Khaligraph ni no1 kisha hakuna hadi no10 maana khaligraph ni hatar sana kwenye game ya hip pop hao wa Tanzania 🇹🇿 niwa dogo sana kwa hip pop kwa khaligraph jones
😂😂😂Rosa Ree kamkalisha huyo mpiga vyuma , kiukweli kafanya kitu kikubwa tunapaswa kujivunia Tanzania nzima kaka zake wamekaa kimya lakini Rosa Ree kampiga nyundo kichwani😂😂😂❤❤🙌🙌🙌🔥
Nakuunga mkono cz sky anatufafanulia kila kipande ata zile za vita za urus ikiwezekana awe anazipitia na yeye. Tunawakubali wote wa sns ila bro turizishe na sie
Rosa nakupenda ila huwezi kua mm w omolo wakati kingereza n sheng umekipata uku 🇰🇪wewe ni moto w omolo alafu huyo mtoto wku ni mjukuu w omolo 😂🤣😆 ila nimependa haina makasiriko