SAYANSI YA MUNGU UTAIKUFURU KISA NJAA, ILA HUWEZ CHAGUA AINA YA MZAZI ATAE KUZAA, JILAN KAZALIWA NA WAZIRI WEWE MAMAKO KICHAA BABA MLEVI ALAFU KOND WA DALDALA KIBAHA. LIKE NYINGI SANA KWA LINE HII
Roma mupendwa WANGU jana niriona picha yako yakifo yasamba mitandaoni wana habari waki urizana vip roma amekufa NIKAWA NAHOFU 😢😢😢KUMBE IRIKUWA CONTENT yahii ngoma big up Roma and more love❤❤❤❤❤
bigup kaka ngoma nikali kaka roma heshima sana ila abiud usimuache kaka muinue na yeye atoke ata kidg maan hiphop ninguma sana kwa underground kutoka muwek kwenye chati asaidie familia yeka na yeye ajiinue kaka maisha mema
Roma katoa kazi nzuri hasa imemgusa abiud ambae amemshilikisha maana maisha aliyopitia mpaka kufika sasa ni magum alikua hana pakuishi akawa anafanya kazi kwa watu ili tu apate chakula na malazi Mungu zidi kumbalik abihud afike mbal
Jirani kazaliwa na Waziri ila we na mamaa àyo kichaa,baba mlevi alafu konda tu dalala kibaha dah.Usiikate tamaa na mute upate amasaa,we ndo wakuibadili Sura ya familia kwanzia sasa,naunawezaaa❤❤❤❤❤❤