Rapper Roma Mkatoliki amesimulia mkasa wa rafiki yake waliyesoma pamoja huko Dodoma alipogongwa na gari mwaka 2004 na kupata madhara kwenye ubongo yaliyopelekea awe kichaa hadi mwaka 2020 lilipotokea tukio la kushangazaa..
Romaaa una historia sana kwenye maisha yako pole maan unakutana na mambo makubwaaa sana mara mtu afie safarini mar mtu agongwe na agongwe tena mara boda umtume afe pole sana
roma nime anzaga kuku fatilia toka ilesafari ya kwenda mbeya yule dogo alie fiwa na kaka ake kwenye bass alf dogo akawa wa mbuzi hadi stendi hii nayo imaniliza sana my broo mungu wetu ni wa ajabu sana roma