Hongera sana Muhamed kwa kutokuwatupa wadogo zako richa ya kushuhudia mazito kwao lkn ulisimama kwa ujasili,,but sisi tunaamin katika DAMU ya YESU KRISTO inatosha kwa yote,na ni kinga tosha kwetu
Mganga anamambo nyieeee duuuu 😊 ila kuna mganga na mchawii lakini pia kuna matapeli , 😮😮 Nyie kuna wanaojidai kupandisha halafu unakuwa unasikia vishindo vikubwa lakini piaa anakuwa anaongea sauti mbili weee anakwambia wanakuja na vishindo unasikia kumbe alikuwa tapeli mkubwa sasa huyu mtoto kupandisha sidhani anaweza akawa kaweka kitu kwa mtoto kinaongeaaaa 😮😮😮 ila sijuu jama nahuyu ni mganga maaana sio kwa kujisifia hivyo halafu huwezi kwenda kwa mganga ukaanza kuelezea yeye mwenyewe atajua bila kukuulizaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂pole sana mohammed NATAMANI SANA UNGEEENDA KWA MUNGU BAS❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤