Тёмный

ROHO YA UMASIKINI - PASTOR SUNBELLA KYANDO 

Подписаться
Просмотров 76 тыс.
% 885

Roho ya umaskini haikuzuii KUNENA kwa lugha, lakini itahakikisha kwenye eneo la fedha hausogei.
Kilichomfanya huyu mtu atoke kwenye makaburi ni kwa sababu ya uwepo wa Yesu, Ulimuhamisha kutoka sehemu ya mauti aliyokaa muda mrefu.
Kuna watu kwenye ulimwengu wa roho wamehamishwa na kuwekwa kwenye location(maeneo) ambapo wakiwa kwenye hayo maeneo chochote wanachokifanya KINAKUFA.
Shetani ili afanye uharibifu kwako huhakikisha kwanza amekuweka kwenye eneo ambalo anapata access na wewe wakati wowote akihitaji, vilevile huhakikisha wale ambao ni msaada kwako anakutenga nao.Ndio maana kuna aina fulani ya watu kila wakija karibu na wewe ndani yako kunainuka tabia ambazo hata hujui zimetoka wapi..kiburi, hasira iliyopitiliza,majivuno n.k na kipindi watu hawa wakiondoka unarudi katika hali yako ya kawaida.Na watu wengi jambo hili limewatesa sana kwa sababu hawajui chanzo ni nini.
Ukiwa kwenye eneo la namna hiyo kila atakaye kuja kwenye maisha yako ana tatizo kama lako,na ndio maana wewe na rafiki yako wote mnapitia changamoto zinazofanana.
#PastorSunbella#RohoYa#Umasikini

Опубликовано:

 

2 фев 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 106   
@sumathedony8245
@sumathedony8245 2 года назад
Mimi ni mwislam ila nakufatilia sana pastor
@maryphilimon3277
@maryphilimon3277 2 года назад
Karibu Yesu anaweza na wala habagui mkiri tu na umwamini
@apostleeliyaj.milanzi5339
@apostleeliyaj.milanzi5339 2 года назад
Barikiwa Sana Yesu anakupenda sana
@floraahdrea1729
@floraahdrea1729 2 года назад
Nakataa roho ya umaskini kwa jina la Yesu Amen.
@BenitaAli-o8x
@BenitaAli-o8x 24 дня назад
Amen sana 🙌 mimi niliaza kukufatilia leo pastor maumbiri yako naielewa sana na inatia moyo wakusonga mbele.
@dottoanselmo8420
@dottoanselmo8420 2 года назад
Mafundisho yako ni mazuri mtumishi wa mungu na yanagusa Sana maisha yetu.Nataman sku moja nipate mda wa kufika kanisani kwako kujifunza na kupata maombi namuomba mungu ajalie Hilo litimie.
@jacksonsimon4453
@jacksonsimon4453 2 года назад
Mtumishi wa Mungu napenda sana mahubiri yako Mungu akubariki
@baenimuhimafabrice
@baenimuhimafabrice Месяц назад
Nakataa roho za umaskini katika maisha yangu kuanzia sasa ivi katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth minavunja kila kilisho shikilia hata uchumi wangu na kazi yangu katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth minavunja Amen Amen Amen Amen
@user-vc8he3gf4m
@user-vc8he3gf4m 4 месяца назад
Eewee Roho ya umasikini skiaaa mimi na familia yangu kuanzia leoo Sasa ivi ni matajri Tena wakubwa wala syo masikini Tena katka Jina LA YESU KRISTO alie Hai eee MUNGU sikiaa maombi yangu na dua zangu nautoaa mwili na moyo wangu kuwa dhabihu Hai kwako nitumiee vile upendavyo ktka Jina LA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU AMENI
@heavenlight5084
@heavenlight5084 Год назад
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU, napenda sana masomo yako,mimi heaven nachukia sana umasikini,kwetu ni mimi peke yangu nimesoma,na MUNGU akanisaidia nikapata kazi,nikamshukuru MUNGU nitawasomesha wadogo zangu,lakini sasa huku kazini nimekua wa madeni,naweza hesabu laki 3,naweka juu ya meza ofisini kufumba na kufumbua sizioni, ntatafuta hadi kwenye viatu sizipati, nimekua mtumwa wa madeni na mimi ni cashier.
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 7 месяцев назад
Baba naomba niombee mungu aniwezeshe kujenga nyumba hivi nina miaka hamsina tatu naishi kwenye nyumba ya kupanga We mungu nisaidie niondolee riho ya umaskini
@user-lf2bw5wp5r
@user-lf2bw5wp5r 7 месяцев назад
Nimekuelewa sana mtumishi MUNGU akubariki mno, naona kama unayazungumzia maisha yangu hapo yaani MUNGU anisaidie
@mildredwekesa5844
@mildredwekesa5844 2 года назад
Asante sana mtumishi kwa somo ,amen nmepata somo kabisa
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Daddy 😪❣️Una nibariki sana😪😪Ahsante YESU WANGU
@monicahmwalozi
@monicahmwalozi Год назад
😭😭😭😭roho ya umaskini na mapooza hebu achilia familia yangu katika jina la yesu kristo wa nazareth aliye hai 😊
@miriammuller2845
@miriammuller2845 2 года назад
Muchungaji, ubarikiwe Sana, hili Somo limeniguza, naomba uniweke kwa maombi, ili Roho ya umasikini iniondokehe, na nipate location mpya nimeishi miaka mingi sana hapa , sioni nyuma Wala nyuma Mungu anifungulie kupitia kwa maombi yako na nitakushukuru,Amen
@meriajshxx3223
@meriajshxx3223 2 года назад
AMENI na roho ya umaskini initoke katika jina la YESU
@francisshekifu8020
@francisshekifu8020 Год назад
Jina la bw. Yesu lihimidiwe! Ni mfuatiliaji makini wa mafundisho yako! Mungu akubariki.
@winnerjudith2007
@winnerjudith2007 2 года назад
your teachings bless me alot Mungu akupe kibali uje na Mbeya
@abbasouko3143
@abbasouko3143 2 года назад
Amina
@petermunuo1657
@petermunuo1657 2 года назад
Amen mtumishi barikiwa sana
@justingeorge2451
@justingeorge2451 11 месяцев назад
roho ya Umaskini iachie familia yangu katika jina la YESU KRISTO WANAZARETI ALIYE HAI
@gracedamas5883
@gracedamas5883 Год назад
Yan somo hili ndio maisha ninayoyapitia kila nacho kifanya hakifiki mwisho Kiuchumi na maisha Mungu ajizihishe ndan ya maisha yangu
@dorisfabian4776
@dorisfabian4776 Год назад
Naogopa Mimi naogopa niniii ndugu yangu Mungu atusaidie sana
@antybakary953
@antybakary953 23 дня назад
hali inatisha sanaa 😢😢😢
@suzaynalusambo7083
@suzaynalusambo7083 2 года назад
amen mtumish...mungu aniondolee roho ya umaskin kwa jina yesu
@silvatondayizeyendayizeye7874
@silvatondayizeyendayizeye7874 2 года назад
Nawafuata 100%nikiwa Burundi Mubalikiwe sana pasta Sanbella nimesaidiwa sana
@jacintasyombua7512
@jacintasyombua7512 2 года назад
Amen Amen barikiwa sana man of God 🙏🙏
@victorishunga2893
@victorishunga2893 2 года назад
Barikiwa napokea kitu kipya kunamahali ananivusha
@calorinemwoga2638
@calorinemwoga2638 Год назад
Asante nashukuru Kwa mafundisho yako pastor sanbela
@MagdalenaMsoma-us8qv
@MagdalenaMsoma-us8qv 3 месяца назад
Ameen Pastor
@mercynadia3140
@mercynadia3140 2 года назад
Amen and Amen Pastol ,ujumbe unabarikiii sanaa
@breakingnewstz8396
@breakingnewstz8396 5 месяцев назад
Roho ya umaskini niache Mimi na familia yangu kwa Damu ya Yesu na kwa Jina la Yesu
@zachariashurura7226
@zachariashurura7226 2 года назад
Nakuelewa vizuri sana mtumishi , ila Kuna jambo la kufanya hapa....ì
@josephlazaro5406
@josephlazaro5406 Год назад
Mafundisho mazuri sana mtumishi na ni kweli ww ni mwalimu kweli kweli maana mwalimu sahihi lazima afundishe Kwa mafundisho yenye uhai ndani yake
@RizikiKarisa-u7m
@RizikiKarisa-u7m Месяц назад
Be bless pastor
@BizimanaInnocent-gv4kz
@BizimanaInnocent-gv4kz 3 месяца назад
Heee yesu unirehemu, kweli mkono wakuume umefunguliwa ila wa koshoto umefungwa
@paulmwangi294
@paulmwangi294 Год назад
Amen mtumishi wa mungu.
@markmwau8387
@markmwau8387 2 года назад
kama ukoo wetu hakuna mtu hata mmoja aliwahi fanikiwa...kama vile Mungu aishivyo nimekataa kuwa muhathiriwa kwa Jina La Yesu aliye hai
@miriammuller2845
@miriammuller2845 2 года назад
Sioni nyuma Wala mbele
@amosnzumbi-mu6vv
@amosnzumbi-mu6vv Год назад
Nakumbali Sanaa zaidi ya sanaaaa!!!!!!mtumishi
@EmaOliva
@EmaOliva Год назад
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
@oliversebastian3808
@oliversebastian3808 2 года назад
Roho ya umauti unitoke ndani ya kwa jina la Yesu
@jeniphambinda2888
@jeniphambinda2888 2 года назад
Amina Mungu atusaidie Sana.
@agnethahaule508
@agnethahaule508 2 года назад
Pasto mafundisho yanagusa maisha yangu kabisa
@NicholausMtawa
@NicholausMtawa Год назад
Be blessed Kyando
@peteroyando1627
@peteroyando1627 2 года назад
Iam being blessed.
@winnerjudith2007
@winnerjudith2007 2 года назад
pastor karibu sana na Mbeya pia
@victorvicent6036
@victorvicent6036 Год назад
God bless you pastor
@lavendanekesa5404
@lavendanekesa5404 2 года назад
Amen mchungaji😭🙏🏾
@edgerperes5950
@edgerperes5950 2 года назад
Hasee mafundisho mazuri Sana haya
@scolasticakaduma5143
@scolasticakaduma5143 2 года назад
Ubarikiwe Mtumishi.
@juliuskaliunga2879
@juliuskaliunga2879 7 месяцев назад
Nikweli man of God
@El9a
@El9a 5 месяцев назад
Huo mfano wa Mtumishi ambaye anafuatiliwa na roho ya umaskini umenitafakarisha sana 12:50
@shemmunene4675
@shemmunene4675 2 года назад
Amen Amen 🙏🙏
@angelambondelo2836
@angelambondelo2836 Год назад
Nakataa umaskini mim na family yangu natoka kwa jina la yeau
@christinesavai884
@christinesavai884 2 года назад
Amen
@user-uv6nx5mx1l
@user-uv6nx5mx1l 10 месяцев назад
Ee mungu wangu isimamie famiria yangu itoke kwenye umasikin
@malangoyaushindideliveranc969
AMINA mtumishi wa mungu
@FurahaNgatena
@FurahaNgatena 2 месяца назад
Asifiwe yesu mm Huwa sipati kazi nikipata napata za ndani lkni hizo za ndan pia siwezi kudumu zako mwanzoni au baada ya mda Fulani nitapendwa sana ila akiweka Nia ya kunisaidia ataanza kupigwa kiuchumi gafla anaanza kunichukia 😢nikijiajiri sifanikiwi nikikaa kwenye biashara ya mtu hata wale wateja wake wanamuhama pastor I really need help
@angeljoseph4666
@angeljoseph4666 11 месяцев назад
Asante Mungu
@mercynadia3140
@mercynadia3140 2 года назад
Roho ya umaskini initoke in Jesus Name
@hugoncosmasmallya4661
@hugoncosmasmallya4661 2 года назад
Hugoni kutoka tanga... Barikiwa Mtumishi
@rahelyusufu3661
@rahelyusufu3661 2 года назад
Ndio mchungaji nakuelewa sana nipo simiyu naitwa Rachal
@user-uv6nx5mx1l
@user-uv6nx5mx1l 10 месяцев назад
Nakataa rohoya umasikin
@moseschungu4002
@moseschungu4002 2 года назад
nimepend mafundisho yak nataman nije kanisan kwak sik moj kyando mwenzang
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Amen amen amen
@daviddulle8291
@daviddulle8291 10 месяцев назад
Nakataa roho ya umaskini maishan mwanguu
@venanceolomi7858
@venanceolomi7858 2 года назад
Najifunza Sana hakika napata nguvu
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Hallelujah hallelujah
@emmymtambo5974
@emmymtambo5974 5 месяцев назад
Yesu fanya jambo
@silvatondayizeyendayizeye7874
@silvatondayizeyendayizeye7874 2 года назад
Nakata logo ya umasikini katika jina la Yesu
@victoriasezi2469
@victoriasezi2469 Год назад
Amen 🙏🙏🙏
@catherinekiondo955
@catherinekiondo955 4 месяца назад
Pasta naomba uniombee familia yetu tuweze kuolewa na kuowa tufike madhabahuni.
@husnakibwana1859
@husnakibwana1859 2 года назад
Amen 🙏😭
@cutemamy9602
@cutemamy9602 2 года назад
Dah 😪😪Mungu Tusaidie hakikaa
@benignanindi7492
@benignanindi7492 2 года назад
Ameeen Yesu niponye
@yohanamayegi5861
@yohanamayegi5861 2 года назад
Amina
@frankmshana1331
@frankmshana1331 2 года назад
GOD BLESS YOU TEACHERS
@monicampokwa441
@monicampokwa441 2 года назад
Ni kweli mtumishi
@gemakaremela489
@gemakaremela489 2 года назад
Ameen
@veronicaromwald8311
@veronicaromwald8311 Год назад
🙏🙏
@user-vf3ql5og8g
@user-vf3ql5og8g Год назад
🙏🙏🙏
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
🙌
@aminakabuka8700
@aminakabuka8700 Год назад
Sijakata tamaa ila nimechoka sijui nn nifanyie YESU nisaidie wewe pekee unanijua nakujua maitaji yangu vyema sistaili ila nisaidie mwanao
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
❣️
@jefrineliaselias691
@jefrineliaselias691 Год назад
Ukisikiliza kwa makini machozi 😭 lazima yakutoke 😭
@petermwawa5769
@petermwawa5769 Год назад
WAKATI SAHIHI KABISA NILIKUWA NAJIULIZA SANA MAISHA YANGU YATAKUWAJE
@enoceruganga5435
@enoceruganga5435 2 года назад
Pastor nina kaka yangu amefungwa na roho hiyo kabisa naomba musaada plz
@benjaminmutuku-vq2ur
@benjaminmutuku-vq2ur Год назад
So touching
@adelardrukara3518
@adelardrukara3518 Год назад
Amen
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 2 года назад
Wadada wa Tanzanian wanapendeza mno. Nywele zimeshukwa poa na wako smart. Mumebarikiwa
@happinessmtani7621
@happinessmtani7621 2 года назад
Be blessed man of God
@user-iq4oy6uz6y
@user-iq4oy6uz6y 4 месяца назад
Naomba location ya kanisa lenu
@user-hy9hh1zg4y
@user-hy9hh1zg4y 2 месяца назад
Naomba namba za huyu mtumishi...
@AdventinaNdyanabo
@AdventinaNdyanabo 3 месяца назад
Kanisa liko wapi?
@pascaledward295
@pascaledward295 2 года назад
Kyando nahitaji mawasiliano yako
@erickkisindja2670
@erickkisindja2670 2 года назад
Je mwalimu na pastor unaposoma,ufunuo:2:8:11,unajifunza nini?mafunzo mengine aitusaidii kitu
@mankarichard5851
@mankarichard5851 2 года назад
Naomba kujua kanisani kwake naomba mtu yeyote anielekeze plz
@pastorsunbellakyando
@pastorsunbellakyando 2 года назад
Kanisa lipo sinza mori mkabala na ofisini za Tamwa au karibu na bar ya lachaz, tumia namba hii kwa kutuma ujumbe whatsup kwa msaada zaidi 0657173322
@mankarichard5851
@mankarichard5851 2 года назад
@@pastorsunbellakyando Nashukuru sana sana
@geoffreysimiyu7386
@geoffreysimiyu7386 9 месяцев назад
Amen
@oliversebastian3808
@oliversebastian3808 2 года назад
Amen Amen
@user-vl8uu1wb3j
@user-vl8uu1wb3j Год назад
Amen
@elizabethmwachiti7987
@elizabethmwachiti7987 2 года назад
Amen
@jeremiaisowe4443
@jeremiaisowe4443 2 года назад
Amen