Ndoa inapaswa kuheshimiwa sana na watu wote. Jiepushe sana na uvunjaji wa ndoa iwe yako au ya mwenzio. Kwa maelezo haya ni wazi kuwa kweli Stamina hakumjua vyema mwenzie ambaye naye hakuwa anajitambua. Asante kwa kuwa mfano na somo kwa wengine.
Nadhani kama mlitongozana wawili mngeyamaliza wawili sasa cc ukituambia inatusaidia nini zaidi ya kujianika madhaifu yako je mwanamke haki sema huna pumzi kitandani ndo mana akamkumbuka mpenz wake wa zaman c utaonekana kiazi
Wapo wengi wana majanga kama haya,lakini hawana platform ya kusemea Pole sana brother, watoto wa mama ni shida hata ukimwambia naomba maji ya kunywa anatangaza amenyanyaswa
Mimi na muelewa sana stamina maumivu anayo yapata Mimi nime experience hiyo hali sasa tangu 2016 hadi sasa ijapokuwa huwa ni ngumu sana kuzoeleka ila jipe moyo mungu ni mwaminifu sana atatufuta machozi karibu home morogoro
Ndoa inahitaji: 1.God 2.Maturity (Financial,Physical and Mental) Ukijichunguza ukaona kuna kitu bado kimepungua hapo,usioe,usiolewe. Hata kama una hamu vipi!
na ndoa nyingi za vijana siku hizi hazidumu sababu kuna kuwa na mahisiano ya haraka hawajuani.wazee wetu walianza kuchunguzana muda mnajuana ndio maana ndoa zilidumu sio sisi mnatongozana wiki kajitambulishe mara ndoa ndio maana hazidumu
Stamina, you’re the man i tell you you’re the man. Ulichofanya ni sahihi mwanaume afanye. Man siwezi ongea you’re the man. Keep it up fanya mziki fanya maisha, tafuta pesa .
Yesss sirrrr,nmekubali bonniveture Allah akuzidishie hiyo Ni kweli umeongea sahihi hata mungu atakulipa hapa hapa duniani mwchie Allah aufnyie wepesi mwnangu,Yes sirrrr
Kama kuna mwenzangu aliyemuhukumu #Stamina bila kujua sababu dondosha like yako. Maana dah imenigusa japo kuwa mi ni mwanamke, mahusiano yako kama yangu ndo magumu ninayoyapitia Mimi. Inauma jamani😭😭😭😭😭. Mungu tusaidie🙏🙏🙏
Hiyo takugombana na mwanamke wako sababu ya jamaa,halafu anatoka anaenda kwa jamaa tena anakwambia tuachane kisa ya jamaa ishanitokea,jema ni nilishapona namshukuru Mungu sanaa 🙏🏾
Stamina pole sana. Kama ndivyo mruhusu ale maisha tu. Mtafute mwingine uendelee na maisha yupo wa ndoto zako. Yawezekana yupo mdada ulishamchumbia ukampotezea anaweza kukuchezea kiaina. Kaa tafakari chukua hatua.
Saaaf sana mzee baba,hiyo mijanamke yaivyo yapo mengi sana.Hata mm nilikumbwa na hali Kama hiyo yaani nahis yakwangu ilikuwa ngumu zaid na nilikuwa safari cku moja jianamke lile likabeba kiiila kitu ndani sio vyangu tu likaiba vyote na nilikuwa Nina Evidence full, bas nikalikaushia tu wala ckulitafta wala ckuliuliza kwasasa lishafamba na halina tena soko naliliishatemwa nakila mwanaume limebakza kudanga danga tu apa mjini kwa Makonda mm walaaa..! Nshatilaxy
Jaman mimi nilie msikiliza huyu kaka he is damn hurted, Alaf hata kama huyoo dada angeazilishwa ni sawa tuu amemkosea huyu kaka jaman tupo kwenye ndoa ila sio poa kumsemea maneno nje
Bola kayaweka peupe, angeyafungia moyoni huenda angejinyonga, mi nampa hongela kwa maamuzi aliyoyachukua pia inaweza ikasaidia kuwajenga wanawake wengine wasifanye kama alivyofanya mke wake, na yy ni kioo cha jamii kiujumla kafanya vzr kuyaanika
😭😭😭😭stami wee umenitonesha mwenzioo. Japokuwa mimi ni mwanake.nina miaka 7 sasa sitamani tena mahusiano na niliyopitia nihayo. Kablaya ndoa mume wangu alikuwaga na msichana wakaachana. Baada ya kinioa mimi wakaludisha mahusiano. Na mwanamke kumwambiabwana kuwa kipindi walichoachanaga alikuwagana mimba ya wiki. Cha kushangaza wakarudisha mahusiano kwa mpaka bwana akawa aniaga asafiri kumbe enda tawishwa ndani😭😭😭hebu ngoja tu niishie hapa
Karani Dicky yani ukiona hivyo huyu jamaa alimpenda sana mwanamke halafu alamsaliti kwahiyo ana maumivu sana sana sana haya yametukuta wanaume wengi sana jamaa kaumia kiukweli halafu jasiri unaweza kuuwa wallah
Kwanza ukioa mwanamkee ambae mkigombana kidogo anakimbilia kwao nawazazi wanampokeaa wanakaanaeee bila hata tatizo nduguyake jiepushe mapema umeoa mabomu,
It's very heart Anongea kama ni jambo la kawaida lakini usiombe yakukute Mimi naomba mungu yasinikute hayo maana naweza kuua au kuuliwa mimi na huyo anayechukua mke wangu 😢😢😢
Pole saana Stamina hao ndivyo walivyo hata mimi imenifika hiyo mpaka nimeamuwa kuachia kabisa wana tuchiti saana tena mno sasa majuto mjukuu dawa chukuwa kingine brodher
Doooooo pole sana wanawake sisi vivuruge sana inaonekana ulimpenda sana ulikuwa hukat tamaa unapigania penzi lako ila hiyo sio ridhiki yako ulifanya maamuzi muda ambao haukuwa sahihi..ila usijali kitu chochot kinachokuja kama hakijakutoa uhai,,bhas ni pito tu yataisha hayo..God bless stamina awe strong tena. Napenda sana nyimb zak
Ila niseme ukwel hawa ma X sio wazur SNA maan unawez ukaoa mwanamk had kum be hajaachan na mtu wake wa zamn yaan hii huwaga naiepuk sna ndo maan najitaid sna kutafuta dem bikira Ila hawa kumuoa dem am bay kashakuw na wanaum kibao hiy ni ishu kubw sna pol sna stamina umevumilia meng sna ila ndo uanaume huo big up sna
@@mpajiramadhan3507 bikira ni mwanamke ambaye hajawah kufanya mapenz ama kushiriki tendo la ndoa tangu anzaliwe.na ndo maan unaambiw mke wa kwel dunian ni yule uliye mtoa bikira kwakia ulimfunza kila kitu.lakn ukioa mwanamke ambaye hana bikira huy umeoa mwanamke wa mtu ama mke wa mtu.maan popote mtako kutana lazm mkumbishiane kwakua ww ndo mwalim wake tu kwahy hakun kit kizir kama kumtoa bikira mwanamke kwanz ni bonge la bahat sna kwa sasa.
Asojua ndoa asiogpe wapo watu wanapenda kwdhati ila usiombe uingie ndani yandoa na mtu usomjua Tabia 🙏Alhamdulillah Nimesahau Kila Kitu maisha yasonga ndo Maana kwa sisi waisalm mungu anatuambia katika Qur'an tukufu tuolewe na mwenye dini na hofu yamungu atahofia kufanya ubaya kwa kumyogopa Allah lakini ukiokota tu ndo unapojutia Wapo wenye Mapenz kwa Dhati
Ni kweli tunaomba tuwe kitu kimoja jamani,mapenzi ya dhati yanaumiza sana,hasa pale unampenda asitambue umuhimu na kusudi lako, Stamina ameniliza mno........
Na ndivyo walivyo mademu wengi wa kibongo, hawana mpango. Yaani demu ana acha mume wa ndoa anakwenda kutoka na mchezaji wa ligi ya kibongo, hivi ana akili kweli huyu demu? Gwakisa Kallenge
Huyo mwanamke alikuwa anatafuta uhuru ,na sio mwanamke ni mtu wa viwanja sana na kama ulimkuta viwanja basi huyo alikuwa wa viwanja alikuwa sio wa kuoa ,huyo alitakiwa kufanywa mchepuko
Tatizo vijana mnaokotana sana, wengine mnaoa kwa sababu ya sura, shape, msabwanda. Mwisho wa siku wengi mnaishia kuoa malaya, madanga haipiti mwaka au miaka michache mnashindwana. KUNA MWANAMKE WA KUOA NA MWANAMKE WA KUPIGA MITI, NAWASILISHA!.
Sema kweliii kaka alitaka kuolewa na wewe apate fulsa Kama hvi ilivyotokea teyali ameshapata umaarufu kwa sasa kila mtu anaangali interview yake 😁😁😁😁😁😁😁pole Sana kaka
Stamina mm nakuubali 100%%% kweli vijana wengi tunakosea kwenye kuoa huwa hatuna kawaida ya kuwapeleleza wanawake lakini pole Sana kaka lakini naimani hutakosea tena hata mm mwezi wa pili naingia kwenye ndoa lakini namuomba mungu aniongoze kwenye ndoa
Jaman Hi story ni yangu imeshanitokea japo sikuwa nimeingia kwenye ndoa its real pain wadada hata sielewagi huwa wanataka nini maana ukijaribu kufatilia wanaume wengi tunaumizwa ndio maana kuna mda unakuta mtu nae anafanya visa hamuaminiki wanawake sasaivi sijui nani kawaloga