Ngoma kali sana brother wachane hao mwanangu wewe kweli ndio mwanahalakati kama 2pac unachokisema kwa Wale waelewa huyu mtu ni kichwa sana sio hadi Afe ndio muone umuhimu wa roma salute you my homie fight for us bro👊👊👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿
😂😂❤Demu wangu ashazoea hip-hop sababu Kila akija geto playlist yangu ningoma za Roma round Moja naanza na mathematic, viva Roma, 2030 alafu nakojoa kwa Zimbabwe dk kama 20 Sasa naongeza albam my jmoc tare 8/6/2024 njoo ujipakulie pumbu na albam kama kifungashio😂😂😂
Huyu ndo msanii Bora wa Hip hop na mwana harakati kma Nay wa mitego. Ngoma kali na ujumbe mzuri lakini bdo saa paka shume kaondoka ssa ivi tuna paka jike
Hii nchi ngoja ninyamaze tu lakini niseme magufurification of Africa haitasahaurika na hakuna atakayejitokeza tena nchi hii kuwapigania wanyonge kama alivyokuwa magufuri never rip mzee baba
ROMA KAKA, KAMA SERIKALI ISINGE KUEPO SIJUI UNGEKUA UNAIMBA NINI MAANA ,UNAJUA VICHAMBO NA MICHAMBO NAISI UNGEKUA UNAIMBAA TAARABU TU KAMA MAMA ZUCHU , ila Sio Mbaya Kwakua Ndio Njia Ya kutafuta ugali wako .HONGERA.
Paka paka tu mapaka Afe ndo Panya waongee. Ndo umejitokeza kumfunga Marehemu paka kengele. IZZO B ALimwambia Ridhiwan aongee na Mshua. Sasa ongea na mtekaji aongee na mama
Lake Gang wakasukuma (.....) na ku~take over...... Sijui kama nimeelewa vibaya, Lake Gang waka.....(R.IP) na ku~take over(yaan kurudi tena kutawala kiuchumi
Hii ngoma mashawa watavunga kuiponda ila majumbani kama si chooni watakua wanaisikiliza mara kwa mara uku wakisikilizia ujumbe mzuru kutoka kwa roma😅😅😅😅
Big up sana bro Kwanza ujumbe mzuri Pili umetumia lugha ya kisanii Tatu umetoa kwa mda sahihi Nne umemshilikisha mtu sahii Basi gonga like kama na wewe umeyaona haya🥰🥰👍👍👍
Kenya njooni hapa,this is now hiphop,si kuimba mapenzi na drugs saa zote,Hii ngoma unafaa kuiskiza kama mara 10 ndo ushike anasema nini,big up Roma,this is why i love Hiphop
Nonsense 😢😢, upinzani will never take over this country, cause always hawajui wanachokifanya, Magufuli is dead but you are still fighting him Impact ya Roma inapungua cause anafight na kile wanachokiamini kilikuwa bora kwao, so better you stay quiet or fight with what is going on, Magufuli is already dead ,Unaezaje msema mtu ambaye hawezi kujitetea we utaonekana Chizi, He is gone and so is your revange, Lete mada zenye mashiko mezani tujadili I love you Roma and you are a good protestant, but talking about a dead Man the whole song that is Bullshit,