назад
Safi sana
@tinomasangia5511
@tinomasangia5511 Год назад
Nice engineer…. Sema the most successful club in the World sio Real Madrid bali ni Al Ahly SC ya Cairo…alafu kuna watu kadhaa alafu ndio Real Madrid.
@kinthermedia6164
@kinthermedia6164 Год назад
Duuuu
@MRJ1308
@MRJ1308 Год назад
@@kinthermedia6164 ni mwongo huyu jamaa Al Ahly ya Cairo ndo iwe most successful in the world
@yudakassim1138
@yudakassim1138 Год назад
Rais wamabingwa
@nasrimohamed7556
@nasrimohamed7556 Год назад
Salama ufanye uolewe sas khaaa
@hitmanhunter9557
@hitmanhunter9557 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@BMT2023
@BMT2023 Год назад
Muoe wewe
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 Год назад
Mimi nataka nitoe posa,hapo
@rehemaabdullah7606
@rehemaabdullah7606 Год назад
Kwan bado hajatolewa? 🙄🤔🤔
@egnokapinga16
@egnokapinga16 Год назад
Kakuambia hajaolewa?
Далее
когда мучает жажда // Eva mash
00:58
Просмотров 331 тыс.
小天使和小丑离家出走#short #angel #clown
00:36
Mkasi | S14E03 with Mohammed Dewji Extended version
35:56