Eti ,,, Pole dahh, umeongea kwa uchungu hadi najiona mkosaji kwako na mbele za Mungu -- vibwagizo vyenu tu, ah wacha tu, ubunifi upo juu juuuu tu saaana
😭😭 sio pow Inauma sana aiseee mkewe ndo awe hivo halafu unatoboka kidume unalala nje unalalia mawe halafu Kuna kenge anakuja kupakua asali...Ah sio pow
Yani huyu Roma na stamina. Wanakipaji tu mungu amewapa . Achambali kazi wanayoifanya , kuimba kwao nikipajitu. Tuache ubishi Wamakabila, dini, siasa nachochote. Hawa jamaa hatarisana Sana. Ningekuwa Mimi raisi , Hindi ninavompenda mashairi Yao, ningewaajiri kunitungia mashairitu nikainjoi . Mana Wana maneno mazito nayakipekee .. nirimix lakini nikamanyimbo mpya.